HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

Size: px
Start display at page:

Download "HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,"

Transcription

1 HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA KWA MABORESHO USULUHISHI MUAFAKA MUAROBAINI WA MLUNDIKANO WA KESI MAHAKAMANI MAHAKAMA KANDA YA TABORA NA USHUGHULIKIAJI WA NIDHAMU YA WATUMISHI MAWAKILI SASA WAFIKIA 6,536 MAHAKAMA KUU, WIZARA YA ARDHI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO

2 1. FEBRUARY 5 TH - 16 TH MARCH 2018 IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT DAR ES SALAAM COURT CALENDAR FOR THE YEAR 2018 DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM FEBRUARY 5 TH - 23 RD FEBRUARY 2018 MBEYA APPEALS AT MBEYA TABORA APPEALS AT TABORA DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM FEBRUARY 26 TH - 16 TH MARCH ARUSHA APPEALS AT ARUSHA DODOMA APPEALS AT DODOMA 2. MARCH 24 TH - 2 ND APRIL 2018 EASTER VACATION APRIL 9 TH - 4 TH MAY 2018 APRIL 9 TH - 20 TH APRIL 2018 APRIL 23 RD - 4 TH MAY MAY 21 ST - 1 ST JUNE 2018 MAY 21 ST - 1 ST JUNE JUNE 18 TH - 13 TH JULY 2018 JUNE 18 TH - 13 TH JULY AUGUST 13 TH - 31 ST AUGUST 2018 AUGUST 13 TH - 31 ST AUGUST SEPTEMBER 17 TH - 6 TH OCTOBER 2018 SEPTEMBER 17 TH - 6 TH OCTOBER OCTOBER 22 ND - 2 ND NOVEMBER 2018 OCTOBER 22 ND - 2 ND NOVEMBER NOVEMBER 19 TH - 14 TH DECEMBER 2018 NOVEMBER 19 TH - 14 TH DECEMBER 2018 DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM TANGA APPEALS AT TANGA MWANZA APPEALS AT MWANZA DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM IRINGA APPEALS AT IRINGA MTWARA APPEALS AT MTWARA DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM IRINGA APPEALS AT IRINGA MWANZA APPEALS AT MWANZA ARUSHA APPEALS AT ARUSHA DODOMA APPEALS AT DODOMA TABORA APPEALS AT TABORA DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM BUKOBA APPEALS AT BUKOBA TABORA APPEALS AT TABORA DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM ARUSHA APPEALS AT ARUSHA MWANZA APPEALS AT MWANZA DAR ES SALAAM APPEALS AT DAR ES SALAAM TANGA APPEALS AT TANGA ZANZIBAR APPEALS AT ZANZIBAR ARUSHA APPEALS AT ARUSHA MWANZA APPEALS AT MWANZA MBEYA APPEALS AT MBEYA 15 TH DECEMBER, ST JANUARY, X-MAS & NEW YEAR VACATION AT DARES SALAAM 26 TH SEPTEMBER, J.R. KAHYOZA REGISTRAR COURT OF APPEAL i HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

3 YALIYOMO Mwenyekiti: Bw. Nurdin Ndimbe Katibu: Bi. Mary Gwera Wajumbe: Mhe. Amir Msumi Mhe. Warsha Ng humbu Mhe. Mustapher Siyani Mhe. Beda Nyaki Bw. Samson Mashalla Bi. Lydia Churi Walengwa: Watumishi wa Mahakama, Wadau na Wananchi kwa ujumla. Sera ya Uhariri: Madhumuni ya Jarida hili ni kuhabarisha na kuelimisha Watumishi wa Mahakama ya Tanzania juu ya masuala mbalimbali. Jarida hili hutolewa na: Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano, Mahakama ya Tanzania, 26 Kivukoni Avenue/Ohio, S.L.P. 9004, Dar es Salaam Tanzania. Simu: , Nukushi: Barua-pepe: Blogu: tanzaniajudiciary.blogspot.com Tovuti: 01 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA 05 USULUHISHI MUAFAKA MUAROBAINI WA MLUNDIKANO WA KESI MAHAKAMANI 11 MAHAKAMA KUU TANGA YAANZISHA MFUMO WA UPATIKANAJI WA MAJALADA KIELEKTRONIKI 13 MAHAKAMA KUU, WIZARA YA ARDHI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO 15 ZOEZI LA UONDOSHAJI WA MLUNDIKANO WA MASHAURI MAHAKAMANI LAFANIKIWA BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA KWA MABORESHO MAHAKAMA KANDA YA TABORA NA USHUGHULIKIAJI WA NIDHAMU YA WATUMISHI MAWAKILI SASA WAFIKIA 6,536 KASI YA USIKILIZAJI MASHAURI: MAHAKAMA KUU KANDA YA ARUSHA YAMALIZA MASHAURI YALIYOSAJILIWA KATI YA JANUARI NA AGOSTI 2017 MIUNDOMBINU BORA YAONGEZA UFANISI KAZI- MAHAKAMA-KIBAHA HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017 ii

4 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA TANGAZO YAH: MAONI YA WANANCHI JUU YA MABORESHO YA UTOAJI HUDUMA WA MAHAKAMA YA TANZANIA 1. MAHAKAMA YA TANZANIA NI MIONGONI MWA TAASISI INAYOLALAMIKIWA NA WANANCHI HUSUSANI JUU YA UTARATIBU MZIMA WA UTOAJI HUDUMA ZAKE. 2. MAHAKAMA INAKUSANYA MAONI YA WANANCHI, MASHIRIKA YA SERIKALI NA YASIYO YA KISERIKALI, WADAU, MAKAMPUNI NA WATUMIAJI WENGINE WA HUDUMA ZA MAHAKAMA. 3. ILI KUFANIKISHA AZMA TAJWA HAPO JUU NA KUFUATIA MALALAMIKO HAYO, MAHAKAMA YA TANZANIA IMEKUWA KATIKA MABORESHO MBALIMBALI YA UTENDAJI KAZI LENGO LIKIWA NI KUBADILI TASWIRA YA MAHAKAMA KWA KUBORESHA HUDUMA ZAKE. 4. MABORESHO HAYO YANALENGA KATIKA KUIMARISHA HUDUMA YA UTOAJI HAKI NCHINI IKIWA NDIO KAZI KUU YA MHIMILI HUU MUHIMU. KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZAKE MAHAKAMA INAHITAJI USHIRIKIANO PAMOJA NA WADAU WAKE IKIWA NI PAMOJA NA WANANCHI AMBAO NDIO WATEJA WAKE WAKUU. 5. KWA MANTIKI HII, TUNATOA FURSA KWA WOTE NA KWA YEYOTE KUELEZA MAENEO MUHIMU AMBAYO YANAHITAJI KUBORESHWA ILI KULETA UFANISI KATIKA UTENDAJI KAZI WA MAHAKAMA. AIDHA, MAONI YANAWEZA KUTUMWA KWA UJUMBE MFUPI (SMS) KUPITIA NAMBA YA SIMU AU KWA BARUA PEPE: IMETOLEWA NA: MTENDAJI MKUU, MAHAKAMA YA TANZANIA iii HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

5 NENO TOKA KWA MHE. JAJI MKUU Jarida hili limeanzishwa rasmi na Mahakama kwa ajili ya kuwaelimisha wananchi juu ya masuala mbalimbali ya msingi kuhusu utoaji na upatikanaji wa haki, pamoja na kutangaza huduma mbali mbali zinazotolewa na Mahakama. Kwa toleo hili, Jarida litazungumzia zaidi namna Mahakama ya Tanzania inavyojipanga kimkakati kupeleka huduma bora za utoaji haki na kuzifikisha karibu zaidi na wananchi kwa haraka zaidi. Pamoja na ukweli kwamba Mihimili mingine ya Dola ina wajibu mkubwa wa kuiwezesha Mahakama kwa rasilimali watu, fedha na miundombinu, Mahakama yenyewe ina jukumu zito zaidi la kuhakikisha huduma za Mahakama zinawafikia wananchi kule walipo. Wakati alipozindua Mpango Mkakati wa Mahakama wa Miaka Mitano (2015/ /2020 mwezi Septemba 2016, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa alisisitiza umuhimu wa Mahakama kuwa na Mkakati wake alipotamka kuwa Mpango huo utasaidia uboreshaji wa huduma zinazotolewa na Mahakama katika ngazi zote nchini na kuzisogeza karibu na wananchi. Hii si tu kwamba ni muhimu kwa Mahakama, bali pia ni kwa faida kubwa kwa Serikali na Watanzania wote kwa ujumla. Utayarishwaji wa Mpango Mkakati wa Mahakama ulikuwa shirikishi, na ulizingatia MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU 17 (SDGs). Huduma za utoaji haki ni sehemu muhimu ya MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU NA. 16: vkuendeleza Jamii Jumuishi na yenye Amani kwa ajili ya Maendeleo endelevu, kutoa haki kwa wote na kujenga taasisi imara zenye kuwajibika katika nyanja zote. Ninayo heshima kubwa kuwasilisha Mpango huu wa kipindi cha miaka mitano (5) kuanzia 2015/ /2020; na pia kutambua juhudi kubwa za uongozi na watumishi wote wa Mahakama, wakiongozwa na Mtendaji Mkuu na Msajili Mkuu wa Mahakama katika maandalizi ya Mpango huu. Ninaamini kabisa Jarida la Mahakama litakuwa kiunganishi muhimu katika kutoa habari kwa wananchi na wadau wetu. Tunaweza kutumia jarida hili kupata mrejesho toka kwa wananchi na wadau wetu juu ya huduma zinazotolewa na Mahakama ya Tanzania. Naamini kuwa mabadiliko na Maboresho yanayofanyika katika mhimili huu wa Mahakama utaleta mabadiliko chanya na kuchangia katika ukuaji wa Tanzania ya viwanda. Kwa ujumla, lengo kuu la Mahakama kwa kipindi cha miaka mitano ijayo ni kuhakikisha kuwa azma ya utoaji huduma inayomlenga mwananchi inafanikiwa. Kufikiwa kwa azma hii kutahitaji mabadiliko ya kifikra, maadili, malengo ya kazi na uwajibikaji miongoni mwa watumishi wa Mahakama. Ni matumaini yangu kwamba watumishi wote wa Mahakama na wadau watashiriki kikamilifu katika utekelezaji wa mpango na hatimaye kufikia malengo tuliyojiwekea. Prof. Ibrahim Hamis Juma Jaji Mkuu HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017 iv

