Zanzibar itafutika-mwanasheria

Size: px
Start display at page:

Download "Zanzibar itafutika-mwanasheria"

Transcription

1 Hili la kadhia ya Masheikh... au Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN Na DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Zanzibar itafutika-mwanasheria Komandoo Salmin alijitahidi lakini Uislamu nao sasa kutiwa kitanzi RAIS mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour. ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud. Majemadari hodari 10,000 kumkabililowassa,magufuli Bila kung oka Mfumo hakieleweki PICHA juu kabisa, wanafunzi wa Baltimore, North Caroline wakipinga chuki na mauaji dhidi ya Waislamu. Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" Washington DC, Oktoba 16, ANNUUR REAL.indd 1 MGOMBEA Urais kupitia CCM, Dkt. John Magufuli. MGOMBEA Urais kupitia CHADEMA (UKAWA), Mhe. Edward Lowassa. 10/15/ :55:05 PM

2 2 Mafundisho ya Quran/Maarifa Fethullah-Gulen Walikuwa watu ni umma mmoja akapeleka Mwenyezi Mungu Manabii hali ya kutoa habari njema na hali ya kukhofisha. [Al-Baqarah 213] Wanasema baadhi ya wafasiri katika kufasiri aya hii walikuwa watu wa umma mmoja kwamba binadamu wote walikuwa makafiri akampeleka Mwenyezi Mungu mtukufu nabii Nuhu (a.s.), kisha Mitume wengine. Isipokuwa tafsiri hii siyo sahihi kabisa. Kwa hakika watu walitoka tokea wakati wa Adam (a.s.) mpaka sasa katika kila wakati uwezekano wa kuongoka kwa yoyote katika Mitume na kuifuatana njia yake na kupanda juu kwa nafsi yake maana ilipatikana fursa hii wakati wote. Katika wao kuna aliyefuatilia hayo na katika wao kuna ambaye hakufaidika nayo akaendelea kubaki juu ya hali yake. Isipokuwa binadamu, hakubakia tokea kwanza pasi na muongozo. Na pamoja na kwamba baadhi yao walitofautiana kwa sababu ya ujumbe mpya ambao walipelekewa kwao Mitume, isipokuwa ni kwamba yale ambayo wamekuja nayo Mitume miongoni mwa uongozi ni mengi sana kuliko kutofautiana huku. Kufuatana na maoni ya Badiu-Zamani A-Noursy ni kwamba lau miche ishirini iliishi (ilibaki hai ikakuwa wakati mingine ilikufa) katika ujumla wa miche mia moja na ikawa ni miti mirefu, hapatasemwa kwamba mwenye miti hiyo alikuwa amepata hasara. Ni vivyo hivyo, lau wangeongoka watu kumi katika watu Baqara: 213 mia moja wakaamini na nafsi na matamaniwa na wakaishi na hali ya kuwa hawakuweza wengine wao, wanaelewa sababu ya kuzizuia nafsi zao na kuumbwa kwao na lengo kuendelea katika njia ya lake, idadi hii inatosha ili dhulma na kibri. Na hili watu wengine waepukane limepelekea kuendelea na mchezo wa kuumbwa. kutofautiana na kukuwa Ndiyo walikuwa watu kwake isipokuwa kwa njia wa kwanza ni umma mbalimbali na kwa taratibu mmoja, kwa fadhila ya nyingine zilizokuwa mitume ambao kulikuwa zinatofautiana na zile kuja kwao kunatokana na zilizotangulia. shina moja na chimbuko Ni hakika kwamba moja na kushuka kwa tofauti za mwanzo kati ya ujumbe wao kunatokana watu zilikuwa ni matokeo katika mbingu moja na ya kubadilika kwa hakika yale ambayo yameachwa katika mtazamo wao na na ujumla huu miongoni kugeuka kwake kwenye wa taathira katika hisia hakika zilizodhoofika na zao yamewapelekea kusambaratika kwake, na kwenye kuwa kundi moja. kuingia mahali pake vitu Hawakuwa wamekosa vingine. Ama tofauti za pili ustaarabu na hazikuwa ulikuwa msukumo wake, nafsi zao zimeepukana na ama hasadi au kuvuka dini na imani na hawakuwa mpaka katika mambo wenye kuvuka mipaka. na yale yanayopelekea Kisha wakatofautiana kwa kwenye hali hiyo miongoni ajili ya baadhi ya sababu mwa maelezo ya mbali na ambazo zimezuka na tafsiri zenye makosa, baada ukaharibika umoja wao. ya kuwa hakika zote ziko Na kwa hakika alisimama wazi na nukta zote ngumu binadamu wa kwanza kwa sababu ya hoja na ambaye alikuwa wakati ushahidi zimekuwa wazi huo huo ni Mtume wa au kuingia katika jitihada kwanza, na jukumu la za juu ambazo chimbuko kuunganisha na kuwafanya lake ni mapenzi ya nafsi watu kuwa wamoja kwa pamoja na haja na ushahidi muda mrefu sana. Kisha kutoka kwa Mwenyezi zikaanza baadhi ya tabia Mungu. ambazo zimejengwa kwa Yafahamu haya, pamoja binadamu kwa ajili ya na kujuwa kwamba kuyatuliza baadhi ya Mwenyezi Mungu mtukufu maslaha yake na vile vile alikuwa ameziondosha kwa ajili ya kumfanyia dosari zote katika masuala majaribio inadhihiri ya kujitahidi kwa aya zilizo kumfanyia majaribio wazi na akaziba njia zote inadhihiri taathira yake na zenye kupelekea kwenye utendaji wake. Vikaanza tafsiri zenye kuchimbuka vishawishi vya hisia na kutekeleza mapenzi ya raghaba vinakaa mahali nafsi na unaweza kulielezea pa akili na mantiki na jambo hili kwa kuyatumia mapenzi ya nafsi yakakaa maelezo ya wanawazuoni mahali pa uongofu. Ni wa Fiqhi na kwa ulimi wao kama hivyo ulishindwa kwa kusema: Hapana umoja na muungano ruhusa ya kutumia jitihada mbele ya kutofautiana. pamoja na kupatikana Isipokuwa Mwenyezi kwa msemo uliyo wazi wa Mungu mtukufu ambaye Qur an na Sunnah. amemuumba binadamu Ndiyo: hawa katika asili juu msingi hawakuzichukua siku wa unyoofu na usafi, aya ambazo zinalingania amewapeleka Mitume wapya ili aondoshe kwenye kukubaliana vikwazo vilivyopo kati na zinakuwa ni nyenzo ya moyo wa binadamu ya kukubaliana, bali na mambo yaliyothibiti wamekwenda haraka na amuonyeshe mwisho nyuma ya kujitahidi kwenye wa shari na apandikize kusimama juu ya mapenzi moyoni mwake matumaini ya nafsi yenye kupelekea ya kheri na amlinganie kwenye kutengeneza na kwenye kutahadhari na kutofautiana na jambo hili kuwa macho. limewafanya waporomoke Hata hivyo baadhi yao katika majangwa ya hawawezi kuokoka na kutofautiana kupigana kutekwa na mapenzi ya pande na kupotoka. Uwanja wa Vijana: Jiongezee Maarifa CHEMSHA BONGO NAMBA Jawabu Chemsha Bongo Namba 22 H K H A N D A K Y A B M A D U N I A M A A B A A P A R A F A K A J U Q K A M U Z D A D I U B I K N M I N A A B A J A E A A T A I F U A S M K A J J E E D A H I A A A L U M A M U N L T A J R I M I B R A H I M I U 2AH 7AH A N D I O M M O J A S I O MASAUALA 1.Jee, Mwenye-enzi-Mungu ana mtoto? Ndio /Sio Jawabu: Sio 2.Allah ni Wawili ndani ya mmoja, Mmoja ndani ya watatu, Mmoja. Jawabu: Mmoja 3.Jee, kuna tafauti katika mafundisho ya Mitume? Ndio/Hapana. Jawabu: Hapana 4.Dhul karnain alijenga ukuta kuwazuia nani? Jawabu: Yajuj Majuj 5.Nimrood alikuwa katika wakati wa Mtume yupi? Jawabu:Ibrahim 6.Vita viliopiganwa sio katika mwezi wa Ramadhan, Khandak, Badr, Fathi Makka. Jawabu: Khandak 7.Sahaba gani alisalisha ikiwa Mtume (SAW) angali hai? Jawabu: Abubakar 8.Adhana iliadhiniwa katika mwaka upi? Jawabu: 2 AH 9.Wakati wa Kiongozi gani wa Kiislamu ndipo Waislamu walipotengeneza sarafu yao wenyewe? Syd Umar, Mamun, Harun, Muawiya. Jawabu: Mamun 10.Makaburi ya Masahaba katika mji wa Madina yapo sehemu gani? Jawabu: Baqi CHEMSHA BONGO: 23 Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo M A R A M O J A J A M C B Y M I N A M A K K A 2 I E M A D I N A H Y A W L M M U Z D A L I F A H A E B A D R H A N D A K L N U M A R A L I N E M A T I S A N A N E K Y L M F U N G O S I T A A I D H U L H I J J A N W AH 10 AH M 1.Jee, unatakiwa kufanya ibada ya Hijja (a) Kila mwaka. (ii) Mara moja (iii) Kila baada ya miaka miwili. 2.Nani aliomua Umaya Bin Khalaf? 3.Masafa baina ya Jeedah na Madinah ni Kilomita 500, kilomita Hijja imefaradhishwa mwaka gani wa Hijra? 10, 12, 15 AH. 5.Abraham alikuwa mtawala wa Yemen, Misri au Syria? 6.Hijja inaanza tarehe ipi ya mfungo 3? 7.Siku iliyo muhimu kabisa ya Hijja ni ya tarehe ngapi mfungo 3? 8.Mahujaji wakitoka Arafa wanalala kwa usiku mmoja sehemu ipi? 9.Mawe mangapi kwa jumla hupigwa kwenye Jamaarat? 7, 21, Mwezi gani ndio mwezi wa Hijja? Dhul Hijja, Dhul Qaada, Rabil Awal Jee Unajua? 1.Nchi 10 zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta ikiongoza nchi ya Urusi na kufwatiwa na nchi zifwatazo nazo ni Saudi Arabia, Urusi, Iran, Falme za nchi za Kiarabu (UAE), Norway, Iraq, Kuwait, Nigeria, Canada, Marekani. largest-oil-exporting-countries/ 2.Nchi 10 zinazoongoza kwa uchimbaji wa almasi ni:urusi ikiongoza ikifwatiwa na Botswana, Congo DRC, Australia, Afrika ya Kusini, Canada, Angola, Namibia, Ghana na Brazil. countryranker.com/top-most-diamond-producing-countries/ 3.Nchi zinazoongoza utowaji wa maua na uuzaji wake? Uholanzi ni nchi namba mmoja ikifwatiwa na Marekani, Sweden, Brazil, Denmark, Switzerland, Australia, Malaysia, Cambodia. countryranker.com/which-country-produces-the-most-flowers/ 4.Nchi 10 zinaoongoza uzalishaji wa asali duniani ni Urusi, India, Mexico, Iran, Roumania, Korea ya Kaskazini, New Zealand, Poland, Kenya na Australia. 5.Zijue nchi 10 zenye kukaliwa na watu wengi kwenye eneo la mraba nazo ni Monaco, Singapoore, Vatican City, Bahrain, Malta, Maldives, Bangladesh, Barbados na Mauritius. which-country-is-most-densely-populated-in-the-world/ 6.Nchi ya Marekani inaoongoza kwa mimba za utotoni ikifwatiwa na Uiengereza, New Zealand, Slovak Republic, Hungary, Iceland, Ureno, Canada, Poland na Ireland. which-country-has-highest-teenage-pregnancy-rate-in-world/ Fatilia kuandama kwa Mwezi Leo ni Tarehe 2 Muharram (Mfungo 4) mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 16 October Tumebakisha siku 27 kufikia Mfungo 5. ANNUUR REAL.indd 2 10/15/ :55:06 PM

3 3 Habari Zanzibar itafutika-mwanasheria Na Mwandishi Wetu Imeelezwa kuwa kuna maangamizi yanakuja, iwapo Katiba inayopendekezwa itapitishwa. Maangamizi hayo yataikumba Zanzibar kama nchi, huku Mila na Desturi za Kiislamu nazo zikitiwa kitanzi. Kama litakuwepo la kufanyika la Kiislamu, basi itakuwa ni lile tu litakalopata ruhusa ya walinzi wa Katiba. Hayo yamebainishwa na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud ambaye amesema kuwa ni jambo lisiloeleweka ilikuwaje Wazanzibari waliokuwa Dodoma wakapiga kura ya kuipitisha Katiba hiyo inayopendekezwa. Lakini jingine ambalo hakulisema na kuhoji, ni kwa vipi Waislamu wakiwemo Masheikh waliokuwa katika Bunge la Katiba, hawakuhoji juu ya kifungu hicho wakaishia kupiga kura ya kuipitisha. Hiyo ni kutokana na kifungu kinachoipa UKUU Katiba Inayopendekezwa dhidi ya Dini ya Allah na maelekezo yake katika Mila na Desturi wanazotakiwa kufuata Waislamu. Kwamba, wakati kwa Muislamu Rejea Kuu ni Kitabu na Sunnah, na kwamba watu wakihitilafiana katika jambo, wanarejea katika viwili hivyo, sasa inaambiwa kuwa rejea pekee ya nini kifanyike au kisifanyike ni Katiba. La Kitabu na Sunnah likiwa kinyume na katiba, linatupiliwa kwa mbali. Mwanasheria Othman Masoud akifafanua baadhi ya vifungu vya Katiba hiyo Pendekezwa, amesema, kupita kwa Katiba hiyo, kunaweka mazingira hatari ya kufutika kabisa Zanzibar kama nchi, ukiacha hali iliyo sasa ambapo amesema ni kama Zanzibar ipo chini ya uangalizi wa Tanganyika. Othman Masoud alikuwa akizungumza wiki iliyopita kwenye kongamano lililoandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF), mjini Unguja, juu ya Katiba Iliyopendekeza, ambapo alisema kuwa katiba hiyo imechukua RAIS mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour. mamlaka yote ya Zanzibar. A m e s e m a, yawezekana Wazanzibari waliopitisha katiba hiyo wanasumbuliwa na ugonjwa unaosababishwa na kirusi hatari kuliko TB, kwani katika hali ya kawaida, isingetarajiwa Mzanzibari yeyote kuipigia kura katiba hiyo. Akasema kuwa, ni pale tu watu watakapokuwa wanasumbuliwa na maradhi ya kirusi Bora Tumbo (BT), ndio wanapoweza kupitisha jambo la hatari kwa nchi kama hilo. Katika uchambuzi wake, Othman amesema kuwa wajumbe wa Zanzibar walikwenda Dodoma wakijua matatizo ya muungano wa serikali mbili na wakitambua vipengele ambavyo ni hatari kwa Zanzibar, kwa hiyo hawakufanya maamuzi kwa ujinga. Walijua wanalofanya kuwa ni kuiangamiza Zanzibar, lakini huenda kirusi BT kimewafikisha pabaya. Alisema, vipengele vingi katika Katiba hiyo inayopendekezwa havina masilahi na Zanzibar, lakini akagusia saba vilivyo hatari zaidi. Akivitaja na kuvichambua alisema kuwa kifungu kinachompa mamlaka Rais wa muungano kugawa mikoa na wilaya, Zanzibar, tena bila kulazimika kufuata ushauri wa Rais wa A L I Y E K U W A Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud. Zanzibar, kuna hatari kwamba siku yoyote anaweza kuitangaza Zanzibar kuwa ni mkoa au wilaya tu katika moja ya mikoa ya Tanzania. Akasema, kifungu hicho ukikichukua na kile cha Ukuu wa Katiba juu ya Katiba ya Zanzibar, ni maangamizi matupu kwa Zanzibar ambapo katiba yake itabaki kama pambo tu Ṅi katika kifungu hicho hicho cha Ukuu wa Katiba ambapo amesema kuwa, kuna hatari kwa mila na desturi za Kiislamu nazo kutiwa kabari, kwani katiba inasema kuwa mila na destruri zozote zitakuwa batili ikiwa zitapingana na Katiba hiyo. Na pengine hapo ndio Waislamu watakuwa wakihoji iwapo Masheikh waliokuwa Dodoma wakiwemo wale ambao walibubujikwa na machozi wakidai kuwa wanapata uchungu Mwalimu Nyerere katukanwa, hawakuona kipengele hicho anachozungumzia Othman? Katika mambo ambayo anasema mwanasheria Othman Masoud kuwa ni ya kushangaza kabisa, ni kauli za baadhi ya Wazanzibari kudai kuwa Dodoma wamepata kila kitu kupitia Katiba Inayopendekezwa. Akawataka Wazanzibari warejee vifungu juu ya Mfumo wa Serikali Mbili ambao sasa unafanywa na Katiba hiyo kuwa ni wa kuduma na usio hojiwa. Mfumo ambao hautenganishi mapato na matumizi ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Na hivyo kufanya mapato ya muungano kutumika hata katika yale mambo ambayo ni ya Tanganyika pekee huku Zanzibar ikiwa haina chake katika mapato hayo. Lakini zaidi anasema ni mamlaka ya Bunge na pia kule kwenye Baraza la Mawaziri ambako Wazanzibari hawamo. Kwamba, mambo Bungeni hupitishwa kwa wingi wa kura bila kujali ridhaa ya Zanzibar. Kwamba hata kama Wazanzibari wote watalikataa jambo, maadhali Bara ndio wengi zaidi Bungeni, jambo hilo litapita kama ambavyo uchaguzi wa Rais haulazimishi kupata kura za Wazanzibari. Kwa hiyo anaweza kuwa mtu Rais wa Tanzania, hata kama amekataliwa na Wazanzibari wote. Hapo ndio Othman akasema kuwa huo sio tena ukoloni kasorobo, bali ukoloni kamili na akahoji hii tumepata kila kitu inatoka wapi? Kipi kilichopatikana? Na hilo akaliunganisha na lile la hoja ya mafuta kwamba hata hilo si sawa kusema Zanzibar wamepata kwani kupata kwenyewe ni sawa na mtu kupewa mwembe, lakini mwenye maembe na mwenye mamlaka na maembe ya muembe huo, ni mtu mwingine. Wewe unaupalilia na kuutumikia ukue na kuzaa vizuri, lakini mwenye kuvuna na kufaidi mwingine. Katika kulifafanua hilo akaeleza juu ya utata uliopo katika sheria ya mafuta hivi sasa, na zaidi Sheria ya Benki Kuu na Kodi ya Mapato. Akasema, hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kuendelea bila kuwa na Benki Kuu, halikadhalika kumiliki Kodi ya Mapato, kwa maana ya haki ya kutoza kodi, haki ambayo Zanzibar haina kwa sasa wala haitakuwa nayo katika Katiba Inayopendekezwa. Akasema, ukisikia Singapore imeendelea, sio kwamba ina rasilimali za kutosha, bali ni nchi inayonunua mpaka maji ya kunywa. Lakini ina viongozi wenye uoni (visionary leadership) ambao walitumia vizuri mamlaka yao ya kutoza kodi. Aligusia baadhi ya maeneo ambayo viongozi waliotangulia akiwemo Dr. Salmin Amour waliyakataa kwa vile hayana masilahi na Zanzibar, japo Bara walikuja kuyafanya bila kujali Zanzibar wanaridhia au la likiwemo la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwa masikitiko kabisa, Othman Masoud akahitimisha kwa kusema kuwa, Wazanzibari waliokwenda Dodoma wamekuwa kama Mgunya wa Vikokotoni. Wamekwenda Dodoma kuizamisha Zanzibar wakarudi mikono mitupu. Ila akawakumbusha kuwa suala la Mgunya wa Vikokotoni lilikuwa jepesi kwa sababu jahazi lilikuwa mali binafsi ya Mgunya, lakini hapa inazungumziwa nchi, sio jahazi la mtu binafsi. Ndio hapa akawarejesha Wazanzibari na hasa viongozi katika wajibu wao kwa Katiba ya Zanzibar inayowataka kulinda, kuhifadhi na kudumisha Uhuru, Mamlaka, Ardhi na Umoja wa Zanzibar. N a k w a m b a wasilinganishe maslahi ya nchi na ya CCM, kwani hata viongozi waliotangulia walikuwa CCM pia, lakini kuna mambo waliyapinga kwa vile hayakuwa na masilahi na Zanzibar. Sasa kama viongozi wa Zanzibar, wameapa kulinda Katiba ya Zanzibar, vipi tena leo wapitishe kitu ambacho kitaipora Zanzibar, Uhuru, Ardhi na Mamlaka ya Zanzibar, kama ilivyo wazi ndani ya Katiba Inayopendekezwa? Aliwataka warejee kauli ya Waziri William Lukuvi kwa Wakristo, akiwa katika jukwaa la Kanisa, lakini pia warejee kauli ya Waziri Samwel Sitta, akiongea kule Uingereza, pengine wanaweza kupata akili na kutanabahi, nini kinakusudiwa katika Katiba Inayopendekezwa. ANNUUR REAL.indd 3 10/15/ :55:07 PM

