HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

Size: px
Start display at page:

Download "HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018"

Transcription

1 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wahe. Majaji wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Omar Othman Makungu, Jaji Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Prof.Palamagamba Kabudi (Mb) Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jaji Kiongozi, Wahe. Majaji wa Mahakama Kuu, Mhe. George Masaju, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Eng. John Kijazi, Katibu Mkuu Kiongozi Wajumbe wa Tume ya Utumishi Mahakama Wahe. Majaji Wakuu wastaafu na Majaji Wastaafu, Wahe. Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Wahe. Mabalozi na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa, Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania na Msajili Mkuu, Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Msomi GODWIN SIMBA NGWILIMI Wasajili, Wakurugenzi na Watendaji wa Mahakama, Mhe. Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar, Mahakimu, Mawakili na Watumishi, Mkurugenzi wa Mashtaka, Viongozi wa vyama vya Siasa, Viongozi wa Dini, Wageni waalikwa, Mabibi na Mabwana. 1

2 1.0. UTANGULIZI Mheshimiwa Rais, hapana budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai, afya, nguvu na siha na kuweza leo kukutana tena katika SIKU HII YA SHERIA. Siku ya Sheria mwaka jana nilisimama hapa hapa kukukarisha katika Sherehe ya Siku ya Sheria katika nafasi ya KAIMU JAJI MKUU. Kwa heshima kubwa napenda kukushukuru sana kwa kuendeleza imani yako kwangu, kwa kuniteua kuwa JAJI MKUU. Kwa niaba ya Mahakama ya Tanzania, napenda vile vile kukushukuru kwa kukubali mwaliko wangu kuwa Mgeni Rasmi. Mheshimiwa Rais, katika nafasi yako ya Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Mhimili wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu, wewe ni mdau mkubwa sana wa SHERIA anayesimamia idadi kubwa sana ya Sheria zilizotungwa na zitakazotungwa na Bunge. Ni SHERIA ndiyo inayoipa Mhimili wa Serikali mamlaka ya kujenga na kudumisha ustawi wa wananchi wa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Mheshimiwa Rais, napenda kumkaribisha Mheshimiwa Dr. Tulia Ackson Mwansasu Naibu Spika ambaye anamuakilisha Mh. Job Yustino Ndugai (Mb), Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Naibu Spika, Mhimili wa Bunge ni mdau mkubwa sana wa SHERIA na pia ni mdau mkubwa wa MAHAKAMA. Mheshimiwa Naibu Spika KARIBU SANA. Mheshimiwa Rais, mnamo tarehe 14 Julai 2017 Mahakama ilipata bahati kubwa ya kutembelewa na kumkaribisha Waziri wa Katiba na Sheria, Mheshimiwa Profesa Palamagamba John Kabudi. Mheshimiwa Waziri, karibu sana katika sherehe ya SIKU YA SHERIA. Nakushukuru 2

3 kwa kuzindua hapo jana, Jengo jipya na kisasa la Mahakama ya Wilaya Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Mhe. Waziri, napenda kutambua ushirikiano wa karibu uliopo baina ya Mahakama na Wizara ya Katiba na Sheria, na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na hali kadhalika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka. Mahakama inashukuru sana kuwa baadhi ya mapendekezo ya Sheria tuliyowasilisha, imefanyiwa kazi na kuleta mabadiliko ya sheria na kanuni kadhaa. Hata hivyo, bado nakumbusha mapendekezo kadhaa ya kurekebisha Kanuni ambazo ni muhimu kwa usimamizi wa MAADILI YA MAWAKILI WA KUJITEGEMEA ambazo Mahakama iliwasilisha kwa Serikali. Tunakumbushia pia mapendekezo mengine yenye lengo la kusogeza huduma za utoaji haki karibu zaidi na wananchi kupitia MAHAKAMA ZINAZOTEMBEA (Mobile Courts) na kuanzishwa kwa MAHAKAMA YA MADAI MADOGO MADOGO (Small Claims Courts). Uharakishaji wa ukamilishaji wa sheria na kanuni zinazosubiriwa utapanua wigo wa utoaji wa huduma, na utawezesha huduma za Mahakama zinazotembea kuanza kutolewa mapema kwa wananchi na pia kuandaa na kufanya mafunzo kwa wale watakao toa huduma hizi. Mheshimiwa Rais, kuhusu MAHAKAMA ZINAZOTEMBEA (Mobile Courts) napenda kutambua uwepo wa ujumbe kutoka nchi ya Guatemala, nchi ambayo tangu mwaka 2003 imetambua umuhimu wa MAHAKAMA ZINAZOTEMBEA kuwafikishia huduma za haki wananchi walio sehemu zisizofikika kirahisi na ambazo hazijawahi kumuona Hakimu, Jaji wala Mahakama. Mahakama za Guatemala wametumia huduma za Mahakama zinazotembea kutoa elimu kuhusu 3

4 taratibu za Sheria, wametumia Mahakama zinazotembea kusuluhisha na kuamua mashauri madogo madogo. Nchi nyingi duniani, zimetuma watu kwenda kutembelea nchi ya Guatemala, kujifunza. Kati ya tarehe 23/03/2017 to 06/04/2017 ujumbe kutoka Tanzania uliojumuisha wawakilishi kutoka Mahakama, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chama Cha Mawakili wa Tanganyika walitembelea Guatemala kujifunza. Mheshimiwa Rais, napenda kuitambua Benki ya Dunia kama MDAU Muhimu wa Sheria na utoaji haki hapa Tanzania. Napenda kumkaribisha Mama Bella Bird, Mkurugenzi Mkazi Benki ya Dunia na timu yake ya hapa nchini na Dr. Waleed Haider Maliki, Mtaalamu Mwandamizi wa Maboresho ya Utumishi wa Umma kutoka Makao Makuu ya Benki ya Dunia Washington. Serikali ya Tanzania pamoja na Benki ya Dunia wanaisadia Mhimili wa Mahakama kufanya maboresho makubwa kupitia dhana ya kupeleka HUDUMA ZA HAKI kuwa karibu na wananchi (kwa Kiingereza Citizen-Centric Justice). Dhana hii inasisitiza kuwa wananchi wajione kuwa wanathaminiwa na mfumo wa utoaji haki. Mama Bella Bird na Dr. Waleed Haider Maliki, KARIBUNI SANA DHANA YA SIKU YA SHERIA Mheshimiwa Rais, falsafa na hata matukio ya kweli yanayoendelea Duniani kote yanaonyesha ukweli kuwa SHERIA NI MSINGI WA AMANI, na AMANI NI MAENDELEO. Hivyo basi kwa kuwa Sheria ni msingi wa AMANI NA MAENDELEO ya Wananchi na Nchi yao TANZANIA, umuhimu wa SHERIA ni lazima upewe kipaumbele cha 4

