YA AL HABBIB SAYYEID

Size: px
Start display at page:

Download "YA AL HABBIB SAYYEID"

Transcription

1 YA AL HABBIB SAYYEID

2 . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, Rajab, HR. i

3 MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya yote haya ni Manaqibu ya Walii Mkubwa kabisa aliyetajwa kwa jina hapo juu, yaliandikwa na mmoja katika makhalifa wake wakubwa Sayyid Ahmad bin Abdul Rahmani Ibn Sultan Alawi. Yalifasiriwa na Al Allama Sayyid Kaab Ibn Sayyid Ahmad Zakiy Al-Masalah. Sasa inafasiriwa kwa Kiswahili na mtoto wa ndugu yake Walii huyo, Omar Abdallah Bin Sheikh Ahmad ambaye hujulikana kwa jina la Mwinyi Baraka. Huyu mfasiri kwa Kiswahili ameazimia dua zote aziache bila kufasiriwa kwani muhimu ni kulumiwa kama zilivyopokewa. ii.

4 MAISHA YAKE. Sasa naanzia: Utajo wa kuzaliwa kwake Mwenyi Ezi Mungu atakase siri yake Bwana Al-Maarufu alizaliwa mwaka Saf 1270 Hijra katika mtaa wa Bajanani, Moroni Ngazija. Alizaliwa katika nyumba iitwayo "Shashanyongo". Baba yake ndiye aliyemlea. Alisoma kuran Ngazija akawa anasoma kwa Tajwidi. Baadaye Baba yake alimpeleka Zanzibar si kwa jingine lolote ila kutafuta ilmu. Alikaa Unguja kiasi ya miaka mine, takriban akazijua vilivyo fani za Tajwidi, Fiqih, Nahw na kiasi cha kutosha katika ilmu za hadithi na kuran. Ilmu zote hizi alizichukua kutokana na mjomba wake Sayyid Ali Bin Sultan Ahmad. Wakati wa safari yake, Babu yake upande wa mama yake Sultan Ahmad alimwambia; "Tutafutie ilmu ya haqiq (undani wa mambo yaliyohusiana na Uungu) kwani sisi hatujui vilivyo". Baada ya kusoma ilmu hizo alirejea Ngazija, akashughulika kukunjua ilmu zote hizi na kuita watu kwa Mwenyi Ezi Mungu katika msikiti wa Ijumaa. Alianza kusomesha katika tafsiri ya kuran Jalalain katika wanafunzi wake waliosoma kwake fanni ni mwalimu wake wa Tajwidi Musa Bin Ahmad. Muhimu: Baba yake Sayyid, Mungu amuie Radhi ilikuwa hakupata mtoto mwanaume. Basi alipohiji akakusudia Madina kumzuru babu yake, Rehema ya Mwenyi Ezi Mungu na Amani yake ziwe juu yake, alimuomba Mwenyi Ezi Mungu katika Quba la mtume (SAW) amruzuku mtoto mwanaume kwa mke wake mlahirifu Mwana mkuu Bint Sultan Ahmad. Aliweka nadhiri hapo ikiwa Mwenyi Ezi Mungu kamruzuku mtoto mwanamme 1.

5 atapeleka pesa kidogo kwenye kuba la Mtume (SAW) kwa matumizi ya watumikiao alipolala Mtume. Mwenyi Ezi Mungu alipokea dua yake. Baada ya kurejea Ngazijah, mkewe alishika mimba akamzaa anayeandikwa habari zake hapa. Baba yake alimwita MA'ARUF. Na akapeleka zile pesa Madina kutekeleza nadhiri yake. Nasabu yake tukufu yeye ni Bwana wangu (Mwenyi Ezi Mungu atakase siri yake kubwa), Muhammed Bin Sheikh Ahmad Bin Sayyid Abubakar Bin Sayyid Ahmad Bin Sayyid Abubakar Bin Sayyid Abdallah Bin Sayyid Salim Bin Sayyid Ahmad Bin Sayyid Abdallah Bin Sayyid Ali Bin Alfakhir Ash- Sheikh Abubakar Bin Salim, Aliyetawafu Einat katika Hadhramaut. Hii ni kwa upande wa Baba yake, na kwa puande wa Mama yake, yeye ni mtoto wa Mwana Mkuu Bint Sultan Seyyid Ahmad na yeye ana nasibika na Abubakar Bin Salim. Ama mabibi zake wataharifu, mama yake baba yake Wamwinyi Bint Sayyid Eidarus anaye jukuliwa na Abubakar Bin Salim na mama yake ni Sayyidat Khadija Bin Sheikh Salim; na yeye vile vile anajukuliwa na Abubakar Bin Salim. Basi imejulikana kuwa nasabu yake amezungukwa na Sheikh Abubakar Bin Salim upande wa mabababa na upande wa mamama Mwenyi Ezi Mungu atunufaishe na yeye na wazee wake Amin. Wake zake watahilifu na utajo wa kubariki baba yake. Mke wake wa mwanzo ni mtoto wa ndugu yake mama yake Sayyidat Sittinaa Bint Sultan Sayyid Omar Bin Sayyid Hassan katika kabila ya Almasaiha BA-ALAWI ambaye baba yake ndie aliemposea na akamuoza baba yake mkewe Sultan Sayyid Omar alietajwa hapo juu kwa mahari ya wanawake mfano wake aliingia nyumbani hapo Moroni. Siku ya Tisa tangu kuingia nyumbani baba yake alifariki (Faida; Ijumaa ya mwanzo baada ya kuingia nyumbani Sayyidina Muhammed Bin Sheikh alimtuma mtu akamtakie Jokho kwa baba yake ili avae kwenda kuhudhuria sala. Sheikh Ahmad alimjibu "Mwambie mwanangu asubiri kwani Jokho hilo litakuwa lake baada ya siku chache. Siku hizo hizo mzee akafariki.- Nyongeza hii ni ya Mfasiri). Bibi huyu yaani Sayyidat Sittinaa alizaa nae watoto watatu Khadija, Hawdhat na Shama. Baadaye alimuoa Maryam Bint Beja, akazaa naye Sayyid Ahmad. Tena alimuoa Bint Sayyid Aqil na mwishoni kwa Ngazijah alimuoa bibi Halimah Bint Ilyas. 2.