4 4 Tahariri S.L.P , Simu: Cel: , , , DSM. Tuna la kujifunza kutoka The Million Man March Jumatatu moja ya Mwezi Oktoba 16, mwaka 1995 mwanaharakati wa kupigania haki za watu Weusi wa Marekani Louis Farrakhan aliandaa program iliyoitwa The Million Man March. Maandamano na kongamano hilo lilikusanya watu zaidi ya laki nane, kwa uchache, wa dini mbalimbali, mbele ya National Mall, Washington DC, karibu na mnara wa kumbukumbu ya Abraham Lincoln (Lincoln Memorial ) na Jumba la Bunge la Marekani (United States Capitol). Umati huo uliunganishwa na jambo moja tu: Kuchukia ubaguzi unaofanywa na Wazungu dhidi ya Weusi. Kwa akina mama, watoto, vikongwe na watu wote ambao hawakuweza kuhudhuria kwa sababu mbalimbali, walitakiwa kubakia majumbani mwao. Hakuna kwenda kazini wala watoto kwenda skuli. Iliitwa Day of Absence. Ilikuwa ni mkusanyiko wa kuwafanya watu wajitambue na kutambua matatizo yanayowagusa wote kama Weusi, bila kujali kwamba ni Mkristo, Muislamu, Jah Safari au kitu kingine. Lakini walikuwepo pia wale ambao sio Weusi, lakini wakipinga Ukaburu uliopewa msamiati wa White Supremacy. Inaelezwa kuwa kutoka siku hiyo, kumekuwa na mabadiliko makubwa hasa kutokana na Weusi kuwa na umoja katika kulikabili tatizo lao wote kama Weusi. Na kila mwaka kumekuwa na maadhimisho ya Million Man March. Maadhimisho ya mwaka huu yalifanyika Jumamosi iliyopita Washington DC ambapo Louis Farrakhan alihutubia umati wa watu akiwakumbusha agenda yao ya kufuta White Supremacy katika nchi yao. Kwa waliotazama annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam mkusanyiko ule, watakubaliana nasi kuwa ulikuwa ni wa aina yake. Ulikusanya Waislamu na Wakristo huku Louis ambaye ni Muislamu akiwahutubia wote akitumia mafundisho ya Kiislamu na ya Kikristo kuwaunganisha Wamarekani Weusi katika angeda yao ya kupinga dhulma dhidi yao. Kwamba wote ni Weusi na tatizo lao ni moja. Wakikutana Wakristo watazungumzia yao ya Ukristo na wakikutana Waislamu watazungumzia yao ya Uislamu, lakini katika A Million Man March wote wanaunganishwa na Weusi wao na dhulma wanayofanyiwa. Lakini pia alitumia furasa hiyo kuwatambua Wazungu na viongozi wa serikali ya Marekani waliopita kama Abraham Lincoln ambao walitoa mchango katika kupiga vita utumwa au kutahadharisha juu ya ubaguzi. Hili kwa hakika ni jambo kubwa na somo ambalo, sisi katika An nuur tungependa Waislamu wa Watanzania, wajifunze. Kwanza labda tuseme kwamba kwa serikali ya Marekani, ni jambo la kupongezwa kwa kupanua demokrasia yake na uvumilivu kiasi cha kuruhusu umati kama wa Million Man March kukusanyika kila mwaka mahali nyeti kama mbele ya Capita Hill kupaza sauti za madai, malalamiko na shutuma dhidi ya serikali. Lakini muhimu zaidi ni ule umoja na mshikamano wa wenye madai dhidi ya serikali. Kwa hapa kwetu, kwa maana Waislamu, kelele zimepigwa sana za kudai kutokutendewa haki. Kelele zilipigwa sana kudai Mahakama ya Kadhi, lakini mwisho wa yote Bakwata kivyao na Waislamu wengine kivyao. Katika mtindo huu, hakuna chochote Waislamu watakachoambulia. Tunapokuwa Misikitini na mitaani, tuna yetu ya Kiislamu. Tutatizama Fiqh na maoni ya Maimamu na Wanazuoni mbalimbali wanasemaje. Lakini tukija katika siasa, katika ya ujumla kinchi, sisi ni Waislamu, sio Bakwata, Baraza Kuu wala Ansaar. Mwalimu Nyerere aliwathamini sana, kuwaenzi na kuwategemea Waislamu kama nguvu yake ya kisiasa (political base) hata akawa anavaa kofia kama wao kwa sababu waliingia katika siasa kama Waislamu, wakiwa na kauli moja juu ya TANU na wakaipa nguvu TANU mpaka uhuru kupatikana. Leo hali yetu Waislamu imekuwa kama wale waliokwenda Dodoma kujadili hatma ya nchi yao na Dola yao katika Katiba, wakajikuta wakiparurana wenyewe kwa wenyewe, wakarudi wakitamba kuwa wamepata kila kitu, kumbe wamepatikana. Wamepoteza hata kile kidogo walichokuwa nacho wakati wakielekea Dodoma. Yapo Makanisa yashawatangazia waumini wao kwamba Ibada ya Jumapili, itafanyika Jumamosi ili Jumapili ya tarehe 25 iwe kazi ni moja tu. Kupiga kura. Sasa kama ingekuwa upigaji kura wa wenye makanisa hayo ungekuwa kila muumini na lwake, kama ni wa Magufuli, Dovutwa, Hashim Rungwe au Lowassa, hatudhani kwamba ingewashughulisha viongozi wa makanisa hayo kubadili mpaka siku ya Ibada. Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa mwanzo wa vyama vingi, wapo vijana ambao walikuwa wakiwaambia wenzao wasimpigie mgombea wa CUF kwa sababu sio Mwana Sunnah, utadhani yule wa CCM yeye alikuwa Salafi Jadid. Ni kwa mtizamo huo huo, na kwa kutojitizama kama wale Weusi wa Marekani, leo hakuna mwanasiasa yoyote anayetuthamini kama wapiga kura. Hivi tunadhani mgombea ambaye ana uhakika kwamba kuna watu wamebadili siku yao ya Ibada ili wakampigie kura kwa umoja wao, kama akishinda atawaweka katika mizani sawa na wale ambao, wametapanya kura zao? Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli Na Mwandishi Wetu Wakati siku zikiyoyoma kuelekea uchaguzi mkuu, kuna haja Waislamu kutafakari ule wito wa Louis Farrakhan kwa Wamarekani Weusi. Waandae wanaume 10,000 na wanawake 10,000 mashujaa, wasio na woga kupambana na mfumo wanaoutuhumu kuwa hauwatendei haki. Akitumia kibwagizo, "Justice or Else", Louis Farrakhan aliasisi harakati za kuwaunganisha Wamarekani Weusi akiwaambia kuwa hatma yao ipo mikononi mwao wenyewe. Kwa hiyo, ni lazima kuwa na program ambazo mwaka hadi mwaka zitakuwa zikiwasogeza katika kuondoa mfumo wa White Supremacy katika Marekani unaowabagua na kuwadhalilisha Weusi. Katika nasaha zake Jumamosi iliyopita Oktoba 10, 2015 katika kumbukumbu ya miaka 20, maarufu kama Million Man March Anniversary kule Washington DC, Louis Farrakhan aliwaambia maelfu ya watu waliokusanyika kumsikiliza kwamba panahitajia watu mashujaa wa kupambana na kile alichokiita White Supremacy. Nataka 10,000 fearless men, ambao watamkabili dhalimu na kumwambia sasa basi. Akikariri kauli hiyo kwa upande wa wanawake, akasema kuwa ni lazima watu hao wawe mashujaa wasio na woga kwa sababu watu wanaofaidi katika mfumo uliopo wa White Supremacy, hawatakubali uondoke. Kwa hiyo wataleta tabu na hata kutafuta sababu ya kuwadhuru. Akifafanua akasema, hivi karibuni alitoa kibwagizo hicho kwamba anataka 10,000 fearless men, vyombo vya habari ikiwemo Fox News wakazusha kuwa anakusanya Wamarekani Weusi kuuwa Wazungu. Akasema, katika kuwajibu alihoji, kwa nini Wazungu wakimbilie kuwa na wasiwasi kwamba kuna watu wana mpango wa kuwauwa kama hawajihisi kwamba kuna watu wanawadhulumu na kuwafanyia matendo maovu. Akasisitiza kuwa Waislamu ni watu wa amani na kwa hivyo, wanachopigania ni kuondolewa kwa mfumo wa kibaguzi unawaochukulia Watu Weusi kuwa ni watumwa wa Wazungu daima dumu. Wanachopigania ni kile kile ambacho alipigania Dr. Martin Luther King na Malcom X, kuondoa White Supremacy juu ya Mtu Mweusi. Katika ujumla wake, ujumbe wa Louis Farrakhan ulijikita katika nukta tatu. Kwanza ni kwamba maisha huwa yanapoteza maana kama hakuna haki. Unaishi katika dhulma, unadhulumiwa na wala ubinadamu wako hauthaminiwi kama wa watu wengine. Jambo la pili alilosema ni kwamba, mahali palipojengeka dhulma ikakubuhu, ni lazima mfumo mzima unaoruhusu na kulea dhulma ubomolewe. Kubadilisha uongozi tu wa kisiasa huwa haisaidii kitu. Ni lazima kama kuna watu waliokuwa wakijiona kuwa wao ni bora kuliko wengine, mawazo hayo ya kibaguzi yafutwe. Nukta ya tatu aliyosisitiza ni kuwa wale wanaobaguliwa, ni lazima wajitambue na wawe tayari kujitoa muhanga kupambana na mfumo unaowabagua, kinyume cha hivyo hakuna sababu ya wao kuishi. Lakini kwa upande mwingine akawaonya madhalimu kwamba wasingoje mpaka mambo yalipuke kama volcano, maana binadamu kwa maumbile yake hakubali kuonewa daima dumu. Louis Farrakhan Inaendelea Uk. 5 ANNUUR REAL.indd 4 10/15/ :55:07 PM

5 Habari za Kimataifa 5 Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli Inatoka Uk. 4 anavyoongelea tatizo la White Supremacy katika Marekani, ni kama anawahutubia Waislamu wa Tanzania na madai yao kongwe kwamba wanabaguliwa na kunyimwa haki zao za msingi. Kwamba, mfumo uliopo hauwatizami kwa jicho la usawa sawa na watu wa dini nyingine. Watu wa dini nyingine wanatizamwa kama wanavyotizamwa Wa z u n g u k a t i k a u l e mfumo wa White Supremacy. Ni kwa mtizamo huo, kuna haja kwa Waislamu wa Tanzania kujipanga na kujitokeza kishujaa kabisa k u wa k a b i l i wa t a wa l a na wapepea mfumo huu mithili ya White Supremacy. Waseme hadharani, kwa kinywa kipana kabisa, Justice or else. Kwa maana kwamba ubaguzi, uonevu na dhulma basi. Ila kama alivyosema Louis, lazima watu hao wawe madhubuti kwa sababu wanaofaidi katika hizi Supremacy, iwe za ki di ni au kiran g i, h a wa t a k u b a l i m f u m o kuondoka kirahisi. Mara kadhaa hapa nchini baadhi ya Waislamu wamekuwa wakishutumiwa kuwa wanaleta udini, wanataka kuharibu amani au kuleta ubaguzi wa kidini, lakini ukitizama walichodai Waislamu hao ni usawa au kupinga ubaguzi na upendeleo kwa baadhi ya watu. Na nchini hapa ukisikia wanasiasa k a t i k a m a j u k wa a ya kisiasa wakikemea udini, hawakusudii kukosoa mambo kama MoU, au kuhoji kwa nini sehemu nyeti serikalini iwekwe Wakristo watupu. Bali wanachofanya ni kuwashutumu wanaohoji uhalali wa MoU baina ya Serikali na Wakristo bila kujali kwamba hapa kuna Waislamu ambao nao ni wananchi walipa kodi. H i l i n d i l o ANNUUR REAL.indd 5 raia na binadamu sawa na Wazungu. Harakati hizi The Million Man March zilianzishwa Jumatatu ya Oktoba 16, 1995 ambapo walikusanyika watu zaidi ya laki nane (800,000) wakisikiliza hotuba mbalimbalui na kuleta Dua na kuswali pamoja. Katika tukio hilo lililowakusanya watu wa Picha Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" Washington DC, Oktoba 16, Juu baadhi ya washiriki "Million Man March 20th Anniversary" iliyofanyika Washington DC, Oktoba 10, analotahadharisha Louis kwamba wanaopigania kuondoa mfumo wa Supremacy ya baadhi ya watu juu ya wengine walijue. Lakini akakumbusha jambo jingine pia akisema kuwa Wazungu wakitumia Ukristo, ndio walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa. Akatoa mfano akisema kuwa meli ya kwanza kuingia Marekani kutoka Uingereza ikileta watumwa mwaka 1555 ilikuwa imepewa jina la the good ship Jesus ikiongozwa na Sir John Hawkins. Lakini anasema, Wazungu hao ndio leo wanabadili historia na k u f u n i k a m a o v u ya o wa k i wa t u p i a l a wa m a wegine ili wapate kuendeleza White & Christian Supremacy yao. Katika kumalizia nasaha zake, Louis Farrakhan aliwasimamisha mabinti 10 wa Kiislamu waliokuwa wamevaa nguo za stara, akasema kinachotakiwa kwa Waislamu ni kuondoa woga, kujitambua, kuondoa unyonge na kuonyesha ubora wao katika tabia na matendo mema. Akasema, msichana aliyevaa stara, hakuna mtu atakayethubutu kumwita Hay Baby. Waislamu ni Kuntum Khaira Umma, na kwa hadhi hiyo, wasiruhusu ujahili wa Supremacy za kikabila, kitaifa, na kwa upande mwingine pale ambapo ugonjwa huo umeshaingia, basi ni lazima wawe na ujasiri wa kuuondoa. Wawe na program zao ambapo watahakikisha kuwa kama ni wake au mabinti zao, wanakuwa the best katika fani mbalimbali, uhandisi, udakitari, uhasibu, na mambo mbalimbali, lakini pia wanakuwa the best jikoni wakipika vyakula vizuri halikadhalika the best kwa waume zao na watoto. Na hivyo hivyo iwe kwa wanaume. K u m b u k u m b u iliyofanyika Jumamosi Washington, haikuwa maandamano, bali mkusanyiko wa watu katika kuhuisha wajibu wao wa kudai haki zao serikalini. Katika mkusanyiko huo, Louis anasema, hakuna cha ziada wanachokitafuta, bali kuitaka serikali iwape kile kilicho haki yao kama dini mbalimbali, ujumbe muhimu ulikuwa kuwahimiza watu Weusi kupigania haki zao. Ni moja ya matukio yanayodaiwa kuvunja rekodi kwani pamoja na kukusanyika kwa umati huo, hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kuumia na watu walipotawanyika jioni, waliacha uwanja ukiwa msafi kama walivyoukuta. Na hiyo ilikuwa ni kutoka na waandaaji wa l i wa hi m i z a wa tu kuwa na nidhamu na ukawekwa utaratuibu wa kusimamia nidhamu hiyo. Pa m oj a n a k u wa jamii za watu Weusi ndio zinatajwa kuwa za fujo na matukio ya kihalifu Marekani, lakini inaelezwa kuwa siku hiyo hakuna aliyevuta sigara wala kunywa ulevi na hakukuwa na tukio la kihalifu hata m o j a l i l i l o r i p o t i wa k a t i k a v y o m b o v ya habari. Wale ambao h a w a k u w e z a kuhudhuria katika mkusanyiko huo (1995), wa l i t a k i wa k u s a l i a majumbani mwao, hakuna kwenda kazini wala watoto kwenda shu le. Ilikuwa ni siku iliyoitwa Day of Absence. Inaelezwa kuwa baada ya mkuanyiko huo, watu Weusi zaidi ya milioni moja laki saba (1,700,000) walijiandikisha kama wapiga kura katika uchaguzi uliofuata ili kuhakikisha kuwa nao sauti yao inakuwa miongoni mwa zinazoamua nani awe Rais wa Marekani na kwamba kura yao iwe ya pamoja (block vote) kwani ikiwa ya kila mmoja kivyake, inakosa maana. 10/15/ :55:08 PM