5 hali ya juu na vyombo vyote vya Dola, katika usimamizi na uendeshaji wa Nchi. Sisi Mahakama, ili kuendana na ukweli huo, wiki ya Sheria na kilele chake siku ya leo tarehe 01 Februari, 2018 tunaona ni jukumu letu kushirikiana na Wadau na Wananchi, kutafakari kwa pamoja mazingira na hali ya utoaji haki kwa mwaka uliopita, na pia kupanga na kutoa mwelekeo sahihi wa mwaka huu, utakoishia Disemba, Mheshimiwa Rais, wiki yote hii Nchi nzima, Mahakama na Wadau wetu, tumetoka nje ya Mahakama zetu na ofisi zetu. Tumekwenda maeneo mbalimbali walipo wananchi na tumetoa elimu ya sheria na taratibu za sheria. Tumesikiliza maoni na tumepokea hoja. Tumeweza kujua zaidi wananchi wanasema nini kuhusu utendaji wetu wa kazi. Wametueleza changamoto na mianya ya ukiukwaji maadili na kadhalika. Kwa ujumla tumeonyesha kuwa MAHAKAMA NI YA WANANCHI, na hatuna budi kushirikiana nao katika uboreshaji wa huduma za Mahakama kuwa za kisasa zaidi, na zenye kukidhi mahitaji ya karne hii ya Sayansi na Teknolojia MAUDHUI YA SIKU YA SHERIA MWAKA 2018 Maudhui Mheshimiwa Rais, pamoja na kuendelea kutambua umuhimu wa Sheria kwa amani na maendeleo, maudhui ya SIKU YA SHERIA mwaka huu (2018) ni MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA UTOAJI HAKI KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA MAADILI. 5

6 Mheshimiwa Rais, Mahakama imejiwekea malengo ya kuongeza uwazi na ufanisi katika masuala ya utawala na uendeshaji wa mashauri, na TEHAMA ndio jibu sahihi la Mahakama ya karne ya 21 inayolenga uwazi na ufanisi. Mahakama hatuhitaji tena aibu ya jalada lililopotea, au halionekani au hatutaki hadithi za jalada linahitaji lifutwe vumbi, au stakabadhi ya malipo ya shauri haionekani, hatutaki kusikia mteja hajui shauri lake lipo muda gani, mbele ya jaji ama Hakimu yupi!. Tumepanga kufuta hayo na mengine na kuyafanya historia. Mheshimiwa Rais, tumeazimia na hatutaki kubaki nyuma na tutaendelea na kasi ya mabadiliko ya kunufaika na manufaa makubwa ya TEHAMA. Tumelenga kuyashuhudia na kufaidika na manufaa ya TEHAMA kwenye eneo la usimamizi wa fedha, ukusanyaji wa Takwimu (JSDS) ukusanyaji wa Mapato, usikilizaji wa mashauri kwa kutaja machache tu. Mheshimiwa Rais, nchi nyingi duniani tayari zinatumia mifumo ya TEHAMA katika Mahakama zao. Mwanasheria mmoja wa Canada Bw. Gail J. Cahen aliwahi kuandika kwamba, TEHAMA ni msaada mkubwa kwa utoaji haki Mahakamani, kwa sababu husaidia kuongeza tija kwenye utoaji haki na kwa uwazi kwa wadau wote wa Mahakama wa ndani na nje. Aidha, sisi Tanzania, kupitia TEHAMA wananchi wa Tanzania watarajie maboresho makubwa katika usikilazaji, uendeshaji na upatikanaji wa taarifa mbalimbali za Kimahakama pamoja na nakala za mienendo ya mashauri na nakala za hukumu. Mheshimiwa Rais, mtaalamu mmoja wa TEHAMA aitwaye Roberto Fragali Filha, alisimulia mabadiliko chanya yaliyojitokeza kwenye 6

7 Mahakama za Brazil. Shughuli za Kimahakama zilibadilika sana kutoka wakati Majaji na Mahakimu walikuwa wakiandika hukumu zao kwa mikono. Kwamba, mwananchi Brazil, aliye kesi mahakamani hahitaji tena kusafiri mwendo mrefu na kwa gharama kubwa hadi Mahakamani kwa ajili tu ya kukagua nyaraka za kesi yake zilizosajiliwa mahakamani. Hiyo ndio Mahakama ya TEHAMA ambayo Mahakama ya Tanzania inalenga kufikia. Mheshimiwa Rais, Nachukua fursa hii kuhimiza sisi waheshimiwa Majaji, Mahakimu na Watendaji wengine wa mahakama tujibadili fikra na mtazamo na tujiandae kwa matumizi ya TEHAMA. Karne hii ya 21 ni karne ya teknolojia ya habari na mawasiliano. Ni karne shindani sana. Ni karne ambayo wananchi ni waelewa sana na wanataka huduma bora na sio maneno ya kuliwaza. Ni karne inayowategemea Majaji na Mahakimu wanaotumia TEHAMA na wanaokubali kujiendeleza na kujifunza kila dakika. TEHAMA inatoa nafasi ya kipekee ya sisi Mahakama kufikia viwango vya juu kiulinganishi na kiushindani kwa ubora wa utoaji haki duniani. Tunaiomba Kamati ya TEHAMA ya Jaji Mkuu, chini ya Jaji wa Rufani Mhe. Mjasiri, iendelee kusimamia suala hili na kutoa miongozo stahiki. Mheshimiwa Rais, pamoja na malengo makubwa ya kufikiwa yaliyo mbele yetu, tayari yapo mafanikio na manufaa tunayoyapata kwa sasa kutokana na matumizi ya TEHAMA, ambayo ni pamoja na (1) upatikanaji wa watumishi wataalamu wenye ujuzi, (2) Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kuunganisha kwenye Mkongo wa Taifa, Mahakama Kuu Mbeya, Mahakama ya Rufani, Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya Kibaha zimeanza, (3) matumizi ya 7

