MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

Size: px
Start display at page:

Download "MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI"

Transcription

1 JARIDA LA MOROGORO ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa, kuhakikisa kuwa ifikapo tarehe 31/12/2004 ziwe zimeansisha Bodi za Afya za Wilaya, ambazo zitasimamia huduma za afya katika Halmashauri husika. Bodi ya Afya ya Halmashauri ni chombo kilichoundwa chini ya sheria Na.7 na 8 (mamlaka za Wilaya na Miji) ya mwaka 1982, iliyoanzisha Mamlaka za Halmashauri za Mitaa. Bodi ina wajumbe 11, kati yao 7 wanachaguliwa na wananchi na 4 ni wataalam ambao huingia katika Bodi kwa nyadhifa zao. Wajumbe hao ni: Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii ya Halmashauri Mganga Mkuu wa Wilaya ambaye anakuwa Katibu wa Bodi Mwakilishi wa Watoa huduma binafsi kwa faida Mwakilishi wa watoa huduma binafsi bila faida Wajumbe 4 wanaotokana na watumiaji wa Huduma za Afya, kati yao wawili lazima wawe wanawake. Mwenyekiti wa Bodi atatokana na kundi hili. Mwakilishi toka Timu ya Uendeshaji ya Huduma za Afya ya Mkoa Wataalam wawili toka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, akiwemo: i. Afisa Mipango/Mchumi wa Wilaya ii. Mwakilishi toka Hospitali ya Wilaya Majukumu ya Bodi: Kifungu cha 86A na 52A cha sheria hii, kinatoa mamlaka kwa Halmashauri kuanzisha Mfuko wa Afya ya Jamii, ambao utakuwa unasimamiwa na Bodi. Majukumu mengine ya Bodi ni pamoja na:- 1. Kushirikiana na Timu ya Uendeshaji ya Wilaya kuhakikisha kuwa huduma Zinazotolewa ni za ubora wa hali ya juu. 2. Kupendekeza kwa Halmashauri watu wanaostahili kusamehewa kuchangia Mfuko wa Afya ya Jamii. 3. Kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko. Utekelezaji Ngazi ya Halmashauri: Hadi tarehe 31 Desemba 2004, kati ya Halmashauri zote 114 nchini, Halmashauri 49 tu zilikuwa zimeanzisha Bodi za Afya. Nyingine 109 zilikuwa zimeridhia kwa kupitisha Sheria Ndogo na Hati Rasmi ya kuanzisha Mfuko wa Afya ya Jamii. Jambo la kutia moyo ni kuwa, kati ya Bodi 49 zilizoanzishwa, 3 ni kutoka Morogoro, ambazo ni Halmashauri za Ulanga, Manispaa na Morogoro. Kati ya Halmashauri 109 zilizoridhia, 2 ni za Morogoro ambazo ni Kilosa