6 6 Makala TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu! Waislamu tupo kwa es Salaam. Siku hiyo Magufuli, wengine kwa Leo nini nafasi yao katika CCM, Serikali! Nuru Binti Sudi alikuwa Lowassa. Lakini turejee anaimba pamoja na kidogo historia yetu Nini matarajio yao kwa Magufuli, Mamvi? kikundi chake kipya katika TANU, kisha kwa mara ya kwanza tujiulize, nini nafasi na mashabiki wake yetu leo katika siasa walikuwa wamekuja za Tanzania ya leo? kumwona bingwa wao Kwa kutafakari hilo, akiimba katika hafla ya hebu turejee simulizi TANU. Halikadhalika hii anayokuletea mashabiki wa Egyptian Mohammed Said. walikuwa wamekuja Ilikuwa katika vile vile kushagilia na taarab iliyoandaliwa kuwazomea washindani kusheherekea wao kwa kumchukua kufunguliwa kwa bingwa wao. tawi la TANU Dar es Kulikuwa na sababu Salaam ya Kaskazini nyingine kwa watu katika mtaa wa Mvita, kushangilia. Katika nyumba namba 10, kuhama huko kutoka tarehe 10 Agosti, 1957, Al-Watan na kuingia ulimi wa Sheikh Takadir Egyptian, Nuru ukateleza, akamuita alikuwa ameweka Nyerere mtume. Tawi msimamo wa kisiasa. la TANU Dar es Salaam Nuru alikuwa na damu ya Kaskazini lilikuja mchanganyiko. Baba kuwa lenye nguvu sana yake alikuwa Mwarabu kuliko yote na tawi Waliokuwa Katika Picha Hii na Ndilo lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU, (Wengine: na mama yake alikuwa likawa na mafanikio Hawapo) 1. Abdallah Shomari (Tandamti No. 3), 2. Nassoro Kalumbanya (Simba), Mwafrika. Kabla ya labda kupita matawi 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo), 4.Mtoro Ally (Muhonda), 5. John Rupia kutoka Al-Watan na yote katika Tanganyika. (Misheni Kota), 6.Julius Nyerere (Minaki Sekondari), 7.Said Chaurembo (Congo/ kuingia Egyptian, Mwenyekiti wake Mkunguni), 8.Jumbe Tambaza (Upanga), 9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia/Swahili), alikuwa mwanachama alikuwa Mtoro Kibwana 10.Dossa Aziz (Mbaruku/Somali Kipande), 11. Mshume Kiyate (Tandamti), 12. wa Coronation ambacho Juma Sultani (Kitchwele Karibu na Kanisa Dogo), 13. Maalim Shubeti (Masasi/ na mweka hazina Sheikh Likoma), 14. Rajab Simba (Kiungani), 15. Waziri Mtonga (Kilosa 18, Ilala), 16. kilikuwa chama cha Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala), 17. Makisi Mbwana (Aggrey/Congo), akina-mama wenye asili ambae baadae aliingia 18. Usia Omari (Sungwi, Kisarawe), Sheikh Issa Nasir (Bagamoyo) ya Kiarabu. Kwa hiyo Kamati Kuu ya TANU ilichukuliwa kwamba, ya taifa. Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati maadam Egyptian Kwenye hafla ile, ilihusiana na Waafrika, katika kumtambulisha kwa kitendo kile cha Nyerere na kummiminia kuhama Al-Watan, sifa, Sheikh Sulaimna Mzee ''Kissinger'' siku Marehemu Abdulwahid walikuwepo vijana Nuru alikuwa ameasi Takadir bila kufikiri, moja aliniita nyumbani Sykes na mdogo wake wengine kama Hamza na kurudi kwa ndugu aliwaambia wasikilizaji kwake Mtaa wa Congo Ally, Waziri Dossa Aziz na Kibwana Mwapachu, zake, yaani Waafrika. wake kuwa Nyerere ni na akanikabidhi bango wengineo. Halikadhalika Inaendelea Uk. 7 Amerudi kwenye asili mtume wa Afrika. kitita cha magazeti ya yake, kwenye tumbo la Kama kauli ile zamani. Akatoa moja mama yake aliyemzaa. ingetolewa siku akanionyesha picha ya Hivi ndivyo mambo Mzee Mshume Kiyate na nyingine yoyote ile, Nyerere kisha akanipa yalivyokuwa siku zile. huenda tamko hilo kisa cha Mzee Mshume, Kila jambo lilipewa lisingezua kishindo, na kisa ambacho ni hiki tafsiri ya kisiasa. Wakati huenda lingepita bila hapo chini: huo UTP ilikuwa tayari kuwa na taathira yeyote Julius Nyerere imeshaanzishwa na mbaya. Lakini ufunguzi alianza siasa za kudai Egyptian ilikuwa wa tawi la TANU la uhuru wa Tanganyika imetunga nyimbo Mvita katika siku hiyo katika mazingira ya maalum kwa ajili ya tarehe 10 Agosti, 1957, Dar es Salaam akiwa hafla hiyo ambayo Nuru ilikuwa siku maalum amezungukwa na Uislamu aliimba kuidhihaki UTP. kwa wakazi wa Dar es na Waislamu. Kulikuwa Sehemu ya mashairi yake Salaam. Kwanza, Dar na tofauti kubwa kati ya yalikuwa yanasema hivi: es Salaam ilijitokeza kiongozi huyu na wale kushuhudia kutoka aliowaongoza. Siku hizo Ma-UTP wana majambo, Nyerere kijana mdogo wa kwa mwimbaji stadi, miaka thelathini. Kivazi TANU wanaichukia. Nuru binti Sudi, kutoka chake kilikuwa ni kaptula Al-Watan na kujiunga na soksi za stokingi. Pili, ili kuadhimisha na wapinzani wao Mavazi rasmi ya wasomi kufunguliwa kwa tawi Egyptian. Hivi vilikuwa wa miaka ile ya ukoloni. la TANU Mvita, TANU vikundi viwili vya Taarab Katika TAA aliwakuta iliwaalika wajumbe vikishindana mjini Dar vijana wenzake. Mzee ''Kissinger'' Inaendelea Uk. 7 ANNUUR REAL.indd 6 10/15/ :55:08 PM

7 7 MAKALA TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu! Inatoka Uk. 6 wa Baraza la Kutunga Sheria, wengi wao machifu, ili kushuhudia sherehe hiyo. Miongoni mwao walikuwa Chifu Kidaha Makwaia, Humbi Ziota, Msabila Lugusha, Mwami Theresa Ntare na wengine wengi. Vilevile walikuwepo watu wengine mashuhuri kama Hamis Mfaranyaki ambae ndiye alikuwa kiongozi wa Wangoni mjini Dares Salaam, Paul Bomani, Said Chaurembo, kaka yake Sheikh Abdallah Chaurembo na wengine wengi. Pamoja na watu wote hawa mashuhuri kuhudhuria, huu ulikuwa usiku adhimu kwa TANU. Hapakuwa na shaka yoyote kuwa chochote kitakachosemwa katika hafla kama hiyo, kitakuwa na athari kwa watu. Ilikuwa katika hafla hii ndipo siku ulimi wa Sheikh Takadir ukateleza. Katika hotuba zake Sheikh Takadir alikuwa akiitaja TANU kama tano na alipotamka neno tano alikuwa akionyesha vidole vyake vitano vya mkono wa kulia, bila shaka yoyote akifananisha na sala tano za faradh katika Uislamu. Sheikh Takadir alikuwa akipandisha hisia na mori wa Kiislamu kwa wasikilizaji wake kwa kutoa mifano mingi katika Qur an Tukufu, akihadithia mifano ya mathalan, kisa cha Daudi na Jalut, kisa cha Firauni na Waziri Mkuu wake Hamana na jinsi walivyowakandamiza Bani-Israil. Sheikh Takadir alikuwa akimaliza hotuba zake kwa kuonyesha kuwa mwishowe haki hushinda batil. Akimaananisha kuwa uovu wa Waingereza utashindwa. Ilikuwa katika hotuba zake nyingi kama hizi za kumsifu Nyerere, Kushoto Kwenda Kulia: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi Sijaona Ukumbi wa Arnautoglo Kwenye dhifa ya Kumuaga Nyerere Kwenda UNO safari ya pili Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati Inatoka Uk. 6 Wazee chini ya Sheikh kama hii, ungelidhani Steven Mhando na Suileman Takadir. Baraza kuwa Mwalimu angejihisi Zuberi Mtemvu. TANU hili lilijumuisha wazee yupo ugenini. La hasha. ilipoundwa mwaka 1954 wengi maarufu wa mjini Nyerere alikaa vyema kukawa na Baraza la na masheikh. Katika hali Inaendelea Uk. 8 Hii Picha Ilipigwa Siku ya Nyerere Alipoweka Jiwe la Msingi Chuo Kikuu Cha Waislamu, Chang'mbe 1968 Sheikh Takadir aliteleza na kumwita Nyerere mtume mkombozi wa Watanganyika. Katika hafla hiyo, waheshimiwa na wageni waalikwa, walipewa vitafunio, vinywaji baridi na chai. Nyerere katika kutoa shukrani kwa wanachama wa TANU, alikamata kikombe cha chai na kukionyesha juu kwa wasikilizaji wake. Aliwaambia watu kwamba wasidhani kitendo cha kumpa mtu kikombe cha chai ni kitu kidogo. Nyerere aliendelea kusema kuwa watu wameiuza nchi hii kwa kupewa kikombe cha chai na wakoloni. Nyerere alikuwa akitoa maneno hayo akiwa anawapigia vijembe watu maalum. Nyerere kwa maneno yake alikuwa akiwakusudia machifu. Baadhi yao walikuwa pale pale katika meza kuu wakinywa chai na yeye. Wakati huo baadhi ya machifu walikuwa wakishirikiana na Gavana Twining na UTP katika hila za kuipiga vita TANU ishindwe kuikomboa Tanganyika kutoka makucha ya ukoloni. Ilikuwa dhahiri kuwa makombo waliyokuwa wakipata machifu kutoka kwa Mwingereza, hayakuwa hata na thamani ya kikombe cha chai. Maneno ya Nyerere hayakuwa fumbo kwa wale machifu. Yalikuwa maneno ya wazi ambayo waliyaelewa. Machifu walitambua kuwa wao ndiyo walikuwa wakisemwa katika hotuba ile ya shukurani. Ilikuwa katika usiku huu, Sheikh Suleiman Takadir katika hotuba yake alimweleza rais wa TANU, Nyerere, kama mtume aliyeletwa na Allah kuja kuikomboa Afrika. Maneno haya yalimuudhi sana Sheikh Hassan Bin Amir na Inaendelea Uk. 8 ANNUUR REAL.indd 7 10/15/ :55:08 PM

8 8 Makala TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu! Inatoka Uk. 7 Waislamu wengine. Siku chache baada ya maneno yale ya Sheikh Takadir, Mufti Sheikh Hassan Bin Amir akiwa amefuatana na Chifu Makongoro alikutana na Sheikh Suleiman Takadir njiani katika makutano ya Mtaa wa Swahili na Mkunguni, Sheikh Hassan Bin Amir alimkabili Sheikh Takadir na kumwambia asirudie tena maneno hayo kwa kuwa yalikuwa kufr. Kwa Sheikh Takadir kumtaja Nyerere kama mtume, hakuwa tu anampandisha Nyerere kwenye daraja isiyoweza kufikiwa na kiumbe chochote, lakini lililo baya zaidi, alikuwa akitoa kauli hiyo kwa Mkristo. Vitabu kadhaa vimeandikwa kuhusu historia ya TANU na hakuna mwandishi yoyote aliyemtaja Sheikh Suleiman Takadir. Si kwa kheri wala kwa shari. Imekuwa kama vile hakupatapo kuwepo. Lakini huyu Sheikh Suleiman Takadir ndiye aliyekuwa anakwea jukwaa la TANU Mnazi Mmoja kumtambulisha Nyerere kisha ndipo Nyerere anapanda kilingeni kuzungumza na wananchi. Nyerere mwenyewe hadi anaingia kaburini, hakupata kumtaja Sheikh Suleiman Takadir. Ukitizama kisa hiki cha Sheikh Takadiri na utume wa Nyerere, unalojifunza ni kuwa Waislamu waliipenda sana TANU na walimuenzi sana Mwalimu Nyerere kwa yale matumaini kwamba itawakomboa na kuwaletea haki walizokuwa wameporwa na wakoloni. Swali ni je, leo Waislamu hawalalamiki? Nini nafasi yao katika siasa za leo? Mkoloni pamoja na ubaya wake, Nyerere anapeana Mkono na Mufti Sheikh Hassan bin Amir Katikati yao ni Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS Tawi la Tanganyika. alitambua japo ile haki yao katika mambo ya Ndoa, Talaka na Mirathi. Je, imekuwaje leo serikali waliyoipigania, kutupilia kwa mbali hata haki ya kuwa na Mahakama ya Kadhi inayotambulika kisheria na Kikatiba? Tusipojitizama vizuri, itakuwa sisi ni watu wa kung atwa tu na kujeruhiwa kila siku katika shimo hilo hilo moja (kutumiwa na wanasiasa). Jana ilikuwa nyoka, leo tandu, kesho n nge, keshokutwa atarudia nyoka, lakini safari hii koboko, sio kifutu! Sisi tutakuwa watu wa aina gani kama hatusomi?-mwananchi, Muislamu mpenda haki. Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati Inatoka Uk. 7 mzigo mzito ikiwa anafanya kazi za TANU. Alifanya hivyo hadi uhuru katika kundi la Waswahili atakuwa anashughulika Mzee Mshume akajitolea ulipopatikana. na masheikh. na kuwatafutia wanawe kuihudumia nyumba ya Baada ya uhuru, Nyerere siku moja chakula na wakati huo huo Mwalimu kwa chakula. Nyerere alimwomba Mzee katika kuwakumbuka Mshume aache kufanya rafiki zake wa zamani hivyo lakini alikataa na akizungumza na Dossa akamtafadhalisha Nyerere Aziz, Ahmed Rashad Ali aendelee kula chakula na Lucy Lameck nyumbani chake na kile ambacho kwake Msasani, katika kinatolewa na serikali kuelezea kile alichokiita kwake yeye kama mkuu wa "the TANU spirit" yaani nchi, alimuomba Nyerere moyo wa upendo wa awape wageni wake. Baada wana-tanu, alisema ya maasi ya wanajeshi wa kuwa, siku moja wakati KAR tarehe 20 Januari, wa kudai uhuru alikuwa 1964 kuzimwa na jeshi la anatoka nyumbani kwake Kiingereza, TANU ilifanya Magomeni akija Kariakoo mkutano mkubwa sana kwa miguu kuelekea Jangwani. Mzee Mshume sokoni kutafuta mahitaji kwa niaba ya wazee wa yake, lakini mfukoni TANU alipanda jukwaani alikuwa hana senti moja. na kumvisha Mwalimu Njiani akakutana na kilemba kama ishara ya Mzee Mshume Kiyate. kuunga mkono uongozi Alipomuuliza anakwenda wake. Mzee Kiyate wapi, alimfahamisha kuwa amefariki dunia, si Nyerere anakwenda sokoni lakini wala TANU walikuwa hana fedha za kununua na habarinae. Kafa peke chochote. Mzee Mshume yake na mazishi yake aliingiza mkono katika yakafanyika nyumbani koti lake na akatoa shilingi kwa ndugu yake Mtaa wa mia mbili akampa. Ukitaka Matumbi. Huyu nduguye kujua thamani ya fedha ndiye alikuwa mwazini hizo ikutoshe tu kuwa wa Msikiti wa Shadhily nyumba ya vyumba sita na kwa ajili hii, waliotoka kujenga Kariakoo ilikuwa kuja kumzika walikuwa inagharimu shilingi nduguze Waislamu. mia tano. Kutokana Hapakuwa na hotuba wala na hali hii, Mshume bendera kufunika jeneza Kiyate aliona itakuwa Mzee Mshume Kiyate Akimvisha Mwalimu Nyerere lake. Hadi leo historia ya ni kumtwisha Mwalimu Kitambi kama ishara ya kuungwa mkono na Wazee wa mchango wa Mshume Dar es Salaam. Inaendelea Uk. 13 ANNUUR REAL.indd 8 10/15/ :55:09 PM

9 9 Makala Njia 21 za kuachana na mahusiano haramu Na Ehab Hassan Msichana au mwanaume uliyekuwa ukizungumza naye, ni jambo linalokuweka mbali zaidi na Mola wako. Unajua siyo sahihi, unataka kuachana nayo, unataka kwenda mbele, lakini ni vigumu sana na hakuna anayekuelewa! Insha'allah, kila kitu kitakaa sawa. Nimesikia yote hayo kabla, hasa wakati nafanya kazi miongoni mwa vijana. Inaweza kuwa dhambi ngumu kuliko yote kumshauri mtu kuachana nayo. Dhambi ya kuwa na rafiki msichana au rafiki mvulana (boy/ girlfriend). Namfahamu ndugu mmoja katika imani aliyeuacha Uislamu kwa ajili ya msichana, kwani kila kitu kikishindwa, ndiyo mshale wa mwisho ambao Shetani anamtupia muumini kwani anajua unafanya kazi. Na ndiyo maana tunahitaji njia halisi zinazowezesha kuondokana nayo. Hali kuwa uko hapa na unasoma hii (makala), ni hatua moja kuelekea upande unaofaa. Unaweza usidhani hivyo sasa, lakini UTAWEZA kuachana nayo, Isitoshe, Allah anatuambia: "Na anayemuogopa Mwenyezi Mungu, humtengezea njia ya kuokoka na humpa rizki kwa namna asiyoitazamia." (Kurani, 65:2-3) Mtume anatuambia katika hadith kuwa Allah anasema: "Mtumishi wangu akija kwangu anatembea, namfuata nikikimbia." (Bukhari) Inawezekana unafikiri kuwa kuacha uhusiano haiwezi kuwa rahisi kama watu wanavyoielezea. Hasa kwa vile Shetani anatumia siku zake na jioni zake kufanya kile kilichokatazwa uwe unakipenda sana. Anakuaminisha kuwa tamaa ni upendo, kwani anafanya moyo wako uruke pigo moja mara unapoona jina la huyo mtu maalum (mvulana/ msichana) - katika barua pepe zako, katika simu yako au katika ukurasa wako wa Facebook. Lakini niamini ninapokuambia kuwa una nguvu zaidi ya hapo. Endelea, jitahidi kumpendeza Allah. Na hutakuwa na masikitiko yoyote. Lakini kwa njia ya kukurahisishia mambo, hizi ni njia 21 zinazowezekana ambazo unaweza kutumia kuacha huo uhusiano haram, zikiwa zimegawanywa katika mafungu saba: Upige tu Teke: Maliza uhusiano na kuupa kisogo. Inatosha tayari hiyo michezo. Acha kukanyaga maji kwa kunyatia na badala yake yarukie. Kama unadhani utaanza kujaribu, "kupunguza hadhi", huo uhusiano kidogo, basi acha kabisa. Mtu mmoja aliyekuwa anataka ushauri alisema wakati mmoja kuwa alidhani itakuwa wazo jema kuwa badala ya kutoka pamoja na msichana wake, basi wangeishia tu kuzungumza kwenye simu na kukutana mara moja moja kunywa kahawa. Yote hayo, huwa haina tija. Kuacha na kutoa kisogo ndiyo hatua ya kwanza. Na kweli. Ndiyo hatua halisi ambayo unatakiwa kuchukua. Mengine yote nitakayoeleza hapa ni ufafanuzi tu wa jinsi ya kujitawala baada ya kuchukua hatua hiyo. Pili, uiwaache waendelee kuwa karibu. Huu siyo wakati wa kufikia makubaliano. Hakuna kuingiza mawazo katika kichwa cha kila mmoja wenu kuhusu "muda gani ni sahihi," au "tuangalie upya suala hili kama hakuna mmoja wetu atakayekuwa amefunga ndoa hadi umri wa miaka 19." Watajaribu kufanya hivyo kwako. Usiruhusu itokee. Hii itafanya wote wawili mkose raha, itafanya mambo yawe magumu zadi, na ishindikane kuendelea mbele. Tatu, Kata kamba kabisa. Futa barua pepe zote, jumbe, jumbe za Facebook, namba ya simu, jumbe pepe za sauti, na chochote kingine ulicho nacho kinachokukumbusha mtu huyo. Kwepa iwezekanavyo kuingia katika hali ya kukutana nao. Kwepa kuzungumza nao kwa jumla, na kwa hali yoyote bila mtu mwingine kuwepo. Usijaribu kutafuta wanajitahidi kufanya nini, na acha kuzungumza nao katika mitandao. Hivyo acha kuwaangalia katika Facebook, usiwafuatilie katika Twitter. Na ondoa njia yoyote ya upenyo wa kufahamu kinachoendelea katika maisha yao. Nne, Waambie imetoka. Ndiyo ilivyo. Kama inabidi uwe na mazungumzo ya mwisho kuwaambia kuwa unaendelea na maisha yako, basi fanya hivyo. Fanya hivyo kwa barua pepe na iwe fupi, nzuri na isiwe inaacha mwanya wa dhamira kwa tafsiri yoyote ile. Usiache vitu vya wao kutoa majibu. Maliza kwa kuwaambia kuwa ni kitu unachojitaji kufanya kwa ajili ya Allah. Na uwaambie wasikupigie simu. Kufanya hivyo hima ni bora zaidi. Kama uko katika hatua za mwanzo, ni rahisi zaidi kwako. Mahusiano yanakua na kabla hujastuka, tayari umeingia kichwa kichwa, na siyo rahisi kumalizana nayo (ingawa kwa hali yoyote inawezekana). Tawala hisia zako. Tano, funga radio. Huu siyo mjadala kuhusu muziki, unafaa au hapana. Kitu kimoja ambacho ni hakika ni kuwa muziki utainua hisia kadhaa ambako una udhaifu mkubwa. Kila wimbo utakuhusu wewe. Jiweke pembeni na ujipe muda wa kupumzika kwa muda. Sita, acha kuhangaika. Usihangaike kujiuliza kama wanakufikiria, Inaendelea Uk. 12 ANNUUR REAL.indd 9 10/15/ :55:09 PM