8 fedha za Mahakama nchi nzima, chini ya usimamizi wa HAZINA na Benki Kuu, (4) ushirikiano, ushauri na usimamizi wa Wakala wa Serikali Mtandao (e-government Agency) na Tume ya Sayansi (COSTECH), (5) kuanza mafunzo ya ujuzi sehemu ya kazi (e-distance learning), (6) ongezeko la ukusanyaji wa mapato kutumia mifumo ya Benki ya kujiunga kwenye mfumo wa Serikali (GePG), (7) mfumo wa utambuzi wa mahitaji ya Mahakama (Court Mapping), chini ya ushauri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), (8) Ukusanyaji wa Takwimu za mashauri/kesi (Judiciary Statistical Dashboard System JSDS) haya ni maeneo machache tu kuonyesha kuwa TEHAMA tayari inatumika katika Mahakama ya Tanzania. Kwa hatua na mafanikio yaliyopatikana hadi sasa katika TEHAMA, hakuna njia inayoruhusu Mahakama kurudi nyuma bali ni kuendelea mbele NO TURNING BACK. Mheshimiwa Rais, taratibu zinakamilishwa kuanza kujenga mfumo wa kielektroniki wa menejimenti ya mashauri (case Management System) ambao utaleta ufanisi katika maeneo kadhaa, ikiwa pamoja na ulipaji wa ada za Kimahakama kwa njia ya mtandao (GeP), kufungua mashauri mahakamani ama kwa kutumia eneo maalum litakalotengwa na mahakama, au kufungua mashauri kupitia ofisi za Wanasheria wa Serikali, au kupitia ofisi za Mawakili wa Kujitegemea. Aidha, mfumo wa kielektroniki utawezesha malipo ya ada za mawakili. Mfumo huo pia, kupitia Chuo chetu cha Lushoto IJA na vituo vya chuo hicho utatumika kutoa mafunzo na ujuzi kwa watumishi. Mfumo wa kielektroniki wa video-conference utasaidia uendeshaji wa mashauri kwa masafa ya mbali na Mahakama, kwa mfano baina ya Mahakama na Magereza. 8

9 4.0. MALENGO NA UTEKELEZAJI Mpango Mkakati na Dira ya Taifa 2025 Mheshimiwa Rais, kama ulivyo utendaji kazi wa Mahakama, duniani kote, Taasisi nyeti kama Mahakama hutegemea sana Mipango na Dira yake iliyojipangia. Mahakama kama sehemu ya Dola inazingatia mipango ya Taifa ya Dira ya Maendeleo ya Taifa (TDV 2025). Kwa hiyo, Mhimili wa Serikali unapolenga kuwa Tanzania ifikie Uchumi wa Kati ifikapo 2025, Mahakama pia sisi hujipanga kuhakikisha kuwa huduma zetu zitakuwa za uchumi wa kati. Kwa hiyo, Mahakama kila mwaka hutekeleza shughuli zake kupitia Mpango wake mkakati wa miaka mitano (5) (2015/ /20). Maeneo ya Vipaumbele katika utekelezaji wa mpango mkakati Mheshimiwa Rais, maeneo yaliyopewa kipaumbele katika utekelezaji wa mpango mkakati ni pamoja na (1) Kuondokana na mlundikano wa mashauri ya zamani kwenye ngazi zote za Mahakama, (2) kuongeza ufanisi wa shughuli za Mahakama kwa kutumia TEHAMA, (3) kuongeza na kuboresha miundo mbinu ya Mahakama,(4) kuongeza idadi na ujuzi wa kazi kwa watumishi wa Mahakama, (5) Masuala ya maadili na nidhamu za watumishi, (6) kuboresha maslahi na mishahara ya watumishi wa Mahakama na (7) ushirikiano na wadau na kudumisha imani ya Wananchi kwa Mahakama Mwenendo wa Hali ya Mashauri 9

10 Mahakama za Mwanzo, Wilaya na Hakimu Mkazi (Mkoa) Mheshimiwa Rais, katika ngazi ya Mahakama za Mwanzo, shauri huhesabika kuwa ni mlundikano pale linapobaki Mahakamani zaidi ya miezi sita baada ya kusajiliwa. Takwimu katika Mahakama za Mwanzo zinaonyesha kuwa, kati ya mashauri 19,490 yaliyobaki Disemba, 2017, ni mashauri 14 tu ndio yana umri wa zaidi ya miezi Sita (6) na ambayo ni asilimia 0. Hata hivyo Mahakama za Mwanzo husajili wastani wa idadi ya mashauri 195,119 kila mwaka, ambayo ni asilimia 74 (74%) ya mashauri yote ambayo ni 264,322 yaliyofunguliwa ndani ya Mahakama zote za Tanzania. Hii inaonyesha kuwa Mahakama za Mwanzo ndizo hutumika zaidi na wananchi wengi na wa kawaida mijini na vijijini. Mheshimiwa Rais, katika Mahakama za Wilaya na Mahakama za Hakimu Mkazi (Mkoa) idadi ya mashauri 2,334 ndiyo yamezidi umri wa miezi zaidi ya 12 unaotafsiriwa na Mahakama kuwa ni mlundikano na ambayo ni asilimia Tisa (9%) kati ya mashauri 25,658. Mheshimiwa Rais, aidha, mafaniko haya yametokana na mikakati mbalimbali inayotumika kuondokana na mlundikano wa mashauri, ambayo ni pamoja na mafunzo ya ujuzi, utekelezaji wa Mipango ya mwaka ya kila Kanda, Mikoa na Wilaya, upatikanaji wa Takwimu za Mashauri ya kila siku na kila mwezi, programu za kuwahamisha kwa muda Mahakimu kwenda kusikiliza na kuamua mashauri nje ya vituo vyao. Nachukua fursa hii kuwapongeza Mahakimu wote na watumishi wengine kwa juhudi kubwa ya kusikiliza na kuondoa mashauri kwa wakati na kwa weledi. 10

