Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Size: px
Start display at page:

Download "Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii."

Transcription

1

2 . i

3 Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu First addition All rights reserved ii.

4 No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji Al Faqqer Sheikh Ahmed Sheikh (Al Murhum) vi. 4. Shkrani (Ahly Majaalis).. viii. 5. Kuvutika kwa Nuru ya Bwana Mtume Saw Mtu ni Roho, Moyo au Nafsi Maswali Utamjuaje Mtu kama yeye ni Walii? Maswali Urithi wa Mwanachuoni mkybwa Duniani Mwinyi Anaijazi Majaalis El Ulaa Ijaza. 36. iii.

5 Al Habib Seyyid umar Bin Abdallah. (Mwinyi Baraka) iv.

6 BISMILLAHIR-RAHMANIR-RAHIM: UTANGULIZI: Al hamdu-lillahi Rabbil Alamin, Was Swalaatu Was Salaam, Ala Ashrafil Anbiya Wal Mursalin Alladhi Unzila Alayhi Lawlaa Nafarun Min Firqatin Kulli Twa Fatin Layatafaqqahu fii Diin Wa`alaa Alihit Twahirina wa Aswaha-Bihil Akramiin. Amma Ba`ad: Wameniamrisha nsoweza kuwavunja na wakanitaka Watu ambao naona uzito kwenda kinyume nao, nieleze yatayosahilika katika safari zangu. Sasa naingia kufanya hayo kwa msaada wa Mnyezi Mungu na uwezo wake: Laa-hawlaa Walaa Quwata Illa Billahi Aliyyiy Adhim. OMAR ABDALLAH, DAR ES SALAAM TANZANIA. v.

7 DIBAJI Al hamdul-lillah wa swalatu was salaam alaa Khayru Khalqillah Sayyidna Muhammad wa A-lihi wa Swahbihi waman waala wa Baad. Hichi ni kitabu ambacho Al- habib Sayyid Omar Bin Abdallah mashuhuri kwa jina Mwinyi-Baraka katika wajukuu wa Sayyid Abu-bakkar Bin Salim-Mola Enaat huko Hadharamut, kwa taabu alielezea mwenyewe akiwa amejinyoosha kwenye kitanda alipokua mgeni wa Bw. Mohamed Khan Shemeji yake na Al- marhum Swaahib El - Ishara Bw. Akram Mohd aliyefia Mwanza kati ya Mwaka 1988 na 89 Mwanza-Tanzania Allahu Yarhamuhu wa Jamill Muuminina Wal Muuminaat. Alikua akizungumza kwa shida sana pengine Dak. 10. Pengine ndo gha-ya Dak. 15. Kwa hiyo ilikuwa tukimfwata na Tepu Recorder mara kwa mara tukiwa na Akh. Aly Mzee Comorian toka Mkunguni kwa Al-marhumu Mohamed Bin Mahdi na wanawe kina Akh. Islam, Khamis na Al-marhumu Mahdy Mohamed Mahdy Allahummaghfir-lahum wa yarhamhum jamiia. Al-hamdu-lillah tuliwahi kumaliza kunasa na kunukuru yote kuhusu safari zake za Europe na Amerika kama itavoonekana ndani yake. Kwa vile lengo kubwa la safari zake tukiacha kusoma ilikua ni Jihadi katika Dini ya Mnyezi Mungu nayo si nyingine bali ni Uislamu, tumeonelea kukiita Mwinyi Baraka katika Ulimwengu wa Uislamu tukitegemea kwa imani zote kua: (a) (b) (c) kitazagaza maarifa mazuri kwa watakaokisoma. kutakua angalau na kumbukumbu ya mmoja wa wanafalsafa wa Kisufi mkubwa lakini hakupata umashuhuri nchini kwao mpaka amekufa. Tutafaulu Insha-allah kumjulisha yule ambae hakumjua mwanachuoni mkubwa huyo wa East -Africa na labda kumuigiza au kumtakia dua, kwani ipo hasara kubwa kwa kule kushindwa kumtumia vile ambavyo ingepasa. Tabia yake katika kujitupa chini na kujiona kua si kitu alifahamika vibaya kwa ambao hawakumjua, na hijabu ya wazi wazi kwa walomjua vizuri kabisa. Dalili kubwa ilionekana mara nyingi alipokuwepo Jijini hapa, si wengi walojua, kwa hiyo ilifikia mpaka anaondoka si wengi walokua na habari hata ile ya kuepo Jijini hadi kufikia mwezi mzima! mara kadhaa alipata mwaliko kwa mwanafunzi wake mkubwa, alipokua madarakani vi.