10 10 Na Omar Msangi N ingependa nianze kwa kusema kuwa Wa i s l a m u t u n a matatizo, tena makubwa. Na maadhali hatutaki kukiri ukweli huo, basi ukweli ni kwamba hatuendi kokote. Aingie Sasa Kazi tu na CCM mbele kwa mbele yake au Mabadiliko na Peoples, hali yetu itakuwa ile ile ya kulalamika na pengine itakuwa mbaya zaidi. Wiki mbili zilizopita tuliandika habari juu ya janga la kukanyagana Mahujaji kule Minna jambo ambalo lilisababisha Mahujaji kwa mamia kupoteza maisha. Katika habari ile tulieleza kuwa moja ya vyanzo vinavyotajwa kusababisha zahama ile, ni kufungwa kwa baadhi ya barabara kupisha msafara wa Mwanamfalme. K u n a u we z e k a n o wa namna mbili katika taarifa ile. Moja ni kuwa kilichosemwa ni ukweli kwamba kuna msafara ulipita na barabara i k a f u n g wa n a h i v y o kuzidisha msongamano. Pili inawezekana kuwa chanzo cha habari hizo kikawa hakikuwa sahihi kwa maana kuwa hakukuwa kabisa na msafara wa Mwanamfalme. Ambacho tulitarajia ni kuwa kama kuna msomaji alikuwa na taarifa tofauti, ilikuwa ni suala la kutuambia kwamba tumekosea. Akatupa ukweli wa jambo kwa kadiri anavyojua yeye a k i t u a i n i s h i a vyan z o vyake ili kutupa na sisi fursa ya kuhakiki taarifa yake. Na sisi kama chombo cha habari, tungewajibika kueleza na kutoa masahihisho au kama tuna ushahidi wa k u t o s h a k wa m b a tulichosema ni kweli, basi tungetoa ushahidi zaidi. Lakini kilichotokea kwa baadhi ya wasomaji wetu ambao walidiriki kutuma ujumbe, ni moja tu ya vielelezo vya hoja ya n g u k wa m b a t u n a matatizo makubwa. M a a d h a l i a l i y e t a j wa ni Mwanamfalme wa Saudia, suala la habari kwamba ni kweli au la, liliwekwa pembeni. Ikawa sasa shutuma inakuwa kwanini inashutumiwa Saudia. Hamuoni kuwa mnawafurahisha Mashia, Iran! Alisema msomaji ANNUUR REAL.indd 10 Makala Kisa cha Aisha na Badra Saudia Arabia Vs Tehran Waziri wa Ulinzi wa Saudia, Mohammad Bin Salman Aal Saud, ujumbe mfupi wa maneno m i t e g o ( e n t r a p m e n t ) kupitia simu yake anasema, inayoandaliwa na FBI m b o n a m n a w a s i f u k u wa n a s a v i j a n a wa Mashia au na nyie Mashia Kiislamu na kuwasingizia a u m n a t u m i w a b i l a ugaidi na uanachama kujijua? Tahadharini kama wa IS, ikiwa ni pamoja mnatumiwa na Mashia n a k u a n d a a w a t u bila kujijua. (wanafunzi wakiwemo Uoni na hali kama hii, wasichana) wakijifanya ndio inasababisha mpaka n i k u r u t a wa I S / A l l e o, k a m a Wa i s l a m u Shabaab wanaokwenda tunashindwa kutoa kauli Syria/Somalia, baada ya thabiti kulaani mauwaji kuhitimu masomo kupitia yanayofanywa Yemen mitandao. dhidi ya watu wasio na Inadaiwa kuwa hivi hatia. Lakini ingekuwa karibuni, Aasha (17) na ni Israel, maandamano m d o g o wa k e a k i i t wa yangekuwa kila mahali. Mariam (15) pamoja na rafiki yao Leyla (16), Jihad ya IS nayo walitoroka shule wakiwa bado mada ngumu sekondari, kule Aurora, Makala hii nimeipa jina C o l o r a d o, M a r e k a n i, Aisha na Badra. Hawa kwenda Syria kujiunga na ni wasichana wawili wa Islamic State. M a r e k a n i wa l i o k u wa Inaelezwa kuwa siku marafiki. Badra akiwa moja, siku ya Ijumaa, rafiki wa karibu, anajaribu wazazi wao wakijuwa k u m w o n ye s h a A a s h a k u w a w a m e k w e n d a kuwa jambo alilofanya s h u l e n a wa p o s h u l e ni la kijinga kabisa na kama kawaida, kumbe hakumtarajia kufanya wasichana hao walitoroka ujinga kama ule. shule, wakachukua tax W h y w o u l d y o u d o na kwenda uwanja wa something so stupid? Badra ndege kuelekea Raqaa, anamuuliza Aasha, katika Syria kujiunga na IS. Hata n a m n a ya m s h a n g a o hivyo, wasichana hawa kwamba hakumtarajia ndugu na rafiki yao Leyla, kufanya jambo la kijinga hawakufika Syria. Kama kiasi kile. ambavyo akina Umulkhayr U j i n g a g a n i? W a Sadri Abdullah na kijana kutokuona kuwa IS ni Rashid Charles Mberesero mamluki wa Marekani h a wa k u f i k a S o m a l i a. ( j i h a d i s t m e r c e n a r y Walikamatwa Mombasa. armies) na kwamba kuna Hawa nao walikamatwa Ayatollah Seyyed Ali Khamenei. mmoja. Kabla ya habari hiyo, tulikuwa tumetoa makala ikieleza jinsi Pope Francis alivyokuwa ziarani Marekani alivyoshindwa kumwambia ukweli Barack Obama kwamba serikali yake ndiyo inayoleta balaa duniani la vita na machafuko (Syria, Iraq, Yemen, Libya n.k). Katika makala hiyo tuliyoipa kichwa cha habari Papa Francis akwama: A ya t o l l a h K h a m e n e i a t h u b u t u, t u l i k u wa tukichambua makala ya mwa n dish i F in ia n Cunningham aliyesema kuwa Papa Francis, tofauti na Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, ameshindwa kumwambia ukweli Barack Obama anayesababisha machafuko na umwagikaji damu mkubwa na kuifanya dunia isiwe mahali salama pa kuishi hivi sasa. Katika makala yake Blessing for Washington s Global Terrorism, Finian Cunningham alisema kuwa kimya cha Papa juu ya mauwaji yanayofanywa na Marekani duniani kote kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, ni sawa na kubariki ugaidi wa Washington. Hilo nalo kwa baadhi ya wasomaji wetu limekuwa nongwa. Mmoja katuma Frankfurt, Ujerumani ambapo ilikuwa wabadili ndege. Inaelezwa kuwa m a o f i s a u s a l a m a wa uwanja wa ndege wa Frankfurt, waliwastukia walipowahoji ndio wakakuta kuwa kumbe n i m a k u r u t a wa I S. Wa k a k a m a t wa n a kurejeshwa Marekani. Ukisoma taarifa hii kama ilivyoandikwa katika vyombo vya habari, unachoona ni kuwa Aasha, Mariam na Leyla ni wahanga wa mchezo wa makachero wanaotumiwa kupandikiza kitisho cha ugaidi. Uhakika wa tukio hili ni namna mbili tu, kama lilivyo lile la akina Umulkhayr, hakuna zaidi ya hapo. Uwezekano wa kwanza ni kuwa, wasichana hawa walitengenezewa mazingira na kuwezeshwa kwenda mpaka Frankfurt, Ujerumani bila wao kujijua au kudanganywa kuwa wanaendea jambo fulani, kumbe sivyo. Na waliofanya kazi hiyo ni hao hao makachero wa serikali wanaodai kupambana na ugaidi. Pili, inawezekana walijua wanachofanya kwamba wanatumiwa kwa kulipwa pesa au kwa ahadi ya kufanyiwa jambo fulani. Ambalo si la kweli kabisa, NI UWONGO mtupu, ni hili: Ni kuwa wasichana hao walitiwa ujahidina na IS, wakawa wa j a h i d i n a wa k we l i kindakindaki na wakaona namna ya kutekeleza ujahidina wao ni kwenda Syria. Kama ni ujahidina, ulikuwa ujahidina feki wa k u p a n d i k i z wa n a mawakala wa serikali i l i y o b e b a a g e n d a ya Vita dhidi ya ugadi na ndio hao waliowakatia tiketi ya ndege kwenda mpaka Ujerumani na kule kukawa na makachero wengine wanaowasubiri, wakawakamata. Ufupi wa maneno ni mchezo wa kuigiza. Ni usanii mtupu. Hakuna zaidi ya hapo. Bila shaka tunakumbuka kile kisa cha watu waliofungua ukurasa wa Facebook wakaupa jina la Sheikh Kishki na huko wakaweka picha zake na kisha kuweka fatuwa na kauli mbalimbali kuwa anaunga mkono IS. Katika kisa cha mabinti hawa tunaambiwa eti walifundishwa uhajidina wa IS kupitia mtandao. Kama ni mitandao, wanaitengeneza wenyewe Inaendelea Uk /15/ :55:11 PM

11 11 Makala Na Ben Rijal AsalaAm Alaykum kwa wasomaji wanaofwatilia upenyu wangu katika gazeti la An-Nuur. Kwa wiki tano sikuwa pamoja na nyie kwa kuwa nilikuwa kwenye Ibada ya Hijja huko Makka. Aya katika Qur an juu ya Hijja: 2:125, 2:158, 2:189, 2:196, 2:197, 2: , 2:203, 3:96-97, 5:1-2, 5:94-95, 5:96-97, 9:37, 22:26-27, 22:28-30, 22:33, 22:36, 22:37, 48:27. Na kumbukeni tulipo ifanya ile Nyumba (ya Alkaaba) iwe pahala pa kukusanyikia watu na pahala pa amani. Na alipokuwa akisimama Ibrahim pafanyeni pawe pa kusalia. Na tuliagana na Ibrahim na Ismail: Itakaseni Nyumba yangu kwa ajili ya wanao izunguka kwa kut'ufu na wanao jitenga huko kwa ibada, na wanao inama na kusujudu. (2:125) Wengi wanaporudi Makka huwa na mengi ya kuelezea juu ya safari yao kikamilifu, lakini wengi wao huyaelezea yakesha na wachache ambao huamua kuandika na maelezo yao yakabakia kuwa kumbukumbu, mfano Malik Al-Shabaz kwa jina maarufu ni Malcolm X aliandika barua yake kutoka Makka na hadi leo barua hiyo husomwa na wengi na kuvutiwa nayo. Kuna maneno ameyasema katika risala yake hio Al-Hajj Malik Al- Shabaz ambayo hadi hii leo yana uzito. Alisema: America needs to understand Islam, because this is the one religion that erases from its society the race problem. Throughout my travels in the Muslim world, I have met, talked to, and even eaten with people who in America would have been considered 'white'--but the 'white' attitude was removed from their minds by the religion of Islam. I have never before seen sincere and true brotherhood practiced by all colors together, irrespective of their color. Tafsiri ya juu juu Nchi ya Marekani inahitajia kuuelewa Uislamu kwani ni dini ambayo imefuta kabisa Risala yangu kutoka Makka MSIKITI wa Madina, Saudi Arabia. ukabila. Nimetembea kwingi katika nchi za Kiislamu, nimekutana, nimezungumza na hata nimekula na watu ambao kwa nchi ya Marekani wao wangejinasibu ni kama watu Weupe, lakini hayo yamefutwa katika nyoyo zao kutokana na dini ya Kiislamu. Sijapatapo kuona udugu wa kweli unawekwa na watu wa rangi zote kama hapo kwenye Hijja. Maneno mazito na yanataka tafakuru kwa yule mwenye chembe ya ubaguzi katika nafsi yake, maneno haya kayazungumza miaka 51 iliopita na mpaka Sehemu ya Makaburi ya Baqi Msikiti wa Quba leo Marekani ubaguzi unanuka. Safari ya Makka ni safari ambayo naweza kusema kuwa imekuwa katika fikra zangu tangu nikiwa na umri wa miaka 7 kwani nilipokuwa skuli tukisomeshwa juu ya nguzo 5 za Uislamu na ya 5 tukisoma Nakwenda Ku- Hijji Makka kwa mwenye uwezo. Mwaka huo bibi yangu mzaa mama naye akenda Hijja na ikawa inanishughulisha kafikaje huko na alifanya nini huko Makka? Nilipofika umri wa miaka 28 ikawa fursa kwangu kwenda Hijja, lakini wakati huo nchini Libya walikuwa hawachukui tena wageni kwenda Hijja katika zile meli zake maarufu, Traplus na Benghazi. Nikatafakari lini nitaweza kwenda kuitimiza nguzo hii ya Hijja na siku zinakwenda na zishakwenda hazirudi nyuma. Tunafahamishwa kuwa Hijja uwende kijana na usende ukiwa umri unakupa kisogo, maneno hayo yana nguvu na yana mantiki. Msongamano wakati wa Kutufu na kussai, kusimama Arafa, kulala Muzadadifa, kupiga mawe Jamaraat hakika inahitajia uwe na nguvu zako usiwe dhaifu lakini vilevile kwenda katika umri wa miaka 50 na kwenda mbele unakuwa ndani ya ucha Mungu kwa zaidi kwani huwa hushughulishwi na chochote kile zaidi ya Ibada. Safari yangu yote ya Hijja ilinichukua siku 21 nikianzia Madina mji ambao Mtume (SAW) alihamia kutoka Makka baada ya kukimbia vitimbi vya makafiri. Mji huu una utulivu na watu wake wakarimu zaidi kuliko watu wa Makka. Nalioondoka nyumbani nakufanya kama tulivyotakiwa kwa kutia nia kuwa nakwenda kutimiza Hijja, kisha nikasali rakaa 2. Rakaa ya mwanzo nikasoma Suratul Kafiruna na rakaa ya pili nikasoma Al-Ikhlas. Baada ya kutoa salamu nikaomba kwa lugha yangu ya Kiswahili kutaka usalama kwa huko niendako. Kisha nikaagana na familia yangu akiwepo dada yangu na shemegi zangu na wahisani katika kuwaaga nikisoma Astawdiu Llaha dinakum wa amanatakum w a k h a w a t i m a aamalakum. Kuagana nao na kuanza safari kwenda uwanja wa ndege. Kuaga kwa miaka hii sio kama zamani ambapo waendao Hijja hawakuwa na hata taswira ndogo ya huko Makka kukoje wala hawakuwa na taarifa za undani, kwahio walikuwa wakitoa buriani na kuaga na kuwawacha wanaowaaga na vilio kwa kutokuwa na uhakika wa kurudi, lakini miaka hii hayo hayapo, kwani anaondoka kuelekea Hijja huwa na sura kamili ya Makka na akifika huko huwa mara kwa mara anawasiliana na watu wake. Tulifika uwanja wa ndege saa 6 ya mchana na hapo tukasubiri uingie wakati wa sala na kutanguliza kwa kuzikusanya Sala ya Adhuhuri na Alasiri. Mie ndio nilikuwa Muadhini nikaadhini kisha nikakimu kusali sala ya Adhuhuri rakaa mbili bada ya salamu nikasimama tena kukimu na kusali sala ya Alasiri rakaa mbili. Ilikuwa muhimu sana viongozi kuwafahamisha Mahujaji watarajiwa kujua kusali sala ya safari na hata hivyo, bado ilikuwa kikwazo kwa wengine. Tukaondoka uwanja wa Kisauni- Unguja katika milango ya saa kumi na kufika Madina ikiwa saa tatu za usiku. Watu wa Uhamiaji hapo Madina walikuwa wapo tayari kutuhudumia na kutusalimu na huku kututakia Hijja ya amani. Unapokutana na Ofisa huyo huchukui zaidi ya dakika tatu au tano. Tulipomaliza hayo tukawa tayari kuelekea Madina kwenye hoteli tuliopangiwa. Tulifika hoteli saa 7 za usiku tukasali kwa kuchelewesha Magharibi rakaa 3 na Isha rakaa 2 kwenye Msikiti wa Mtume (SAW) na kuamua kukaa itikafu hadi kusali sala ya Alfajiri. Hapo unaukuta Msikiti tayari umeshaanza kujaza watu na unapojisikia unataka kula, unakwenda kunywa maji ya Zamzam tena yapo baridi yanasambazwa Msikitini kote na hayakosekani na maji hayo huwa yanatokea Makka raha yangu ilikuwa ni kunywa maji ya Zamzam na mengine kujimwagia na kunawa uso. Msikiti wa Madina ni wenye kuvutia na umefanyiwa ukarabati katika nyakati tafauti. Kuna sehemu ya kale ambayo ndio ya Rasuli, kuna ile iliofanyiwa ukarabati na Waturuki na kuna sehemu iliofanyiwa ukarabati na Mfalme Fahad. Sehemu iliofanyiwa ukarabati na watawala wa Kituruki ina masafa ya mita ya mraba 16,500m2 (square meter) na kuchukua waumuni 167,000 kwa mara mmoja kisha kuna sehemu ya utanuzi iliofanywa na Mfalme Fahad ikiwa na masafa ya mita ya mraba 82,000m 2 (square meter) na uwezo wa kuchukua waumini 167,000 kwa mara mmoja. Kuna na sehemu ya chini yenye uwezo wa kuchukua waumini 90,000 na mita za mraba 67,000 (67,000 meter square). Ina Minara 10 ikiwa 6 mipya na 4 ya kale. Msikiti huu wa Mtume (SAW) una milango 85 ikiwa na vipimo 3x6 meter mlango ambao nikiupita mara nyingi ni Fahd 22 Inaendelea Uk. 15 ANNUUR REAL.indd 11 10/15/ :55:12 PM