11 Changamoto za siku za nyuma kwenye eneo la mlundikano wa mashauri kwa sasa zimepungua sana, na tunaendelea na hatua za kurekebisha mapungufu madogo madogo. Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu Mheshimiwa Rais, ipo changamoto kubwa ya wingi wa mashauri yanayofunguliwa Mahakama Kuu na takwimu zinaonyesha kuwa jumla mashauri 16,487 yalifunguliwa, pamoja na mashauri 16,703 yaliyobaki na kufanya jumla ya mashauri 33,190 kwa kipindi cha Januari, 2017 ukilinganisha na idadi ya 28,307 (2012) 30,182 (2013), 35,050 (2014), 31,521 (2015), 36,562 (2016), na 33,190 (2017). Mheshimiwa Rais, ongezeko hili ni kubwa na imezidi wastani wa uwezo wa kila Jaji kufanya kazi yake kwa ufanisi na ukizingatia hali halisi ya kazi za Ujaji. Takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya wastani wa Majaji wa Mahakama Kuu imepungua kutoka 64 (2012), 59 (2013), 71 (2014), 84 (2015), 75 (2016), na 62 (2017). Mheshimiwa Rais, Wakati mashauri yanaongezeka, idadi ya Majaji inaendelea kupungua na kufanya wastani wa mashauri kwa kila Jaji kwa miaka 6 mfululizo kuwa wastani 442 (2012), 512 (2013), 494 (2014), 375 (2015), 487 (2016), na 535 (2017). Ongezeko hili, liko nje kabisa ya kiwango cha wastani wa mashauri 220 ya aina mbalimbali yatakayofika mbele ya Jaji husika kwa mwaka, hivyo kumfanya iweze kumchukua takribani zaidi 11

12 miaka 2.5 kumaliza mashauri hayo tu bila mengine kuongezeka mbele yake. Mheshimiwa Rais, hali hii isipodhibitiwa changamoto ya mlundikano wa mashauri itatuletea athari mbaya kwa Mahakama na Nchi kwa siku zijazo. Naomba nitoe mfano wa kiasi kikubwa cha DOLA ZA KIMAREKANI 26,818, kinachoshikiliwa ndani ya mashauri 15 ya kesi za kodi zinazosubiri kusikilizwa na Mahakama ya Rufani baada ya kukamilika kwa nyaraka za kesi husika. Mashauri yanapochelewa kwa sababu ya upungufu wa majaji, kiasi hiki cha fedha kinabaki nje ya mzunguko wa fedha katika uchumi wa nchi. Siku zijazo, tutawasiliana na Benki Kuu pamoja na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kuweka mfumo wa kukusanya takwimu za kiasi cha fedha zinazohusika katika mashauri mbali mbali yaliyo mahakamani. Mheshimiwa Rais, hali ya mlundikano wa mashauri katika Mahakama ya Rufani ambayo kwa sasa ina Majaji 15 nayo sio ya kuridhisha, wastani wa idadi ya Majaji wa Mahakama hii imebaki ile ile ya wastani wa majaji kati ya 15-16, kwa kipindi cha miaka Sita (6) iliyopita lakini idadi ya mashauri imeongezeka kila mwaka: 2,466 (2012), 2,629 (2013), 2,916 (2014), 3,244 (2015), 3,975 (2016), na 4,439 (2017) Tehama na Mahakama Mheshimiwa Rais, kwa muhtasari na kama ilivyo kwenye utangulizi, TEHAMA ni kipaumbele chetu katika kuwatumikia Wananchi na Wadau. Mahakama tupo tayari kutumia fursa hii 12

13 muhimu ya maendeleo kwa kusisitiza, na ni matumaini yetu kuwa siku si nyingi mfumo wa mashauri wa Mahakama (e-case/e-judiciary) utaungana na mfumo wa mtandao wa sekta ya Sheria (e-justices), kabla ya kuunganisha kwenye mfumo wa Serikali Mtandao (egovernment). Tunataraji Smart Card ya kitambulisho cha Taifa itumike hata kujua makosa ya jinai ya zamani ya mwananchi yeyote yule ( criminal status ). Idadi na utambulisho wa mahabusu na wafungwa waliopo mathalan Gereza X ijulikane wakati wote na Mahakama Y, kupitia maendeleo ya TEHAMA na MAHAKAMA. Mahakama ya sasa ni TEHAMA, TEHAMA, TEHAMA. Miundo Mbinu ya majengo Makao Makuu: Mheshimiwa Rais, tunaendelea kupiga hatua kwenye eneo hili kama ilivyo kwenye malengo yetu ya mpango mkakati wa kuongeza upatikanaji wa haki (access to justice). Ni matarajio yetu kuwa ujenzi wa Makao Makuu ya Mahakama utaanza mwaka huu 2018 kwenye Mji Mkuu wa Nchi yetu mjini Dodoma, kama nitakavyoeleza hapo baadaye. Mahakama Kuu: Mheshimiwa Rais, Kwa sasa ni Mikoa 14 kati ya mikoa 26, ndiyo yenye Mahakama Kuu na mengine yapo kwenye majengo yasiyokidhi mahitaji ya sasa. Ujenzi wa Mahakama Kuu Mbili (2) za Mkoa wa Kigoma na Mara, unaendelea vizuri na inatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi Disemba, Aidha kabla ya mwaka wa fedha 2017/18 kukamilika, tunataraji kuanza ujenzi wa Mahakama Kuu Mikoa ya 13

14 Morogoro, Mwanza, Geita na Singida. Tunataraji kuanzia sasa kuanzisha utamaduni wa kuwaenzi kwa kazi ya uongozi mzuri viongozi wakuu wazalendo (Majaji Wakuu) waliopita wa Mahakama kwa kuweka alama ya kumbukumbu kwenye majengo yetu mapya ya Mahakama Kuu (Integrated Justice Centres) tunayojenga mikoa ya Mara, Kigoma, Morogoro, Mwanza na Singida. Mheshimiwa Rais, Malengo ya mpango wetu ni kuwa na Mahakama kuu kwenye Mikoa 22 ambayo ni asilimia 85 (85%) ya Mikoa yote 26 ifikapo mwaka 2020, wakati awamu ya kwanza ya mpango mkakati wa Mahakama utakapokamilika. Mahakama za Hakimu Mkazi (Mkoa) na Mahakama za Wilaya: Mheshimiwa Rais, Mahakama Tano (5) za Hakimu Mkazi (Mkoa) na Mahakama za Wilaya Kumi na Sita (16) zinaendelea kujengwa na zipo kwenye hatua mbalimbali nazo ni pamoja na Mikoa ya (1) Manyara, (2) Geita, (3) Katavi, (4) Njombe, na (5) Simiyu. Aidha Wilaya za (1) Geita, (2) Lindi, (3) Katavi, (4) Simiyu, (5) Njombe, (6) Bukombe, (7) Bunda, (8) Chato, (9) Kilindi, (10) Kondoa, (11) Kasulu, (12) Rungwe, (13) Loliondo, (14) Kilwa, (15) Ruangwa, na (16) Songwe, zitakamilika kabla ya mwezi Juni, Lengo na mpango mkakati wa miaka mitano (5) ni kwamba, ifikapo mwaka 2020 Mahakama ya Tanzania iwe na Mahakama za Wilaya 139 katika wilaya zote zilizopo Tanzania Bara na Mahakama za Hakimu Mkazi (Mkoa) kwenye Mikoa yote 26. Bado zipo Wilaya mpya ambazo hazina Mahakama za Wilaya. Zipo pia Mahakama za Wilaya 14