2 na Kilombero. Haya ni mafanikio makubwa kwa wananchi wa Morogoro. Hata hivyo, wilaya ya Kilosa ambayo ilikwisha anzisha Bodi tangu mwaka 1999, na kufanikiwa kukusanya zaidi ya Tshs. 72,000,000/- za Mfuko wa Afya ya Jamii, Bodi yake inatakiwa kuanzishwa upya, kwani ilianzishwa kinyume cha sheria, kwani:- 1. Mwenyekiti wa Bodi hiyo ni Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii ya Halmashauri, hatua ambayo siyo sahihi. 2. Bodi ilianzishwa bila kupata Sheria Ndogo iliyosainiwa na Waziri mwenye dhamana, ambaye ni Waziri wa Serikali za Mitaa, kama inavyoagizwa na sheria. Majumuisho: Wakati taratibu za usimikaji upya wa Bodi ya Afya ya Kilosa zinakamilishwa, Halmashauri nyingine nchini zinakaribishwa kutembelea Mkoa wa Morogoro ili kujifunza utekelezaji wa Bodi za Afya na jinsi ya kusikiliza na kupokea Sauti ya Jamii na kiu ya wananchi ya kupata huduma bora za Afya. Bw. Mankambila, JCD Katibu wa Afya Morogoro BODI YA UHARIRI Mwenyekiti Bw. N. Masaoe Afisa Afya Mkoa Katibu Bi. C. Maro Mratibu wa Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto Wilaya Morogoro Msaidizi wa Katibu Bi. N. Ahmed Afisa Muuguzi Manispaa Morogoro Wajumbe Bw. J. Mankambila Katibu wa Afya Mkoa Dk. G. Mtey Mganga Mkuu Manispaa Morogoro Dk. O. Mbena Mganga wa Meno Wilaya Morogoro Bw. J. Bundu Afisa Afya Wilaya Kilosa Bw. D. Dia Katibu wa Afya Wilaya Kilombero Bw. B. Mbumbumbu Afisa Afya Wilaya Ulanga Bi. M. Tsuda Mshauri, MHP* Mshauri Mkuu Dk. M. Massi Mganga Mkuu Mkoa - Yaliyomo - o BODI ZA AFYA ZA WILAYA... 1 o TAHARIRI... 3 o BODI YA HUDUMA ZA AFYA MANISPAA... 4 o ZANA ZA KUANDAA MPANGO WA AFYA 5 o KIFUA KIKUU KILOSA... 6 o UTARATIBU WA USIMAMIZI KWA KANDA... 6 o CATOON... 8 Bw. N. Masaoe Bi. C. Maro Bi. N. Ahmed Mjumbe Mshiriki Dk. F. Fupi Kamati ya Ushauri Bw. H. Mohamed Mshauri, MHP* Mhadhiri, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Bw. J. Mankambila Dk. G. Mtey Dk. O. Mbena *MHP:Mradi wa Afya Morogoro (Morogoro Health Project), JICA Bw. J. Bundu Bw. D. Dia Bw. B. Mbumbumbu 2

3 JARIDA LA AFYA MOROGORO Bw. N. Masaoe Mwenyekiti Bodi ya Uhariri Wasomaji wetu wapendwa, kwa niamba ya Bodi ya Uhariri wa hili jarida nawakaribisha kwa Toleo la Nne, ambayo ina habari za kipindi cha Julai 2004 hadi Juni Bodi inawashukuru wasomaji waliotuma habari za kuchapisha. Tunawataka radhi kwa kushindwa kuchapisha habari zote mlizo tuna. Tunawahakikishia kwamba habari ambazo hazikuchapishwa kwenye makala hii, zimehifadhiwa vizuri kwa matumizi ya makala zifuatazo. Aidha tunapongeza wasomaji waliotuma maoni kuhusu toleo la tatu, maoni yao yametumika kuboresha makala hii. Bodi inapenda kuarifu wasomaji wetu kwamba Bw. C. Kakwaya, Mjumbe wa Bodi ambaye pia alikuwa Katibu wa Afya Wilaya ya Kilombero, amehamishiwa Mkoa wa Dodoma kuwa Katibu wa Afya wa Mkoa. Nafasi yake imechukuliwa na Bw. Dia Alliy Dia, aliyekuwa Katibu wa Afya wa Mkoa wa Ruvuma. Bodi inamkaribisha Bw. D.A. Dia na kumpongeza Bw. C. Kakwaya kwa mchango wake katika vikao vya Bodi. Utoaji wa huduma za afya Mkoani Morogoro na Nchini kwa ujumla, umepiga hatua kubwa, pale ambapo wananchi wamewezeshwa Kisheria kusimamia hizi huduma. Halmashauri za Wilaya nne hapa mkoai ambazo ni Manispaa, Ulanga, Kilombero na Morogoro Vijijini, wamezindua Bodi na Kamati za huduma za afya. Bodi na kamati zilizotajwa husaidia kusimamia utoaji wa huduma kwa kusimamia maeneo yafuatayo:- Usimamizi mzuri wa huduma za afya Kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko wa Afya wa Jamii Kushiriki katika kupanga huduma za afya katika ngazi ya kituo cha huduma za afya Kutafuta/kubuni vyanzo mbadala vya mapato vya kuimarisha utoaji wa huduma za afya Tunaomba wasomaji wetu kuendelea kutoa maoni na habari za kuchapisha kwenye makala zinazofata. Bodi inawataka radhi wasomaji wetu kwamba kutokana na matatizo nje ya uwezo wetu, hatukuweza kuchapisha nakala hii kwa wakati uliopangwa. Bw. N. Masaoe Mwenyekiti Bodi ya Uhariri 3