6 Unguja alimuoa Bibi Khadijah Bint Ali aliezaliwa Ngazija na mama yake ni Mngazija alizaa naye Sayyid Ali na Sayyidat Batul. Baadaye alimuoa Bint Naqib Assayf Al-Kisadi akazaa naye Sayyidat Sharifah na Ismail ambaye alikufa mtoto hata baba yake hakuwahi kumuona ama Sharifah alikufa baada ya kufariki baba yake. Safari zake: Mwanzo alikwenda Unguja kutafuta elimu kama ilivyotajwa kabla katika safari zake. (Mwenyi Ezi Mungu amuilie radhi na amwidhishe). Ni safari ya Makka tukufu alikwenda kuhiji pamoja na mama yake na ukhti yake Sayyidat Alawiyya na waliyofuatana nae alipokuwa Makka alikutana na mmoja katika Mawalii wakubwa akawa humtukuza akamuusia achukue Tarika ya AL IMAM ASH-SHADHIL akampa khabari kuwa kufunguliwa kwake kumo katika Tarika hiyo mambo yakawa kama alivyomkhubiria Walii huyo, katika baadhi ya mikusanyiko yake na Walii huyo huyu Walii alimuuliza "Umekuja kwa sababu ya yule mgonjwa wa akili ambaye anazunguka Ngazija?" Na ilikuwa niya ya As-Sayyid ni kumuombea dua, yule walii alimkashif. Jawabu yake ilikuwa: "Naam". Akamjibu keshapona. Aliporejea kamkuta kweli keshapona kama alivyomwombea, Mwenyi Ezi Mungu atanufaishe kwa siri zao. Katika safari hii alikusudia Madina iliyojazwa Nuru ili kumzuru babu yake (S.A.W) huko alipokea vilitokea kwa Mungu kuletewa mbele ya Muhammed. Alikaa Madina siku kadha wa kadha katika baadhi ya ziara zake ndani ya Kuba la Mtume takatifu aliingia yeye na mama yake. Mama yake aliona ndani ya Kuba Mtu anapendeza, mzuri, anatabasam. Mama yake alimuuliza mtoto wake "Nani huyu? As-Sayyid Alimuashiria mama yake anyamaze. Walipo rejea huko walikoshukia alimwambia mamake "Yule mtu uliyemuona ni Mtume (S.A.W) mwenyewe kwani mahali pale haingii mtu. Alipomaliza ibada zake za hija na ziara aliingia Anzwani pamoja na mama yake na ukhti yake wakakaa huko siku kadha wa kadha yeye ndie wa mwanzo kuwapelekea Maulid ya Barzanji alikuwa anapenda kuyasoma na kuyahudhuria kwa taadhim na heshima kubwa alikuwa akikataza kucheka na kucheza na kutafuna tambuu wakati wa kuyasoma kwa kumuadhimisha mjumbe wa Mwenyi Ezi Mungu (S.A.W). Baada ya hapo alirejea kwenye watani wake hali ya kuwa ni 3

7 mwenye kutizamwa kwa jicho la kusaidiwa na kutengenezewa kutokana na bwana Muumbaji khalafu alisafiri kwenda Zanzibar akakutana na Sheikh Uways na akachukua Tarika ya Qadiria kutokana naye akarejea Ngazija baadaye akenda Nzwani wakati huo anadhikri kwa Tarika ya Qadiriya wala hakumpa yeyote Ijaza ya Tarika hiyo, bali baadhi ya nyakati alikuwa hujitenga faragha akadhikiri peke yake baadae hurejea kwa wapenzi wake. Aliporejea Ngazija haikuchukua muda mrefu ila alifika Sheikh Abdallah Darwesh alikuwa kafuatana na ndugu yake Sayyid Abdal Rahman Bin Sheikh na mama yake Sayyidat Mwana Mkuu wakaja katika jahazi moja. Sayyid alikutana na Sheikh Abdallah Darwesh alie mchukulia amana na pakapatikana baina yao mahaba kwa mtizamano wa mwanzo. Hayo yalitokea kwa hekima ya Mwenye Ezi Mungu aliyeumba akatengeneza kila jambo na vipawa vya kukusudiwa. Sheikh Abdallah alitelemka kwenye kisiwa cha Ngazija akaingia katika vingi katika vijiji vyake. Alipokuwa anazunguka katika vijiji hivyo aliona katika baadhi ya njia zake ndege wawili, mmoja akatoa ubait huu: شرتث شراب السر مه خمر الصفاء Wapili nae akatoa ubait huu: فسكرت لو حقا ومالي منا زعا Sheikh akaongeza juu ya ubait huu Abyat nyingine kama ilivyo katika kasida ijulikanayo Ubait wa mwanzo wa qasida hiyo ni: سقاء في سعاىاالحثية فلم ارى سواه علي اال طالقا فىاكون المع mpaka mwisho. Baadae Sheikh Abdallah alifanya makazi mahali alipozaliwa. Itsandaa mjini (Huko ndiko alipozaliwa mrithi wa Ahwal za Mawalii na Maqamat yao Seyyidna Al-Habib Omar Bin Ahmad Bin Sumeit رضوان هللا عايو na baba yake alizaliwa huko huko, babu yake Al-Habib Abubakar ndiye aliyetoka Shibam Hadhramaut kuja Ngazija- Mfasiri). Huko kwao Itsandaa Sheikh Abdallah alifungua chuo cha kusomesha watoto kur-an tukufu na baadhi ya vyuo vidogo vidogo. Baadhi ya watoto walikua wakikhitimu kuran takatifu kwa muda wa chini ya miezi sita kwa baraka zake hata wengi 4

