BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

Similar documents
MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

TUMERITHI TUWARITHISHE

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

NEW INTERNATIONAL VERSION

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

There is one God Mungu ni mmoja 1

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

Ukweli wa hadith ya karatasi

Rainbow of Promise Journal

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

Cultural Considerations Tanzania Excursion

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

Vitendawili Vya Swahili

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

Proofs Of A Conspiracy Against All The Religions And Governments: The Secret Meetings Of Freemasons, Illuminati And Reading Societies By John Robison

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

The Lord be with you And with your spirit

Zanzibar itafutika-mwanasheria

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

YA AL HABBIB SAYYEID

Daniel and Andrea Ryder CRU Buenos Aires, Argentina

2

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?

Lyle and Jette Hall Reply-To: To:

Dear Scott and faith Radio Listeners, Greetings in Jesus name. Happy Easter.

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

I Peter 4:12-19 Suffering with a Blessing

Innovations and new trends in Small Christian Communities (SCCs) in Africa today By Joseph Healey, M.M.*

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View

Yassarnal Quran English

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

I Peter 2:9-12 Who Are You?

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

ARCHETYPAL MOTIFS IN SWAHILI ISLAMIC POETRY: KASIDA YA BURUDAI

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

Immaculate Conception Church

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

NEW INTERNATIONAL VERSION

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

I Peter 5:1-4 Good Leaders

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA

Mission, Church and Tradition in Context

The Zephyr. Send us your links! Fran Raven,

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE?

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace?

Transcription:

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI YA USAJILI WA KITUO CHA TIBA ASILI (Kwa mujibu wa kifungu. 14-16 cha sheria ya Tiba Asili na Tiba Mbadala Na.23 ya mwaka 2002, kifungu. 35 cha kanuni za usajili) SEHEMU YA KWANZA (Ijazwe na Mwombaji) Fomu zijazwe katika nakala nne na itumike katika eneo moja tu 1. JINA KAMILI LA MWOMBAJI: Jina la Ukoo: Jina la kwanza:. Majina mengine:.... 2. Utaifa... 3. Mkazi wa: Mkoa...Wilaya... Kata...Kijiji/Mtaa... 4. Tarehe ya Kuzaliwa... 5. Jinsi... 6. Anwani... 7. Simu... 8. Aina ya Kituo cha tiba asili kinachoombewa usajili (weka alama ya mbele ya aina ya kituo unachotaka kufungua). (a): [ ] Kilinge; Magonjwa ya kawaida au Magonjwa ya Akili au Kuunga Mifupa (b): [ ] Kiliniki; Magonjwa ya kawaida au Magonjwa ya Akili au Kuunga Mifupa (c): [ ] Hospitali; Magonjwa ya kawaida au Magonjwa ya Akili au Kuunga Mifupa (d): [ ] Duka la kuuza dawa za Asili au (e): [ ] Huduma za ukunga wa tiba asili 9. Anwani ya mahali Kituo kilipo...

10. Muda wa kuishi mahali hapo..... 11. Elimu (rasmi) ya mumiliki wa kituo kinachoombewa usajili.. 12. Elimu ya Uganga au Ukunga au utaalamu wa dawa: a. Muda wa mafunzo... b. Kurithi/kurithishwa.. 13. Usajili wa muda/kudumu wa Mtaalamu anayeomba kusajili kituo. Mwaka aliosajiliwa.. Namba ya kusajiliwa... 14. Mwaka, Mtaalamu alipopata leseni., Namba ya leseni... 15. Aina ya tiba asili [ ] uganga, [ ] ukunga, [ ] uuzaji dawa za tiba asili 16. Aina ya huduma (weka alama panapohusika) [ ] Wagonjwa wa nje, [ ] Wagonjwa wa kulazwa, [ ] Kuuza dawa 17. Makadirio ya thamani ya dawa zilizopo dukani ni shilingi Ninathibitisha kuwa kwa jinsi ninavyofahamu maelezo yaliyotolewa hapo juu ni sahihi...... Saini ya mwombaji Tarehe 2

(i) SEHEMU YA PILI MAONI NA MAPENDEKEZO YA: OFISI YA AFISA MTENDAJI WA KIJIJI AU MTAA Wajumbe wa Baraza la Kijiji au Mtaa linalokaa kumjadili mwombaji wa fomu hii, kabla ya kumjadili muwe kwanza mnamfahamu na mnazo kumbukumbu za kumjadili yeye mwenyewe alipoomba kusajiliwa kama mganga au mkunga au muuza dawa za tiba asili. Kama hafamiki na hakuna kumbukumbu hizo mwombaji ashauriwe kuwa apeleke fomu hii katika Kijiji au Mtaa alikosajiliwa kama mganga au mkunga au muuza dawa za tiba asili. Kwa azimio lililopitishwa na Baraza la Kijiji au Mtaa tarehe... napendekeza kuwa mwombaji aliyetajwa hapo juu asajili/asisajili (futa isiyohitajika) kituo cha tiba asili au duka dawa asili kwa sababu zifuatazo (taja sababu za kukataa)........... Tarehe (ii) OFISI YA AFISA MTENDAJI WA KATA Wajumbe wa Baraza la Kata linalokaa kumjadili mwombaji wa fomu hii, kwanza kabla ya kumjadili muwe nazo kumbukumbu za kumjadili yeye mwenyewe alipoomba kusajiliwa kama mganga au mkunga au muuza dawa za tiba asili. Kama hakuna kumbukumbu hizo mwombaji ashauriwe kuwa apeleke fomu hii katika Kata alikosajiliwa kama mganga au mkunga au muuza dawa za tiba asili. Kwa uamuzi uliopitishwa na Kamati ya Maendeleo ya Kata tarehe napendekeza kuwa mwombaji hapo juu asajili/asisajili (futa isiyohitajika) kituo cha tiba asili kwa sababu zifuatazo (taja sababu za kukataa)..... Tarehe. 3