15 za zamani ambazo zinazohitaji majengo mapya au ukarabati mkubwa wa jumla. Mahakama za Mwanzo Mheshimiwa Rais, tunaendelea na ujenzi ukarabati wa majengo ya Mahakama za Mwanzo, utaratibu tuliokamilisha wa utambuzi wa kielekrtoniki wa mahitaji ya Mahakama (Court Mapping) umeonyesha umuhimu mkubwa wa kuboresha na kujenga majengo ya Mahakama na kupeleka huduma za Mahakama za Mwanzo mijini na maeneo ya makuu ya Tarafa zinazofikia takribani 550 Nchini kote. Kwa kuanzia, nguvu kubwa inawekwa kwenye Mahakama za Mwanzo kwenye Kata iliyo Makao Makuu ya tarafa na zenye mahitaji muhimu badala ya kata zote zilizopo sasa za Kiserikali 3, Mafunzo ya ujuzi kazini Mheshimiwa Rais, kazi za Mahakama zinahitaji ujuzi endelevu. Mipango ya Mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi huandaliwa. Chuo chetu cha Mahakama cha Lushoto (IJA), kimeteuliwa rasmi kufanya kazi hii kwa kada zote za watumishi zilizopo Mahakamani na hata wadau wetu tunaofanya kazi pamoja. Aidha, Chuo cha Mahakama kina ushirikiano na vyuo vya ndani na vyuo vya nje vya Kikanda na Kimataifa katika kuongeza ujuzi na viwango vya elimu. Tunahimiza Wadau wa Sekta ya Sheria tukitumie Chuo chetu kwa mafunzo ya ujuzi na kozi za muda mrefu za kitaaluma. Matarajio yetu ya siku zijazo tuongeze viwango vya juu 15

16 vya Maadili, weledi na utendaji kazi kwa watumishi na wadau wenye nia ya kuleta mabadiliko katika eneo la tasnia ya Sheria nchini Maadili, uwajibikajii na kuboresha maslahi bora zaidi kwa watumishi Maadili na uwajibikaji Mheshimiwa Rais, ni dhamira yetu na utekelezaji wa kila siku wa kazi zetu ni kuhakikisha viongozi na watumishi wanazingatia miiko ya kazi zao na kutekeleza kazi zao kwa uwajibikaji wa hali ya juu. Katika kipindi cha mwaka 2016/2017, Tume ya Utumishi wa Mahakama iliendelea kuchukua hatua kadhaa za nidhamu za watumishi, jumla ya mashauri 143 yalifikishwa mbele ya Tume. Waliofukuzwa, au kuondolewa, au kustaafishwa kazi, jumla walikuwa 112. Mashauri yenye uchunguzi bado unaendelea ni 17 na waliorejeshwa kazini na kupewa onyo ni 14. Mheshimiwa Rais, Juhudi za makusudi zimetekelezwa ili kuzuia na kupambana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili na vitendo vya rushwa vimepewa kipaumble. Juhudi hizo ni; pamoja na, (1) Ukaguzi wa Mahakama;(2) Utaratibu wa viongozi wa Mahakama kufanya vikao na watumishi na ulezi (mentoring programme);(3) Usambazaji wa mabango nchi nzima, yenye kuwaomba wananchi watoe taarifa za ukiukwaji wa maadili na vitendo vya rushwa; (4) Kusambaza maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya, kuimarisha Kamati za Maadili za Mahakama za ngazi zao kwa nia ya kuchukua hatua kwa kumshirikisha Jaji Mfawidhi endapo kuna ukiukwaji wa maadili na kuishauri Tume; na (5) Kusambaza huduma ya simu za Mkononi 16

17 kwenye kila ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Wilaya kwa ajili ya wananchi kutoa taarifa. Mheshimiwa Rais, juhudi nyingine za kuzuia ukiukwaji wa maadili zilikuwa ni pamoja na kushirikiana na TAKUKURU kuchora ramani ya hali ya viashiria vya rushwa (corruption mapping) ya kila Kata/Tarafa, Wilaya na Mikoa (nje na ndani ya Mahakama); matumizi ya TEHAMA kwenye malipo ilisaidia kuziba mianya ya ukiukwaji wa maadili. Ni matumaini yangu siku zijazo wakati Mahakama itakapotumia mifumo ya TEHAMA kwenye ufunguzi wa mashauri, kutoa nakala za hukumu na mienendo ya mashauri, kusambaza nakala za hukumu kwa njia ya posta hadi milangoni, hatua hii itasaidia kupunguza mianya ya ukiukwaji wa maadili. Tunamuomba Mwenyezi Mungu abariki malengo na matendo yetu haya. Mheshimiwa Rais, mimi kama Jaji Mkuu na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, nachukua fursa hii kuwaarifu watumishi na viongozi wenzangu wote kuwa sisi watumishi tuliopewa dhamana mbalimbali ndani ya Mhimili huu muhimu wa Dola, tuna wajibu wa kujiepusha na Rushwa, pamoja na dalili zake na pia kupambana na rushwa, umchunge jirani yako anayejihusisha na vitendo hivyo na kutoa taarifa. Tume kama mamlaka ya ajira, itachukua hatua stahiki na ikibidi, kuwaondoa kwenye nafasi zao na kazini pia. Hatutamuonea mtumishi, lakini hatutawavumilia wale wanaotumia nafasi zao kupaka matope Mhimili huu muhimu wa uendeshaji wa Dola wa nchi yetu Hali bora na Maslahi 17