8 katika watu wa Moroni waliwapeleka watoto wao ili awasomeshe vile vile alifungua Daira ya Dhikri huko aliwapa watu ijaza katika Tarika ya Shadhili Yashrutii khabari ilifika Moroni Bwana wangu (anakusudia Al Ma`aruf ) akakusudia Itsandaa kwa kutaka Ijaza akapewa Ijaza na Ukhalifa katika Tarika Shadhiliyya Yashrutyya. Sanad yake katika Tarika (NjiaTarika iliyomfikilia kutokana na Mtume (S.A.W) Alichukua Tarika kutokana na Abu Saith Arif Billah (amjuaye Mungu) Sheikh Abdallah Bin Said ajulikanae kwa jina la Darwesh yeye huyu akapokea kutokana na Ustadh mkamilifu kabisa Sayyid Ali Al-Yashruti (Bwana huyu alitoka Afrika ya kaskazini akaja Akka katika Flastin akafanya makazi Sheikh Abdalllah Darweshi katika mzunguko wake kumtafuta Khutbu Al Ghawth alifika huka Akka, akakaa chini na Sayyidina Ali Al-Yashruti kwa miaka hata akapata Al Fat-hu Al Akbar. Akapewa ruhusa arejee Ngazija kama wasita baina ya Sayyidina Ali na Sayyidina Al Ma`aruf, yeye Sheikh Abdallah Darwesh alipompa Al Ma`aruf amana yake alimwambia Hii kazi yenu nyinyi Ahl- Bait Rasulillah. Mfasiri). Yeye Sayyidina Ali Al-Yashruti alipokea kwa khutbu wa zama zake As Sayyid Muhammed Bin Hamza Dhafir Al-Madani kutokana na Sharif Al Husainy baba yake Ahmad Al Arab Addarqawi kutokana na Ali Al-Imran kutokana na Al Arab Bin Ahmad Bin Abdallah kutokana na baba yake Ahmad Bin Abdallah kutokana na Qassim Al Khassas kutokana na Abdul Rahman Al fasi kutokana na Muhammed Bin Abdallah Al Kabir baba yake Sayyidina Ahmad na wao wote wawili kutokana na Yusuf Al Fasi kutokana na Abdul Rahman Al Majdhub kutokana na Ali As-Sanhaji, kutokana na Ahmad Zarruq (Bwan huyu ni katika nguzo kubwa kabisa za Silsila hii alikusanya kila namna za elimu hata Falsafa, Mantiq (Logic) Sayansi na Mathematic. Kasema maneno makubwa makubwa kama alivyosema Sultan Al Awliyaa Seyyidina Abdul Qadir Jailan- Mfasiri) Zarruq alikuwa khalifa wa Ahmad Bin Uqba Al Hadhrami bwana huyu alilelewa Tarim Hadharamawt na Seyyidna Abdallah Bin Abubakar Al-Aidarus akafikilia daraja kuwa katika Uwalii Mwenyi Enzi Mungu akamchagua awe mmoja katika Mqutbu wa Silsila hii ya Shadhili akampeleka Misri akalazimiya na Yahya Al-Qadiri alipofariki huyo alirithiwa na Al Hadhrami Mfasiri). 5.

9 Yahya Al-Qadiria alipokea Ali Wafaa na yeye aliwapokea kutokana na baba yake Bahr Safa kutokana na Daud Al-Bakhili kutokana na Ahmad Bin Attaillah Assakandari kutokana Abi Al- Abbas Al Mursi (Huyu kaitwa Al Mursi kwa sababu alizaliwa Mercia, Spain wakati Spain ilikuwa ya kiislam baada ya waislamu kukaa huko kwa miaka wakatia misingi ya kila namna ya masomo na ustaarab huko ulaya. Al-Mursi alikuwa anakwenda kuhiji Jahazi ilivunjika wakazama watu wote akaokotwa hapo alipokuwa Qutba mkubwa kabisa Sayyidina Abdul Hassan Ash-Shadhili alimlazimu bwana huyu hata akawa yeye ndiye khalifa wake mkubwa kabisa - Mfasiri). Seyyidina Al-Imam Abdul Hassan alimrithi Abdu Ssalaam Bin Mashish na yeye alipokea kwa Abdulrahman Al Madani Azzayyat kutokana na Taqiyyuddin Al Fuqayyir kutokana na Al Qutb Fakhruddin kutokana na Qutb Nuruddin Abdul Hassan kutokana na Al Qutb Tajuddin kutokana Al Qutb Shamsuddin Assiwasi kutokana na Al Qutb Zainuddin Al Qazwimi kutokana na Al Qutb Abi Is-Haq Ibrahim Ali Bisry kutokana na Al Qutb Abu Qassim Ahmad Al Marwany kutokana na Qutb Abu Muhammed Said kutokana na Al Qutb Saad kutokana na Al Qutb Fathu Suud kutokana na Al Qutb Said Al Qazzani kutokana na Al Qutb Abi Muhammed Jabir kutokana na Qutb wa mwanzo Sayyiduna Al Hassan kutokana na baba yake Sayyidina Ali Bin Abi Twalib na yeye kapokea kwa Bwana wa mwanzo na wa mwisho Bwana wetu Muhammed S.A.W. Hapa Silsila imemalizika. Sheikh Abdallah alimwambia Al Maaruf "Chukueni kazi yenu hii nyinyi Ahl Bait Rasulillah. Sisi ni watumishi wenu katika kazi hii". Al Maaruf alipopewa ukhalifa alirejea Moroni akasimamisha Daira na akawa anawapa watu Ijaza wakakusanyika kwake watu namna nyingi Sheikh Abdallah alikuwa huja Moroni na kuhudhuria Daira pamoja naye hata bwana wangu (Siri yake imetakaswa alimchukua Sheikh Abdallah nyumbani kwake ili awape Ijaza watu wa huko nyumbani Sheikh Abdallah akampa ijaza mama yake Assayid na ndugu zake wanawake Sayyidat Alawiyyah, Sayyidat Batul, Sayyidat Fatuma na Sayyidat Ihsan ndugu zake baba mmoja mama mmoja aliendelea Sheikh Abdallah kwenda Moroni na kurudi Itsandaa. 6