8 Al-hajj Aly Hassan Mwinyi Mzee Rukhsa - Ikulu na alitutaka rukhsa aende au asiende. Ahlil Majaalis El Ula El Qa-diriyya hawataacha kulia kwa huzuni kila wakifikiria uamuzi aloutoa baada ya makubaliano kua angeandika tafsiri ya kite kwa lugha ya Kiswahili ya kitabu kitukufu Qu-ran baada ya kushindikana kuitoa tafsiri hiyo kwa njia ya TVZ, lakini pia Majaalis nao hawakuwahi kwa sababu aliomba aende Comoro akamshauri mkewe aje nae D Salaam nyumbani kwa Al -marhumu Bw. Moh d Mhdy (A.y). Kinyume ya mambo ni kwamba kwenda kwake Comoro alikua ameshaitwa kwenda kukutana na ajali yake badala ya kuja tena D Salaam kwa ajili ya kazi ya tafsiri ambayo ilitarajiwa kuchukua miaka mitatu mizima. Na ilifikiriwa kutoa juzuu moja moja kama alivoanza hivo Al marhumu Sheikh Abdallah Swaleh El - farsy (Ay). Bumbuwazi tulolipata bila ya kumuomba aanze na utangulizi na Surat El Fa-tiha tu tulifanikiwa nalo baadae kabisa kua lau mtu angejua ghaibu basi kuzidisha kheri kwetu ingetumilikisha angalau na tafsiri ya Surat El - Fatiha ya Al-habib Sayyid Omary Abdallah Mwinyi Baraka (Rahmatullah a`layhi). Kwa sababu Al - habib alitudarisha vizuri sana kuhusu somo la Nafsi (Tizama kitabu chetu Maana halisi ya Imaani II ) hatuoni haja yeyote ya kulaumu walokua na uwezo mkubwa na kueka kumbukumbu ya mwanachuoni huyo kabla na labda baada ya kufa kwake. Akielezea mwenyewe Al - habib kua kila alipokua Makka Al - marhumu Bin Bazz alikuwa akimtanguliza Omar Swalisha. Akimwambia:- Bwana Mtume SAW akisema:- Ahlishsharafaalaa Ahlisharaf watu wa Sharaf hupitana kwa Sharaf. Walaa Yaaarifa Ahlish sharaf wala hawawajui watu wa Sharaf Illa Dhawish Sharaf Illa ambao ni watu wa Sharaf. Kwa niaba ya Majaalis natwaa fursa hii kuwashukuru mno vijana wa Darasa la kila Jumatano Baadal - Maghrib Mtaa wa Sadani Ilala baina kina Sharif Karama kwa juhudi yake kubwa katika kuziandaa kwa makini na uangalifu sana jumla ya makala hizo na kuzitoa katika Computer - kina Sharif El -Beyt Hussen, Fuad, Mohamed, Mkhashshe, Swahibul - Ishara Swaleh Hariz, Okashi, Mustafa, kina Ababil Abdallah Twalib Arusha na wote wa Jalsa hiyo Mnyezi Mungu atawajazi Fid Dunia Wal A-khirah. AL FAQEER. AHMAD SHEIKH