6 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Khamis Juma akizungumza na wahatimu na wageni waalikwa katika mahafali ya 17 ya chuo cha uongozi wa Mahakama Lushoto ambapo wahitimu 292 walitunukiwa Stashahada na Astashahada za Sheria. Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Khamis Juma amewataka wahitimu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kujiendeleza katika fani ya Sheria. Prof. Juma aliyasema hayo Novemba 17, 2017 mjini Lushoto katika mahafali ya 17 ya Chuo cha Uongozi wa Mahakama ambapo wahitimu 150 walitunukiwa Stashahada ya Sheria na wengine 142 walitunukiwa Astashahada ya Sheria. Alisema kwamba wahitimu hao na wasomi wengine wa Sheria nchini hawana budi kuzingatia kasi ya sasa ya maendeleo ya dunia na umuhimu wa elimu katika ulimwengu wa leo na kuongeza kuwa kutokana na hali hiyo ni lazima wajiendeleze zaidi katika fani hiyo. Ninawaasa popote pale mtakapokuwa someni na kujiendeleza na jifunzeni mambo mapya kila siku, karne hii ya 21 ni karne ya teknolojia na habari, ni karne inayowategemea wahitimu wanaojiendeleza na kujifunza kila siku, jiendelezeni hadi kufikia viwango vya juu kulingana na kushindana na yeyote yule duniani, kumbukeni kuwa ajifunzae haachi kujua, naomba mtambue kuwa kujifunza ni kuwekeza, alisisitiza Jaji Mkuu. Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto Jaji Dkt. Paul Kihwelo akizungumza kitu wakati wa mahafali ya 17 ya chuo hicho pembeni yake ni a na mgeni rasmi Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof Ibrahim Juma 1 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

7 Mhe. Jaji Mkuu pia amewaasa wahitimu hao kuwa watakapopata kazi wahakikishe wanafanya kazi kwa bidii, uaminifu na kwa wakati ili kulinda maslahi ya Taifa na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa Chuo. Aidha; kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. John Mrosso alisema kuwa ndani ya miaka miwili chuo kimepata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kujielekeza katika masuala ya utafiti na ushauri ambapo inao Wanataaluma 22 ambao wamejikita katika eneo hilo na kuwezesha wahitimu wa chuo hicho kupata ajira serikalini na kubuni vyanzo mbalimbali vya mapato ili kujiendesha. Nae Mkuu wa Chuo hicho Mhe. Jaji Dkt. Paul Kihwelo alisema kwa mwaka 2017 chuo hicho kimefanikiwa kutoa wanafunzi 26 waliopata daraja la kwanza hali ambayo imetokana na kujitoa kwa wahadhiri na kujituma kawa wanachuo hao na hivyo kukiletea sifa chuo. Alisema kama Uongozi wa Chuo umepanga kuimarisha kitengo cha mafunzo, kuimarisha vyanzo vya mapato, kujenga uwezo wa watumishi ili kuhakikisha kinatekeleza kwa vitendo dhamira ya kuanzishwa kwa chuo ya kuboresha utendaji kazi wa Mahakama kupitia mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama pamoja na wasaidizi wao na wadau wote wa Sekta ya Sheria nchini. Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto Jaji Mst. wa Mahakama ya Rufaa Mhe. John Mrosso akizungumza wakati wa Mahafali ya 17 ya Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto Baadhi ya Wahitimu wa Stashahada ya Sheria wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Jaji Mkuu wa Tanzania wakati wa mahafali ya 17 ya chuo hicho baada ya kutunukiwa Stashahada zao Baadhi ya Wahitimu wa Astashahada ya Sheria wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Jaji Mkuu wa Tanzania wakati wa mahafali ya 17 ya chuo hicho baada ya kutunukiwa Astashahada zao HAKIBulletin Oktoba - Desemba

8 BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA KWA MABORESHO Na Lydia Churi & Mary Gwera Ujumbe kutoka Benki ya Dunia umeipongeza Mahakama ya Tanzania kwa jitihada inazofanya katika utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2020) ambao utekelezaji wake ulianza Agosti, Hayo yalisemwa mapema Desemba 5, 2017 mara baada ya Ujumbe huo kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2010) wa Mahakama ya Tanzania iliyowasilishwa na Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mradi wa Maboresho ya Mahakama (JDU) Mhe. Zahra Maruma. Akizungumza mbele ya Wajumbe wa Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania, Mtaalamu Mwandamizi wa Maboresho ya Utumishi wa Umma kutoka Benki ya Dunia, Bw. Waleed Malik alisema jitihada zilizofanywa na Mahakama katika kuboresha huduma za Mahakama ni kubwa hivyo kuna haja ya kutoa taarifa kwa jamii ili ifahamu masuala mbalimbali yenye tija yanayoendelea kufanyika. Natoa pongezi kwa timu nzima ya Mahakama kwa jitihada za maboresho, hivyo basi maboresho haya hayana budi kutangazwa ili watu waweze kujua mambo mazuri yanayoendelea ya kuboresha huduma ya utoaji haki, alisema Bw. Malik. Awali akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2020) wa Mahakama ya Tanzania, Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mradi wa Maboresho ya Mahakama (JDU) Mhe. Zahra Maruma alitaja baadhi ya mafanikio ya Mradi ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa Madawati ya kushughulikia Malalamiko katika Mahakama zote nchini, usambazaji wa simu maalum kwa ajili ya kuwezesha wananchi kuwasilisha malalamiko ikiwa ni pamoja na rushwa, utovu wa nidhamu na kadhalika. Mhe. Maruma aliongeza kuwa kwa upande wa ushughulikiaji wa Malalamiko Mahakama imepiga hatua kwani kwa mwaka wa fedha 2016/2017 jumla ya malalamiko 2195 yaliyopokelewa 2068 yalishughulikiwa ipasavyo. Aidha kwa mwaka wa fedha 2017/2018 mpaka kufikia Septemba, jumla ya malalamiko 670 yamepokelewa na yaliyoshughulikiwa ni 797 ukijumlisha na yaliyokuwa yamesalia kwa mwaka 2016/2017, alibainisha Mhe. Maruma. Alisema jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika zote zikilenga katika kuhakikisha kuwa huduma bora ya upatikanaji wa haki kwa wananchi inafikiwa ambapo alisema pia kwa sasa wapo katika hatua za mwisho za ununuzi wa Magari Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia (WB) wakimsikiliza kwa makini, Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mradi wa Maboresho ya Mahakama, Mhe. Zahra Maruma (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2010) wa Mahakama ya Tanzania 3 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