(iii) OFISI YA MKURUGENZI WA WILAYA, MJI/MANISPAA AU JIJI Kwa uamuzi uliopitishwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya chini ya Mganga Mkuu wa Wilaya/Mji/Manispaa au Jiji, tarehe napendekeza kuwa mwombaji hapo juu asajili/asisajili (futa isiyohitajika) kituo cha tiba asili kwa sababu zifuatazo (taja sababu za kukataa)... Tarehe. (iv) OFISI YA MGANGA MKUU WA MKOA Kwa uamuzi uliopitishwa na Timu ya Usimamizi wa Huduma za Afya chini ya Mganga Mkuu wa Mkoa, tarehe napendekeza kuwa mwombaji hapo juu asajili/asisajili (futa isiyohitajika) kituo cha tiba asili kwa sababu zifuatazo (taja sababu za kukataa)...... Tarehe. SEHEMU YA TATU UAMUZI: (KWA MATUMIZI YA OFISI TU) 1. Ombi hili limekubalika/limekataliwa kwa sababu zifuatazo:-......... Saini ya Msajili. Tarehe 4

Fomu hii iwasilishwe na vitu au nyaraka zifuatazo:- 1. Picha nne ndogo za ukubwa wa pasipoti. 2. Mapendekezo au maoni kutoka katika Kijiji/Mtaa, Kata, Wilaya/Manispaa/Jiji na Mkoa ambako mwombaji anatolea huduma zake. 3. Malipo yasiyorudishwa: Kituo cha Mganga au Mkunga au Muuza dawa* Mijini (a) Kilinge Shillingi 25,000/= (b) Kiliniki Shillingi 55,000/= (c) Zahanati Shilingi 75,000/= (d) Kituo cha Afya Shilingi 100,000/= (e) Hospitali Shillings 305,000/= (f) Ukunga wa Tiba Asili Shillingi 55,000/= (g) *Duka au Stoo ya dawa za Tiba Asili 20,000/= 1,000,000/=* kutegemea ukubwa wa duka au stoo Kituo cha Mganga au Mkunga au Muuza dawa za asili Vijijini (a) Kilinge Shillingi 5,000/= (b) Kiliniki Shillingi 35,000/= (c) Zahanati Shilingi 45,000/= (d) Kituo cha Afya Shilingi 55,000/= (e) Hospitali Shillingi 155,000/= (f) Ukunga wa Tiba Asili Shillingi 35,000/= (g) Duka au Stoo ya dawa za Tiba Asili Shilingi 20,000/= Malipo yote yalipwe katika Akaunti ya Baraza iliyoko NMB Bank House Jina la Akaunti:- Baraza la Kitaaluma Namba ya Akaunti:- 20101000070 NMB Bank House 5

*Gharama za Usajili wa Kituo cha Kuuza dawa za Tiba Asili au Tiba Mbadala kutegemea ukubwa wa kituo chake* Mtanzania anayemiliki duka la dawa za asili (Dawa za kundi la 2) (a) Dawa BIASHARA MTAJI WA BIASHARA Biashara Ndogo ndogo Usiozidi shilingi milioni 5 Dawa kundi la 2 20,000 Biashara Ndogo Biashara ya kati Kati ya shilingi milioni 5 na 20 Dawa kundi la 2 30,000 Kati ya shilingi milioni 20 na 100 Dawa kundi la 2 40,000 Kati ya shilingi milioni 100 na 200 Dawa kundi la 2 50,000 Kati ya shilingi milioni 200 na 400 Dawa kundi la 2 100,000 Kati ya shilingi milioni 400 na 800 Dawa kundi la 2 500,000 Biashara kubwa Zaidi ya shilingi milioni 800 Dawa kundi la 2 1,000,000 Mtanzania anayemiliki duka la dawa za asili vijijini, usajili wa duka lake ni shilingi 20,000.00 (b) Devices, equipment FIRM CATEGORY CAPITAL INVESTMENT Micro Up to 5 millions 20,000 Small Five and Twenty millions Twenty and Hundred millions One hundred and Two hundred millions 30,000 40,000 50,000 Medium Two hundred and Four hundred millions Four hundred and Eight hundred millions 100,000 500,000 Large Above eight hundred millions 1,000,000 6