12 12 MAKALA 12 Njia 21 za kuachana na mahusiano haramu Inatoka Uk. 9 na usiwape nafasi ya kukuambia kuwa wanakufikiria. Acha mambo mengine muhimu zaidi yatawale mawazo yako. Usitoe saa nzima kuangalia dari chumbani mwako kabla hujalala. Soma kitabu badala yake. Amini kuwa wanaendelea vyema na mambo yao bila wewe na bila shaka watafikiria kuwa na wewe unafanya vyema bila wao. Tunza heshima yako. Saba, fahamu kuwa hawakuwa sawa kwao. Kama kitu kinaanza kwa ubaya, hakiwi sahihi kutokana na muda. Utambue kuwa hukuwahi kuwapenda kiukweli kwa ajili ya Allah, bila kujali ni kiasi gani ulikuwa unadhani (unawapenda) au ni hadhara gani (yenye ladha ya dini) ulikutana nao. Unahitaji kitu kilichoanza kwa msingi sahihi. Hii imzuie (kijana) yeyote kuanza kitu ambacho siyo sahihi. Hata hivyo, kama hivi sasa una mahusiano ambayo siyo ya Kiislamu na ndoa ni kitu sahihi kwako, basi unaweza kutubu na kuanza tena katika njia iliyo sawa - ukiwa na dhamira sahihi ya ndoa na kwa utaratibu unaostahili. Lakini fanya maamuzi sasa, na usiendelee kujenga juu ya msingi ule ulioanzia. Jazia nakishi (upungufu) huo. Nane, toa kila kitu moyoni mwako. Zungumza na Allah na umwambie jinsi unavyosikia - kwa lugha yoyote ile unaoyojua jinsi ya kufanya hivyo. Mlilie kama unataka. Fanya lolote unaloweza ili kumkaribia. Hivyo kama bado ulikuwa husali tahhajud kila usiku, chukua hatua za awali. Allah ameacha milango wazi. Tisa, fanya unayoyapenda. Fanya vitu ambayo unafurahia kuvifanya. Ndiyo, ni jambo muhimu kufanya matendo ya kuabudu, lakini pia kufanya vitu ambavyo unapenda kweli kuvifanya. Cheza michezo, nenda kutembea, endesha magari, nenda kupunga upepo ufukweni na katika bustani nzuri nzuri au katika maduka makubwa na migahawa mizuri. Jaza muda wako na vitu ambavyo vitachukua hisia zako na kufikia mahitaji yako -na kuweka akili yako mbali na isipotakiwa kuwepo. Kumi, anzisha upya uhusiano wako na Allah. Acha kutafuta upendo katika maeneo yote mabovu. Acha upendo wa Allah uujaze moyo wako. Kuna utoshelevu ambao hutaweza kuupata kwa watu ambayo ni Mwenye Rehema peke yake anaweza kujaza. Unajua kuwa amekujali wakati wote ukiwa huna mahali pengine pa kugeukia. Omba msamaha wake na uweke iimani yako kwake. Hatakupuuzia. Na usihofu kuwa peke yako mara nyingine. Wewe tu na Muumba wako. Kumi na moja, fanya dua kuwa jambo bora zaidi. Unajua habari ya Umm Salamah ambaye mumewe msahabi wa kushangaza alifariki dunia, akafanya dua kuwa kitu bora zaidi na akaishia kuolewa na Mtume (s.a.w). Hivyo fahamu kuwa Allah ndiyo bora zaidi kati ya wapanga mikakati. Na omba kuwa akupatie mtu atakayekuleta kwake kwa karibu zaidi na kukufanya uwe na furaha. Ishi tu maisha yako, hivyo kuwa unastahili hilo. Baada ya Mtume kufariki, Ibn Abbas (ra) alisemekana kuongeza kufunga na kuomba. Wengine walipomwuliza kwanini, alisema "Nataka kuoa, na nimesoma aya: "Wanawake wema, ni wa wanaume wema. Na wanaume wema, ni wa wanawake wema."(kurani 24:26) Kumi na mbili, fuatilia tendo baya kwa tendo jema. "Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanaokumbuka." (Kurani 11:114) Hivyo unahisi kuwa uliteleza na kuvurigikiwa. Fuatilia kwa jambo jema. Toa zaka (kwa maskini). Fanya sala usiku wakati wengine wamelala. Lisha walio na njaa. Funga siku kadhaa za ziada. Uwe tu na shukrani kuwa Allah amekuokoa katika jambo ambalo lingeweza kuwa baya zaidi. Anasamehe. Ni Mwenye Huruma. Kumi na tatu, Tutumie akili. Acha kuota habari ya ndoa. Watu wanatumia muda mwingi mno wa ujana wao kufikiria kuhusu ndoa. Ni jambo linaloonekana hata kwa vijana wa dinilabda ni zaidi kwao kwani wanafikiria kuoa zaidi wasiingie katika uhusiano haramu. Kama hujajiandaa, hujawa tayari. Allah anasema: "Na wajizuilie na machafu wale wasiopata cha kuolea mpaka Mwenyezi Mungu awatajirishe katika fadhila zake." (Kurani 24:33) Maisha yako yote, na hasa ujana wako, hayahusu wewe kuambatana na mtu mwingine. Wewe ni mtu mwenye nafsi pekee. Kama alivyosema Mtume:: "Tumia fursa ya ujana wako kabla ya uzee." (Hadithi iliyohakikishwa na Al Hakim). Kumi na nne, Chukua muda kufanya tathmini. Fanya tathmini ya nini kinacholeta maana katika maisha yako kuhusiana na ndoa. Hivi kweli ndiyo wakati sahihi kwako? Kama sivyo, muda huo uko karibu? Kuna vitu inabidi uvifanye kabla hujawa tayari? Pata ushauri wa watu wema, wenye kufuata haki, na wenye ufahamu wakusaidie kutathmini. Tumia muda huu kujenga uhusiano na wazazi wako. Fahamu wanachosema kuhusu mambo hayo na zungumza nao kuhusu unachohisi. Utapata ufahamu wa ndani na kujenga uhusiano imara zaidi nao. Kumi na tano, fahamu kuwa hili pia litapita. Mmoja wa waalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa vitu vyote katika maisha vinaanza vikiwa vidogo na kukuwa, ila mikasa, ambao huanza ukiwa mkubwa halafu unapungua.. Utamalizana na hali hii baada ya muda. Utaangalia nyuma na kushangaa tatizo lako lilikuwa nini na kwanini ilikuwa suala gumu hivyo wakati huo. Na ufahamu kuwa kuacha kilicho haramu, kutawezesha tu ndoa yako kuwa na nguvu wakati utakapokuwa umempata anayekufaa kwa baraka za Allah. Kumi na sita, igundue upya nafsi. Upate kuwa bora zaidi katika nafsi yako. Gundua vipaji vyako. Ingia katika vitu ambavyo daima ulikuwa unataka kujaribu lakini hukufanya hivyo. Jenga uwezo wako katika kile unachokifurahia. Chukua muda kufanya vitu ambavyo vitakuwa vigumu kufanya pale utakapokuwa umeoa na kuwa na muda mchache zaidi kwa ajili yako mwenyewe. Kumi na saba, fanya vitu ili ujisikie vyema katika hisia. Jiangalie vyema katika wakati huu mgumu - akili yako, mwili na roho. Soma kitabu, fanya bidii katika masomo yako, kula kiafya, fanya zoezi, kunywa maji mengi, vaa vizuri, sikiliza na soma Kurani zaidi, sikiliza mhadhara mzuri, jitolee katika jumuiko la Kiislamu. Kimsingi, chochote kile na kila ambacho kwa kawaida kinakufanya uone umefanya jambo jema. Inaendelea Uk. 13 ANNUUR REAL.indd 12 10/15/ :55:13 PM

13 13 MAKALA Inatoka Uk. 8 Kiyate katika kuupigania uhuru wa Tanganyika haujathaminiwa. Hawa ndiyo waliompeleka Nyerere UNO mwaka 1955 na wakamuunga mkono hadi uhuru ukapatikana. Nini ilikuwa hatma ya wazee hawa? Tarehe 11 Machi, 1963, Kamati Kuu ya TANU iliyokutana Dar es Salaam ilipiga kura kuvunja kamati ya wajumbe kumi na moja ya Baraza la Wazee wa TANU chini ya Mwenyekiti wake Idd Tulio. Wazee walikusanyika katika ukumbi wa Arnautoglo na wakasomewa uamuzi wa Kamati Kuu ya kulivunja Baraza la Wazee. Taarifa ilisema wazee hao ni kero kwa sababu dini na siasa vilikuwa vitu viwili tofauti na hawa wazee walikuwa wanachanganya dini na siasa. Hiki kilikuwa chombo cha ushauri ambacho wajumbe wake wote walikuwa Waislamu. Chombo kilichokuwa ndani ya TANU ambacho kilimuunga mkono Nyerere na TANU tangu siku za mwanzo kabisa. Kwanza chini ya uongozi wa Sheikh Suleiman Takadir na kisha chini ya Mzee Idd Tulio baada ya kufukuzwa kwa Sheikh Takadir kutoka TANU. Wakati haya yote Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati Katika wajumbe Waliohudhuria Mkutano Huu wa Kwanza wa TANU mwaka 1955 Ukumbi wa Hindu Mandal Dar es Salaam walikuwa Salum Mpunga na Ali Mnjale kutoka Lindi Hawa ndiyo walikuwa Waasisi wa TANU Jimbo la Kusini. Historia haiwatambui. yakitendeka, Kanisa ambalo wakati wa kudai uhuru lilijiweka mbali na halikutoa msaada wowote, sasa likawa linanyemelea kujiingiza katika siasa likiwa na agenda yake: kuwaweka viongozi Wakristo katika nafasi za uongozi na kuutoa nje ya uongozi wa Waislamu ambao Kanisa liliwaona ati ''hawana elimu.'' Jumuiya za Kiislamu kama Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na EAMWS zilikuwa sasa zinapigwa vita na serikali ya Nyerere kama vyombo ambavyo havikuwa na umuhimu wowote katika Tanganyika mpya. Katika kumuhakikishia utiifu wao juu yake, Waislamu walijitahidi mwisho wa uwezo wao kuziweka taasisi zao kando na chuki za kidini dhidi ya Wakristo. Juhudi hizi hazikuthaminiwa. Serikali ilifanya juhudi za siri kuhakikisha kuwa jumuiya zote za Waislamu zinapigwa marufuku. Huu ndiyo ukawa mwanzo wa kampeni za kufuta historia ya Uislamu katika TANU na mwisho wa Waislamu kuwa na sauti katika siasa baada ya uhuru kupatikana. Baada ya kupatikana kwa uhuru, ile nguvu ya Waislamu iliyotumika kupambana na Waingereza kuleta uhuru, ikaonekana haina maana yoyote na haifai kitu tena. Kuvunjwa kwa Baraza la Wazee ndiyo ilikuwa kishiko cha mwisho cha Waislamu katika TANU. Baada ya hapo Kanisa lililokuwa pembeni wakati wa kudai uhuru, sasa likajitokeza waziwazi kuwapiga vita Waislamu katika TANU. Baada ya Maasi ya Wanajeshi wa Tanganyika Rifles (TR) tarehe 20 Januari Jiji liligoma kuupa Mtaa aliokuwa Akiishi Jina lake kwa Kuogopa Mitaa ya Dar es Salaam kusheheni majina ya Waislamu waliopigania uhuru ' Mzee Mshume alikuwa Akiishi Mtaa wa Tandamti. Wakati wa Kudai Uhuru Nyerere alikuwa hapungui Nyumbani kwa Mzee Mshume Kiyate. Inatoka Uk. 12 Uwe na fadhila kwako mwenyewe. Kumi na nane, jifunze kuhusu upendo wa kweli. Jifunze upendo halali hasa ni nini. Na ndiyo, upo. Siyo kile unachofikiria na siyo jinsi Hollywood/Bongo movies, inavyoonyesha. Upendo halisi na halali ni Mtume anapolia akiona mkufu wa Khadijah muda mrefu baada ya kifo chake. Ni wakati alipomsaidia huku ulimwengu wote umemgeuka. Ni kutaka mwenza wako atende jema ili muweze kuwa pamoja Peponi milele baadaye. Siyo kukutana na msichana katika tafrija na kujiua kwa sababu huwezi kuwa naye (samahani Shakespeare). Njia 21 za kuachana na mahusiano haramu Jifunze upendo wa kweli ni nini hasa na utaondoka katika uhusiano wowote haramu kwa haraka sana. Kumi na tisa, pata mfano wa kuigwa. Andamana na kuzungumza na vijana wa dini, wenye ndoa safi. Pata ushauri wao na kuwatumia kama mfano kwako mwenyewe katika maisha yako. Watakusaidia kuweka vitu kwa mtazamo sahihi kwako. Uliza habari za jinsi walivyofikia hadi kufunga ndoa. Omba ushauri wao na ujifunze kutoka kwao. Ishirini, egemea kwa marafiki zako. Ndiyo sababu ya kuwa na marafiki. Sasa mwishowe una nafasi ya kujenga mahusiano ya karibu zaidi na kaka zako na dada zako wa imani (kina kaka wakiwa pamoja na kina dada nao wakiwa pamoja, au vinginevyo hujapata azma ya makala hii kwa jumla). Itakuwa rahisi zaidi sasa kutumia muda wako pamoja nao na kusaidiana kuinua nafsi zenu kuwa bora zaidi. Hutakuwa na nafasi ya kufanya hivyo wakati wote. Ishirini na moja, uwe miongoni mwa wenye haki. Uwe karibu na watu ambao unajua wasingependa uwe katika uhusiano ule haramu. Rafiki anayekuambia kuwa wewe ni mjinga kwa kuvunja uhusiano huo, ndiye ambaye, unahitaji kumkwepa kwa muda. Kama mmoja au zaidi kati ya marafiki zako wanaofuata njia za haki walikuwa wanafahamu uhusiano haramu ambao ulikuwa nao, basi ongea nao na uwafahamishe kuwa unasonga mbele na maisha yako. Ni njia nzuri ya kujipa moyo, na Insha'Allah watakupa nguvu. Kama walikuwa hawafahamu, hakuna haja ya kuungama. Furahia tu muda wako ukiwa nao kwani itakufanya uwe mtu bora zaidi. Namwomba Allah atupe nguvu sisi sote. Kuwa aimarishe ndoa za walio katika ummah na atuweke mbali na yote ambayo hayamfurahishi. (Makala hii- Get Over It: 21 Ways to Say Goodbye to that Haram Relationship and Move on With Your Life, imeandikwa na Ehab Hassan na kutafsiriwa kwa Kiswahili na Anil Kija. Ehab Hassan ni mwanaharakati kijana wa Kiislamu na mtenda kazi kuhusu Uislamu. Ameshiriki katika mabaraza kadhaa na bodi za mashirika tofauti ya Kiislamu wakati akielekeza nguvu zake katika kazi zinazohusu vijana kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita. Wakati wa mchana, Ehab ni Mhandisi Mashine (Mechanical Engineer), na usiku ni baba wa familia anayejaribu kushikilia nafasi yake kama baba bora zaidi duniani. Ehab anaishi Maryland, Marekani na mkewe na wanae wadogo watatu. Mfuatie katika ehababuayah.) ANNUUR REAL.indd 13 10/15/ :55:13 PM

14 14 MAKALA HAIJALISHI U NANI!!! Haijalishi u nani, u insani au nani! Haijalishi u nani, u razini au nani! Haijalishi u nani, u jununi au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u rijali au nani! Haijalishi u nani, u nisai au nani! Haijalishi u nani, u khuntha au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u waladu au nani! Haijalishi u nani, u shababu au nani! Haijalishi u nani, u shaibu au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u mkwasi au nani! Haijalishi u nani, u fukara au nani! Haijalishi u nani, u wasitwa au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u Amir au nani! Haijalishi u nani, u Imamu au nani! Haijalishi u nani, u Sheikh au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u Papa au u nani! Haijalishi u nani, u Kasisi au nani! Haijalishi u nani, u Padiri au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u Rais au nani! Haijalishi u nani, u Waziri au nani! Haijalishi u nani, u Mbunge au nani! Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo! Haijalishi u nani, u komando au nani! Haijalishi u nani, u kamanda au nani! Haijalishi u nani, u kuruta au nani! Pumzi ina kikomo, kikomo chake mauti. Abuu Nyamkomogi-Mwanza. SIASA ZA 'FWATA-KUMBO' Siasa za 'fwata-kumbo', si siasa barabara, Siasa za 'fwata-kumbo', misingi yake si sera, Siasa za 'fwata-kumbo', zao la ombwe fikara, Siasa za 'fwata-kumbo', tegemezi si imara, Siasa za 'fwata-kumbo', za watu waso na dira, Siasa za 'fwata-kumbo', kwa kasi sasa zadara, Siasa za 'fwata-kumbo', si Zenji wala si Bara, Siasa za 'fwata-kumbo', hatima yake nadama. Siasa za 'fwata-kumbo', japo kasi zimeshika, Siasa za 'fwata-kumbo', si Bara si Tanganyika, Siasa za 'fwata-kumbo', sahali kuathirika, Siasa za 'fwata-kumbo', si zenye kumakinika, Siasa za 'fwata-kumbo', si za hakika za shaka, Siasa za 'fwata-kumbo', twapaswa kuziepuka, Siasa za 'fwata-kumbo', pabaya zitatuweka, Siasa za 'fwata-kumbo', hatima yake nadama. Abuu Nyamkomogi-Mwanza. Kisa cha Aisha na Badra Inatoka Uk. 10 na wakaitumia kunasa vijana wa Kiislamu ambapo kwa bahati mbaya vijana wengi wa Kiislamu wanaangukia katika kundi hili la watu wanaonaswa kirahisi na taarifa za mitandao hii. Utawasikia wenyewe wakisema soma mtandao Jihad Somali/Al Shabaab. Hamuoni? Hamsikii? Hamzingatii? Septemba 5, 2013 akizungumzia vita inayoendelea hivi sasa Syria, aliyekuwa Consul General wa Israel kule New York, Bwana Alon Pinkas alikuwa na haya ya kusema: "This is a playoff situation in which you need both teams to lose, but at least you don t want one to win we ll settle for a tie,...let them both bleed, hemorrhage to death: that s the strategic thinking here. As long as this lingers, there s no real threat from Syria." (New York Times). Ufupi wa maneno anachosema Alon Pinkas ni kuwa mpango wa Israel na Marekani, si kumsaidia yoyote katika Syria kushinda. Hawataki wapinzani wa Bashar washinde na kushika Dola wala Bashar kushinda na kuendelea kushikilia uongozi. Wanachotaka ni Waislamu hao kukamuana damu mpaka wajimalize wenyewe (we ll settle for a tie,...let them both bleed, hemorrhage to death). Kwa nini? Kwa sababu itafikia mahali kwa jinsi walivyotafunana na kumalizana wenyewe kwa wenyewe, Syria haitakuwa tena adui wa Israel (As long as this lingers, there s no real threat from Syria ). Na hii ni kutokana na ule mpango ulioelezwa na Oded Yinon (A Strategy for Israel in the Nineteen Eighties- KIVUNIM (Directions), A Journal for Judaism and Zionism; Issue No, 14--Winter, 5742, February 1982) unaoagiza kuwa Iraq na Syria zidhoofishwe na ikibidi zigawanywe katika vinchi vidogo vidogo kwa kuchochea mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Mahali pengine ikatajwa wazi kabisa kwamba zifanyike juhudi za makusudi kuunda vikundi vya kijihadi vya Kisalafi vitumike kufanya kazi hiyo. Mkakati wa Oded Yinon ulikaririwa tena katika waraka- "Clean Break" document, wa mwaka 1996, ulioandaliwa na jopo la wapika mipango mikakati (strategic thinkers) wa Marekani na Israel, wakiwemo Richard Perle, Douglas Feith, David na Meyrav Wurmser. Waraka huo ulikusudiwa kuwa mwongozo katika Sera ya Mambo ya Nje ya serikali ya Benjamin Netanyahu. Kubwa lililotajwa na kuelekezwa ni kuzivuruga Iraq na Syria ikianzia na kupinduliwa Saddam Hussein. Na kwamba itakapokuja zamu ya Syria, juhudi zifanyike kuzishirikisha na kuzitumia nchi za Uturuki na Jordan, kama tunavyoona zinavyotumika leo katika kuipiga Syria. Lakini pia ikatajwa kuwa japo kwa nje itaelezwa kuwa wanaungwa mkono wapinzani kumng oa Bashar, lakini lengo si kuwapa wapinzani ushindi, bali kuigawa nchi hiyo mapande mapande. Akielezea unafiki huu wa Marekani katika suala la Syria, mwandishi wa muda mrefu wa gazeti la La Vanguardia la Barcelona, Tomás Alcoverro, wiki iliyopita Oktoba 9, 2015 aliandika akisema kuwa kama mashambulizi ya Urusi yataendelea kama ilivyo sasa, basi ule mpango wa Marekani wa kuwapiganisha watu wa Syria (Waislamu) mpaka wamalizane wenyewe, utakuwa umefeli. (Soma zaidi: US, Russia & Syria: The Problem With Faking It- By Thomas S. Harrington.) Kwa bahati mbaya kabisa, kama nilivyotangulia kusema, hili la Jihad feki na mujahidina feki wa kupandikizwa na kutumiwa na mabeberu na Mayahudi, nalo limekuwa mada ngumu kwa watu wetu kuelewa. Wanaona ya IS na akina Al-Baghdad ni Jihad kweli, wala hawaoni kilicho chini ya RAIS wa Russia Vladimir Putin hii inayoitwa Islamic State. Pengine hiki anachofanya sasa Vladimir Putin, huenda kikawasaidia kuelewa. Kwa watu wetu, na kwa kutokana na ufinyu huo wa uelewa wa mambo, wanaamini kuwa IS bado wapo na wanatamba Syria na Iraq kwa sababu ni Mujahidina wa kweli kwa hiyo wanapata hifadhi ya Allah. Kwamba pamoja na kuwa Marekani imeunda ushirika wa kuwapiga kwa kutumia maguvu yake yote, lakini bado wapo. Mpaka Marekani yenyewe inalalamika k wamba imekuwa vigumu kuwamaliza. Watu wetu hawa, pengine kwa kutamani kuvuna wasipolima na kupanda, ukiwaambia Marekani inafanya usanii, haiwapigi IS, hawaamini. Ukiwaambia IS ni kifaa cha Marekani, wala haiwashughulishi kujua kama kweli hiyo- Strategy for Israel in the Nineteen Eighties ipo na inasemaje. Sana sana wanaweza kukujia na hoja kuwa KIVUNIM, sio Qur an wala Sunnah na watakuona kuwa wewe ndio unatumiwa na Marekani! Sasa pengine kwa kipigo hiki wanachopewa na Putin kama hayatajitokeza mazingira mengine, kikasimama, ndio pengine watu wetu wataelewa kuwa Marekani ilikuwa haiwapigi IS na ilikuwa haiwapigi kwa sababu ni askari wake wa kutekeleza agenda zake. ANNUUR REAL.indd 14 10/15/ :55:14 PM