10 Siku moja alipikiwa chakula Moroni, akasema: "Mwenye kula chakula hiki ataingia peponi, na mwenye kukila kwa nia yoyote atapata muradi wake". Akachukua kila mmoja katika walio kuwepo tonge tonge akawachukulia watu wa nyumbani. Palikuwa na mwanamke Tasa akala kwa nia Mwenyi Ezi Mungu ampe mtoto na Mungu akampa na hekaya hii inajulikana Ngazijah na imeenea kwenye watu wa huko. Baadaye alimpelekea Assayyid khabari asafiri aende Hinzwani Sayyid akamjibu kuwa, "hapana marikebu inayokwenda huko". Akamjibu "Andaeni safari kwani nyinyi mtasafiri kesho inshaallah". Wala hapakuwa merikebu pwani ilipokuja siku aliyowaambia kuwa safari yao itakuwa, alisikia mjini kuwa pamedhihiri jahazi ya matanga pwani lakini jahazi hiyo haikusogea mjini watu walitoka kuiangalia wakaikuta kama ilivyosemwa. Paliteremshwa Ngalawa kutoka Jahazini wakateremka baadhi ya waliokuwa na katika wao alikuwa mwenye Jahazi, Muhammed Bin Silim yeye alikua ana mke na marafiki Moroni ilipita kuwazuru tu. Assayyid alimuuliza mnaendea wapi? " akajibu Muwali" akasema "Sisi tunataka kusafiri pamoja na nyinyi" Jawabu ilikuwa kwa mapenzi na Ukarim akasafiri siku hiyo pamoja na Sheikh Abdallah Ali fundi na Ahmad Bin Nakhodha hata wakafika Muwali wakateremka baadae walisafiri kwenda Hinzwani katika Jahazi nyingineyo wakateremka Bamoni wakapita njia ya barabara hata wakifika Mtsamudu. Siku hiyo ilikuwa Ijumaa Mwezi 24 mfungo Tisa mwaka 1299 Hijriyya walipofika hapo alikutana na Ssayyid Ahmad Al-Kabir Muhammed Al Arab na Muhammed Abood na Abdu-Rab na wote wakawa katika Muridi wa Kishadhili. Baadaye Sayyid alijiweka kuwapa Ijaza kila alietaka wakachukua Ijaza kutokana naye watu namna nyingi, alikuwa husimamisha Daira msikiti wa Ijumaa kila usiku baada ya sala ya Isha. Watu wa msikitini walimwambia: "Ungeligura ukenda mahali pengine ingelikuwa bora kwani sisi tunashawishika ikisimamishwa Daira hapa na sisi tuna nyiradi hatuwezi kuzisoma". Kwa hiyo alihamia Masjid Ar-rhmani hakuwa akisimamisha Daira msikiti wa Ijumaa ila baada ya sala ya Ijumaa na sikukuu zote mbili. Baadae alielekea Wani ili kutoa Ijaza akakaa huko kiasi ya wiki walichukua Ijaza kwake aghlabu ya watu wa huko akampa Sheikh Muhammed Bin Abubakar Ukhalifa juu yao. 7

11 Alirejea tena Mtsamudu, lakini hakukaa hapo mda mrefu akatakiwa kwenda Bombo akaenda pamoja na baadhi ya Muridi, akakaa huko siku kadha wa kadha aliwapa Ijaza huko watu wengi akafanya khalifa juu yao Sayyid Jaafar baadae alirejea Mtsamudu akadumu katika Masjid Ar hmani katika kumtaja Rabbu wake. Hakuwa akienda msikiti wa Ijumaa ila siku ya Ijumaa. Kupingwa na Sheikh Fadhil na Jawabu ya Sayyid na yaliyopita baina yao kwa ufupi. (Mungu awalie Radhi wote wawili na atunufaishe kwa wote) katika muda huu Sheikh Fadhili alimpinga Sayyid katika kuwapa Ijaza ya Tarika watu wa Hunzuwani pamoja na kuwa wao si Ahli kama alivyodai yeye hali ya kutoa Dalili kwa hadithi "Msiwape hekima wasiostahiki msije mkadhulumu" na katika hadithi nyingine au utimilifu wa hii au hadith khutba na mimi ndie Mufti wa Sawahil yote tangu Ras hafun mpaka Ras torfi na mimi nimezuia dhikri juu yenu au kuisoma mbele yangu. Seyyid alisimama akasema "Huna njia ya kuzuia dhikri", wakati huo zogo lilizuka kwa wingi msikitini watu walisimama na kelele zikaja juu. Kila mmoja akakamata silaha yake, Sayyid nae alinyanyua upanga wake Sayyid Abdallah Bin Sheikh alitoa nje upanga wake Sayyid Abdallah Bin Omar Khajar lake akelekea kwa Sayyid Abdallah Bin Omar aliyeitwa Abood Bin Muhammad Bin Omar, mtoto wa nduguye Abdallah Bin Omar ni katika Muridi wa Sayyid. Hapo hapo alimpiga kofi Ami yake kwa sababu ya wivu juu ya Sheikh wake hivi ndo anavyokuwa Muridi. Sultan Abdallah alikuwapo msikitini askari wake wakamzunguka Sayyid akatoka nje ya msikiti akanadi anaetaka Ijaza na ahudhurie wakahudhuria mbele yake wengi na yeye pamoja waliokua pamoja naye wanataka jina la Mwenyi Ezi Mungu. Baadae alitoa sauti akatoa nje upanga wake mbele ya Sultan Abdallah. Askari walipoona upanga walikimbia, Sayyid alimshika Sultan mkono akamwambia: "Sema Allah" akawa anasema pamoja naye wakafuatana nyumbani na waliokuwapo waliwafuata na wote wanataja jina tukufu mpaka Sultan akaingia nyumbani kwake. Assayyid alielekea Mirontsi na kikundi katika Muridi wake walimfuata lakini hawakufika pamoja naye kwenye msikiti wa 8.