9 maalum mobile courts kwa ajili ya kusikilizia kesi. Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga alisema kuwa katika utekelezaji wa Mradi huo unaofadhiliwa Benki ya Dunia, Watumishi wote wa Mahakama ya Tanzania wanachangia kwa namna moja au nyingine kuhakikisha kuwa maboresho yanapatikana. Kwa hatua kidogo tuliyopiga si kazi ya Watawala pekee bali ni jitihada ya kila Mtumishi wa Mahakama, hivyo tunafanya kazi kama timu ambapo jitihada ya kila mmoja wetu ni fanikio la kundi zima, alisema Bw. Kattanga. Ujumbe huo pia ulipata wasaa wa kutembelea Miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Mafunzo cha Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kilichojengwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ufadhili wa Benki ya Dunia (WB), Mradi wa Ujenzi wa Mahakama ya Mwanzo Kawe pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Kigamboni. Ujumbe wa Benki ya Dunia ulitembelea Mahakama ya Tanzania kwa takribani wiki mbili lengo likiwa ni kukagua utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2020) wa Mahakama. Wataalamu wa maeneo mbalimbali kutoka Benki ya Dunia walifika nchini Novemba, 2017 ili kukagua shughuli za utekelezaji wa Mradi wa Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mradi wa Maboresho ya Mahakama, Mhe. Zahra Maruma akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2010) wa Mahakama ya Tanzania Maboresho ya Huduma za Mahakama (Supporting implementation Mission), zoezi ambalo hufanywa na Taasisi hiyo mara mbili kwa mwaka kwa kila Mradi unaofadhilishwa na Taasisi hiyo. Aidha, Madhumuni ya kufanyika kwa zoezi hilo ni kutathmini Mradi, kutoa ushauri wa kitaalamu kwenye Mradi, kujadili changamoto na kuzipatia ufumbuzi changamoto hizo ili kuhakikisha Mradi unafanikiwa. Maeneo yaliyotumika katika kutathmini Mradi/ proposed Maeneo ya Mradi yaliyotathminiwa? Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Utekelezaji wa Mpango Mkakati wa miaka Mitano wa Mahakama ya Tanzania pamoja na Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama Mhe. Zahara Maruma anabainisha maeneo ambayo wataalamu kutoka Benki ya Dunia waliyaangalia walipokuwa wakifanya Tathmini ya Mradi kuwa ni Maandalizi ya uanzishwaji wa huduma ya Mahakama zinazotembea (Mobile Courts), Jinsi Mahakama ya Tanzania inavyoshirikiana na wadau wake katika utoaji wa huduma na hususan eneo la Haki Jinai, eneo la Mafunzo kwa watumishi wa Mahakama na maandalizi ya uanzishwaji wa Mahakama Mtandao. Katika eneo hili, wataalamu hao walikuwa wakiangalia ni kwa namna gani Mahakama inajiandaa katika kutoa huduma zake kwa njia ya Mtandao, je majengo hasa yale yanayojengwa na mahakama hivi sasa yamekidhi vigezo vya kutumia Mtandao. Kwa mujibu wa Mhe. Maruma, Benki ya Dunia iliridhishwa na Maandalizi hayo ya Mahakama Mtandao. Mhe. Maruma aliyataja maeneo mengine yaliyoangaliwa na Benki ya Dunia kufanya tathmini yake kuwa ni pamoja na Mfumo wa kushughulikia malalamiko ya wananchi yanayopokelewa kwenye Mahakama mbalimbali nchini kwa lengo la kujiridhisha ikiwa malalamiko hayo yamepungua, ni jinsia inayoleta zaidi malalamiko. Eneo jingine ni lile la kasi ya umalizaji wa mashauri kwenye mahakama mbalimbali nchini pamoja na namna Mahakama ya Tanzania inavyohabarisha Umma juu ya kazi kubwa inayofanyika ya Mtendaji Mkuu, Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga akichangia jambo katika kikao hicho Inaendelea Uk. 10 HAKIBulletin Oktoba - Desemba

10 USULUHISHI MUAFAKA MUAROBAINI WA MLUNDIKANO WA KESI MAHAKAMANI Na Mary Gwera, Mahakama MAWAKILI nchini wameshauriwa kukuza na kuendeleza Usuluhishi Mediation badala ya kung ang ania utaratibu wa kawaida wa Usikilizaji wa Mashauri hali inayowapotosha Wadaawa/Wananchi kwa kuona kuwa utaratibu huo haufai. Wito huo ulitolewa hivi karibuni katika mahojiano maalum na Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu-Kituo cha Usuluhishi muafaka Mediation Centre Mhe. Rose Teemba ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Mhe. Teemba alisisitiza kuwa Mawakili wanatakiwa kubadili mtazamo kuhamasisha wananchi kutambua umuhimu wa Usuluhishi kwani kuna faida nyingi chanya zinazotokana na Usuluhishi pindi unapofaulu. Mawakili kama sehemu ya Maafisa wa Mahakama, wanapaswa kukuza na kuendeleza Usuluhishi Mediation badala ya kung ang ania utaratibu wa kawaida wa usikilizaji wa Mashauri, aliongeza Mhe. Teemba. Akizungumzia kuhusu Faida za Usuluhishi, Mhe. Jaji Teemba alisema kuwa Usuluhishi ukifanikiwa ndio unakuwa mwisho wa shauri lenyewe. Jaji/Msuluhushi huandaa tuzo decree ambayo ina hadhi kama ile Jaji Mfawidhi - Mahakama Kuu, Kitengo cha Usuluhishi, Mhe. Rose Teemba inayotokana na utaratibu wa usikilizaji wa shauri la madai. Wadaawa hupewa nakala ya tunzo decree na huweza kufanya utekelezaji wa walichokubaliana kwa mujibu wa sheria. Aidha; Mhe. Jaji Teemba anabainisha juu ya faida nyingine za usuluhishi kuwa ni pamoja na kusaidia kupunguza mlundikano wa mashauri Mahakamani, vilevile husaidia kujenga mahusiano mazuri baina ya Wadaawa kwa kuwa Wadaawa hao wanakuwa wametengeneza hukumu yao wenyewe. Usuluhishi hupunguza gharama za uendeshaji wa Mashauri ya Madai na vilevile huokoa muda. Badala ya wadaawa kufika Mahakamani kila wakati na kwa muda mrefu kusikiliza kesi, Usuluhishi huchukua masaa au siku chache mpaka kufikia muafaka alifafanua Mhe. Jaji Teemba. Mhe. Teemba anasema Suala la Usuluhishi ni takwa la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 107A, inayoitaka Mahakama kukuza na kuendeleza usuluhishi baina ya Wadaawa katika usikilizwaji wa Mashauri ya Madai. Nini maana ya Usuluhishi? Usuluhishi ni hatua mojawapo katika mwenendo wa Mashauri ya madai ambapo wahusika katika kesi chini ya usaidizi wa usuluhishi (Jaji au Hakimu Msuluhishi) wanajadiliana kukubaliana, kuafikiana, kumaliza mgogoro wa shauri lao kwa namna wanavyoona inafaa bila ya kulazimika kuingia kwenye 5 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

11 uendeshaji wa shauri hilo la madai kwa kutoa ushahidi/ kuita mashahidi. Kwa lugha nyepesi unaweza pia ukaelezea Usuluhishi kuwa ni mchakato wa majadiliano ya kujaribu kumaliza mgogoro wa madai kwa maafikiano ya ridhaa ya kila Mdaawa. Katika kutekeleza matakwa ya Ibara ya 107A (2) (d) ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mahakama ya Tanzania iliona ni vyema kuanzisha kituo hiki maalum, na kwa kuanzia hushughulikia Mashauri yanayoanzia Mahakama Kuu-Kanda ya Dar es Salaam, ambayo ina mashauri mengi ya madai alisema Jaji huyo. Aidha utaratibu huo wa usuluhishi unafanyika katika Mahakama za ngazi mbalimbali kote nchini. Mhe. Jaji Teemba anaongeza kuwa Dar es Salaam ilichaguliwa kwanza kuwa na kituo maalum kutokana na kuwa na idadi kubwa ya mashauri; na kuongeza kuwa Kituo cha Usuluhishi Mediation centre kinashughulika na Usuluhishi wa Mashauri ya Madai yanayohusika na ambayo yapo tayari kwa usuluhishi. Kwa mujibu wa Jaji Mfawidhi huyo anasema kuwa zoezi la Usuluhishi linahusisha Wahusika wa shauri husika/ Wadaawa, Mawakili wao kama wapo, Jaji Msuluhishi ambapo mbinu mbalimbali hutumika kuhakikisha Wadaawa wanafikia muafaka settlement Mhe. Jaji Teemba anafafanua zaidi kuwa moja ya mbinu wanazotumia katika Usuluhishi ni pamoja na kuwaweka Wadaawa katika Vyumba maalum Break out Rooms kila upande peke yake kwa ajili ya tafakuri ya kina kuhusu majadiliano ili kufikia muafaka. Mhe. Jaji Mfawidhi anaongeza kuwa pindi Wadaawa wanapofikia muafaka, Wadaawa hao hupatiwa nakala ya Makubaliano waliyofikia wote kwa pamoja ambayo yanatiwa sahihi na pande zote za Mgogoro pamoja na Mawakili wao kama wapo na mwishoni inasainiwa na Jaji Msuluhishi. Baada ya Usuluhishi kukamilika na kufaulu, Wadaawa hupatiwa Hati/ tuzo inayoonyesha tarehe ya makubaliano, Mhuri wa Kituo cha Usuluhishi namba ya Shauri, majina ya Wadaawa na mambo yote waliyokubaliana. Hati hiyo itaonyesha maeneo yote ya maafikiano na utekelezaji wa makubaliano, alifafanua Mhe. Jaji Teemba. Kwa upande wake, Naibu Msajili, Mahakama Kuu-Kituo cha Usuluhishi, Mhe. Saidi Ding ohi alisema licha ya Kituo hiki kuanzishwa, suala la Usuluhishi pia hufanyika katika Mahakama ya Wilaya, Mahakama ya Hakimu Mkazi (RMs Court) pamoja na Mahakama Kuu, tofauti ni kwamba kwenye mahakama zingine hakuna jaji au hakimu mahususi anayeshughulika na usuluhishi pekee; Jaji au Hakimu msuluhishi anakuwa na mashauri mengine ya kusikiliza. Mhe. Saidi Ding ohi anasema kituo hiki nacho kina jukumu la kupambana na mlundikano wa Mashauri kwa kasi kama ilivyo katika Mahakama nyingine za ngazi mbalimbali. Mhe. Ding ohi anasema kuwa baada ya kikao cha Wahe. Majaji Wafawidhi kilichofanyika Arusha Septemba 16 na 17, 2017, na ambacho kilichoazimia, pamoja na mambo mengine, kusikiliza na kumaliza kesi zote za muda mrefu. Kituo Naibu Msajili, Mahakama Kuu-Kitengo cha Usuluhishi, Mhe. Saidi Ding ohi. HAKIBulletin Oktoba - Desemba