18 Mheshimiwa Rais, ulipokuja kuungana nasi kama mgeni rasmi mara ya mwisho tarehe 2 Februari, 2017, ulisikia kilio cha watumishi wa ngazi mbalimbali za Mahakama kuhusiana na maslahi mbalimbali ya kikazi na hili ni kutokana na hali halisi ya utekelezaji wa majukumu ya kimahakama ambayo hutofautiana sana na Taasisi nyingi za Umma. Sihitaji kueleza hapa, najua unafahamu sana maana kila mara umekuwa ukiniambia kuwa unafahamu hali halisi ya maslahi ya watumishi wa Mahakama. Mheshimiwa Rais, Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa mujibu wa Ibara ya 113 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria Na. 4 (2011) kifungu cha 31(1) na (2) na 32 cha Sheria hiyo, tuna wajibu wa kukushauri Mhe. Rais, juu ya maslahi na mishahara ya watumishi wa Mahakama ya Tanzania. Mheshimiwa Rais, nachukua fursa hii kukuahidi, kabla ya mwisho wa mwezi Februari, 2018 tutatekeleza jukumu letu la kukushauri juu ya maslahi na mishahara ya watumishi wa Mahakama. Ni matumani yangu kuwa ushauri wetu kwako utawahi mzunguko wa Bajeti ya Serikali ya mwaka mpya wa fedha 2018/19 na maombi yetu hayo madogo kwako kupata Baraka zako tele. Subira yavuta Heri! Ushirikiano na Wadau na Wananchi Wadau Mheshimiwa Rais, Mahakama kama ilivyo kote Duniani, inahitaji Washirika wa karibu katika kutekeleza majukumu yake ya Kikatiba. Tumeanzisha na kuendeleza mashirikiano ya karibu na wadau wetu 18

19 muhimu, na kupitia hadhara/hafla hii, napenda nisisitize tena Mahusiano na Ushirikiano wa kisheria, huhitaji sana ukaribu na maelewano ya pamoja kwenye kutekeleza wajibu wetu wa Kikatiba na Sheria. Mheshimiwa Rais, Pamoja na mahusiano ya kisheria tumeamua pamoja na wadau kuwa na mahusiano ya kimkakati ya kuleta matokeo chanya na ya haraka tarajiwa. Utamaduni mpya tulionao ni kwa kuwafuata Wadau wetu waliko na kuzungumza nao. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AGC): Mheshimiwa Rais, tunafanya kazi pamoja ya kuhakikisha Sheria na Kanuni za sasa na zijazo zinawekwa kwenye utaratibu mzuri na kwenye TOVUTI (websites) ili kurahisisha upatikanaji wake na uwazi; Tutashirikiana na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika usimamizi wa KAMATI ZA MAADILI YA MAWAKILI WA KUJITEGEMEA, udhibiti na kuwaondoa kwenye orodha Mawakili, wote wanaokiuka maadili pamoja na kujihusisha na vitendo vya kushawishi na kutoa rushwa bila kujali hadhi yao katika jamii. Mheshimiwa Rais, tunatarajia kuwa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watachapisha Kanuni zote za Jaji Mkuu zinazolenga kuleta maboresho na utendaji kazi Mahakamani. Aidha, ni matarajio yetu kuwa tutashirikiana kurekebisha Sheria zenye kuweka mikwamo na urasimu usio na lazima kwenye mashauri ya Jinai na Madai hususani maeneo ya uwekezaji na Biashara 19

20 Mabaraza ya Ardhi na Nyumba (W) na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA): Mheshimiwa Rais, nashukua fursa hii adhimu kwa kuwashukuru Makatibu Wakuu wawili (2), wa Wizara ya Ardhi na Wizara ya Kazi, ambao tumesaini makubaliano ya kimkakati ya kuondoa ucheleweshaji wa upatikanaji wa kumbukumbu za mashauri kutoka ngazi ya Baraza la Ardhi (District Land and Housing Tribunal) na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA). Siku zijazo majalada ya mashauri haya yataletwa Mahakamani kwa njia ya mtandao na utaratibu kuficha majalada, kuyapoteza n.k. utakuwa ni historia. Shule za Sekondari na Vyuo vya Sheria: Mheshimiwa Rais, tumeamua kushirikiana kimkakati katika kukuza vipaji vya Vijana ili waje kuwa raia wema na watumishi wenye weledi, waadilifu na Ubora wa wa siku zijazo kwa kuitumikia Mahakama, sekta ya sheria na Nchi kwa ujumla. Ninavyozungumza hapa tuna Waalimu Wakuu na Wanafunzi wao wa michepuo ya masomo ya HGL kutoka shule za (1) Feza Boys, (2) Ilboru Wavulana, (3) Mzumbe Wavulana, (4) Maua Seminary, (5) Marian Wavulana, (6) St. Mary Mazinde Juu, (7) Msalato, (8) Kilakala, (9) Kasimiri, na (10) Tabora Wavurana. Tunataka kuwalea hawa vijana wetu mpaka waje kuwa Wanasheria bora wa siku zijazo. Aidha, tumewaleta pia Wahadhiri na Wakuu wa Vitivo vya Sheria (Deans) wa Vyuo Vikuu na Shule ya Sheria kwa Vitendo (Law School) kwa ajili ya kuanzisha na kuimarisha ushirikiano wetu wa UTATU WA MAHAKAMA, VYUO NA SHULE, na siku zijazo tutafikia 20