12 Mironts ila watu kumi katika hao ni nduguye Sayyid Ali. Hapakupita ila dakika chache mara ukawafikia mwito kutokana na askari wa Sultan Abdallah, waliokuwa wamemzunguka wakamwambia amnilikie Sultan, yeye akajibu " Ndivyo".Alipotoka Msikitini wale askari walitaka kuchukua upanga wake na yeye akajizuia. Nduguye Sayyid Ali akamwambia: "Hii ni amri ya Sultan anahitajia tuitii". Hapo akawapa upanga baadae alichukuliwa pamoja na aliokua nao kutoka Morots na huko wanapigwa na kutolewa maneno na msukumo mkubwa hata mwisho Sayyid alitupwa baharini akatupiwa mawe. Baharini palikuwa Jahazi ya baadhi ya wahindi Sayyid alipanda akabaki humo siku saba baadae akasafiri pamoja nao mpaka Nusbee. Ijumaa ya mwanzo baada ya vituko hivyo walikuja watu wake kutoka Bambao na katika hao ni Sayyid Jaafar na Sayyid Salim Bin Sultan Abdallah wakamkuta kesha safiri wakahudhuria Sala na wakasimamisha Daira. Waliapa kuwa ataewaingilia watamuuwa. Hapana aliewaingilia., Daira ilidumu kama ilivyokuwa katika Masjid Ar rahmani kila Ijumaa na sikukuu mbili ilikuwa ikisimamishwa Msikiti wa Ijumaa. Sayyid alirejea kutoka Nusbee akateremka Maote alimuamrisha Sayyid Ahmad Bin Abdulrahman na Abood Bin Muhammad warejee Hinzwan na yeye mwenyewe alielekea Ngazijah pamoja na nduguye Sayyid Ali na Muhammad Al arab. Alipofika Ngazijah alipokelewa na Sheikh Abdallah Darwesh na alikuwa pamoja nae kwa namna iliokuwa njema kabisa kuliko walivyopata kuwa. Baadae alimpeleka nduguye Hinzwani ili afanye upya mfungano wao na Tarika akampa Ijaza. Yeye alikaa Hinzwani miezi. Siku yane na ya tano ya kufika kwake Hinzwani alifariki Sheikh Fadhil ( Mungu amrehemu). (Sayyid alitoa amri asomewe wadhifa aombewe dua. Haya yanaonyesha kuwa Sheikh Fadhil hakumpinga Sayyid kwa inadi bali jitihada. Alijitahidi akakosana, na Sayyid akamuombea Dua aghufuriwe - Mfasiri) Sayyid Ali alirejea Ngazija akamkuta Sheikh Abdallah Darwesh kasafiri kwenda Zanzibar baada ya kufariki Sayyidat Alawiyya. Bibi huyo alikuwa na cheo kikubwa kwa Bwana ambae maisha yake yanaandikwa. Hapa mauti yalipomhudhuria alikuwa anataja jina tukufu la Mwenyi Ezi Mungu. Sayyid alimwambia: "Msalie Mtume" Bibi alijibu "Huyu hapa Mjumbe 9

13 wa Mwenyi Ezi Mungu ananiamrisha nitaje Ismul-Jalala". Sayyidat Alawiyya huyu ndiye ambaye Sheikh Abdallah Darwesh alisema katika kumtaja kumpa cheo chake: "Wangegawika Muridi mimi ningekuwa pamoja na kikundi alichomo Sayyidati Alawiyya". Katika siku hizo alikwenda Sayyid kwenye Bustani ya mama yake ijulikanayo kwa jina la Buzini akakaa huko siku nyingi awemo ndani ya Khalwa (Muepukano na kila kitu kwa kushughulika na Mwenyi Ezi Mungu) Hapo ilimjilia kwa daraja kubwa hali wapatao Mawalii wakubwa ilirejea nayo Mironi akaingia nyumbani kwa Sheikh Abdallah Bin Himid, akabaki pamoja naye huko siku tatu bila ya kuingia huko nyumba yoyote. Baada ya hapo alitoka Sheikh Abdallah Bin Himid na Sayyid akapanda juu ya sakafu ya nyumba akafika ukingoni akaanguka, nduguye Sayyid alimchukua mpaka nyumbani kwa mama yake akabaki nyumbani kiasi ya miezi sita na Ahwal zake zikizidi hatuwezi kukisia aliyoyapata katika yajayo kutoka na Mwenyi Ezi Mungu pamoja na yanayoteremka na miminio alipokuwa katika hali hiyo mara yumo ndani ya صحو mara nyingine محو pengine huwa عينةkatika na pengine katika (Maneno haya hayafasirika kwani ni Istilahi za Mabwana حضور Masufi. Hayana maana ya lugha wenyewe wanatambua kwa Dhawq. Kuyaonja na ekspiriense. - Mfasiri). Aliendelea hata akapata ambayo hatwezi kuyatambua vilivyo na tunahemewa na kudiriki hakika yake. Jadhba hii ni mash-hur Ngazija kwa Muridi wote. Yeye Sayyid alisema wakati katika Jadhba yake "Mimi ni kitu Azizi mimi ni kitu kilichotokana na Mtume (S.A.W) na ni hasha Mtume kumpa baba yangu kitu kidhalilifu". Alisema: (Mwenyi Ezi Mungu atunufaishe kwa baraka zake ) "Ingekuwa bahari ni wino na miti kalamu ili kudhibiti niliyoyaona bahari ingekwisha na miti ingemalizika kabla ya kumalizika mambo niliyoyaona katika Jadhba yangu hii". Baada ya hapo alirejea kukaa na watu kama ada yake ya mwanzo akasafiri kwenda Hinzwani akateremka Mtsamudu. Sultan Abdallah alikuwa Bambao alimtaka Sayyid aende huko na yeye akenda pamoja na baadhi ya Muridi. Sultan Abdallah akampokea kwa taadhima na mtukuzo, na yeye alikuwa akijihisabu kuwa ni katika jumla ya Muridu. Katika baadhi ya 10.