12 Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu-Kitengo cha Usuluhishi (aliyeketi mbele) akiwa katika moja ya mazungumzo ya usuluhishi baina ya Wadaawa pamoja na Mawakili wao hiki pia kilitekeleza agizo hilo na kuweka mikakati ya kushughulikia Mashauri yaliyowasilishwa kwa ajili ya Usuluhishi kwa haraka zaidi. Baada ya agizo hilo, Kitengo hiki pia kiliamua kufanya utaratibu wake wa ndani wa kuandaa vikao vya mfululizo kwa ajili ya kufanya usuluhishi na zoezi hilo lilianza rasmi Oktoba 9, 2017, alisema Bw. Saidi Ding ohi. Kwa mujibu wa Naibu Msajili huyo anasema, Usuluhishi ukifanyika mapema husaidia kutokwamisha hatua zingine za usikilizaji Mashauri, hasa mashauri ya mlundikano. Bw. Ding ohi anaongeza kuwa katika vikao hivyo jumla ya mashauri 34 yalipangwa kwa ajili ya kusuluhishwa. Lengo tulilo nalo ni kuhakikisha kuwa Mashauri yote 34 yaliyokuwepo yawe yamefanyiwa usuluhishi hadi kufikia Novemba 22 sambasamba na yale yatakayokuwa yanaingia; kipaumbele ikiwa ni mashauri ya mlundikano (back log), alisisitiza Bw. Ding ohi. Akizungumzia idadi ya Mashauri yaliyosuluhishwa mwaka huu, Naibu Msajili huyo alisema kuwa kwa mwaka huu mpaka kufikia Oktoba, 2017 jumla ya Mashauri 170 yalipokelewa kwa ajili ya usuluhishi ambapo kati ya hayo Mashauri 37 yalifaulu usuluhishi (successful mediation). Akizungumzia juu ya takwimu za Mashauri yaliyowasilishwa katika Kituo hicho toka kuanzishwa kwake Julai 2015 mpaka Oktoba 2017, Bw. Ding ohi anasema kuwa jumla ya Mashauri 504 yalipokelewa kutoka Mahakama Kuu- Kanda ya Dar es Salaam. Yaliyosuluhishwa kati ya hayo, ni jumla ya Mashauri 485 ambayo ni asilimia 96 ya mashauri yote yaliyopokelewa. Kati ya Mashauri 485 yaliyosuluhishwa, jumla ya mashauri 112 usuluhishi wake ulifaulu (successful mediation) ambayo ni sawa na asilimia 23 (23%). alifafanua Naibu Msajili. Aliongeza kuwa Mashauri yaliyofaulu kwa kiwango Fulani (partly successful) yalikuwa ni sita (6) kwa kipindi hicho hicho ambayo ni asilimia moja 7 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

13 (1%) na mashauri ambayo usuluhishi ulishindikana/ ulishindwa (failed mediation) yalikuwa 367 ambayo ni sawa na asilimia 76. Aidha; Bw. Ding ohi alisema kuwa Usuluhishi haufanikiwi kwa kiwango kikubwa kwa sababu kadhaa, ikiwemo Uelewa mdogo wa Wadaawa kuhusu umuhimu wa Usuluhishi. Mtazamo wa watu wengi ni wa kimazoea kwamba hukumu halali na bora ni ile inayotokana na usikilizaji wa kesi kwa njia ya kawaida. Kimsingi utaratibu wa usuluhishi ukihimizwa na kutumika vizuri unaweza kuwa ni muarobaini wa kumaliza tatizo la mlundikano wa kesi mahakamani. Mahakama kupitia mpango mkakati wake wa 2015/2016 hadi 2019/2020 imejipanga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutumia usuluhishi katika kumaliza migogoro kwa kesi za madai zinazoandikishwa Mahakamani alibainisha Mhe. Ding ohi. Akizungumza kwa undani kuhusu Kituo cha Usuluhishi, Bw. Ding ohi anasema kuwa Kituo hiki kilianzishwa Julai 1, 2015 na kilianzishwa ili kufanya shughuli zote za Usuluhishi katika Mashauri ya Madai. Lengo ni kwamba kuwe na jaji mahususi ambaye jukumu lake ni kuendesha usuluhishi pekee. Kituo hiki bado kinafanya Usuluhishi kwa Mashauri yanayoanzia mahakama kuu kanda ya Dar es salaam pekee. Hata hivyo ufanisi wa kituo hiki unaweza kupelekea kusambaa huduma za kituo kwa Mahakama Kuu nchi nzima, ingawa usuluhishi unaendelea kufanyika katika Mahakama zetu zote, alisema Naibu Msajili huyo. Naye Bi. Nancy Mosha, Wakili wa kujitegemea, anasema kuwa Usuluhishi ni muhimu katika mustakabali mzima wa kuhakikisha kupungua kwa mlundikano wa Mashauri Mahakamani na vilevile husaidia kupunguza muda kwa upande wa Mahakama na pande wa Wadaawa pia. Suala la Usuluhishi (Mediation) ni kitu kizuri kwa sababu unafanyika kirafiki na maridhiano yanayofikiwa yanakubalika na pande zote mbili bila kinyongo chochote, alisema Bi. Mosha. Bi. Mosha aliendelea kusema kuwa Usuluhishi ni njia sahihi ya kumaliza migogoro baina ya Wadaawa, hivyo kuna haja ya kuendelea kutoa elimu kwa umma ili watambue faida za Usuluhishi (Mediation). Kwa upande wa Wadaawa waliosuluhishwa katika Kituo cha Usuluhishi (Mediation centre), Bw. Mohamed Hamis Mtulia na Bw. Charles Mallya wanasema kuwa utarati bu wa maridhiano ni mzuri na uboreshwe na kuongeza kuwa jukumu la kufikia maridhiano ni la pande zote mbili. Binafsi nasema kwamba chombo hiki ni kizuri kwani maamuzi yanafikiwa kwa maridhiano ya pamoja hivyo ni muhimu kuheshimu chombo cha Usuluhishi, tusiogope maridhiano, alieleza Bw. Mtulia. Naye Bw. Charles Mallya, Mdaawa Mwenza wa Bw. Mtulia, Bw. Charles Mallya anasema kuwa usuluhishi unasaidia kupunguza muda wa kwenda Mahakamani kufuatilia kesi hivyo kuna haja ya kuelimisha umma juu ya Kitengo hiki ili wananchi waweze kukitumia. Wadaa wa wakipeana mikono huku wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufikia muafaka baina yao baada ya mazungumzo ya usuluhishi yaliyoongozwa na Jaji Msuluhishi kuzaa matunda HAKIBulletin Oktoba - Desemba

14 MAHAKAMA KANDA YA TABORA NA USHUGHULIKIAJI WA NIDHAMU YA WATUMISHI Na Mary Gwera, Tabora Mahakama-Kanda ya Tabora imeunda Kamati za ndani za Maadili kwa kila ngazi ya Mahakama katika Kanda hiyo kushughulikia maadili na nidhamu ya Watumishi wa Mahakama. Hayo yalisemwa na Mtendaji, Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora, Bw. Sumera Manoti jana katika mahojiano maalum na Mwandishi wa habari hii ambapo alisema kuwa hii imetokana na maelekezo/ maazimio yaliyotolewa katika kikao cha Wasajili/Watendaji kilichofanyika mkoani Dodoma Julai, Kamati hizi za nidhamu ambazo zipo katika kila ngazi ya Mahakama katika mkoa huu ziliundwa tangu mwaka jana na zimesaidia kurejesha maadili kwa Watumishi wa Kanda hii kwa kiwango kikubwa, alisema Bw. Manoti. Alisema kuwa Kamati hizi za Maadili ndani ya Mahakama, zinaundwa na baadhi ya Watumishi wa ndani ya Mahakama ambayo ni Mhe. Jaji Mfawidhi, Naibu Msajili, Mtendaji, na baadhi ya Wakuu wengine wa vitengo ambao hukaa katika vikao na kujadili na kuwahoji Watumishi ambao wameonaka kuonesha utovu wa nidhamu. Bw. Manoti anasema kuwa endapo mtumishi atabainika kuwa amekiuka taratibu za kazi mfano kwa kutowahudumia wateja vizuri kwa kutoa lugha chafu na kadhalika, Mtumishi huyo huketishwa mbele ya Kamati na kujieleza na hatimaye kuwajibishwa aidha kwa kupewa onyo au vinginevyo. Anaongeza kuwa Suala la Maadili na nidhamu nzuri ya kazi katika Ofisi yoyote hupelekea utoaji wa huduma bora na nzuri kwa wananchi/ wanufaika wa huduma husika. Mtendaji, Mahakama Kuu-Kanda ya Tabora, Bw. Sumera Manoti akifafanua jambo Kwa upande wake Afisa Malalamiko wa Mahakama Kuu-Tabora, Bi. Aisha Abdallah anasema kuwa idadi ya malalamiko imekuwa ikipungua mwaka hadi mwaka, anasema kuwa kwa mwaka huu jumla ya malalamiko 31 kutoka katika ngazi zote za Mahakama katika mkoa huo yalipokelewa. Kabla ya kuanzishwa kwa Dawati la Malalamiko katika Mahakama hii kulikuwa na malalamiko mengi na hakukuwa na mfumo unaoeleweka wa upokeaji na ushughulikiaji malalamiko, lakini kwa sasa dawati hili limesaidia na malalamiko yote 31 tuliyoyapokea yamefanyiwa kazi yote, alisema. Bi. Aisha. Kutokana na malalamiko yaliyokuwa yakitolewa na wananchi wanaotafuta huduma ya haki nchini, Mahakama ya Tanzania kupitia Muundo wake katika Sheria Namba. 4 ya Uendeshaji wa Mahakama ya mwaka 2011 (Judiciary Administration Act.No.4,2011) ilianzisha Kurugenzi ya Usimamizi wa Ukaguzi wa Huduma za Kimahakama, Maadili na Malalamiko lengo likiwa ni kushughulikia malalamiko hayo kwa mujibu wa taratibu na miongozo iliowekwa, kila Mahakama ina Dawati maalum la kushughulikia malalamiko yanayotolewa na wananchi. 9 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