4 UZINDUZI WA BODI YA HUDUMA ZA AFYA MANISPAA YA MOROGORO Kuanzishwa kwa Bodi ya Afya ya Manispaa na Kamati za Usimamizi wa Vituo vya kutolea huduma za Afya katika Manispaa ya Morogoro kulifanywa kwa mujibu wa Sheria Na. 7 na 8 ya mwaka 1982 na sheria ndogo ya Manispaa (bylaw) kipengele na. 52A iliyotungwa mwaka 2002 inayolenga kutekeleza Maboresho katika Serikali za Mitaa (LGRP) na Mabadiliko katika Sekta ya Afya (HSR) yanayoendelea nchini. Uzinduzi wa Bodi ya Afya ulifanyika katika sherehe iliyofana mnamo tarehe 28/9/2004 baada ya mafunzo ya siku 3 kwa wajumbe wa Bodi na wale wa Kamati za Usimamizi yaliyotolewa na Wawezashaji kutoka Wizara ya Afya. Kama ilivyo katika sheria, uzinduzi huo ulifanywa na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Mathew Sedoyeka na kuhudhuriwa pia na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mheshimiwa Francis E. Kayenzi, Naibu Meya Mheshimiwa Mohamed Lukwele, Waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi wa Manispaa Bw. A.P. Mageka na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Ritha Lyamuya. Wakuu wa Idara na Watendaji wa Kata za Manispaa nao walishiriki. Uzinduzi wa Kamati za Usimamizi wa Vituo vya huduma za afya ulifanyika mwezi Februari 2005, hivyo kukamilisha zoezi la msingi la kukabidhi wananchi jukumu kubwa la kushiriki katika kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo na kusimamia utekelezaji wa mipango ya afya katika maeneo yao. Kamati zilizohusika ni za Vituo 3 vya Afya vya Sabasaba, Mafiga na Uhuru. Aidha Kamati 4 za Zahanati za Kingolwira, Towero, Mbete na Konga zilihusika katika uzinduzi huo na hivyo kufanya Vituo vyote vya Huduma za Afya vinavyomilikiwa na Halmashauri katika Manispaa ya Morogoro kuwa na Kamati za Usimamizi. Kwa mujibu wa sheria, uzinduzi wa Kamati za Usimamizi ulifanywa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro ambaye alifuatana na Wajumbe wa Bodi ya Afya, Mganga Mkuu na Maofisa wengine mbalimbali wa Manispaa ya Morogoro. Katika uzinduzi huo, Mstahiki Meya aliwapongeza wanakamati wote kwa kuchaguliwa kwao. Aliwaasa kuepuka misuguano na tofauti baina yao na kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na kwa kujali matakwa ya wananchi wanaowawakilisha ili, kwa kupitia kwao, wananchi waweze kushiriki katika kupanga, kutekeleza, kusimamia, kufuatilia na kutoa maamuzi yanayowahusu ya maendeleo yao katika Sekta ya Afya. Aliwakumbusha pia kufanya kazi kwa kuzingatia yale waliyojifunza katika semina iliyofanyika mara baada ya kuchaguliwa kwao na kuonya kuwa Kamati sasa ndizo zitakazowajibika kwa huduma nzuri au mbaya za afya katika eneo lake. Aidha aliwaasa wananchi kuzipa Kamati hizi kila aina ya msaada na kuwakumbusha kuwa jukumu la Afya ni jukumu la kila mwananchi. Bw. E. Rugiga Mafiga RHC Morogoro Manispaa 4