15 15 MAKALA Inatoka Uk. 11 kwani nikipita mlango huo huiona saa kwa nje na hufika hoteli niliofikia chini ya dakika 5. Nguvu za umeme hutokea kilomita 7 nje ya Msikiti na hilo jenereta kazi yake kutoa umeme kwa Msikiti tu, likiwa linatoa Megawatt 2.5 na kuwa na vituo vidogo 4. Kuna kamera za kuchukua picha saa zote 543 na vipaza sauti vya nyongeza (amplifiers) 206 na kila kimoja kina uwezo wa 600 Watt na Maspika 3,500. Hakika ni Msikiti wa kipekee ambao hauwezi kukosa Umeme wakati wowote ule wala kukosa maji kwa wakati wowote ule. Haijatokea siku ukakatika umeme na kama hitilafu ikitokea haizidi dakika chache zisozidi dakika tano. Unapokuwepo Madina kwa siku 8 utatakiwa usali sala 40 zote kwa jamaa katika Msikiti wa Mtume (SAW). Nimebahatika kulitekeleza hilo na kila Sala mmoja unaoisali Msikiti huo unapata ujira wa 1,000. Msikiti huu wa Madina ndipo alipozikwa Mtume (SAW) na pembezoni mwake kazikwa Syd Abubakar bin Sidiq na Syd Umar bin Khattab, ilikuwa ada kwangu na wengi wa Mahujaji kuhakikisha kila bada ya Sala kufanya ziara katika kaburi la Mtume (SAW) na kwa wengine walijiekea walaakali yaani kwa uchache hakosi kwa siku kumzuru Mtume (SAW) kiongozi wa Umma walau mara mmoja. Unapokuwa katika ziara hii ambayo unaifanya ukiwa ndani ya Msikiti wa Mtume (SAW), unapata kila hisia, kwani wenzako ambao nao wanaingia katika sehemu hii ilio ndogo kabisa huku askari kutaka utoe salamu upite uwende zako, unapata msisimko wa kuona wengine wanalia, wengine wanamaliza kusoma dua zote wazijuazo ikiwa unapita mahali hapo huwezi kubakia hata dakika 3 unasoma huku unakwenda na wengine wanafwatia. Kila ukiwa unazuru kaburi la Mtume (SAW) unajawa na hisia na kujua mbinu gani utumie upate kusoma dua zako. Siku nikiwa katika ziara hii alikuwepo mzee kutoka Afrika ya Magharibi alipotoa salamu yake na huku analia, hakika sote tulimfwata kwani ilikuwa analia na khushuu ndani yake hata askari aliokuwa akisema yaa Hajj imsh, alinyamaza kimya na huku tunakwenda na machozi kutulenga kwani unakuwa na hisia za namna yake ambazo sio rahisi Risala yangu kutoka Makka Sehemu ya Rawdha kuzielezea kwa kutumia kalamu. Sitowacha aidha kukieleza kisa cha watu 2 mmoja akiwa mtu wa Misri nimemjua kwa lahaja yake na wa pili akiwa kijana kutoka Afrika ya Magharibi. Tupo katika uzio tunasubiri tupishwe kwenda kwenye ziara kwani askari huchunga nidhamu ya kupisha watu kwa makundi kwenda kwenye ziara na kwa wakati mmoja hufikia watu 3,000 wanataka kufanya ziara. Huku ikiwa askari akiwa anataka watu wasimame waliopo kwenye uzio, Mmisri kakaa kitako na askari akimlazimisha kusimama, jawabu ya Hajj huyo ilikuwa, Sikiliza bwana mie nimekuja hapa kwa ibada kwa hio nipo tayari kwa lolote lile ili nitimize ibada. Askari aliona sasa haya makubwa akamrukia jamaa wa Afrika ya Magharibi ambaye amesima lakinii analazimisha uzio ufunguliwe, jamaa huyo anacho Kiarabu cha kutupa na kuchanganya lugha ya Kifaransa hataki kabisa kusikia kwanini tunachelewesha kuachiwa kwenda kufanya ziara. Alisema maisha yake yote ameyapanga Ku-Hijji na kumzuru Mtume (SAW) ilivyokua amefika basi ni lazima atimize lengo lake hapendi kuchelewesha. Askari na ubabe wake alifahamu hisia za watu walizokuwa nazo, sio muda akatuachia kuingia kwenye Msikiti ambapo kuna kaburi la Mtume (SAW). Aidha baina ya kaburi la Mtume (SAW) na Mimbari akiitumia kuna eneo linalojulikana kama Rawdha, kusali Rawdha ni sawa na kusali katika viunga vya Peponi. Mmoja alinifahamisha kuwa kuweza kuijuwa Raudha ni sehemu zote zina mazulia mekundu lakini hapa Rawdha mazulia yake ni ya kijani. Unapotoka kufanya ziara kwenye Msikiti wa Mtume (SAW) unatoka katika mlango unaoitwa Baqi ukenda moja kwa moja kama mita 100 unafika katika makaburi ya Baqi ambapo amezikwa Bibi Fatma mtoto wa Mtume (SAW) na ndugu zake. Aidha hapo amezikwa sahaba maarufu Syd Uthman bin Affan na Masahaba 10,000. Aidha Imam Malik naye kazikwa hapo. Unapokuwa na ramani ndio itakusaidia kuelewa baadhi ya sehemu, lakini makaburi yote hayana chochote kile kilichoandikwa na yote yapo sawa huwezi kuyatafautisha. Aidha unapokuwa Madina unapata fursa ya kuzuru maeneo muhimu ya Kihistoria kama Masjid Quba, Masjid Qiblatein, Baqii, Milima ya Uhud palipopigwa vita vya Uhud. Nilibahatika kufika Msikiti wa Quba Msikiti ambao ndipo alipofika Mtume (SAW) na kuujenga, Msikiti upo wa kileo, nilifika hapo katika nyakati za Alasiri nikasali sala ya kuamkia Msikiti, wakiwa waumini wa kike na kiume kila mmoja upande wake akisali hapo. Aidha nilisali Masjid Qiblatein mahali ambapo Masahaba walisali Rakaa 2 wakielekea Baitil Mauqadas na rakaa mbili kuelekea Alqaba, unaposali hapo na kwengineko unapata hisia na kuirejesha nafsi yako kuwakumbuka Masahaba na kiongozi wao Mtume SAW. Nilifika Uhud pahali ambapo huko nyuma niliandika makala juu ya vita vya Uhud. Nilipata msisimko hasa pale nilipofika sehemu ya wapiga mishare 50 na kupanda mlima huo na kutafakar kwa kiasi. Nilifanya ziara hizo na bada ya kutimu siku 8 ikawa ni safari yakuelekea Makka na ilivyokuwa Hijja yetu ya Tamatuu ilikuwa ni kuanza kwa kufanya Umra. Kabla ya kuondoka Madina tulipata habari kuanguka kwa krini/ Kachorora na kuua na kujeruhi baadhi ya waumini. Ilikuwa simu nenda simu rudi nalikuwa sipendi kutumia simu kwa kunifanya nishughulike juu ya hayo nikawapigia nyumbani kuwaeleza kuwa matokeo yaliotokea Makka sisi tupo Madina bado, nyoyo zao zikatulia. Kuelekea kufanya Umra Tulitoka hoteli yetu huko Madina na kuelekea Makka na tulifika Miqaat sehemu ambayo ndio ya kutia nia, wakati huo tumevaa shuka zetu mbili moja ya juu na ya pili ikiwa saruni (Ihram) na bila ya kuvaa kitu chengine chochote kile. Tulipofika Mikaat tukasali rakaa mbili na kutia nia kwa kusema Lababaika Allahuma Bil Umra na kuanza kutoa tamko la Talbiya pasi na kusita tukiwa kwenye mabasi tunaelekea Makka Labbaika Allahumma Labbaika, Labbaika Laashariyka Laka Labbaika, Innalhamda Wa Nni mata Laka Walmulku, Laa Shariyka Laka. Tuliendelea na kusoma Labbaika hadi tukafika Makka na moja kwa moja tukaweka mizigo yetu na kuelekea kufanya Tawaf na Sai. Viongozi wetu ni weledi wengine ni Hijja yao inakaribia ya 20 ikiwa tangu wanasoma hapo Makka na hadi sasa wanaendelea kwenda Hijja na kutuongoza, tulifika kwenye Alqaba na kuanza kutufu. Tumerahisishiwa kujua hasa wapi pakuanza tawaf kuanzia kwenye Jiwe jeusi-hajjara al- Aswad, hapo kuna taa ya kijani inawaka saa zote ukifika hapo ikiwa bega lako la kushoto ndio linaelekea Alqaba na bega lako la kushoto umeweka wazi, unaanza kwa kusema Bismi Llahi Allahu Akbar na kuanza kuzunguka Alqaba mara saba, mara 3 za mwanzo unakwenda mwendo wa mchupo unaitwa mwendo wa Matiti, unapofika Rukul Yamani unasoma Rabaana Aatina Fiduniya Hasanat Awafil-Akhirat Hasanat Waqina Adhaba Naar. Kila ukifika Rukul Yamani unasoma hivyo na Rukul Yamani ipo baina ya Maqam Ebrahim na kwenye jiwe jeusi. Tulipomaliza mizunguko 7 tukasali rakaa 2 Maqam Ebrahim tukanywa maji ya Zamzam ambayo yapo chekwa yanawasuburi Mahujaji tu, kisha tukaelekea Saayi baina ya Swafaa na Marwa. Unaanza jabali Swafaa unatoa Takbir mara 3 na kwenda Safa mara moja na ya pili kuwa Marwa na kumalizia Marwa. Unapoanza unasoma Rabana Atina Fiduniya Hasanat Wakina Adhabu Naar Waadkhilna Jaanat Maal Abrar Ya Azziz Ya Ghafar Ya Rabal Alamin. Tulipomaliza kufanya Saayi tukapunguza nywele tukaelekea hoteli tulipofikia na kuvua nguo za Ihram na kuvaa nguo za kawaida. Siku hii ya Umra kwangu ilikuwa ni siku refu, kwani mwenzangu tulipoteana na matokeo hakufanya Saayi kwa hiyo alitakiwa airejee tartibu nzima ya Kutufu na kufanya Saayi, ikabidi nifwatane naye na kumuonyesha mizunguko 7 ya Tawaf kisha na Kufanya Saayi, baada ya hapo tukatoka Inaendelea Uk. 19 ANNUUR REAL.indd 15 10/15/ :55:14 PM