15 Inatoka Uk. 04 Maboresho ya Huduma zake. Mafanikio katika Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama/ proposed Mafanikio ushughulikiaji wa malalamiko ya wananchi kwa Mahakama? Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2020) wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Maruma aliyataja mafanikio ya Mradi huo kuwa ni kuanzishwa kwa Madawati ya Malalamiko katika Mahakama zote nchini, na kusambazwa kwa simu maalum kwa ajili ya kuwezesha wananchi kuwasilisha malalamiko yao. Alisema katika mwaka wa fedha wa 2016/2017, Mahakama ya Tanzania ilipokea malalamiko 2195 na kati ya hayo, malalamiko 2068 yalishughulikiwa. Katika mwaka wa fedha wa 2017/2018 hadi kufikia Septemba, 2017 jumla ya malalamiko 670 yalipokewa na kati ya hayo 797 yalishughulikiwa. Idadi ya malalamiko yaliyoshughulikiwa inajumlisha na malalamiko yalikuwa yamebaki mwaka 2016/ 2017 ambayo hayakushughulikiwa. Changamoto katika Utekelezaji wa Mradi Pamoja na mafanikio yaliyopatikana, Utekelezaji wa Mradi pia unakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na upungufu wa Wataalamu hasa katika maeneo ya maandalizi ya uanzishwaji wa Mahakama Mtandao, Mafunzo pamoja na eneo la Mawasiliano. Kwa mujibu wa Mhe. Maruma hivi sasa kitengo chake kinafanya jitihada ili kuhakikisha kinaongeza wataalamu kwenye maeneo hayo. Alisema changamoto ya upungufu wa Wataalamu kwenye eneo la manunuzi tayari imepatiwa ufumbuzi kwa kuwa hivi sasa wameshaongeza wataalamu kwenye eneo hilo ili kuendana na kasi ya utekelezaji wa Mradi. Kwa upande wa mafunzo, Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama alisema hivi sasa wameanza kutatua changamoto hiyo kwa kuanzisha kituo cha Mafunzo kwa ajili ya Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kilichojengwa katika eneo la Mahakama ya Kisutu jijini Dar es salaam kwa ushirikiano kati ya Mahakama na Benki ya Dunia. Hata hivyo, Mahakama inaendelea Mpango wa mafunzo kwa watumishi wake wa kada mbalimbali ili kuboresha huduma zake. Ujumbe kutoka Benki ya Dunia (WB) pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti wakiwa ndani ya Jengo jipya la Kituo cha Mafunzo cha Chuo cha Uongozi wa Mahakama -Lushoto lililopo Kisutu jijini Dar es Salaam Baadhi ya Wageni kutoka Benki ya Dunia (WB) wawili walioketi upande wa kulia pamoja baadhi Wajumbe wa Menejimenti ya Mahakama wakimsikiliza Mtendaji Mkuu, Mahakama (hayupo pichani) pindi alipokuwa akichangia juu ya Taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Maboresho ya Huduma za Mahakama pamoja na Mpango Mkakati wa miaka mitano (2015/ /2010) wa Mahakama ya Tanzania Wageni kutoka Benki ya Dunia na Baadhi ya Wajumbe wa Menejiment ya Mahakama ya Tanzania wakiwa mbele ya jengo jipya la Mahakama ya Wilaya Kigamboni mara baada ya ukaguzi HAKIBulletin Oktoba - Desemba

16 MAHAKAMA KUU TANGA YAANZISHA MFUMO WA UPATIKANAJI WA MAJALADA KIELEKTRONIKI Mtendaji, Mahakama Kuu-Kanda ya Tabora, Bw. Sumera Manoti akifafanua jambo Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tanga imefanikiwa kuanzisha mfumo wa kielectroniki utakaorahisisha upatikanaji wa majalada mbalimbali ya mashauri yaliyohifadhiwa. Mfumo huu utasaidia kuboresha huduma zinazotolewa na Mahakama hiyo hasa pale wateja wanapofika na kuhitaji taarifa mbalimbali zinazohusu kesi zao kama vile nakala za hukumu. Kupitia Mfumo huu hivi sasa wateja wanapata nakala za hukumu kwa wakati. Katika kufanikisha zoezi hili, Mahakama Kuu Kanda ya Tanga iliandaa kikosi kazi maalumu na kuwapatia mafunzo kupitia Afisa Tehama wa Kanda hiyo Bi.Amina Ahamad ambao baada ya mafunzo hayo walisajili majalada kwenye mfumo huo mpya wa kielektroniki. Tayari zoezi hilo la kusajili majalada limekamilika kwa Mahakama Kuu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga. Hivi sasa kikosi maalum cha kutoa mafunzo kinaendelea kutoa mafunzo katika wilaya zote za mkoa huo ili kuhakikisha wilaya zote za wilaya zinaanza kutumia mfumo huo. Wakati huo huo, Naibu Msajili wa Kanda hiyo Mhe. Adrian Kilimi amesema kanda yake imejipanga kutokuwa na mlundikano wa mashauri. Alisema hivi sasa Mahakama Kuu kanda ya Tanga haina mashauri ambayo ni ya mlundikano. Katika kuhakikisha hakuna mashauri ya mlundikano, Naibu Msajili huyo ameeleza kuwa kila mwezi wamekuwa wakiainisha mashauri yote kwa kuonyesha muda uliobaki kufikia mlundikano na hii inakuwa ni alama ya ukumbusho kwa Wadau wote katika kanda kufanya kwa kushirikiana ili kuyamaliza kwa wakati. Naibu Msajili wa Mahakama Kuu-Kanda ya Tanga, Mhe. Adrian Kilimi (aliyesimama katikati) akimuelezea Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Tanga Mhe. Iman Aboud (kulia) jinsi kikosi kazi kilivyofanikisha kusajili majalada kwenye mfumo wa kielekitroniki wa utunzaji wa kumbukumbu za majalada hayo.. Kushoto ni Afisa Tehema Bi Amina Ahmad Baadhi ya watumishi walioshiriki kwenye zoezi la usajili wa majalada kwa Mfumo wa Kielektroniki wakipanga makasha yenye Majalada 11 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

17 MAWAKILI SASA WAFIKIA 6,536 Na Lydia Churi, Mahakama Meza kuu pamoja na baadhi ya Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani (T) na Mahakama Kuu ya Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawakili wapya Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka Mawakili nchini kutokuwa sehemu ya rushwa na badala yake waisaidie Mahakama ya Tanzania katika kupambana na rushwa kwa kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia Maadili ya taaluma hiyo. Akizungumza wakati wa sherehe za 57 za kuwakubali na kuwaapisha Mawakili wapya zilizofanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, Desemba 15, 2017, Jaji Mkuu amewataka Mawakili kutokutumia vifungu vya sheria na kanuni ili kuchelewesha upatikanaji wa haki kwa kuwa suala la upatikanaji wa haki hutegemea Mawakili. Katika karne hii ya 21 ni muhimu kwa Mawakili kufanya kazi kwa bidii kwa kuwa huduma za karne hii huvuka mipaka ya nchi, alisema Jaji Mkuu. Prof. Juma pia amewashauri Mawakili kusoma na kuzifahamu sheria za kimataifa ili wawe na upeo mkubwa katika kushughulikia kesi hasa zile zinazohusisha nchi zaidi ya moja. Baadhi ya kesi hizo ni zile zinazohusu mipaka ya nchi, makosa ya kimtandao (cyber Crimes) pamoja na zile zinazohusu Maliasili. Aidha, Mhe. Jaji Mkuu aliyataja baadhi ya makosa ambayo yamekuwa yakifanywa na baadhi ya Mawakili na wananchi kuwashitaki kuwa ni kutoa siri za wateja, kughushi nyaraka, kutayarisha mikataba zaidi ya moja kwa lengo la kudanganya, Wakili kuchukua kesi bila ya ruhusa ya mteja, kuwaibia wateja kwa kuwatoza fedha nyingi, kuwadanganya, kuchukua kesi yenye maslahi binafsi pamoja na uzembe. Prof. Juma pia amewashauri Mawakili wapya kuhakikisha wanashirikiana na taaluma nyingine wanapofanya kazi zao ilikurahisisha na kuharakisha upatikanaji wa haki kwa wateja wao. Naye Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju amewataka Mawakili wapya kutosubiri kuajiriwa na Serikali na badala yake wajiajiri na kutoa huduma mikoani na siyo Dar es Salaam peke yake. Naye Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Godwin Ngwilimi amewataka Mawakili nchini kutekeleza wajibu wao kwa kufuata misingi ya haki na kujiepusha na vitendo vya rushwa. Jumla ya Mawakili wapya 296 walikubaliwa na kuapishwa Desemba 15, 2017 na kufanya idadi ya Mawakili nchini kufikia 6,536. Aidha, sherehe za kuapishwa na kukubaliwa kwa Mawakili zimefanyika kwa mara ya 57 tangu kuanzishwa kwa utaratibu huo mwaka HAKIBulletin Oktoba - Desemba