5 ZANA ZA KUANDAA MPANGO WA AFYA Wilaya za Morogoro na Mvomero kama wilaya nyingine za Tanzania Bara huandaa mpango kamambe wa pamoja kwa kila mwaka. Ili kuandaa mpango kamambe wa pamoja ulio boreka Halmashauri huandaa mpango kwa kutumia zana bora za mpango zilizoendelezwa na NUMA zifuatazo: Madhara ya Magonjwa Kila mpango ni lazima uwe na udhibitisho wa takwimu sahihi za magonjwa ili kujua, ugonjwa gani unaoogoza. Taarifa hupatikana kwa kutumia mfumo wa ufuatiliaji idadi ya watu katika Wilaya (Sentinel District Demographic Surveillance System) ambao utafuata ngazi ya kaya kwa wahamiaji wote, waliozaliwa, vifo na sababu ya vifo. Matumizi ya Fedha za Afya Wilaya Zana hii husaidia halmashauri kugawa kwa usawa rasilimali, huku Halmashauri ikiainisha madhara ya magonjwa na mambo mengine kama vile Matibabu ya Magonjwa ya Watoto kwa Uwiano (IMCI), Ukimwi, n.k. Programu inayotumika ambayo ipo kwenye kompyuta inayofahamika kama Uhasibu wa Fedha za Afya Kiwilaya (District Health Accounts Matrix DHA). ilivyoelekezwa katika kabrasha la Mwongozo (Cost Centre or Level according to Prototype Documents). Sauti ya Jamii Kama mpango unavyohitaji uthibitisho wa takwimu endelevu za msingi, kutoka katika mfumo wenyewe pia matumizi ya malengo muhimu ambao hutegemea mtazamo toka Ngazi ya kijiji katika mpango mchakato ambao hutolewa na jamii kwa kushirikishwa katika vitendo na utafiti (Participatory Action Research PAR). Zana hizi hutumika kutambua mikakati ya misingi ya kijamii ambayo huhakiki matumizi na kuongeza ufanisi endelevu katika jamii unaofaa kiafya. Kwahiyo basi humpa mwananchi uwezo wa kuwa na sauti kwa yale yote yanayowahusu. Zana zilizotajwa hapo juu husaidia Halmashauri kugawa raslimali kwa kufuata uwiano wa magonjwa yanayoongoza kwa kuzingatia kipaumbele cha matatizo katika mpango kamambe wa mfuko wa pamoja, na hata kuonyesha matumizi ya fedha wakati wa utekelezaji kwa kuzingatia mgawo wa fedha hizo. Muundo wa Gharama Kiwilaya Zana hii hutumika kuchanganua matokeo ya gharama ya utekelezaji.hivyo zana husaidia katika ufanisi wa kiufundi kwa kuipa Timu ya Uendeshaji Huduma za Afya Wilaya ya Morogoro na Mvomero kutoa mrejesho wa mwaka kwa magonjwa, na gharama ya magonjwa kwa kila kituo cha tiba kama Dk. M. Omari Daktari wa Kinywa/Meno (W) CHMT-Mvomero 5

6 MUELEKEO WA HALI YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU WILAYA YA KILOSA Wilaya ya Kilosa ni kubwa kuliko zote Mkoani Morogoro, ikiwa na wakazi 502,225 (Sensa ya 2002 ya watu). Wilaya hii ni ya pili kimkoa kwa wingi wa wagonjwa wa kifua kikuu waliotolewa taarifa. Mwaka 2004 ilikuwa na wagonjwa 712 wa aina zote za kifua kikuu. Manispaa ya Morogoro inaongoza kwa wingi wa wagonjwa wa kifua kikuu. Mwaka 2004 wagonjwa 1,277 walioripotiwa. Kuwepo wagonjwa wengi wilayani Kilosa kunaweza kusababishwa na mambo yafuatayo: Umaskini unaosababisha jamii waishi kwenye nyumba na lishe duni. Kiwango kikubwa cha maambukizo ya ukimwi. Wateja kuhamasika kufuata tiba mapema, hali inayosaidia ugunduzi wa wagonjwa mapema. Kuwepo rasilimali za kutosha za kugundua na kutibu kifua kikuu kikamilifu. Ugonjwa wa kifua kikuu cha mapafu husababishwa na bacteria aina ya Acid Fast Bacilli waitwao Mycobacterium tuberculosis. Aina nyingine ya hawa bacteria kama Mycobacterium bovis na Mycobacterium africanus husababisha kifua kikuu nje ya mapafu (Extra Pulmonary Tuberculosis). Bacteria wanaosababisha kifua kikuu cha mapafu huenezwa kwanjia ya hewa, mgonjwa anapokohoa, kupiga chafya ama anapozungumza bila kuchukua tahadhari. Kifua kikuu nje ya mapafu huenezwa kwa kula mazao yatokanayo na ngombe kama vile nyama ama maziwa yaliyochafuliwa na hawa bacteria. Hatua za kuzuia kifua kikuu ni pamoja na: Ugunduzi mapema wa wagonjwa pamoja na matibabu sahihi. Kuwapatia chanjo ya BCG watoto wote wanaozaliwa. Kuishi kwenye nyumba zenye mwanga wa kutosha na kuepuka msongamano. Kuwapatia lishe bora watoto chini ya miaka mitano na walioko katika hatari ya kuathirika. Kuhamasisha jamii kuhusu ugonjwa unavyoenea na mbinu za kujikinga. Ukaguzi endelevu wa nyama na maziwa, na kuhakikisha maziwa na bidhaa zake zinatakaswa (pasterurization). Hali ya wagonjwa wa kifua kikuu kwa miaka 5 ya nyuma imeonyeshwa kwa michoro hapa chini. IDADI YAWAGONJWANAVIFO HALI YA UGONJWA NA VIFO MWAKA MIAKA MIAKA UGONJWA VIFO Bw. G. Mkoba Mratibu wa Kifua Kikuu na Ukoma Kilosa UTARATIBU WA USIMAMIZI KWA KANDA Utaratibu wa kufanya Usimamizi kwa kanda (Integrated Management Cascade - IMC) unaboresha utoaji wa maamuzi wa haraka na ushirikishwaji wa watendaji wa ngazi za chini 6