16 16 MAKALA Na Ali Mwadini NIMESOMA kwa mshangao mkubwa taarifa zilizochapishwa kwa maandishi mazito zikianzia ukurasa wa mbele wa gazeti la wiki iliyopita zilizohusu maelezo ya Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Katika habari hizo, Dk. Shein ambaye alikaririwa akiwa kwenye mkutano wa kampeni ya uchaguzi kisiwani Pemba, alisema anashangaa kuona Makamu wake wa Kwanza, Maalim Seif Shariff Hamad hazungumzi kwamba alishiriki kuamua kukamatwa kwa masheikh wa Zanzibar mwaka Gazeti hili likimnukuu Rais Dk. Shein, limesema: Katika suala la kutafuta ufumbuzi wa Uamsho baada ya kufanya vurugu, tulikubaliana na kushauriana na viongozi wote wa serikali wakiwemo viongozi wa CUF lakini nashangaa hili hawalisemi. Kisha mwandishi akasherehesha akisema, Inakuaje leo wenzetu viongozi wa CUF kuilaumu serikali juu ya yale yanayowakuta masheikh wa Uamsho katika magereza ya Bara, wakati walihusika katika kuwapitishia hukumu. Dk. Shein ambaye yupo katika jitihada za kutafuta ridhaa ya wananchi kwa mara ya pili ili kuongoza Zanzibar, kwa mujibu wa gazeti hili, amesema wakati wanatafuta namna ya kudhibiti alichoita vurugu za Uamsho, Tulikaa pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais na viongozi wengine wa CUF kupanga nini tutende kuhusu masheikh. Kama maelezo haya ni kweli yametoka kinywani mwa kiongozi huyu Rais wa Zanzibar, Dk. Shein, basi yamenishtua kwa kiwango kikubwa kwani yanaonesha ni kwa namna gani kiongozi anavyoyumba. Dk. Shein namuona anayumba kiuongozi kwa sababu anashindwa kuonesha uungwana kwa suala lenye umuhimu na maslaha ya wananchi ikianzia na masheikh wenyewe wanaoendelea kuishi katika hilaki gerezani Dar es Salaam. Masheikh zaidi ya 20 pamoja na wasaidizi wao wapatao kumi wanaotoka Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) wamekuwa gerezani Segerea, Dar es Salaam, ambako kutokana na kuzuiwa kwa dhamana yao na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), katika kesi ya tuhuma za kutenda ugaidi, ni kama wamehukumiwa bila ya kesi kusikilizwa. Walikamatwa katika siku na nyakati tofauti kati ya mwaka 2012 na 2013, kwenye mji wa Zanzibar na kusafirishwa kwa boti hadi Hili la kadhia ya Masheikh. Halimstahili Dk. Shein kuhurumiwa kama palikuwa na uongozi imara wa serikali. Ina maana Dk. Shein angekuwa kiongozi makini anayependa watu wake, asingeruhusu raia alioapa kuwatumikia kwa uadilifu na uungwana wakidhalilika mbele ya mkono wa dola, tena mbali na kwao. Ninayaona matukio yanayomtuhumu Dk. Shein kuwa si muungwana na ni dhaifu pale ninapotaja nchi kama Marekani, Uingereza, Israel, Ufaransa na kwingineko ambako raia wake akipata shida popote duniani, husimama kidete kuhakikisha anatendewa haki na mara nyingi hushinikiza apelekwe kushitakiwa kwao. Je hili Dk. Shein halijui? Hajapata kusikia mazingira kama haya? Hakumbuki wasichana wawili wa Kingereza waliokuwa ni walimu wa kujitolea mjini Zanzibar na kumwagiwa tindikali walivyoshughulikiwa na kuharakishwa kusafirishwa RAIS Jakaya Kikwete (kushoto) akikumbatiana na Rais wa kwa ndege maalum Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein. kupelekwa Uingereza kwa matibabu ya kitaalamu? Dar es Salaam ambako ndio kwenye Mahakama ya Na tukio hilo lililotokea wamefunguliwa mashitaka Zanzibar ambayo ina ndani ya Mji Mkongwe, hayo. Walisomewa mashitaka mamlaka sawa na Tanzania wakati Dk. Shein akiwa tayari mbele ya Hakimu Mkazi Bara. Uongozi umeziba madarakani. Ni kwa vipi Mahakama ya Kisutu. Hata masikio. basi asilitazame hilo na tukio hivyo kesi yao imekuwa Kuna mambo ya linalohusu hawa masheikh ikipigwa danadana na kuzingatiwa hapa: Kwanza, ambao ni miongoni mwa haijawahi hata kuelezwa watuhumiwa wote wale raia zake aliokula kiapo ni lini itaanza kusikilizwa. wamefungiwa haki yao ya kuwa atawaongoza bila ya Mara zote wakili wa serikali dhamana, hivyo kuendelea ubaguzi wa aina yoyote? huomba kesi iahirishwe kwa kusota gerezani. Hili lenyewe Tuseme sawa viongozi madai kuwa upelelezi wake ni kinyume cha Katiba ya nchi walikubaliana masheikh haujakamilika. kwa vile dhamana ni haki ya wakamatwe. Wote wale Wakati serikali ikionesha kila mtu anapotuhumiwa mawaziri kutoka chama dhahiri haina kesi ya mahakamani. chao CCM na wale watokao maana kwa masheikh hao, Pili, watuhumiwa CUF wanaoshiriki serikali watuhumiwa wanazidi wengine hali zao za afya pamoja na Maalim Seif. kunyimwa dhamana ni mbaya kutokana na Hiyo ni sababu ya kuachia ambayo ni haki ya msingi ya kudai waliumizwa wakati wadhulumiwe haki zao mtuhumiwa; huku hali zao walipokuwa hawajafikishwa mpaka leo? zikizorota kutokana na baadhi m a h a k a m a n i. Kama ni kweli walikaa yao kulalamika afya dhaifu Kutoshughulikiwa hali zao na kukubaliana, sasa haoni kwa kuwa walipigwa na kikamilifu ili zikarudi za yeye Rais wa Zanzibar kuwa kudhalilishwa walipokuwa kawaida, ni kuwanyima haki mpango ule umefeli kwa kuwa mikononi mwa vyombo za binadamu. matokeo yake ni kuwaumiza vya usalama. Uamuzi wa Tatu, ni kwanini wasomi wa dini ya Kiislamu Serikali ya Mapinduzi wasafirishwe na kushitakiwa ambayo inatawala nyoyo za Zanzibar kuridhia masheikh Mahakama ya Tanzania Bara Wazanzibari karibu wote hao kukamatwa ndani ya wakati kule walikokamatwa waliopo Unguja na Pemba, Zanzibar na kusafirishwa hadi kuna mahakama yenye hadhi wakijihisi kukandamizwa? Dar es Salaam ambako ndio sawa na inayoweza kusikiliza Ninamtupia yeye kwa wamefunguliwa mashitaka kesi inayowahusu? sababu mahsusi kuwa yeye ya jinai, kumechochea chuki Nne, ni kule kuwa ndiye Rais, Mwenyekiti wa dhidi ya serikali hiyo kwani watuhumiwa wamekuwa Baraza la Mapinduzi (BLM) wananchi wanaona ni dhulma wakipakiwa kwenye gari na sehemu ya Baraza la na maonevu. Mawakili na kupelekwa mahakamani Wawakilishi (Bunge) ambako wanaowatetea wamejitahidi Kisutu chini ya ulinzi ndiko sheria na maamuru kuomba mahakamani haki mkali kama vile ni watu yote ya serikali hutungwa. za watuhumiwa ziheshimiwe walioshikwa na silaha Kiongozi mkuu wa nchi kwa vile hawajathibitishwa wakati wakikamatwa, lakini ndiye hubeba dhamana ya kutenda makosa yoyote; kesi yao haisikilizwi na kila linalotokea katika nchi nazo jumuiya za wanasheria wanaoichelewesha ni serikali anayoongoza. Alibebe hilo Zanzibar zimelalamika iliyowakamata. hata kama ni chungu kwake na kuitaka serikali itumie Haya mambo kama anavyoyabeba yale sheria na katiba ya Zanzibar manne yote yangekuwa mazuri. kuwarudisha ili washitakiwe yameshughulikiwa ipasavyo Hapa wala simsakizii makubwa. Amepata kusema mwenyewe kuwa yeye ndiye rais; urais wake hauna mshirika; na yeye ndiye muamuzi wa kila jambo ndani ya Zanzibar; na kwamba ana haki ya kuchukua ushauri wa mtu au akauacha. Labda Dk. Shein amesahau, nimkumbushe. Amewahi kutamka hadharani kwamba katiba inampa mamlaka yeye rais ya kuamua aonavyo, na kwamba pamoja na kutambua kuwa ameteua makamu wawili, hao ni wa kumshauri tu, uamuzi unabaki kwake. Sasa alipokaa na kushauriana na wasaidizi wake hao kama alikaa nao kweli aliridhika kuwa uamuzi aliouchukua ndio ulikuwa sahihi kwa asilimia 100? Tuseme ndivyo ilikuwa, anavyoona bado uamuzi ule una nguvu mbele ya macho ya Wazanzibari? Panahitajika utulivu mkubwa kupatafakari kwa sababu kwa kuwa ameshatamka kuwa yeye ndio muamuzi, basi hata kwa hilo anapaswa kuchukua jukumu la kuamua kwa namna itakavyowapunguzia maumivu raia. Picha ninayoiona hapa ni kwamba Dk. Shein anafanya siasa ya ulaghai. Anataka kupumbaza wananchi wanaotakiwa kufanya uamuzi wa kama anastahili kupewa ridhaa au la. Yule anayefanya kumtupia mzigo wa lawama kuhusu kadhia hii, Maalim Seif, hana kosa lolote hapo. Yeye si rais na alishatafadhalishwa kuwa yeye makamu ni mshauri tu. Maalim Seif amekaa kimiya muda mrefu kwa sababu ya kuheshimu sheria na hakuna kama hilo ni suala linalohitaji mchezo wa kisiasa. Lakini kilipoingia kipindi cha siasa kiongozi yeyote imara hawezi kulipisha bila kauli. Ameshasema akipata ridhaa ya kuongoza, kwa kuwa anaamini wanachofanyiwa masheikh hao ni maonevu, atawarudisha siku ya pili na kama wana mashitaka washitakiwe kwenye Mahakama ya Zanzibar kwa sababu ina hadhi kama ya Bara. Dk. Shein anatafuta huruma asizostahili wakati huu wa kutafuta kipindi cha pili cha uongozi wa Zanzibar. Ajue amekiuka kiapo chake cha Novemba 2 mwaka 2010 cha kulinda raia na haki zao na bila ya kuwabagua kwa namna yoyote ile. Basi ukweli ndio huu amebagua wananchi kwa kudharau haki za Masheikh wa Uamsho ambao hata hajatanabahi kuwa ni yeye anayepaswa kusimama imara kuwatakia ahueni. Amepuuza dhamana yake hiyo ya kikatiba kabisa, na kuamua kuachia masheikh zetu wapendwa, wadhulumiwe na kuumizwa. Hasalimiki. ANNUUR REAL.indd 16 10/15/ :55:14 PM

17 17 MAKALA/TANGAZO Baadhi ya Masheikh Waliopita Zanzibar na Kuweka Msingi wa Elimu ya Dini ya Kiislamu Na Ben Rijal Kati ya wasomi wa Kishafi waliotia msingi wa elimu ya dini visiwani Zanzibar ni watatu, nao ni: Sheikh Muhyiddin, Sheikh Ahmed Bin Sumeyt na Sheikh Abdul-Aziz Bin Abdul-Ghany Al-Amawy. Sheikh Muhyiddin Bin Sheikh alizaliwa Barawa mwaka wa 1206 AH (1718 AD). Katika zama zake katika uwanja wa elimu ya dini ya Kiislamu, ilikuwa huwezi kutaja wasomi wa Kiislamu wawili asiwe yeye ni mmoja wao. Makaazi yake yalikuwa ni Mombasa wakati wa zama za Sayyid Said. Wengine wanasema kuwa Sheikh Muhyiddin kuja kwake Zanzibar kulitokana na kutakiwa kufanya hivyo na Mfalme Seyyid Said ambaye alimtaka ahamie Zanzibar. Alitokea kupendwa sana na Mfalme huyo na alikuwa akipelekwa nchi mbalimbali zilizokuwemo chini ya himaya ya Ufalme wa Zanzibar akafanya suluhu pale panapotokea mtafaruku na mara nyingi alifaulu kutekeleza kazi hiyo. Sheikh Muhyiddin ndiye mjenzi wa Msikiti wa Ijumaa wa Malindi, ambao hivi sasa umejengwa tena kwa kufuatwa kigezo kile kile cha mwanzo alichokiweka yeye. Katika ujenzi huo wa Msikiti wa Ijumaa Sayyid Majid Bin Said Sultan alimsaidia sana katika ujenzi wa Msikiti huo, baada ya ujenzi wa Msikiti wa Ijumaa wa Malindi Sheikh Muhyiddin alijisogeza Msikiti wa Kiponda uliokuwa karibu na Sharif Dewji, lakini kwa siku hizi tutaita kwa Makapu na hapo akawa anaendeleza darsa ambazo zikihudhuriwa na wanafunzi ambao badaye walikuja kutokea kuwa magwiji. Sheikh Muhyiddin alibahatika kupendwa na kuvutia wanafunzi wengi kama Sayyid Ahmad Bin Salim Bin Abubakar Salim, Sheikh Abdul-Aziz Bin Makala zifwatazo zitagusia baadhi ya Masheikhe wachache kisiwani Zanzibar ambao walitoa mchango mkubwa wa Elimu kuanzia karne ya 19 hadi ya 20, Masheikhe ni wengi lakini nimeamua kuwachukua wachache kati yao. Masheikhe ambao nitawazungumzia katika mfululizo wa makala hizi ni: Sheikh Muhyiddin Bin Sheikh, Sheikh Ahmed bin Sumeit, Sheikh Abdul-Aziz Bin Abdul-Ghany Al-Amawy. Sheikh Abdalla Bakathir, Sheikh Ahmad Bin Muhammad Mlomry, Sheikh Shauri Al-Shirazy, Sayyid Mansab Bin Ali, Sheikh Umar bin Sumeyt, Sheikh Muhammad Bin Umar Al-Khatibu, Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Muhsin bin Ali Barwany na Sheikh Abdalla Saleh Farsy. Sheikh Muhyiddin Bin Sheikh-1 Abdul-Ghany Al- Amawy, Sheikh Suleiman Hayat, Sheikh Muhammed bin Ahmed Bin Hassan Al- Murony, Sheikh Hassan Bin Yussuf Mngazija, Sayyid Omar Bin Salim Baalawy, Sheikh Ahmad Bin Salmin As-Sabahy, Sheikh Fadhil Bin Ali Mngazija, na Sheikh Shauri Bin Haji Shirazy. Baadhi ya wanafunzi wake nitawazungumzia katika makala hizi. Katika sifa nzuri alizokuwa nazo Sheikh Muhyiddin alikuwa mtu mwenye uadilifu, hukumu zake zote zilikuwa hazina upendeleo. Ilitokea safari moja Sayyid Bakarish Shatry alikuwa na kesi yake na mwenziwe, akenda kwa Sheikh Muhyiddin akampa riali 50, Sheikh Muhyiddin alipomuuliza za nini? Sayyid Bakarish akamwambia hiyo ni zawadi tu, hiyo ni tunu. Sheikh Muhyiddin akapokea akenda nazo ndani akazifunga vizuri akaandika juu ya roboto: "Hii dhamana ya Sayyid Bakarish Shatry, nikifa apelekewe mwenyewe". Basi alipokufa agizo lake lilitekelezwa. Angalia insafu ya watu waliokuwa nayo ya mtoaji wasia na watekelezaji wa wasia ya leo hayapo hayo kabisa. Sheikh Muhyiddin alitunga vitabu vingi kati ya hivyo ni: Kitabu kidogo cha Tawhid, Mashairi ya Kiarabu, Mashairi ya Kiswahili, Tarehe ya Kilwa (Sulwa fy Akhbar Kulwa), Utenzi wa Hadithi ya Miraji, Kitabu kidogo cha kufundishia Sarfu na Sherhe ndogo ya Khutba ya Minhaj. Vile vile aliandika shairi la dua ya kuomba mvua katika mwaka 1278 AH (1862) Hebu na tuzisome beti saba za shairi hilo. 1. Naanza kubtadi, Kwa isimu yake Karima Kuomba Wadudi, Mtukufu mwenye adhama Nabii Muhammadi, Msalie kiumbe chema Tupate miradi, Ifurahi yetu mitima (nyoyo) Siku ya tanadi (kiama), Waja asi wakilalama 2. Na alize thama, Watukufu wenye ajiri Wenye sifa njema, Simba zake tumwa bashiri Na waliosimama, Kuendesha mambo ya kheri Hao wa qadima, Na nyengine zote dahari Siku ya qiyama, Tuokoke na Jahannama 3. Nimetia tama, Dibaji sitakithiri Nina mambo mema, Nayawaza kiyafikiri Haya makulima, Yadhiika kwa nyingi hari Twaomba rehema, Kwa Wahabu mwenye amri Tutuze mitima, Kwa rehema yako Karima 4. Mola Subhana, Mola wetu uso shirika Ndiwe Rahmana, Na Rahima uso shaka Warehemu wana, Na wazee wenye mashaka Waijua sana, Hali yetu kati ya chaka Jua la mchana, Na usiku lisilokoma 5. Ilete mvua, Iondoke nyota (kiu) na jua Ndiwe mwenye quwa, Ufishao na kufufua Hali waijua, Huhitaji kuarifiwa Hasha kuemewa, Ni amri KUN ikawa Wala kutendewa, Jalla Rabbi mwenye adhama 6. Wengi waayisi (wamekata tamaa), Kwa mateso kuwa tawili Wana wasi wasi, Kwa madhambi yao thaqili Rabbi tunafisi, Mola wetu uso mithali Na yawe mepesi, Iwe KUN yako kakima 7. Rabbi twafikie, Toba njema yenye nadama Utughufurie, Kuu dhambi ziwe lamama Wewe unenee, Ud-uni yako kalima Tuwasalie, Kwa isimu yako adhima Dua na ipae, Na qabuli ije kwa hima. Sheikh Muhyiddin alifariki katika mwezi wa Shaaban tarehe 27 mwaka 1286 AH (Disemba 1869). Alipofariki aliwacha pengo kubwa lakini si haba kwani aliacha wanafunzi wengi ambao walikuwa wakisifika na kuifanya kazi aliyoiacha Sheikh wao barabara. "Ewe Mola tupe hima na juhudi za watangulizi wetu hawa waliopita Ameen" KAMATI YA MAAFA YA SHURA YA MAIMAM (T). Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu, imepanga kukutana na ndugu wa watuhuma wa kesi za UGAIDI, waliopo Mahabusu katika Gereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam. Ukiwa wewe ni ndugu au jamaa, pindi utakapokwenda kumuona ndugu yako unaombwa kuacha namba yako ya simu kwake (mtuhumiwa), kisha Kamati itachukua namba hizo kupitia kwa mtuhumiwa. Kuna mambo mengi ya kujadiliana juu ya kadhia hiyo inayowakabili ndugu zetu hao, hivyo fata maelekezo hayo. KATIBU: ALLY MBARUKU. ANNUUR REAL.indd 17 10/15/ :55:15 PM

18 18 HABARI/TANGAZO Inatoka Uk. 20 suala hilo halijatekelezwa. Alisema, moja ya mchango wake Mzee huyo, alikuwa ni kulisha ama kutoa chakula kwa familia ya Mwl. Nyerere, akimtaka yeye (Nyerere) aelekeze nguvu zake kupambana na Waingereza bila kuwaza familia yake watakula nini. Alisema, katika kutekeleza hilo, ilikuwa gari ya Saidi Kamtawa (Said TANU), kila siku asubuhi linafika Sokoni Kariakoo (Dar es Salaam), ambapo Mzee Mshume, anakusanya vyakula vya aina mbalimbali vinapelekwa Magomeni, nyumbani kwa Mwl. Nyerere, zoezi alilolifanya mpaka Uhuru unapatikana. Alimtaja Mzee Idd Faizi Mafongo, na kuhoji leo hii nani anayemjua, ambaye kadi yake ya TANU ilikuwa ni namba 25, alikuwa ndiye mweka hazina wa TANU. Alisema, katika mipango ya safari ya Nyerere kwenda Umoja wa Mataifa, Bw. Mafongo, ndiye aliyekuwa akiratibu mipango ya fedha za safari hiyo ambapo Waingereza walimkamata, kabla Mwl. hajafanya safari hiyo. Aidha, aliwataja pia Tatu bint Mzee, Bw. Clement Mtamila, na kueleza kwamba barua ya Mwl. Nyerere aliyoandikiwa na Waingereza kuwa achague kati ya siasa au kazi, aliipeleka nyumbani kwa Mzee huyo (Mtamila), Mtaa wa Kipata na Sikuku. Alisema, hapo alikutana na wazee wa TANU, na kujadili suala hilo ambapo walimwambia aachane na Udini umeingia kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - M. Said hiyo kazi na aungane nao moja kwa moja na wao watamlipa mshahara ili wapambane na Waingereza wapate nchi yao ya Tanganyika. Katika harakati hizo za kudai Uhuru, Shkh. Mohammed, alisema kwa mujibu wa Abas Sykes, wakati huo wazungumzaji wakuu walikuwa watatu, HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwepo Shkh Suleiman Takadir, akimtambulisha Mwl. Nyerere, katika mikutano ya siasa, alikuwepo Bibi Titi Mohammed, nae alikuwa akizungumza baada ya Shkh. Takadir, kisha Mwl. Nyerere, huongea mwishoni. Bibi Titi, ni mmoja wa wanawake waliomjenga sana Mwl. Nyerrere, akiwa na mwenzake, akiitwa Bi Hawa bint Maftah, ambaye alikuwa akiishi mtaa wa Mkunguni, Jijini Dar es Salaam. Alisema Shkh. Mohammed. Ama, kwa upande wa mikoani alisema, Mwl. Nyerere, akiwa Lindi, aliongozana na Rajabu Diwani, na alifikia katika nyumba ya Mzee Suleiman Mnyumvi, Mtaa wa Makonde, (Nyumba hiyo hadi sasa ipo), ambapo, Mjini Moshi, nyumba ya Bi. Halima Selengia, aliyefariki miaka miwili iliyopita, ndio alikuwa akifikia Mwl. Nyerere. Alisema, hao pamoja wengine baadhi yao kama vile, Salum Mpunga, Yusuph Chembera, Sharifa Bint Mzee, nao wana haki ya kutajwa na kuenziwa sawa na Mwl. Nyerere kwa kuwa ndio walikuwa wakimsaidia katika harakati hizo. Sasa tunaposema tunamuenzi Mwl. Nyerere, basi na hawa wazee pia wapewe hadhi yao, watajwe au kama kuna khotuba zao ziwekwe zisikike pia kwa kufanya hivyo tutakuwa tumefanya kumbukumbu yake kwa usahihi. Huwezi kumuenzi Mwl. Nyerere bila kuwataja hawa wasaidizi wake waliokuwa wakimsafishia njia na kumtambulisha kwa wenyeji wa miji mbalimbali. Alisema Shkh. Mohammed. Akizungumzia uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015, alisema uchaguzi huu huwezi kuufananisha na chaguzi zozote zilizopita hapa nchini ukitoa ule wa kura tatu, uliofanyika mjini Tabora, mwaka 1958, kutokona na kuwa na hamasa kubwa. Alisema, ukirejea vyama vilivyopigania uhuru katika nchi jirani na Tanzania, ambavyo tayari vimeondolewa madarakani, kama vile kule Kenya, Malawi na hata Zambia, akasema sasa inaonyesha kuna uwezekano mkubwa hali hiyo ikaingia Tanzania. NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2016 Sifa na masharti ya kujiunga Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo: (i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu (ii) Awe anajua kusoma Qur an kwa ufasaha. (iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga. (iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha. (v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi au Sekondari. Patakuwa na usaili siku ya tarehe 31/10/2015 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo mbalimbali vya mitihani kote nchini. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 31/10/2015. Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu. Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 19 wa gazeti hili. WABILLAH TAWFIIQ MKURUGENZI ANNUUR REAL.indd 18 10/15/ :55:18 PM