18 MAHAKAMA KUU, WIZARA YA ARDHI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO Na Lydia Churi Mahakama Kuu ya Tanzania pamoja na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi zimesaini Hati ya Makubaliano (Memorundum of Understanding) yatakayowezesha upatikanaji wa nyaraka kwa haraka kutoka kwenye Mabaraza ya Ardhi. Hati hiyo ya Makubaliano ilisainiwa na pande zote mbili ambapo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika alisaini kwa niaba ya wizara yake na Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Ilvin Mugeta alisaini kwa niaba ya Mahakama Kuu ya Tanzania. Kusainiwa kwa hati hiyo ya Makubaliano kutaiwezesha Mahakama Kuu ya Tanzania kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa nyaraka kutoka kwenye Mabaraza ya Ardhi nchini. Kutokana na kuwepo kwa Aliyekuwa Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Ilvin Mugeta (kushoto) akisaini Hati ya Makubaliano kati ya Mahakama Kuu ya Tanzania na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo jijini Dar es salaam. Hati hiyo itawezesha upatikanaji wa haraka wa nyaraka kutoka kwenye Mabaraza ya Ardhi. Anayeshuhudia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika. changamoto hiyo ya muda mrefu ya upatikanaji wanyaraka zinazohitajika katika shughuli za Mahakama, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Mahakama Kuu ya Tanzania walifanya vikao vya mashauriano mwezi Machi na April ili kutatua tatizo hilo. Aidha, Hati hiyo ya Makubaliano imeainisha maeneo ya ushirikiano kati ya Mahakama ya Tanzania pamoja na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi kuwa ni kujengeana uwezo pamoja na vitendea kazi. Aliyekuwa Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Ilvin Mugeta (kushoto) akipokea Hati ya Makubaliano kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika 13 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

19 KASI YA USIKILIZAJI MASHAURI: MAHAKAMA KUU KANDA YA ARUSHA YAMALIZA MASHAURI YALIYOSAJILIWA KATI YA JANUARI NA AGOSTI 2017 Na Lydia Churi-Mahakama, Arusha Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imefanikiwa kusikiliza na kumaliza kwa zaidi ya asilimia tisini mashauri yaliyofunguliwa katika kipindi cha mwezi Januari hadi Agosti mwaka Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Naibu Msajili wa Mahakama Kuu kanda ya Arusha Mhe. Angelo Rumisha, jumla ya mashauri 737 kati ya 805 yaliyosajiliwa kuanzia mwezi Januari hadi Agosti 2017, yamemalizika. Alisema haya ni mafanikio ya kuridhisha kwa Mahakama Kuu kanda ya Arusha ambapo kila Mhe. Jaji amesikiliza na kumaliza wastani wa mashauri 245. Hivi sasa, Mahakama Kuu kanda ya Arusha ina jumla ya Waheshimiwa Majaji watatu. Katika kuhakikisha inaondokana na mlundikano wa mashauri kwenye Mahakama mbalimbali nchini, Mahakama ya Tanzania ilipanga idadi ya mashauri yatakayosikilizwa na Majaji na Mahakimu. Kwa mujibu wa mpango huo, kila Jaji anatakiwa kumaliza mashauri yasiyopungua 220 kwa mwaka na hakimu Mashauri 250. Akifafanua takwimu za mashauri, Naibu Msajili alisema hadi kufikia Agosti 31, mwaka huu, Mahakama hiyo imebakiwa na mashauri 809 ambapo kati ya mashauri hayo, 788 yana umri wa kati ya miaka 1-2, mashauri 17 yana umri kati ya miaka 3-5, mashauri 2 yana umri kati Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Arusha Mhe. Sekela Moshi ya miaka 5-10 na mashauri mengine 2 yana umri wa zaidi ya miaka 10. Alisema mashauri yote yenye miaka 10 na zaidi ni yale yaliyorudishwa kutoka Mahakama ya Rufani baada ya kikao cha Majaji Wafawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kilichofanyika April mwaka huu. Akizungumzia Mahakama za Hakimu Mkazi na za Wilaya kwa Mikoa ya Arusha na Manyara, Mhe. Rumisha alisema jumla ya mashauri 223 yana umri zaidi ya miezi 12, kati ya mashauri hayo, ni mashauri mawili tu ndiyo ambayo Mahakama zina mamlaka nayo ikiwa ni sawa na asilimia 1.3 ya mashauri yote yenye umri zaidi ya miezi 12 hivyo mashauri mengi ya mlundikano ni yale ambayo Mahakama hazina mamlaka nayo. Wakati huo huo, Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Arusha Mhe. Sekela Moshi amesema hivi sasa kanda yake imeanza kutekeleza Mikakati iliyojipangia ya kuondoa mashauri yote yenye muda mrefu Mahakamani. Akiitaja mikakati hiyo, Kaimu Jaji Mfawidhi alisema tangu Oktoba 2 mwaka huu, kanda ya Arusha imekuwa ikifanya vikao vya kumaliza mashauri ya zamani ya madai ambapo mpango huo unatarajiwa kukamilika Oktoba 13, Alisema baada ya kukamilika kwa mkakati huo, kanda yake itaanza mkakati mwingine uliopangwa na Mahakama ya Tanzania wa kumaliza mashauri ya zamani chini ya mradi wa Benki ya Dunia unaotarajiwa kuanza Oktoba 16 na 17 mwaka huu. Alisema Kanda ya Arusha ina mashauri machache ya zamani hivyo inatarajiwa ifikapo Novemba 14, 2017 mashauri yote ya muda mrefu yatakuwa yamemalizika. HAKIBulletin Oktoba - Desemba

20 ZOEZI LA UONDOSHAJI WA MLUNDIKANO WA MASHAURI MAHAKAMANI LAFANIKIWA Na Mary Gwera, Mahakama Kwa kipindi kirefu sasa Mahakama ya Tanzania imekuwa katika jitihada za kuhakikisha kuwa, ngazi zote za Mahakama nchini zinaondokana na mlundikano wa mashauri ya muda mrefu. Jitihada hizi hazifanyiki kwa maneno la hasha, isipokuwa kwa vitendo, na hii inajidhihirisha katika utekelezaji wa Mikakati mbalimbali inayowekwa katika Vikao vya Kitendaji. Miongoni mwa maazimio katika kikao cha Wahe. Majaji Wafawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kilichofanyika Arusha kuanzia Septemba 16 ni kuanza kwa awamu nyingine zoezi maalum la kusikiliza na kumaliza kesi zote za muda mrefu Mahakamani kufikia Desemba 15, Kufuatia azimio hilo, Waheshimiwa Majaji wa Mahakama Kuu, Mahakimu katika ngazi zote cha Mahakama nchini walianza utekelezaji mara moja kama agizo lilivyotolewa na Mkuu wa Mhimili. Kwa mujibu wa Msajili, Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Ilvin Mugeta anasema kuwa hadi kufikia Septemba, 2017 Mahakama Kuu ilikuwa na jumla ya kesi za Mlundikano 2,453 (kesi zilizokaa Mahakamani kuanzia miaka miwili (2) na kuendelea) huku akifafanua kuwa kati ya kesi hizo, 739 zilikuwa ni za Jinai, 681 za Madai na 1033 zikiwa ni kesi za Ardhi. Mhe. Mugeta anasema kuwa zoezi la uondoshaji Mashauri kwa upande wa Mahakama Kuu lilianza kuanzia Oktoba 16 hadi Novemba 17 ambapo jumla ya Mashauri 1,328 yalipangwa kusikilizwa na kati ya hayo 415 yakiwa ni Mashauri ya Jinai, sita (6) yalikuwa ni ya Madai na 907 ni mashauri yahusuyo mogogoro ya ardhi. Zoezi hilo limekuwa na mafanikio makubwa ambapo jumla ya mashauri 1096 kati ya 1,328 yaliyopangwa kusikilizwa katika zoezi hilo maalum, yaliamuliwa na kumalizika. Mashauri hayo yaliyomalizika ni wastani wa asilimia ya mashauri yaliyopangwa kusikilizwa, alifafanua Msajili huyo. Aidha kati ya Mashauri hayo yaliopangwa kusikilizwa jumla ya mashauri 232 yalibaki sawa na asilimia 19 (19%). Mashauri haya yalikwama kukamilika kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutofika kwa baadhi ya Mashahidi licha ya kufanya vikao vya pamoja na Wadau kabla ya kuanza rasmi kwa vikao hivyo vya kusikiliza Mashauri ya muda mrefu. Uchache wa Majaji pia ulichangia kutomalizika kwa mashauri yote kama ilivyopangwa. Kanda za Mahakama Kuu zilizoshiriki katika zoezi hilo ni pamoja na Mahakama Kuu-Kanda ya Dar es Salaam, Mahakama Kuu-Kanda ya Arusha, Mahakama Kuu-Kanda ya Dodoma, Mahakama Kuu-Kanda ya Bukoba, 15 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