21 kwenye ngazi za Wazazi kwenye suala hilo. Kila jambo linawezekana linahitaji mipango, dhamira ya dhati na utekelezaji madhubuti. Mkakati tulionao ajira za watumishi wa siku zijazo wa Mahakama na sekta ya sheria utokane na thamani (value) ya mhusika na si kwa kuangalia tu ubora wa vyeti vya mwombaji kazi. Tumedhamiria, Tumejipanga na tutashinda. Magereza: Mheshimiwa Rais, tuna mkakati maalum wa kufanya kazi na Jeshi la Magereza, pamoja na kuyatembelea na kuzungumza na Wafungwa, mafunzo ya pamoja, upatikanaji wa hukumu kwa wakati, kutaja machache. Aidha, tumeanza mpango wa majaribio wa usikilizaji wa mashauri kwa njia ya TEHAMA, kati ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Gereza la Keko. Katika wiki hii ya Sheria, Wananchi wameanza kuona matumizi ya TEHAMA kwa vitendo. Jaji Mkuu aliweza kufanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Magereza Dr. Juma Malewo na timu yake wakiwa kwenye Geraza la Keko na mimi nikiwa viwanja vya mnazi mmoja. Huu ni ushahidi tosha kwa siku zijazo, taratibu zitakamilishwa ili wafungwa ama Mahabusu kila inapolazimu, waweze kusikilizwa mashauri yao wakiwa kwenye maeneo maalum yaliyotengwa huko kwenye magereza na kusikilizwa na Hakimu au Msajili akiwa Mahakamani n.k. Taasisi za uwezeshaji kwenye Biashara: Mahakama huwasikiliza wadau wanaohusika na biashara na kufanya maboresho kusaidia ukuaji wa biashara. Kwa hiyo, Mahakama 21

22 hufuatilia kwa ukaribu Matokeo ya upimaji wa kila mwaka unaofanywa na Benki ya Dunia kuhusu namna mahakama zinavyoweza kuchangia urahisi wa kufanya biashara katika nchi. Katika ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka huu (2018) juu ya urahisi wa ufanyaji Biashara kwa jumla ya Nchi 190 Duniani vimeonyesha kuwa vigezo 11 vinavyotumika katika upimaji ni:-(1) Kuanzisha biashara [starting a business]; (2) Upatikanaji wa vibali vya ujenzi [dealing with Construction permits]; (3) Upatikanaji wa nishati ya umeme [getting electricity]; (4) Usajili wa mali [registration of property]; (5) Kupata mikopo [obtaining credit]; (6) Kuwalinda wenye hisa chache [protecting minority shareholders]; (7) Ulipaji wa kodi [payment of taxes]; (8) Biashara nje ya mipaka ya nchi [crossborder tradings]; (9) Utekelezaji wa Mikataba [enforcements of contracts]; (10) Kutatua ufilisi [resolving insolvency]; na (11) Uratibu wa soko la ajira [labor market regulation]. Mheshimiwa Rais, Tanzania imefanya vizuri kwenye maeneo ya upatikanaji wa umeme, Ulipaji wa kodi na mikataba/mashauri ya kibiashara. Ninazo taarifa juu ya Wizara inayo husika na uratibu wa upimwaji wa Tanzania na inavyochukua hatua za kimkakati kusimamia suala hili. Kutokana na kazi kubwa ya maboresho inayoendelea humu Nchini karibu kwenye sekta zote, nashawishi, suala hili la upimwaji wa urahisi wa kufanya biashara lisimamiwe vizuri ili tupate fursa ya kukaa kwenye nafasi yetu halisi ya juu duniani (our rightfull position). Mwaka huu, 2018 Mahakama tumejipanga vizuri zaidi ili Divisheni za Mahakama Kuu za Biashara, Kazi, na Ardhi ziwe ni sehemu ya upimaji kazi zake kwa ajili ya kupata uhalisia na viwango bora zaidi. 22

23 Tunahimiza Wadau wengine kwenye maeneo 11 ya upimaji tushikamane na tuongeze juhudi kuweka Nchi yetu kwenye nafasi nzuri Kitaifa, Kikanda na Kimataifa. Wananchi Mheshimiwa Rais, wananchi ndio msingi wa mamlaka Dola ikiwemo Mhimili wa Mahakama. Mahakama ni ya Wananchi wa Tanzania. Kwa kutambua hivyo, Mahakama itaendelea kuthamini imani ya wananchi na kuwasilikiza wanapolalamika na kuwahudumia na kuwapa elimu ya sheria na taratibu zinazohusu matatizo yao. Tunaomba ushirikiano wa wananchi uendelee hasa kwa kutoa maoni ya huduma tunazozitoa. Wananchi watumie namba za simu tulizosambaza kufichua vitendo vya ukiukwaji wa maadili. Tumieni fursa zote tunazozitoa ili kuboresha Mahakama. Tumejipanga kuongeza taarifa na kusambaza mabango zaidi kwa wananchi kwenye mbao zote za matangazo za ofisi za Kata na Tarafa na kwenye mikusanyiko ya umma. Tunaamini kuwa, uwazi na kutoa fursa za kupokea maoni, mapendekezo na malalamiko ndio njia bora ya kuaminiwa na wananchi MPANGO WA KUHAMIA MAKAO MAKUU YA NCHI -DODOMA Mheshimiwa Rais, kutokana na maombi yetu na kikao chetu kati yangu na wewe Mhe. Rais tarehe 07 Desemba, 2017 kilichofanyika Ikulu Chamwino huko Dodoma, na kwa maelekezo yako, Uongozi wa Manispaa ya Dodoma, umetutengea na kutupatia eneo la NCC, lenye Ekari kwa minajili ya ujenzi wa majengo ya Makao Makuu ya Mhimili wa Mahakama ya Tanzania. 23

24 Mheshimiwa Rais, taratibu za upatikanaji wa hati unafanywa kwa haraka na Uongozi wa Manispaa ya Dodoma na Wizara ya Ardhi. Upimaji hali ya miamba ilivyo na matetemeko ya eneo hilo, Tayari tumetoa kazi ya kufanywa na Wataalamu wa Geology Survery of Tanzania (GST)) na taarifa zote wameahidi kukamilisha kazi hii mapema Februari, Mheshimiwa Rais, kwa mara nyingine tunashukuru sana kwa niaba ya Mahakama. Ni matumaini yetu kuwa hatimaye Mahakama itapata jengo lake la kudumu na la Karne ya 21 la Makao makuu yake kama ilivyo Bunge na Serikali. Pia, ni matumaini yangu kuwa, upatikanji wa fedha za haraka kwa ajili ya hatua ya ujenzi wa jengo hilo utafanyika kama ilivyo ahadi yako BAJETI YA MWAKA 2017/18 NA MAHITAJI YA 2018/19 Mheshimiwa Rais, Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa maelekezo yako na kwa mwaka huu HAZINA wanatupatia fedha za mishahara, matumizi mengineyo na maendeleo/miradi kwa wakati na kamili kama ilivyo kwenye bajeti. Hatuna lalamiko hata moja kwenye hili. Mheshimiwa Rais, maombi yetu ni nyongeza ya fedha kwa ajili ya mishahara, maeneo ya matumizi mengineyo (OC) na miradi ya maendeleo. Kama ilivyo kwenye maelezo yangu ya utangulizi, Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa mujibu wa sharia itawasilisha kwako maombi rasmi juu ya maombi ya nyongeza ya mishahara, matumizi mengineyo na fedha za Miradi ili kufikia malengo tuliyo kwisha yapanga. 24