7 kwa utekelezaji wa shughuli zilizomo katika Mpango wa Afya wa Wilaya na Mabadiliko katika Sekta ya Afya. Lengo Kuu la Utaratibu huu ni kuwezesha watendaji walio chini ya Ngazi ya Timu ya Uendeshaji ya Wilaya kutekeleza majukumu ya usambazaji wa vifaa, usimamizi, mafunzo, na kuboresha mawasiliano kati ya vituo vya Huduma na Ngazi ya wilaya. Katika hali ya kawaida ni vigumu kwa Timu ya Uendeshaji ya Wilaya kufanya usimamizi ipasavyo kwa vituo 98 vya Huduma kutokana na kutokuwa na muda na watumishi wa kutosha. Pamoja na kutekeleza mabadiliko katika Sekta ya Afya na kuundwa kwa Timu za Uendeshaji za Wilaya, mawasiliano na ushirikishwaji wa vituo vya ngazi ya chini ulikuwa duni. Ili kukabiliana na mapungufu hayo utaratibu wa usimamizi wa Kanda ulianzishwa mwaka 1998, ili kukasimu baadhi ya majukumu ya Timu ya uendeshaji kwa vituo vya Afya ili wasimamie Zahanati zilizopo chini yao. Juhudi za kuimarisha utaratibu huu ni pamoja na kufunga simu za upepo, kutoa Pikipiki, Magari ya wagonjwa na kuwepo kwa watumishi wenye ujuzi. Miongoni mwa majukumu ya Timu ya uendeshaji yaliyo kasimiwa kwa vituo vya Afya ni pamoja na:- Usimamizi na mafunzo ya watumishi juu ya uendeshaji wa huduma za Afya Uagizaji na usambazaji wa vifaa vya tiba, dawa na vyandarua vyenye viuatilifu Ukarabati wa vituo vya Huduma na nyumba za watumishi, kwa mpango wa kutumia nguvu za wananchi Ukusanyaji wa vyandarua vyenye uatilifu kwa ajili ya mauzo, na taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya Kushughulikia kupeleka wagonjwa wa rufaa katika ngazi ya juu kwa matibabu zaidi Uchambuzi wa takwimu za MTUHA ngazi ya kituo Kushauriana na wilaya juu ya masuali ya kijamii, kupanga ratiba ya likizo na mgawanyo wa watumishi Manufaa ya Mpango huu ni:- Uanzishaji wa Maabara za Kanda ili kuhudumia zahanati zao Kushirikisha Kanda katika kuboresha kupanga Mpango wa Hudumza za Afya Usimamizi wa fedha baada ya kuanzishwa kwa Bodi ya Afya wilaya na Kamati za Afya za Kata na Vituo Utekelezaji wa Kampeni za kitaifa kwa Vitamin A, Surua, na Siku za Chanjo Kutafuta rasilimali kutoka jamii Ili kuimarisha na kufanya Mpango huu kuwa endelevu, yafuatayo ni muhimu yazingatiwe:- Kuwajengea uwezo wa usimamizi Wakuu wa Kanda za Usimamizi Kuimarisha uhamasishaji wa Utaratibu huu ili ueleweke zaidi Kutoa vifaa vya mawasiliano kama simu za upepo ili kuimarisha mawa siliano na rufaa ya wagonjwa Mafanikio ya Mpango huu katika Halmashauri ya Morogoro yamepokelewa vizuri katika ngazi zote na yamezivutia Halmashauri nyingine ambazo zimekwisha anza kuja kujifunza toka ndani na nje ya Mkoa wa Morogoro, na tunazidi kuwakaribisha. CHMT Wilaya ya Morogoro 7