19 19 Inatoka Uk. 11 saa 7 ya usiku kwenda yeye kuirejea Umra na mie kuzidi kuipa nafsi yangu uneyenyekevu kwa kuwa naikabili Alqaba na kisha kuwa kwenye Swafaa na Marwa. Kabla ya Tarehe 8 Baada ya hapo kwa siku 6 mfululizo tukawa tunaelekea Msikiti wa Makka na kuwa tunajitahidi kusali vipindi vyote kwa jamaa. Viongozi wa kikundi mara nyingi inapofika usiku huwa wanatufanyia Semina na kuzidi kutuongoza kwenye ibada tusiwe tunafanya makosa. Semina hizi ikiwa tangu nyumbani walitufanyia kama 10 mie nilikosa moja tu kuhudhuria na Semina zote za Makka na Madina hakuna nilioikosa kwani hizi Semina ndio zinaongoza na unapokuwa una mashaka unauliza katika jitahada za kukuwezesha kuifanya Hijja yako iwe katika mstari. Ilipofika tarehe 8 Inapofika tarehe 8 ndio Hijja inaanza kuanzia tarehe 8, 9, 10, 11, 12 hadi 13 ikiwa ni siku 6. Siku hizi zinakuwa za unyenyekevu na kupata taswira ya Qiyama, kukupa taswira ya Masahaba walivyojitolea, inatoa taswira ya uneyenyekevu na ustahamilivu. Tuliondoka hoteli milango ya asubuhi kuelekea Mina sehemu ambayo kuna Mahema. Hapo kuna Mahema yenye AC-Viyoyozi na kuna yasiokuwa nayo na hali ya nyuzi joto ilikuwa baina ya ( C). Hali ni nzito hapo tukawa tunasali sala ya Safari ambayo kwetu ilikuwa kila mtu ana kitabu juu ya sala ya safari na viongozi kutueleza kuw a tunasali Safar. Tulilala Mina hadi kusali Alfajiri, kisha tukaelekea Arafa siku ya tarehe 9 na kuitumia siku nzima Arafa. Tuliingia Arafa kwa kupitia Dhabb na tukarejea kwa kupitia Ma-zamiin kama alivyofanya Mtume (SAW). Arafa kila kikundi kilikuwa na miongozo yao, lakini ilikuwa ni Kuomba na kuomba na kusoma Qur an na kutoiwachia dakika ikupite ndani ya upuuzi. Dua yangu ilikuwa lisinitokee lolote nikawa sipo Arafa, kwani Hijja ni Arafa. Utapoikosa Arafa ndio itabidi urudie tena Hijja yako. Umma wa watu milioni 2 na nusu wote ulikuwepo hapo. Wapo waliokaa kwenye Mahema na kuna ambao kwa siku nzima hawaku wep o k wen ye mahema. Arafa munapewa chakula cha bure ikiwa hukuma (serikali) ndio wanasimamia kupatiwa Mahujaji chakula pasina malipo. ANNUUR REAL.indd 19 MAKALA Risala yangu kutoka Makka Sehemu ya Mlima Uhud walipokuwa wapiga mishere walipowekwa Nikisimama pembeni ya Alqaba kwa wakati waliopangiwa. Kiongozi wetu akatuambia kuwa yeye akifika Mina hanywi Chai, hamsubiri mtu kuelekea kupiga mawe, asioweza baki, anayetaka kunywa chai anywe yeye hasubiri. Mie nikimuunga mkono pasi kujua kwanini naunga mkono amri inayokaribia kuwa ya kijeshi. Taib, saa mbili safari ya kuelekea Jamrat ikaanza tukafika kiguzo cha mwisho kwani ni viguzo vyote ni 3 hapo tukapiga mawe mara 7 kisha tukaelekea kufanya Ta wa f ya n g u z o k a m a vile tulivyotufu kwenye Umra, kisha tukanyoa na kubadilisha nguo na kuvaa nguo za kawaida baada ya zile shuka 2 na kubakia hoteli hadi usiku tukarudi Mina. Tukarudi Mina katika A y ya m - e - Ta s h r e e q ( 1 0, 11, 12, 13) tukenda siku iliofwata tukapiga viguzo 3 kila kiguzo mawe 7 na siku iliofwata tukafanya hivyo hivyo nakurudi Makka wengine wakipanda magari inayoweza kukuchukua muda wa saa 3 na kina sisi wazee tunaojiweza tuliamua kwenda kwa miguu muda wa saa nzima kufika Makka. Tulitakiwa tuwe tunafanya mazowezi ya kutembea na kwa kipindi cha miezi 2 mfululizo nilikuwa natembea kwa muda wa Saa kila siku, kitu kilichokuja kunisaidia katika ibada nzima ya Hijja. Kwa hesabu tulioifanya ni kuwa ule msongomano ulioleta msiba wa kufa Mahujaji kwa kukanyagana, tokeo lile lilipishana na kikundi chetu sio zaidi baina ya dakika 5 na 10, kila kitu ni Maktoob yaani kinaandikwa. Sahib yangu mmoja alinambia ikiwa Hijja ina misukosuko na taabu na shida hapo ndipo unaipata hisia za Hijja. Naam, tulikaa uwanja wa ndege ndege yetu kuwa inatakiwa itubebe Mahujaji 260 imekuja ndege ya kuchukua watu 220, kwa hiyo tukabaki uwanja wa ndege kwa masaa zaidi ya 24 kusubiri ndege nyengine kutoka Ethiopia. Baada ya kukaa Makka na Madina kwa wiki tatu, tulirejea nyumbani salama na kupokewa na ndugu na marafiki. Tukamalizia na kufanya Tawaf-e-Wida na hiyo ndio kuikamilisha mzunguko mzima wa Hijja. Risala hii ni safari yangu na namna nilivyoitekeleza ibada. Sitotaka kuyatoa na kuyaeleza yalio na kasoro ila makala nyengine nitajaribu kuelezea namna ya kujipanga na nini vikundi vyetu vya Ta n z a n i a v i f a n y e k w a nionavyo. Nawaombea Waislamu wote Amani na utulivu katika nyakati hizi na kumuomba Allah tulioenda Hijja ibada zetu azikubali na walio na nia awafikishe kuweza kwenda kutimiza nguzo hii ya 5 katika Uislamu. (zuwarde@gmail. com/ ) Tukirudi nyumbani salama Lilipozama jua tulielekea Muzdalifah hio ikiwa ni tarehe 10, tuakalala hapo Muzdalifah ikiwa hakuna hema hakuna nyumba, nyote mnalala hapo ikiwa nyote mnalala kwenye mabusati, hapa unaona namna Uislamu unavyoondosha umimi na ubwana na kuwafanya wote ni wa moja kitu sawa. Unaondoka Muzdalifah baada ya kusali sala ya Alfajiri. Muzdalifah hapa ndipo unapookota vijiwe a m b a v y o h a ya t a k i w i majiwe kama wengine hutafuta mawe makubwa na kuvurumisha kwenye Jamrat na kutoa maneno makali, vijiwe viwe kama punje ya nafaka. Unaokota vijiwe viwe 7, 21 na 21 jumla 49 lakini ni vyema ukaokota zaidi ya hivyo hata ikifika 60 sio mbaya kwani vinaweza vikakupotea. Niliokota v ya n g u n a v ya m z e e ambaye tukikaa pamoja hakuweza kwenda kupiga mawe ikawa nimchukulie, nijipigie na nimpigie. Kuondoka Muzdalifah Ikiwa sasa kurudi Mina k u n a p o k u c h wa k we n ye sehemu yako na kuelekea Jamarat. Uongozi wa Saudi Arabia uliwaeleza mataifa yote kuwa watatakiwa wende 10/15/ :55:21 PM

20 MAKALA Udini umeingia kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - M. Said Na Bakari Mwakangwale IMEELEZWA kuwa si kwamba mambo yote yalikwenda vizuri katika historia ya Mwl. Julius Nyerere, bali pia yapo malalamiko kuhusu mwanasiasa huyo wa Tanzania. Hayo yamebainishwa na Mwanahistoria wa historia ya Tanganyika, Sheikh Mohammed Said, katika mahojiano maalum ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl. Julius Nyerere, Oktoba 14, 2015, na kurushwa na Televisheni ya Azam, Jumatano wiki hii Ṁohammed amesema ili kuweka kumbukumbu sahihi ya Tanganyika (Tanzania) ni vyema historia ya Mwl. Nyerere, iandikwe au kusimuliwa sambamba na wale alioshirikiana nao kwani sehemu kubwa ya historia hiyo haijaandikwa kwa usahihi unaotakiwa. Akizungumzia kuhusu malalamiko dhidi ya Mwl. Nyerere, Mohammed Said amesema kuwa Waislamu hawakutegemea kwamba baada ya kudai Uhuru kwa hali na mali zao, hali zao leo ziwe kama zilivyo sasa baada ya Uhuru. Alisema, kabla na baada ya Uhuru Waislamu hawakudhani kuwa watakuwa ni watu wa kutothaminiwa na kujikuta wanakuwa watu wa chini ukilinganisha na wenzao. Akasema, ni bora wakubwa wanaokamata nchi walitazame suala hili la Waislamu, katika nchi hii, wajiulize je wameridhika na hali waliyonayo (Waislamu) au kuna tatizo linalofanya wao kuwa katika hali hiyo. Akijibu swali kwamba, inasemekana kuwa Waislamu wenyewe hawakutaka kupata elimu na maendeleo, alisema haiwezekani watu wasiotaka elimu na maendeleo waingie katika harakati na mipango ya kujenga Chuo Kikuu mwaka 1968, ikiwa ni muda mfupi baada ya Uhuru. Mwaka huo Waislamu walitaka kujenga Chuo Kikuu cha kwanza nchini, jambo ambalo lilileta mgogoro mkubwa na Serikali ya Mwl. Nyerere, baada ya kuvurugiwa mipango na juhudi zao kwa makusudi na baada ya hapo hawakuweza tena kunyanyuka. Kwa maana hiyo, tusijidanganye kuwa kila kitu wakati wa Mwl. Nyerere, kilienda sawa yapo malalamiko mengi, laiti kama nisinge andika kitabu cha Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes usinge julikana mchango na historia ya Waislamu katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika. Alisema Shkh. Mohammed. Ama akizungumzia historia ya Mwl. Nyerere na harakati za kudai Uhuru, Shkh. Mohammed Said aliweka bayana kwamba, historia ya Mwl. Nyerere, haijaandikwa kwa usahihi unaotakiwa, pamoja na kuwa wapo waliojitahidi kuandika lakini haijitoshelezi. Mwanahistoria huyo, alisema kwamba suala hilo amekuwa akilieza siku zote kwamba, historia ya Mwl. Nyerere, haiwezi kunoga ikiwa atazungmzwa yeye Mwl. Nyerere, peke yake huku watu waliokuwa nae wasielezewe au kutajwa. Ili historia hiyo iwe sahihi ni vyema iandikwe historia sambamba na wale alioshirikiana nao, ambao wapo wengi sana, huku akimtaja Mzee Mshume Kiate, ambaye alipambana sana katika kupigania Uhuru wa nchi hii Ȧlisema, kwa kutambua mchango wake wakati huo Mzee Kitwana Kondo, akiwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, alisema moja ya mitaa Kariakoo upewe jina la Mzee Mshume, lakini akasema mpaka leo Inaendelea Uk. 18 Sheikh Mohammed Said. MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO P.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania. Tel: ; Fax: Website: address: mum@mum.ac.tz EIGHTH GRADUATION CEREMONY FOR UNDERGRADUATE DEGREES DIPLOMA AND CERTIFICATES CONFERMENT 2015 The eighth graduation ceremony will be held at the campus of the Muslim University of Morogoro on SATURDAY, 14 th November, The ceremony is expected to start at 2.00 pm and end at 5.30 pm. Students eligible to attend the ceremony are undergraduates diploma and certificates students who successfully completed their studies in Parents, relatives and guests of the students as well as interested members of the general public are welcome to attend the graduation ceremony at the playground. Guests are expected to dress modestly and decently. Lady guests attending the ceremony are advised to wear the hijab or any dress that does not expose the body other than the face, hands and feet. All eligible students are requested to attend the occasion, regardless of whether or not they bring guests. However, they must inform the office of DVC (Academic) of their intent to participate in the ceremony NOT LATER THAN 6 th November, For any enquiries call Public Relations Officer Mobile No: Academic costumes (gowns, hoods and caps) are available for hire by the degree graduands starting from 6 th to 13 th November 2015.The University cashier s office must receive from each of the participating students a bank pay in slip worth Tsh. 40,000 non refundable fee for hiring costumes and convocation. This money should be paid into Muslim University of Morogoro Account no. 01J CRDB Bank. You can also pay the money to the University Cashier on MUM Campus and obtain a receipt. Graduands, who do not have costumes on, will not be allowed to participate in the Ceremony. Diploma and Certificates graduands will wear only Gowns and Caps. They will not wear HOODS. Strictly, we shall not issue Academic costumes on the Graduation day. Each and every Graduand shall have his/her costumes between 6 th and 13 th November, Graduands are required to bear in mind that the hired costumes shall have to be returned after the ceremony. A heavy fine will be imposed in case the costumes are damaged, or not returned in time. A hiring Contract Form will be provided for completion by those intending to hire the costumes. For the safety of all participants and their guests, close-up picture taking and video recording near the stage is restricted. REHEARSAL Since the rehearsal is an integral part of the ceremony, all graduands who wish to attend the graduation ceremony MUST attend the rehearsal which is scheduled on Saturday morning (14 th November, 2015) at 8.30 a.m at the graduation site. Failure to attend rehearsals by graduands will result into such graduands being mentioned as graduating in absentia which implies they will not be officially presented to the guest of honor. Certificates and transcripts of the graduands will not be given at the ceremony. These can be received at another convenient day from the Office of the DVC (Academic), starting early December Ngaja M. Mussa For: DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMIC) Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam. ANNUUR REAL.indd 20 10/15/ :55:22 PM

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

YA AL HABBIB SAYYEID

YA AL HABBIB SAYYEID YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,

More information

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii. . i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,

More information

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007 Shukrani Ahadi hizi zilikusanywa

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU, HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA 1.0 UTANGULIZI Taarifa ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kimkoa imeandaliwa kwa kuzingatia sehemu za Historia

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU 2007 Toleo la Tatu Kitabu hiki kimetayarishwa

More information

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000 Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji 1 Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira, Bioanuwai, Misitu, Nyanda za Miti, na Maeneo Chepechepe Katika Delta na Bonde la Rufiji Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell) Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update

More information

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. VACATION BIBLE SCHOOL VBS 2018 Newsletter #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. Pre-school Week 8th - 10th August Grade 1-8 13th - 17th August Pre-school Week Word from the Children s Pastor

More information

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

AND REACTION IN SWAHILI POETRY. REVOLUTION AND REACTION IN SWAHILI POETRY. M. M. MULOKOZI** Swahili poetry is that poetry, written or oral, which has been or is being produced in the Swahili language by East Africans. Swahili poetry

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 25 05.02.2006 0:37 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 6 (8 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace?

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Japhace Poncian Assistant Lecturer, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa University College

More information

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Hanah Chaga Mwaliwa Hanah Chaga Mwaliwa is a lecturer of Swahili language and linguistics in the Department of Kiswahili, University

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

The Growing of Islamic Fundamentalism in Tanzania: Are the rising religious tensions ripping Tanzania apart?

The Growing of Islamic Fundamentalism in Tanzania: Are the rising religious tensions ripping Tanzania apart? The Growing of Islamic Fundamentalism in Tanzania: Are the rising religious tensions ripping Tanzania apart? Andrew Stanley CHING OLE 1 Assistant Lecturer, St. John s University of Tanzania, Institute

More information

MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar

MASHAIRI YA WAADHI VERSES OF ADMONITION: the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar AAP 42 (1995). 138-157 MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar MUKH!ASARI [SUMMARY] Aliyetunga kasiga hii, Sheikh Abgallah al-husni,

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m.

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m. December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Wednesday, 6 th December 2017 The House met at 9.30 a.m. [The Temporary Deputy Speaker (Hon. (Ms.) Mbalu) in the Chair] PRAYERS

More information

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE?

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? Japhace Poncian Assistant Lecturer and Coordinator, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa

More information

CHAPTER ONE. Introduction. The office of the kadhi was in existence from the seventh century (AD). During the

CHAPTER ONE. Introduction. The office of the kadhi was in existence from the seventh century (AD). During the CHAPTER ONE Introduction The office of the kadhi was in existence from the seventh century (AD). During the Umayyad period, for example, kadhis ( Muslim judges) were among Muslim professionals who were

More information

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi OFISI YA RAIS IKULU NA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MAWAZIRI 1 Barabara ya Barack Obama, S.L.P 9120, 11400 Dar es Salaam Simu: 022 2116898/0222116900; Nukushi: 022 2128585 Email: Ikulu@Ikulu.go.tz; Website

More information

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate

Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate African Review Vol. 41, No. 1, 2014: 161-181 Fifty Years of the Union: the Relevance of Religion in the Union and Zanzibar Statehood Debate Japhace Poncian * Abstract On 26 April 1964 Tanganyika and Zanzibar

More information

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database Ezra 3 Lessons Free PDF ebook Download: Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database of Ezra (Ezra 7:28; and repeatedly in Ezra 8-9).. (also

More information

COUNTRY REPORT. Threatened Paradise

COUNTRY REPORT. Threatened Paradise COUNTRY REPORT Threatened Paradise Growing religious and political violence on Zanzibar For the last two years, attacks on representatives of Christian establishments have been increasing. On the 13 th

More information

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Introduction - English... 3 Introduksjon - Norsk:... 4 Utangulizi - Kiswahili:... 5 Importance of faith to youth...

More information

Cultural Considerations Tanzania Excursion

Cultural Considerations Tanzania Excursion Cultural Considerations Tanzania Excursion The Roots of Change Cultural Considerations Table of Contents Tanzania Cultural Considerations... 3 Swahili Language Key Phrases... 4 Tribes of Tanzania... 5

More information

6 10 November Welcome to Scripture Union s

6 10 November Welcome to Scripture Union s Global Week of Prayer 6 10 November 2017 Welcome to Scripture Union s Global Week of Prayer Welcome to the 2017 Global Week of Prayer. Every year the first week of November is set aside as a dedicated

More information

Congregational Report Worksheet

Congregational Report Worksheet Congregational Report Worksheet This worksheet is for those who prefer to work on paper before filling out the online report, and those who choose not to use the online system. Introduction Please realize

More information

Congregational Report Worksheet

Congregational Report Worksheet Congregational Report Worksheet This worksheet is for those who prefer to work on paper before filling out the online report, and those who choose not to use the online system. Introduction Please realize

More information

7 th Century Arabian Peninsula (before Mohammed)

7 th Century Arabian Peninsula (before Mohammed) Shi ah vs Sunni Mecca Old Ka aba 7 th Century Arabian Peninsula (before Mohammed) Religion A form of paganism (henotheism) Allah is the Creator, the same god as Yahweh Daughters of Allah; Allat, al-uzza

More information

MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI

MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI 1 Mohamed Karama, 2 Rocha Chimerah, 3 Kineene wa Mutiso 1 Department of Kiswahili, Pwani University 2 Department

More information

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View Hamdun Sulayman Al-Maktoum College of Engineering and Technology

More information