21 Mahakama Kuu-Kanda ya Iringa, Mahakama Kuu- Kanda ya Mbeya. Nyingine ni Mahakama Kuu, Kanda ya Mwanza, Mahakama Kuu-Kanda ya Mwanza, Mahakama Kuu- Kanda ya Shinyanga na Mahakama Kuu-Divisheni ya Kazi, Mahakama Kuu-Kanda ya Moshi, Mahakama Kuu-Kanda ya Mtwara. Mbali na Mahakama Kuu, zoezi la kuondoa mlundikano lilihusisha pia Mahakama za Chini: Mahakama za Hakimu Mkazi na Mahakama za Wilaya isipokuwa kwa Mahakama za Mwanzo ambazo hazina kesi za mlundikano. Mhe. Mugeta anaongeza kusema kuwa jumla ya Mahakama 34 za Hakimu Mkazi na Wilaya zilihusika na zoezi hilo miongoni mwa Mahakama hizo ni pamoja na; Mahakama ya Hakimu Mkazi-Arusha, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mahakama ya Hakimu Mkazi- Kinondoni, Mahakama ya Hakimu Mkazi-Dodoma, Mahakama ya Hakimu Mkazi-Iringa, Mahakama ya Mkazi Manyara n.k Kwa upande wa Mahakama za Wilaya ni Karatu, Biharamulo, Ilala, Kilombero, Manyoni, Mufindi, Hai, Misungwi, Magu, Sengerema, Chato, Bunda, Tarime, Bariadi, Maswa, Nkasi, Korogwe, Pangani na Muheza. Mhe. Mugeta anaongeza kuwa katika ngazi hizi za Mahakama kulikuwa na jumla ya kesi za Mlundikano 2,151, Kesi za Madai zikiwa 556 na za Jinai 1595 huku akifafanua kuwa kati ya Kesi hizo za Mlundikano, jumla ya kesi 1,750 (idadi ambayo imejumuisha na kesi ambazo zilikaribia kuwa mlundikano) ziliingizwa katika zoezi maalum la uondoshaji wa mlundikano wa mashauri lililoanza rasmi Novemba 16, 2017 na kumalizika Desemba, 20, 2017 isipokuwa kwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Tanga ambapo zoezi lilichelewa kidogo kuanza.. Jumla ya Mahakimu 117 walishiriki katika zoezi hilo la uondoshaji wa kesi za mlundikano, na kati ya kesi 1750 zilizopangwa kusikilizwa, jumla ya kesi 1219 zilisikilizwa na kuamuliwa sawa na asilimia 70 (70%), alisema Mhe. Mugeta. Baadhi ya Mahakama zilizosikiliza na kumaliza Mashauri yote yaliopangwa katika zoezi hilo ni pamoja Mahakama ya Hakimu Mkazi- Manyara, Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma Mahakama ya Wilaya Biharamulo, Mahakama ya Wilaya Manyoni, Mahakama ya Wilaya- Mufindi, Mahakama ya Wilaya-Hai, Mahakama ya Wilaya Sengerema, Mahakama ya Wilaya- Maswa na Mahakama ya Wilaya Pangani. Hata hivyo; kwa mujibu wa Mhe. Mugeta anasema kuwa Mashauri yote yaliobaki katika zoezi zima la Uondoshaji Mashauri ya Mlundikano lililokamilika, Desemba 15, 2017 yataendelea kusikilizwa kwa utaratibu wa kawaida hadi zoezi lingine litakapopangwa tena. Nimeridhika na zoezi lililofanyika na mafanikio yaliyopatikana, ni matarajio yangu kwamba katika zoezi litakalopangwa mashauri yaliyobakia na yale ambayo hayakupangwa katika zoezi lililomalizika, yatasikilizwa na kumalizika katika zoezi litakalofuatia ambalo tumepanga, lifanyike kuanzia mwezi Machi, 2018 alibainisha Msajili. Zoezi la kusikiliza na kuondoa mlundikano wa Mashauri Mahakamani ni zoezi endelevu ambalo lengo lake ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapata haki zao kwa wakati na hatimaye waweze kuendelea na shughuli zao za kuliletea Taifa maendeleo. HAKIBulletin Oktoba - Desemba

22 MIUNDOMBINU BORA YAONGEZA UFANISI KAZI Na Magreth Kinabo - Mahakama, Kibaha Kaimu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Sophia Massati, akizungumzia hali ya usikilizaji wa mashaurri katika Mahakama hiyo Mahakama ya Hakimu Mkazi Pwani na Mahakama ya Wilaya ya Kibaha zimefanikiwa kusikiliza kesi kwa wakati kwa asilimia 90,ikiwa na moja ya mkakati wa utoaji huduma Mahakama ya Tanzania. Hayo yamesemwa na Kaimu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Sophia Massati, wakati akizungumzia hali ya usikilizaji wa mashauri katika Mahakama hiyo. Uboreshaji wa miundombinu na kuwepo kwa vitendea kazi kumechangia kuboresha hali ya utendaji kazi katika Mahakama hii, kwa sasa hatuna mlundikano wa kesi na watumishi wana ari ya kufanya kazi. Mfano nakala za hukumu zinatolewa siku hiyo hiyo, iliyomwa hukumu husika badala ya kusubiri mwezi kama iliyokuwa siku za zilizopita, alisema Massati. Alisema katika kipindi cha mwaka jana walipokea mashauri ya madai 32, wakati yaliyobaki zobaki mwaka 2016 ni 23 na yaliosikilizwa ni 42. Mhe Massati alifafanua kwamba mashauri ya jinai yaliyobaki mwaka 2016 yalikuwa 50,wakati mashauri ya jinai yaliyopokelewa mwaka 2017 ni 414. Kesi hizo za jinai, zimesikilizwa 337 na kubakia 127, hivyo jumla ya kesi zote zilizobakia hadi Desemba mwaka jana ni 140. Miongoni mwa kesi hizo zilizobaki 55 mahakama hiyo, haina mamlaka nazo. Kwa ujumla mahakama hiyo imefanikiwa kupunguza mlundikano wa kesi kwa asilimia 90 alisisitiza. Aliongeza kwamba kwa upande wa Mahakama ya Wilaya walipokea mashauri ya madai 76 na kusikiliza mashauri 74, ambapo walibakiza mashauri mawili, hivyo imebakiza mashauri manane ikijumuisha na sita yaliyobakia mwaka Alifafanua kwamba kwa Mtendaji wa Mahakama ya Mkoa wa Pwani, Athanasia Kabuyanja, akizungumzia kuhusu utendaji wa mahakama hiyo 17 HAKIBulletin Oktoba - Desemba 2017

23 upande wa mashauri ya jinai yaliyolala yalikuwa ni matano na yaliyopokelewa ni 84 na yaliyosikilizwa ni 87. Mahakama hii imefanikiwa kusiliza mashauri kwa asilimia 94, kwa kuwa yaliyobaki hadi Desemba mwaka 2017 ni mashauri mawili. Akizungumzia kuhusu mashauri yaliyopokelewa mahakamani hapo kwa wingi alisema ni yale yanayohusu migogoro ya ardhi ndio yaliyoongoza kwa kipindi cha mwaka Hivyo jumla ya mashauri hayo ya ardhi yalikuwa 171. Kwa upande wake Mtendaji wa Mahakama ya Mkoa wa Pwani, Athanasia Kabuyanja, alisema wananchi wanafurahishwa na huduma za mahakama zitolewazo mahakamani tofauti kipindi kilichopita ambapo walikuwa wanatumia Mahakama ya Mwanzo Maili Moja, Kibaha, huku wakiwa na upungufu wa vitendea kazi. Kwa sasa mazingira utendaji kazi yamekuwa ni rafiki kwa upande wa watoa huduma na wateja ingawa tunachangamoto ya kutokuwepo sehemu ya wateja wetu kukaa wanaposubiri kupata huduma zetu, alisisitiza Kabuyanja Aliwataka watumishi wa Mahakama hiyo kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kutenda haki kwa wote. Pia aliwataka wananchi kuitunza mbiundombinu hiyo kwa faida ya sasa na vizazi vijavyo. Mtumishi wa Mahakama hiyo, Angela Hokororo, alisema wanafurahishwa na vitendea kazi vilivyopo kwa sasa kwa kuwa vinawawezesha kupata taarifa zinazohusu mashauri kwa wakati. Naye Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha, Kavumo Mndeme, alisema mafanikio hayo ya kufanya kazi kwa weledi yametokana na mafunzo maalum waliyoyapata mkoani Dodoma. Aidha Mndeme alitaja miongoni mwa changamoto wanayo kabiliana nazo ni mfumo wa mtandao kutofanya kazi vizuri, na kutopitika kwa eneo la nje sababu ya kuwa na matope hasa nyakati za mvua. Jengo hili jipya ni moja ya majengo sita ya miradi ya mfano, wa uboreshaji wa miundombinu ya Mahakama na lilizinduliwa na Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa Septemba mwaka mwaka 2016 kupitia Mpango Mkakati wa Mahakama ya Tanzania wa Miaka Mitano. Muonekana wa Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Pwani na Mahakama ya Wilaya ya Kibaha HAKIBulletin Oktoba - Desemba