8 CATOON UMUHIMU WA KUCHANGIA HUDUMA ZA AFYA Mtungaji/Mchoraji: Bw. J. Bundu Kwanini hutaki kujiunga na mfuko wa afya ya jamii? Mbona watoto wangu wanatibiwa Je wewe ukiugua utajigeuza mtoto????????? Tunawaomba wasomaji wetu watoe maoni yao kuhusu jina litakalofaa kuitwa jarida hili. Aidha tunaomba wasomaji wetu watume makala za kuchapisha kwenye toleo la Desemba 2005: zenye maneno yasiyozidi 400, zinazohusiana na afya ama maoni kuhusu huduma za afya zinazotolewa katika mkoa wa Morogoro. Makala au barua za maoni zitumwe kwa anuani zifuatazo:- Mhariri, Jarida la Afya Morogoro S.L.P. 110, MOROGORO au, S.L.P. 1193, MOROGORO, FAX au, Yapelekwe kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya husika:- S.L.P. 166, Morogoro Manispaa S.L.P. 1862, Morogoro S.L.P. 14, Kilosa S.L.P. 47, Ifakara, Kilombero S.L.P. 4, Mahenge, Ulanga LIMECHAPISHWA NA BODI YA UHARIRI JARIDA LA AFYA MOROGORO S. L. P. 110, MOROGORO 8

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU 2007 Toleo la Tatu Kitabu hiki kimetayarishwa

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA 1.0 UTANGULIZI Taarifa ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kimkoa imeandaliwa kwa kuzingatia sehemu za Historia

More information

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,

More information

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Shukrani Ahadi hizi zilikusanywa

More information

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU, HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000 Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji 1 Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira, Bioanuwai, Misitu, Nyanda za Miti, na Maeneo Chepechepe Katika Delta na Bonde la Rufiji Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi OFISI YA RAIS IKULU NA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MAWAZIRI 1 Barabara ya Barack Obama, S.L.P 9120, 11400 Dar es Salaam Simu: 022 2116898/0222116900; Nukushi: 022 2128585 Email: Ikulu@Ikulu.go.tz; Website

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

Zanzibar itafutika-mwanasheria

Zanzibar itafutika-mwanasheria Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

YA AL HABBIB SAYYEID

YA AL HABBIB SAYYEID YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. VACATION BIBLE SCHOOL VBS 2018 Newsletter #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. Pre-school Week 8th - 10th August Grade 1-8 13th - 17th August Pre-school Week Word from the Children s Pastor

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii. . i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m.

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m. December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Wednesday, 6 th December 2017 The House met at 9.30 a.m. [The Temporary Deputy Speaker (Hon. (Ms.) Mbalu) in the Chair] PRAYERS

More information

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database Ezra 3 Lessons Free PDF ebook Download: Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database of Ezra (Ezra 7:28; and repeatedly in Ezra 8-9).. (also

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Introduction - English... 3 Introduksjon - Norsk:... 4 Utangulizi - Kiswahili:... 5 Importance of faith to youth...

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK ON JUNE 4 th, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

Change Your Destiny CONFERENCE

Change Your Destiny CONFERENCE Change Your Destiny CONFERENCE Initiative to Build Spiritual Movements in Tanzania You have been wandering around in this hill country long enough; turn to the north Deuteronomy 2:3 (NLT). LIFE Ministry

More information

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

AND REACTION IN SWAHILI POETRY. REVOLUTION AND REACTION IN SWAHILI POETRY. M. M. MULOKOZI** Swahili poetry is that poetry, written or oral, which has been or is being produced in the Swahili language by East Africans. Swahili poetry

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA Perichoresis Volume 14. Issue 1 (2016): 21-39 DOI: 10.1515/perc-2016-0002 ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA WABOMBA SYCHELLUS NJIBWAKALE * Emmanuel Christian

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 38 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY, HELD AT MODOGASHE ON

