MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

Similar documents
John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

Vitendawili Vya Swahili

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

NEW INTERNATIONAL VERSION

Ukweli wa hadith ya karatasi

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

There is one God Mungu ni mmoja 1

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

The Lord be with you And with your spirit

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

I Peter 4:12-19 Suffering with a Blessing

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

NEW INTERNATIONAL VERSION

Rainbow of Promise Journal

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

TUMERITHI TUWARITHISHE

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Zanzibar itafutika-mwanasheria

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

The Salvation Story in the Bible Adam and Eve

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m.

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

Faith comes by hearing, and hearing the word of God. IMANI RADIO AND TV MINISTRIES

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

Yassarnal Quran English

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

YA AL HABBIB SAYYEID

English Proverbs And Their Meaning

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Proofs Of A Conspiracy Against All The Religions And Governments: The Secret Meetings Of Freemasons, Illuminati And Reading Societies By John Robison

3 rd of 3 files Appendix and References

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View

2

Revival Program Examples

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA

Song of Peace. Verse 2, Part II: Dona nobis pacem, pacem. Dona nobis pa cem. Do na nobis pacem. Dona nobis pacem. Do na no_bis_pacem

ABSN HOLDS WOMEN S DAY IN HONOUR OF LADY FATEMA ZAHRA (AS) AT RASUL AL AKRAM.ACADEMY. LANGATA.

A COLLECTION OF 100 MAKONDE (KENYA) PROVERBS AND WISE SAYINGS

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

Immaculate Conception Church

OF PRESENCES/ABSENCES, IDENTITY AND POWER: THE IDEOLOGICAL ROLE OF TRANSLATION INTO SWAHILI DURING LATE PRE-COLONIAL AND EARLY COLONIAL TIMES

I Peter 5:1-4 Good Leaders

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

A LITURGY FOR MAUNDY THURSDAY, 21 ST APRIL 2011 AT ST ANDREW S PRO- CATHEDRAL CHURCH, THIKA AT 7.00 PM

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

Minutes of the Meeting of the African Proverbs Working Group, Saturday, 23 February, 2013

Transcription:

102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) MUDA: SAA: 2½ MAAGIZO: (a) Jibu maswali manne pekee. (b) Swali la kwanza ni la lazima. (c) Maswali hayo mengine matatu yachaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki yaani; Tamthilia, Ushairi, Hadithi Fupi na Fasihi Simulizi. (d) Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja. 1

Kiswahili Karatasi ya Tatu SEHEMU A: SAID A. MOHAMED Fungua Ukurasa SWALI LA LAZIMA: (ALAMA 20) 1. Ujenzi wa jamii mpya ni mojawapo wa maudhui ambayo mwandishi wa Riwaya ya Utengano ameshughulikia kwa undani. Thibitisha ukweli wa kauli hii. SEHEMU B: TAMTHILIA MSTAHIKI MEYA: TIMOTHY M. AREGE 2. Kwa kuzingatia Tamthilia ya Mstahiki Meya, eleza huku ukitolea mifano, mbinu alizotumia Mstahiki Meya kuudumisha uongozi wake. (alama 20) 3. Si nyinyi nd o mjuao wanangu! nilikiona afadhali. (a) Eleza muktadha wa maneno haya. (alama 4) (b) Taja na utolee mifano ya mbinu zozote mbili za uandishi zilizotumika katika kifungu hiki. (alama 4) (c) Fafanua maudhui yanayorejelewa na dondoo hili. (alama 12) SEHEMU YA C: 4. USHAIRI Uungana mbia ni mui, katu siuwati wema, Wewe ndiwe wangu bui, na Lousiwa ni mama, Neno kwamba suijui, ni kupotosha heshima, Siati kutenda wema, kaandama uadui. Wema nambiwa na ndia, hadi bandari salama, Hayo niliyasikia, wao wahenga wa zama, Penye wema tajitia, nipate taadhima, Siati kutenda wema, japo munganinunia. Ni iwe kupawa mali, ya kuhadaa mtima, Niandame ufidhuli, nitengane nao wema, 2

Hilo sitokubali, hapo waja wangasema, Siati kutenda wema, ujapokuwa ni ghali. Kiswahili Karatasi ya Tatu 2 Sitomcha kabaila, nganiteuza nache wema, Muunganitia na jela, kisa imefanza huruma, Haragwe lenu talila, pamoja na yenu sima, Siati kutenda wema, japo tagoni talala. Haufi mungaufisha, au hamipo karima, Mola atauhusha, weleleapo kuzama, Mimi ni huo maisha, hadi siku ya kiama, Siati kutenda wema, nganitia mshawasha. Wema ingawa mchungu, tajaribu kutotema, Tautenda nenda zangu, niache wanaosema, Malipo yangu kwa Mungu, hayo, yenu si, lazima, Siati kutenda wema, kigharimu roho yangu. (a) Ukizingatia beti nne za mwanzo, taja mambo ambayo hata mshairi akifanyiwa hawezi kuacha kutenda mema. (alama 4) (b) Eleza jinsi mtunzi wa shairi hili alivyotumiwa uhuru wake. (alama 4) (c) Mshairi alipata wapi ari ya kuzingatia wema? (alama 1) (d) Eleza maudhui ya shairi hili. (alama 2) (e) Fafanua muundo wa ubeti wa pili. (alama 2) (f) Andika ubeti wa mwisho katika lugha ya nathari. (alama 4) (g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi. (alama 3) (i) Mtima (ii) Kutotema (iii) Kigharimu roho yangu SEHEMU D: 3

HADITHI FUPI: DAMU NYEUSI NA HADITHI NYINGINE MKE WANGU M.S.A 5. (a) Anwani mke wangu inasawiri yaliyomo katika hadithi husika. Jadili. (alama 10) (b) Jadili nafasi ya mwanamke katika jamii hii. (alama 10) Kiswahili Karatasi ya Tatu 3 6. DAMU NYEUSI KEN WALIBORA Eleza jinsi ubaguzi na unyanyasaji unavyosawiria katika hadithi hii. (alama 20) AU 7. Leo ni siku ya siku, siku ya nyani kufa ambapo miti yote huteleza. (a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4) (b) Eleza tamathali za usemi zilizotumika katika dondoo hili. (alama 4) (c) Fafanua maudhui yanayorejelewa katika dondoo hili. (alama 12) SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI 8. (a) Taja sifa zozote nne za maigizo. (alama 4) (b) Taja aina zozote nne za maigizo. (alama 4) (c) Ni nini tofauti ya maigizo na hadithi. (alama 6) (d) Eleza dhima ya maigizo kama utanzu wa fasihi simulizi. (alama 6) 4

ANSWERS: Order a copy of answers from www.schoolsnetkenya.com/order-e-copy NB> We charge Kshs. 100 ONLY to meet website, e-resource compilation and provision costs 5

Kiswahili Karatasi ya Tatu 4 6