14 siku alimwonyesha mkono Sayyid kwa kutaka kumpa mapesa. Sayyid alisema: "Nimepokea zawadi yako, lakini sasa sina haja ya kitu basi kaa nayo mpaka wakati wa haja". Baadae alifika Sheikh Abdallah bin Himid kutoka Ngazija akakutana na Sayyid akampa khabari ya kifo cha Sayyidat Fatuma Bint Sheikh Ahmad. Ukhti yake Sayyid baba mmoja mama mmoja, alimuomba arejee Ngazija. akakubali akasafiri pamoja. Hii ndio safari ya mwisho ya Hinzwani hakurejea tena. Baada ya kufika Ngazija, watu wa huko walikhtalifiana na mfalme wao Sultan Sayyid Ali Bin Sultan Sayyid Omar Al-Masily walimtaka Sayyid awe pamoja nao na walimkhubiri kuwa watamuuzulu Sayyid Ali. Wakati huo ada ilikurubia kutoa kabisa hukumu za sheria iliyo tahirishwa jambo ambalo haridhii nalo Mwenyi Ezi Mungu na Mjumbe wake. Sayyid mara nyingi alikuwa akiyataja lakini hakumpata wa kunusuru sheria kwa hiyo alipotakiwa awe pamoja na alietaka kumuuzulu Sultan Sayyid Ali, waliomtaka walimpa miadi madhubuti kuwa watabatilisha ada yenye kwenda kinyume na sheria, watasimamisha sheria imara. Aliwakubalia na ikawa sababu kubwa ya kusalimika Sulatn Sayyid Ali nafsi yake kwani wale waliotaka kumuuzulu, walikusudia kumuua, lakini Sayyid hakuwaachia bali alibaki anawarairai na anawachukua kwa upole na kuwalainishia maneno kwa kumuonea huruma mtoto wa ndugu mama yake (Hakika ya mambo alihisi kuwa kisharia hakustahiki kuuliwa. Ingelikuwa sii hivyo angeliwaachia wakamuua kwani yeye ni wa mbele katika ambao hawatizami mhusiano mbele ya sheria ya Mungu - Mfasiri). Azma ya kumuuzulu iliposhika nguvu walimuamrisha khatibu asimtaje katika khutba ya Aljumua na yeye alukhutubu pasina kumuombea dua, ilipothibiti kwa Sultan Sayyid Ali kuwa waliloliazimia na jambo la matatizo alisafiri kwa kujificha mpaka Muali, na kutoka huko mpaka Maote akaifikishia dolla ya kifaransa yaliyomfika. Dola ya kifaransa iliandalia marikebo ikachukua idadi ya askari marekebo iliingia Ngazija ikateremsha 11.

15 askari ambao walitafuta baadhi ya watu wajulikanao wakawachukua baadhi yao. Walimtafuta As-Sayyid lakini yeye alijificha hawakuweza kutambua alipokuwa. Mitsamhuli ilikuwapo jahazi inakwenda Zanzibar, Sayyid alipanda usiku wakati ambao wanaomtafuta wameghafilika walipokuwa hawakumpatasayyid, nchi kavu wazungu walipanda kwenye jahazi ili watizame ikiwa hajajificha humo jahazini. Walipoingia jahazini wakaanza kupekua, palivuma upepo mkali na mawimbi yakachafuka, hapo hapo waliteremka bila ya kumuona, "Na wapi jicho pofu litaona jua?" wakati huo mnyororo uliofungiwa jahazi na nanga ulikatika na Jahazi ikaingia baharini matanga yakapandishwa na jahazi ikatweka kuelekea Zanzibar. Imewachukua Sayyid na Muridi wake wawili Ahmad Nakhodha na Abdul-R-rabb jahazi ilipokuwa mbali na nchi kavu Sayyid alisimama juu ya sitaha akababaika mmoja katika muridi wake akasema: "Eeh bwana wangu, umejitokeza watu watakuua iwe sababu ya sisi kuangamia", akajibu "Usihuzunike na sisi kwa kupenda Mwenyi Ezi Mungu baada ya salat aljumaa tutaingia Zanzibar. Safari yake ilikuwa jioni ya jumanne. Ikatokea vile vile kama alivyosema kwani waliingia Zanzibar baada ya salat aljumaa. Aliishi Sayyid Unguja hata mpaka alipotolewa Sultan Sayyid Ali Ngazija Dola ya kifaransa ndio iliyomtoa. Hapo alirejea Ngazija na hakusafiri kamwe. Hakuondoka huko hata Mwenyi Ezi Mungu akamchukua hali ya kuwa yeye Sayyid karidhia na karidhiwa. منا فيو رض هللا عنو 12.