25 7.0. Mwisho Mheshimiwa Rais, kwa heshima kubwa nachukua fursa hii kukushuru wewe binafsi kukubali wito wetu na kufika. Nawashukuru Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu, Naibu Spika (Mb), Prof. Palamagamba kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria, Majaji wa Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu, Mahakimu, Watendaji na Watumishi wote wa Mahakama kwa kazi kubwa wanayofanya ya kuleta maendeleo ya Nchi yetu. Aidha, napenda nichukue nachukua fursa hii rasmi kukukaribisha utupatie nasaha zako kwenye siku hii muhimu kwa Mahakama na kwa Wanajumuiya wa Sekta ya Sheria na Wananchi kwa ujumla karibu sana, na Ahsanteni sana kwa kunisikiliza. 25

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU, HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA

More information

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Shukrani Ahadi hizi zilikusanywa

More information

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA 1.0 UTANGULIZI Taarifa ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kimkoa imeandaliwa kwa kuzingatia sehemu za Historia

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU 2007 Toleo la Tatu Kitabu hiki kimetayarishwa

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi OFISI YA RAIS IKULU NA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MAWAZIRI 1 Barabara ya Barack Obama, S.L.P 9120, 11400 Dar es Salaam Simu: 022 2116898/0222116900; Nukushi: 022 2128585 Email: Ikulu@Ikulu.go.tz; Website

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000 Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji 1 Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira, Bioanuwai, Misitu, Nyanda za Miti, na Maeneo Chepechepe Katika Delta na Bonde la Rufiji Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

Zanzibar itafutika-mwanasheria

Zanzibar itafutika-mwanasheria Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

YA AL HABBIB SAYYEID

YA AL HABBIB SAYYEID YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya

More information

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii. . i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. VACATION BIBLE SCHOOL VBS 2018 Newsletter #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. Pre-school Week 8th - 10th August Grade 1-8 13th - 17th August Pre-school Week Word from the Children s Pastor

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Introduction - English... 3 Introduksjon - Norsk:... 4 Utangulizi - Kiswahili:... 5 Importance of faith to youth...

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m.

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m. December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Wednesday, 6 th December 2017 The House met at 9.30 a.m. [The Temporary Deputy Speaker (Hon. (Ms.) Mbalu) in the Chair] PRAYERS

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

AND REACTION IN SWAHILI POETRY. REVOLUTION AND REACTION IN SWAHILI POETRY. M. M. MULOKOZI** Swahili poetry is that poetry, written or oral, which has been or is being produced in the Swahili language by East Africans. Swahili poetry

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database Ezra 3 Lessons Free PDF ebook Download: Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database of Ezra (Ezra 7:28; and repeatedly in Ezra 8-9).. (also

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship? A is for Africa: Celebrating the A in A.M.E. Zion What is the A in A.M.E. Zion? 1 Where is Africa? 2 What is African heritage? 3 What is the African heritage in the Bible? 6 What are African ways of worship?

More information

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell) Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update

More information

Change Your Destiny CONFERENCE

Change Your Destiny CONFERENCE Change Your Destiny CONFERENCE Initiative to Build Spiritual Movements in Tanzania You have been wandering around in this hill country long enough; turn to the north Deuteronomy 2:3 (NLT). LIFE Ministry

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

Cultural Considerations Tanzania Excursion

Cultural Considerations Tanzania Excursion Cultural Considerations Tanzania Excursion The Roots of Change Cultural Considerations Table of Contents Tanzania Cultural Considerations... 3 Swahili Language Key Phrases... 4 Tribes of Tanzania... 5

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK ON JUNE 4 th, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 38 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY, HELD AT MODOGASHE ON

More information

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Hanah Chaga Mwaliwa Hanah Chaga Mwaliwa is a lecturer of Swahili language and linguistics in the Department of Kiswahili, University

More information

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View Hamdun Sulayman Al-Maktoum College of Engineering and Technology

More information

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate African Review Vol. 41, No. 1, 2014: 161-181 Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate Japhace Poncian * Abstract On 26 April 1964 Tanganyika and Zanzibar

More information

MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar

MASHAIRI YA WAADHI VERSES OF ADMONITION: the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar AAP 42 (1995). 138-157 MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar MUKH!ASARI [SUMMARY] Aliyetunga kasiga hii, Sheikh Abgallah al-husni,

More information

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE?

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? Japhace Poncian Assistant Lecturer and Coordinator, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa

More information

Preliminary Inventory to the William H. Friedland Collection, No online items

Preliminary Inventory to the William H. Friedland Collection, No online items http://oac.cdlib.org/findaid/ark:/13030/tf8w1006dz No online items Hoover Institution Archives Stanford University Stanford, California 94305-6010 Phone: (650) 723-3563 Fax: (650) 725-3445 Email: hooverarchives@stanford.edu

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 25 05.02.2006 0:37 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 6 (8 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace?

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Japhace Poncian Assistant Lecturer, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa University College

More information

3 rd of 3 files Appendix and References

3 rd of 3 files Appendix and References University of Birmingham Research Archive e-theses repository This unpublished thesis/dissertation is copyright of the author and/or third parties. The intellectual property rights of the author or third

More information

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA Perichoresis Volume 14. Issue 1 (2016): 21-39 DOI: 10.1515/perc-2016-0002 ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA WABOMBA SYCHELLUS NJIBWAKALE * Emmanuel Christian

More information

Compassionate Together:

Compassionate Together: Compassionate Together: COMMUNITY INTERFAITH SERVICE Kufic design of one of the 99 names of God, from the Muslim tradition The Eve of Thanksgiving Wednesday, 25 November 2009 7:30 p.m. Phinney Ridge Lutheran

More information