24 USINYAMAZE PAZA Sauti yako, Upate Haki yako JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA Mahakama ya Tanzania, 26 Barabara ya Kivukoni, S. L. P. 9004, Dar es Salaam Blogs: Tanzaniajudiciary.blogsport.com Tovuti: TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MAONI, MAPENDEKEZO NA MALALAMIKO DHIDI YA VITENDO VISIVYO VYA UADILIFU NA RUSHWA USHIRIKI WA WANANCHI NA WADAU MAPAMBANO DHIDI YA VITENDO VYA KUOMBA RUSHWA, UKOSEFU WA MAADILI NA UTOAJI WA LUGHA ZISIZOZINGATIA STAHA NA UADILIFU YATAFANIKIWA TU ENDAPO; WANANCHI NA WADAU WATATOA TAARIFA ZA KWELI ZA MATUKIO YA KWELI YA WATUMISHI WA MAHAKAMA WANAOFANYA VITENDO HIVYO ILI HATUA STAHIKI ZICHUKULIWE DHIDI YA UKWELI HUO. MPANGO MKAKATI RUSHWA NA UKOSEFU WA MAADILI MPANGO MKAKATI WA MAHAKAMA WA MIAKA 5 ( ) UMELENGA KUWAFIKIA WANANCHI WOTE ILI WAWEZE KUTOA PONGEZI KWA MATENDO MAZURI; AMA MAONI, MAPENDEKEZO NA MALALAMIKO DHIDI YA VITENDO VISIVYO NA MAADILI KWA KUTUMIA NAMBA ZA SIMU NA ANWANI ZILIZOONYESHWA HAPA CHINI. ENDAPO UNAHISI UNAOMBWA RUSHWA, UNASUMBULIWA AMA KUNA UKIUKWAJI WA MAADILI KINYUME NA UTARATIBU; BILA KUSITA TOA TAARIFA KWA UJUMBE MFUPI WA MANENO, WHATSAPP AMA SIMU KWA MAHAKAMA NA/ AMA TAKUKURU NA WENYEVITI WA KAMATI ZA MAADILI KWENYE NAMBA ZA SIMU HUSIKA NA HATUA STAHIKI ZITACHUKULIWA MARA MOJA. AIDHA, UNAWEZA FIKA NA KUONANA NA MKUU WA DAWATI LA MALALAMIKO AU MKUU WA ENEO HILO. RUSHWA NI DHAMBI, RUSHWA NI ADUI WA HAKI NA HUDIDIMIZA TAIFA. USISHAWISHI, USITOE WALA USIPOKEE RUSHWA MAHAKAMA MAKAO MAKUU Makao Makuu Mahakama Kuu, Masjala Kuu Idara ya Ukaguzi na Maadili (WhatsApp na sms) TAKUKURU (PCCB) MAKAO MAKUU Simu ya bure 113 Makao Makuu Makao Makuu Makao Makuu Makao Makuu MKOA WA DAR ES SALAAM TAKUKURU (PCCB) DAR ES SALAAM KAMATI ZA MAADILI Kuu Kanda ya Dar es Salaam Takukuru Dar Es Salaam Utumishi wa Mahakama Mahakama Tume ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Takukuru Dar Es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mahakama ya Wilaya Kinondoni Takukuru Wilaya ya Kinondoni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mahakama ya Wilaya Ilala Takukuru Wilayaya Ilala Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mahakama ya Wilaya Temeke Takukuru Wilaya ya Temeke Mkuu wa Wilaya ya Temeke (WhatsApp na sms) (WhatsApp na sms) Mahakama ya Tanzania 26 Kivukoni Avenue/Ohio, S.L.P. 9004, Dar es Salaam Tanzania. Simu: , Nukushi: Barua-pepe: info@judiciary.go.tz, Blogu: tanzaniajudiciary.blogspot.com Tovuti:

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,

More information

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,

More information

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Shukrani Ahadi hizi zilikusanywa

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA 1.0 UTANGULIZI Taarifa ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kimkoa imeandaliwa kwa kuzingatia sehemu za Historia

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU 2007 Toleo la Tatu Kitabu hiki kimetayarishwa

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

Zanzibar itafutika-mwanasheria

Zanzibar itafutika-mwanasheria Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000 Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji 1 Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira, Bioanuwai, Misitu, Nyanda za Miti, na Maeneo Chepechepe Katika Delta na Bonde la Rufiji Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo

More information

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi OFISI YA RAIS IKULU NA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MAWAZIRI 1 Barabara ya Barack Obama, S.L.P 9120, 11400 Dar es Salaam Simu: 022 2116898/0222116900; Nukushi: 022 2128585 Email: Ikulu@Ikulu.go.tz; Website

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

YA AL HABBIB SAYYEID

YA AL HABBIB SAYYEID YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii. . i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. VACATION BIBLE SCHOOL VBS 2018 Newsletter #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. Pre-school Week 8th - 10th August Grade 1-8 13th - 17th August Pre-school Week Word from the Children s Pastor

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

Change Your Destiny CONFERENCE

Change Your Destiny CONFERENCE Change Your Destiny CONFERENCE Initiative to Build Spiritual Movements in Tanzania You have been wandering around in this hill country long enough; turn to the north Deuteronomy 2:3 (NLT). LIFE Ministry

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m.

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m. December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Wednesday, 6 th December 2017 The House met at 9.30 a.m. [The Temporary Deputy Speaker (Hon. (Ms.) Mbalu) in the Chair] PRAYERS

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 25 05.02.2006 0:37 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 6 (8 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database Ezra 3 Lessons Free PDF ebook Download: Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database of Ezra (Ezra 7:28; and repeatedly in Ezra 8-9).. (also

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Introduction - English... 3 Introduksjon - Norsk:... 4 Utangulizi - Kiswahili:... 5 Importance of faith to youth...

More information

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

AND REACTION IN SWAHILI POETRY. REVOLUTION AND REACTION IN SWAHILI POETRY. M. M. MULOKOZI** Swahili poetry is that poetry, written or oral, which has been or is being produced in the Swahili language by East Africans. Swahili poetry

More information

Preliminary Inventory to the William H. Friedland Collection, No online items

Preliminary Inventory to the William H. Friedland Collection, No online items http://oac.cdlib.org/findaid/ark:/13030/tf8w1006dz No online items Hoover Institution Archives Stanford University Stanford, California 94305-6010 Phone: (650) 723-3563 Fax: (650) 725-3445 Email: hooverarchives@stanford.edu

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

Cultural Considerations Tanzania Excursion

Cultural Considerations Tanzania Excursion Cultural Considerations Tanzania Excursion The Roots of Change Cultural Considerations Table of Contents Tanzania Cultural Considerations... 3 Swahili Language Key Phrases... 4 Tribes of Tanzania... 5

More information

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE?

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? Japhace Poncian Assistant Lecturer and Coordinator, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 38 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY, HELD AT MODOGASHE ON

More information

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate African Review Vol. 41, No. 1, 2014: 161-181 Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate Japhace Poncian * Abstract On 26 April 1964 Tanganyika and Zanzibar

More information

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace?

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Japhace Poncian Assistant Lecturer, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa University College

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA Perichoresis Volume 14. Issue 1 (2016): 21-39 DOI: 10.1515/perc-2016-0002 ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA WABOMBA SYCHELLUS NJIBWAKALE * Emmanuel Christian

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK ON JUNE 4 th, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell) Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 3 rd October, 2018

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 3 rd October, 2018 October 3, 2018 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 3 rd October, 2018 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2:30 p.m.

More information

ARCHDIOCESE OF DAR ES SALAAM, TANZANIA

ARCHDIOCESE OF DAR ES SALAAM, TANZANIA ARCHDIOCESE OF DAR ES SALAAM, TANZANIA (SOCIETY OF MISSIONARIES OF MARY IMMACULATE - MMI) YEARLY REPORT 2016 Dear Fathers and brothers in Christ Jesus, we are extremely glad and joyful to meet you all

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

INSTITUTIONALIZED IDENTITIES IN INFORMAL KISWAHILI SPEECH: ANALYSIS OF A DISPUTE BETWEEN TWO ADOLESCENTS

INSTITUTIONALIZED IDENTITIES IN INFORMAL KISWAHILI SPEECH: ANALYSIS OF A DISPUTE BETWEEN TWO ADOLESCENTS AAP 55 (1998) 115-128 INSTITUTIONALIZED IDENTITIES IN INFORMAL KISWAHILI SPEECH: ANALYSIS OF A DISPUTE BETWEEN TWO ADOLESCENTS SIGURD D'HONDI Introduction In conversation, participants operate under the

More information

Dear Scott and faith Radio Listeners, Greetings in Jesus name. Happy Easter.

Dear Scott and faith Radio Listeners, Greetings in Jesus name. Happy Easter. Dear Scott and faith Radio Listeners, Greetings in Jesus name. Happy Easter. Voice of Hope Ministries, is a ministry raised by God to bring hope and touch the lives of people who are NEGLECTED in Tanzania

More information

Lutheran-Roman Dialogue: Reflections on the Situation of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT)

Lutheran-Roman Dialogue: Reflections on the Situation of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Dr. Falres I. Ilomo Former Director of Postgraduate Studies, Research and Publications and Senior Lecturer, Faculty of Theology, University of Iringa, Tanzania Lecture Lutheran-Roman Dialogue: Reflections

More information

Life in Tanganyika in The Fifties. Godfrey Mwakikagile

Life in Tanganyika in The Fifties. Godfrey Mwakikagile Life in Tanganyika in The Fifties Godfrey Mwakikagile 1 Copyright (c) 2010 Godfrey Mwakikagile All rights reserved under international copyright conventions. Life in Tanganyika in the Fifties Third Edition

More information