16 Mtoto wa Al habbib Sayyeid Muhammed Al Ma`aruf aliyezaliwa Zanzibar. 13.

17 14

18 Al habbib Sayyeid Muhammed Bin Sayyeid Alliy Al Ma`aruf. 15.

19 16

20 Mfasiri kwa Kiswahili mtoto wa ndugu yake Sayyeid Al Ma`aruf. Al habbib Nassib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah Mwinyibaraka. 17

21 Khalifa wa mwanzo wa Majaalis-el ulaa Mwinyi Baraka- Uwesia Qa-diriyya. Al Faqeer Sheikh Ahmad Bin Sheikh Muhammed Msiha. 18

22 Vitabu vilivyokwishatoka ni: *1. Maana halisi ya Imaan. (i) (1 st, 2nd & 3rd addition). *2. Njia nyepesi ya kuijua nafsi yako. *3. Njia nyepesi ya kujua kitu juu ya uongofu. *4. Knowledge vision & ecstacy. *5. Mwinyi Baraka katika ulimwengu wa kiislamu. *6. Waislamu na Sayansi - Ulu-m. *7. Kuhifadhi Burda. *8. Maana halisi ya Imaan (ii). *9. Muhammad SAW katika ulimwengu wa ghayb. *10. Siri ya Balaa. *11. El makhlouq (Viumbe) *12. Njia nyepesi ya kujua juu ya uongofu. (2nd addition) *13. Manaqib ya Al habbib Sayyeid Al Ma`aruf. Vitabu ambavyo tunategemea kuvitoa muda si mrefu (Insha Allah) ni: *1. Waislamu na Sayansi - Ulu-m. (2nd addition) *2. Njia nyepesi ya kuijua nafsi yako. (2nd addition). *3. Mwinyi Baraka katika ulimwengu wa kiislamu ( 2nd. add). *4. Njia nyepesi ya kujua kitu juu ya Uongofu. *5. Some aspects of concepts of facility in medevial Islamic Philosophy by Mwinyibaraka. Kwa maulizo kuhusu vitabu wasiliana nasi: Majaalis El Ulaa-MwinyiBaraka-Uwesia- El Qadiriyya Sinza, P.o. Box 15170, Tel: Tel: Tel: Tel: Tel: Dar es salaam.

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii. . i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

Zanzibar itafutika-mwanasheria

Zanzibar itafutika-mwanasheria Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI

MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI 1 Mohamed Karama, 2 Rocha Chimerah, 3 Kineene wa Mutiso 1 Department of Kiswahili, Pwani University 2 Department

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Shukrani Ahadi hizi zilikusanywa

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU, HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database Ezra 3 Lessons Free PDF ebook Download: Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database of Ezra (Ezra 7:28; and repeatedly in Ezra 8-9).. (also

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 25 05.02.2006 0:37 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 6 (8 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

To Masjid Al-Aqsa (in Jerusalem) and the 7 heavens. Which prophet was sent to Ad?

To Masjid Al-Aqsa (in Jerusalem) and the 7 heavens. Which prophet was sent to Ad? Grade 6 What is Ihsaan? To worship Allah as if you can see Him, although you don t see Him and He sees you. What is the name of the place visited by 70, 000 Angels each day, never to return to it thereafter?

More information

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

AND REACTION IN SWAHILI POETRY. REVOLUTION AND REACTION IN SWAHILI POETRY. M. M. MULOKOZI** Swahili poetry is that poetry, written or oral, which has been or is being produced in the Swahili language by East Africans. Swahili poetry

More information

Was al-isrā wa al-mi rāj a bodily or spiritual journey?

Was al-isrā wa al-mi rāj a bodily or spiritual journey? Was al-isrā wa al-mi rāj a bodily or spiritual journey? The scholars of Islam classic and modern have long disputed the exact nature of the Prophet s journey to Jerusalem and the Heavens. Specifically,

More information

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell) Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update

More information

Student Workbook 3 - Tārikh. Lesson 2 Building the Ka bah

Student Workbook 3 - Tārikh. Lesson 2 Building the Ka bah Lesson 2 Building the Ka bah 32 KABAH IS MY QIBLA Qibla is the direction of the Ka bah in Makkah. Ka bah is the qibla of all Muslims. We can find the direction of qibla by using a compass or asking a reliable

More information

The Noble Qur an. Medium H/B 1098pp 8.95 Product code: 1.01A. P/B 1104pp 7.95 Product code: 1.01B. The Noble Qur an

The Noble Qur an. Medium H/B 1098pp 8.95 Product code: 1.01A. P/B 1104pp 7.95 Product code: 1.01B. The Noble Qur an The Qur aan Arabic text with corresponding English meanings. A new translation of the Qur aan brought out by Saheeh International. The two mains features that distinguish this translation are (i) the authenticity

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

MAWLANA OSMAN WALI ABD-U L-KARIM

MAWLANA OSMAN WALI ABD-U L-KARIM Tazkiratu l Awliya MAWLANA OSMAN WALI ABD-U L-KARIM (1309-1377 A.H, 1892-1958 C.E) (Please recite Rahmatullahi alayh / Rahmatullahi alayha, may Allah have mercy on him / her, after the names of the personalities

More information

Salih And Ibrahim (Stories Of The Prophets Of Islam) By Abdul Rahman Rukaini

Salih And Ibrahim (Stories Of The Prophets Of Islam) By Abdul Rahman Rukaini Salih And Ibrahim (Stories Of The Prophets Of Islam) By Abdul Rahman Rukaini If you are searched for a book Salih and Ibrahim (Stories of the Prophets of Islam) by Abdul Rahman Rukaini in pdf form, then

More information

5. Did Prophet Muhammad (S) come to the people Arabia only? No Allah (SWT) sent him to the entire humanity.

5. Did Prophet Muhammad (S) come to the people Arabia only? No Allah (SWT) sent him to the entire humanity. Grade-II Seerah Study Guide Lesson: 1 1. What do we say whenever we hear or read the name of Prophet Muhammad (S) Sall Allahu alaihi wa Sallam 2. What is the meaning of Sall Allahu alaihi wa Sallam? May

More information

FRIDAY SERMON. Dua ; The Mukmin s weapon. Ustaz Ellyeen Amineen bin Mohd Salleh Pegawai Hal Ehwal Islam Pusat Islam Universiti Teknologi Malaysia