9 Shukurani (Ahly Majaalis): Al-Hamdu lillahi, wa Swalatu Wasa- Salaam a`laa khayru khalqi Llah Seyyidna Muhammad wa a-lihi wa Swahbihi wa man waalaha, Wa Baad. Hichi ni kitabu ambacho ni baadhi ya khutba zake al- habbibi, Seyyid Umar bin Syd Abdullah bin Syd Ahmad Al-Sheikh Abibakar bin Salim Sahbi e naat, Hadharamut, ambazo zimerekodiwa na kukusanywa na Ahl muridi wake wa Dar es salaam kwa njia ya Video na Audio Cassette kwa lugha ya Kiswahili, Kiarabu na Kiingereza. Tumeamua kuziweka katika njia ya vitabu ili Waislamu na wasiokuwa Waislamu wanufaike na mawaidha ya mwana chuoni mkubwa kabisa wa wakati huu katika ulimwengu nae ni: Assaffi sarri rra, Munawar Bassira Al-habbib Sayyeid Umar bin Syd Abdallah ( Mwinyi Baraka). Watu wengi wanauliza na kuendelea kuuliza kwa nini Al-Habib hakuandika kitabu nae katika elimu ya dunia amefikia cheo cha Uprofesa? Kwa bahati nzuri sisi Ahli Majaalis tulijaaliwa na Allah kumuuliza. Nae akajibu: Niandikenini? Siwezi kuchanganya Bafta na Hariri. Tulipomuomba atufananulie akaendelea: Al-Imam Al-Habbib Syd Umar bin Syd Ahmad bin Syd Abubakar bin Summeit, ameandika Rihla kutoka zanzinzibar kwenda hadharamut na kurudi zanzibar, mimi niandike nini?. Yeye ni hariri bila shaka. Kwa jawabu hii ametupa elimu ya juu kabisa sisi Muridi wake, na tulipomshauri kwa kumuomba: Je unaonaje hizi baadhi ya khutba zako tulizojaaliwa kuzirikodi tukaziweka katika njia ya vitabu, kama wanafunzi wa Maulana Abdul Wadud wa Pakistan? akajibu Kheri shauri. Allah amzidishie Nuru dhariha lake, Sheikh Al Faqeer Ahamad bin Sheikh Muhamad Msiha, Kwa kuchukua jukumu hili kubwa la kunakili cassette za Sheikh wake na kuziweka katika njia ya vitabu, sio kazi ndogo ukitizama Mhadhiri viii.

10 mwenyewe ni Mwana falsafa aliyebobea Ulumi zote za akhera na za kidunia. kwa madadi yao na buruhani zao Allah atatuwezesha sisi kuendeleza pale alipokomea Al Faqeer Sheikh Ahmad. Insha Allah Mwenyezi Mungu Ajaalie kila ataesoma kitabu hichi anufaike na yaliyomo, pia Mwenyezi Mungu awalipe malipo mema wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine mpaka kufanikisha kutoka kwa kitabu hiki Amin. Ahly Majaalis El Ulaa El Qadiriya. Sinza Dar es Salaam, Tanzania. June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) ix.

11 MUHADHARA WA AL HABIB SEYYID UMAR BIN ABDALLAH (MWINYI BARAKA) 5TH JULY 1986 (1406HR) KINONDONI DAR-ES-SALAM TANZANIA. x.

12 بسم هللا الر حمن الر حيم KUVUTIKA KWA NURU YA BWANA MTUME SAW KWA WAPENDANAO LILLAHI: BISMILAH - WALILLAHIL - HAMDU Ndugu wapenzi, walillah wa wafilla wa billah. Na inataka ibada ya miaka mingi sana hata watu wapewe wanaopewa watu waliokusanyika namna hii kwa muda mchache. Kwa sababu, kwanza Mtume SAW anapenda kuwaona ummati waliokusanyika pamoja. Anafurahikiwa nao na Nuru yake inavutika kwa watu wa namna hiyo. Na hadithil Qudus inasema: Wajabat mahabbati, yamepasa mapenzi yangu, Lil muta ha-b-bina fi-ya kwa wanaopendana kwa ajili yangu, al mutaja-li-sina fiiya, wanaokaa pamoja, wamekaa kitako pamoja kwa sababu yangu mimi. Kwa hiyo tupo katika kheri kubwa. Ndo tumeanza majlis yetu kwa kusoma Qur-an, na tumeendelea kwa kumsifu alieteremshiwa Qur-an Nabiyyuna Muhammad SAW. Alipoulizwa seyyidatna A-ysha alikuwaje Mtume SAW? Ka-na khuluquhul-qur-an tabiya zake zilikuwa ni Qur-an. Tizama Qur-an inasemaje, utamkuta yeye ndo vile vile. Kama anavyosema mwenye Di-bai: Wa kana SAW Ahsanan Nas Khalqan wa khulqan, ndiyo mwema kuliko watu wote kwa umbo na tabia na wah-da-hum na ndiye mwenye kuongoka kuliko wote, Ilal ha-qqi, kuindea haki, twariqa katika hii njia, kana kuluquhu-l-qur-an, tabia zake zilikuwa Qur-an, Wa ashi-matuhu-l-ghufran, kusamehe ndio tabiya zake, kusamehe ndio mwendo wake, hajapata kumuekea undani yeyote hata akimfanya vipi, hata makafiri waliofanya mabaya Makuiresh ambao kabla hawajasilimu, wamechupa mpaka katika kufanya uovu waliposilimu kawasamehe yamekwisha. Yanswahu lil Insan akina-sihi watu, kila analolisema ni nasaha ya watu. Watu namna na kuishi kiutu hapa duniani waondoke kiutu, wende peponi wakae kama wanavofaa watu wa peponi kukaa. Wa yafsahu Bil Ihsan, akikunjuwa katika Ihsani, alikua karimu sana. Wema wake ukiwafikilia masahaba na watu wengine na hata waliosilimu karibu. Yafsahu Bil Ihsan wa yaafu anidh-dhamb husamehe dhambi, idhaa kana fi haqqihi, ikiwa ni katika haki yake yeye, uovu wowote utaofanyika ambao anafanyiwa yeye basi anasamehe kama kwamba 1.