More information

INSTITUTIONALIZED IDENTITIES IN INFORMAL KISWAHILI SPEECH: ANALYSIS OF A DISPUTE BETWEEN TWO ADOLESCENTS

INSTITUTIONALIZED IDENTITIES IN INFORMAL KISWAHILI SPEECH: ANALYSIS OF A DISPUTE BETWEEN TWO ADOLESCENTS AAP 55 (1998) 115-128 INSTITUTIONALIZED IDENTITIES IN INFORMAL KISWAHILI SPEECH: ANALYSIS OF A DISPUTE BETWEEN TWO ADOLESCENTS SIGURD D'HONDI Introduction In conversation, participants operate under the

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

Mission, Church and Tradition in Context

Mission, Church and Tradition in Context Mission, Church and Tradition in Context Emic Perspectives on the Encounter and Tension between Traditional Bena Religion and Lutheran Christianity in Ulanga, Tanzania PHD-dissertation Faculty of Theology

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 25 05.02.2006 0:37 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 6 (8 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

3 rd of 3 files Appendix and References

3 rd of 3 files Appendix and References University of Birmingham Research Archive e-theses repository This unpublished thesis/dissertation is copyright of the author and/or third parties. The intellectual property rights of the author or third

More information

AFRIKA FOCUS, Vol.3, Nr.3-4, 1987, PP

AFRIKA FOCUS, Vol.3, Nr.3-4, 1987, PP AFRIKA FOCUS, Vol.3, Nr.3-4, 1987, PP- 165-193 SWAHILI SONGS OF DEFIANCE AND MOCKERY Jan KNAPPERT 40 Fitzjohn Avenue Barnet Herts EN5 2HW UNITED KINGDOM CURRENT RESEARCH INTEREST : Traditional Swahili

More information

MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar

MASHAIRI YA WAADHI VERSES OF ADMONITION: the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar AAP 42 (1995). 138-157 MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar MUKH!ASARI [SUMMARY] Aliyetunga kasiga hii, Sheikh Abgallah al-husni,

More information

Cultural Considerations Tanzania Excursion

Cultural Considerations Tanzania Excursion Cultural Considerations Tanzania Excursion The Roots of Change Cultural Considerations Table of Contents Tanzania Cultural Considerations... 3 Swahili Language Key Phrases... 4 Tribes of Tanzania... 5

More information

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate African Review Vol. 41, No. 1, 2014: 161-181 Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate Japhace Poncian * Abstract On 26 April 1964 Tanganyika and Zanzibar

More information

A COLLECTION OF 100 MAKONDE (KENYA) PROVERBS AND WISE SAYINGS

A COLLECTION OF 100 MAKONDE (KENYA) PROVERBS AND WISE SAYINGS By MARGARET WAMBERE IRERI African Proverbs Working Group Nairobi Kenya MAY 2017 1 ACKNOWLEDGEMENT Special thanks go to the African Proverbs Working Group (APWG) Moderator, Father Joseph Healey of the Maryknoll

More information

I Peter 5:1-4 Good Leaders

I Peter 5:1-4 Good Leaders I Peter 5:1-4 Good Leaders In a time when power is abused in the world When powerful people can do anything as long as the company is running well The leaders of the church are to act differently Peter

More information

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Hanah Chaga Mwaliwa Hanah Chaga Mwaliwa is a lecturer of Swahili language and linguistics in the Department of Kiswahili, University

More information

Mother s Day. Fête des mères 母亲节 母の日 יום המשפחה म त द वस 母親節. Día de la Madre 어머니날. Ημέρα της μητέρας

Mother s Day. Fête des mères 母亲节 母の日 יום המשפחה म त द वस 母親節. Día de la Madre 어머니날. Ημέρα της μητέρας Fête des mères 母亲节 Mother s Day 母の日 म त द वस 母親節 יום המשפחה Día de la Madre Ημέρα της μητέρας 어머니날 What does the Bible say about Work Ephesians 6:5-9 We spend a majority of time at work And so this is

More information

Proofs Of A Conspiracy Against All The Religions And Governments: The Secret Meetings Of Freemasons, Illuminati And Reading Societies By John Robison

Proofs Of A Conspiracy Against All The Religions And Governments: The Secret Meetings Of Freemasons, Illuminati And Reading Societies By John Robison Proofs Of A Conspiracy Against All The Religions And Governments: The Secret Meetings Of Freemasons, Illuminati And Reading Societies By John Robison Historian - Did Hitler Have Reason To Hate The Jews?

More information