FRIDAY SERMON. Dua ; The Mukmin s weapon. Ustaz Ellyeen Amineen bin Mohd Salleh Pegawai Hal Ehwal Islam Pusat Islam Universiti Teknologi Malaysia FRIDAY SERMON 18 Rabiul Awwal 1436H / 9 January 2015 Dua ; The Mukmin s weapon Ustaz Ellyeen Amineen bin Mohd Salleh Pegawai Hal Ehwal Islam Pusat Islam Universiti Teknologi Malaysia Allah says in surah

More information

11 / PROPHET MUHAMMAD S.A.W. AND THE UNITY OF UMMAH USTAZ IBRAHIM KHALIL BIN ABDULLAH

11 / PROPHET MUHAMMAD S.A.W. AND THE UNITY OF UMMAH USTAZ IBRAHIM KHALIL BIN ABDULLAH FRIDAY SERMON 11 Rabiul Awal 1436H / 2 January 2015 PROPHET MUHAMMAD S.A.W. AND THE UNITY OF UMMAH USTAZ IBRAHIM KHALIL BIN ABDULLAH Imam MASJID SULTAN ISMAIL UNIVERSITI TEKNOLOGI MALAYSIA Dear brothers,

More information

UNIVERSITY GRANTS COMMISSION NET BUREAU

UNIVERSITY GRANTS COMMISSION NET BUREAU UNIVERSITY GRANTS COMMISSION NET BUREAU NET SYLLABUS Subject: Arab Culture and Islamic Studies Code No.: 49 Unit I : (Emergence of Islam) and khilafat-e-rashidah 1. Socio-Religious conditions of pre-islamic

More information

Hadith Hadith Sciences

Hadith Hadith Sciences Hadith Hadith Sciences 1 / 6 2 / 6 3 / 6 Hadith Hadith Sciences Hadith Sciences - Quran & Hadith Compilation of Imam Ali's Words and the Classification of Nahj al- Balaghah. By: Muhammad Mahdi Mahrizi.

More information

IMAM ALI A.S. (Part 1) Power point realised by a Kaniz-e- Fatima Fi Sabilillah French version approved by Mulla Nissar Radjpar (Reunion Island)

IMAM ALI A.S. (Part 1) Power point realised by a Kaniz-e- Fatima Fi Sabilillah French version approved by Mulla Nissar Radjpar (Reunion Island) IMAM ALI A.S. (Part 1) Power point realised by a Kaniz-e- Fatima Fi Sabilillah French version approved by Mulla Nissar Radjpar (Reunion Island) Name Title Kuniyat Ali al-murtaza (The one with whom Allah

More information

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship? A is for Africa: Celebrating the A in A.M.E. Zion What is the A in A.M.E. Zion? 1 Where is Africa? 2 What is African heritage? 3 What is the African heritage in the Bible? 6 What are African ways of worship?

More information

knowledge devotion service

knowledge devotion service a n o v e r v i e w knowledge devotion service an overview al-maqasid 2 al-maqasid TABLE OF CONTENTS 04 introduction 07 vision 09 mission 10 programs 15 environment 16 location 3 18 teachers 23 prospective

More information

Past Paper Questions May/June 2009 to Oct/Nov 2016

Past Paper Questions May/June 2009 to Oct/Nov 2016 Past Paper Questions May/June 2009 to Oct/Nov 2016 Paper 1 Islamiyat GCE O LEVEL & IGCSE(0493) Compiled by Tahir Ali Babar The history and importance of the Qur an The life and importance of the Prophet

More information

Al-Huda Schools are proud to present the 15 th annual. Islamic Knowledge Contest Grade 2

Al-Huda Schools are proud to present the 15 th annual. Islamic Knowledge Contest Grade 2 Al-Huda Schools are proud to present the 15 th annual Date: Sunday March 25, 2018 Islamic Knowledge Contest 2018 Grade 2 Location: Each school in their own location. Contest Questions: A study guide will

More information

The Event of Mubahila

The Event of Mubahila The Event of Mubahila The Prophet s illustrious life was drawing to an end. Subsequent to the Farewell Hajj, in the presence of a significant crowd, Imam Ali, was declared the vicegerent of the Prophet,

More information

Islamic Shia Ithna-Asheri Association of Edmonton

Islamic Shia Ithna-Asheri Association of Edmonton Islamic Shia Ithna-Asheri Association of Edmonton 0 - Avenue, Edmonton, Alberta Canada TL - H Tel: (0) -0 Programme Information: (0) 1- URL : www.jammat.org Muħarram/Şafar January 0 Jan 1 Jan Imsãk : :

More information

Al-Huda Schools are proud to present the 15 th annual. Islamic Knowledge Contest Grade 1

Al-Huda Schools are proud to present the 15 th annual. Islamic Knowledge Contest Grade 1 Al-Huda Schools are proud to present the 15 th annual Date: Sunday March 25, 2018 Islamic Knowledge Contest 2018 Grade 1 Location: Each school in their own location. Contest Questions: A study guide will

More information

THE TRIALS OF DAJJAL

THE TRIALS OF DAJJAL FRIDAY SERMON 2 Jamadil Akhir 1437H / 11 March 2016 THE TRIALS OF DAJJAL Khatib : IMAM MUDA FAKHRUL HASSAN Allah says in Surah al-nisaa verse 59: Which means: O you who have believed, obey Allah and obey

More information

Sharh Arba'een an Nawawî COMMENTARY OF FORTY HADITHS OF AN NAWAWI By Dr. Jamal Ahmed Badi

Sharh Arba'een an Nawawî COMMENTARY OF FORTY HADITHS OF AN NAWAWI By Dr. Jamal Ahmed Badi Sharh Arba'een an Nawawî COMMENTARY OF FORTY HADITHS OF AN NAWAWI By Dr. Jamal Ahmed Badi http://fortyhadith.iiu.edu.my 2002 fortyhadith.com/ Commentaries on Imam Nawawi's Forty Hadith The collection of

More information