13 hapajafanywa jambo. Bali hufurahi kwa kuona kapewa thawabu za bure. Hamchukii yule mtu aliemfanyia uovu ule wala hamuekei undani Idha kana fihaqqihi wa sababih, wa idha dhuiya haqqil Llah. Haki ya Mwenyezi Mungu ikipotezwa, lam yakum an adun lighadhabihi hasimami yeyote kwa hasira zake. Anakasirika anachupa mpaka kinyume na sisi. Ya Mwenyezi Mungu hatuna haja nayo, tunawafanyia watu wanavyotaka. Lakini mtu akiguswa yeye kidogo tu, akitukanwa yeye kidogo tu, utaona wewe, ugomvi utakaotokea. Kinyume ya Mtume SAW yeye mwenyewe anaona upuuzi. Yanayomfika yeye lakini ya Mungu ndio yanayomshughulisha. Waidha dhuniya haqqul lah lam yakum alahdun lighadhabihi, waman raahu badi-hatun haraba. Mwenye kumuona kwa ghafla hivi humuogopa Pasnaliti yake ilikuwa kubwa sana haina kiasi. Waidha daahul miskin ajaba, na maskin akimwita akimwalika anakwenda anakuwa yeye ni mfalme, yeye Mtume yeye katawala watu, watu wanamtii, na ndo mkubwa. Aa katika kutisha kwake safari hii moja katika baadhi ya vita alikuwa chini ya mti anapumzika akaja mtu na upanga, akamwamsha, akamwambia Nani, atakuhifadhi na mie leo? akainuka Mtume SAW na kitisho chake akamwambia Allah! Allah. Yule akatetemeka, upanga ukamuanguka, akauokota Mtume SAW akamwambia Nani atakunusuru na mie leo? Akamwambia: A-a-! wewe mtu mtukufu tunajua sifa zako hivi! Akamwambia: Chukua upanga wako nenda zako Yule akarudi kwa watu wake akawambia Nimekuja kutokana na mtu alie bora kabisa, mtu ambaye hapana kama yeye. Wakaja chungu nzima kuja kusilimu. Wale wanaosingizia Uislamu kua umetawanyika kwa upanga, hawajui amma wanafanza makusudi kuusingizia uongo Uislamu. Waidhada ahul miskin aja-ba. Yaqu-lul haqq husema kweli, ukweli anausema tu walau kana murrah hata ikiwa ni mchungu. Bila shakka anautia sukari sukari, na hivi, nini, lakini anausema, yaani anausema kwa namna nzuri. Ud-u-ila sabi-li-rabbika. Ita watu kwa njia ya bwana wako Bil-hikmat, kwa hikma wa maw-idhatan hasanat, na mawaidha mema. Akisema na mtu kwa maneno mema kabbisa. Mfano mkubwa ni alipoingia Makka baada ya kutolewa Makka akaenda Madina - Sasa aliporudi Makka wakakusanyika walio wengi waliomfanyia uovu na wakapigana nae vita, wengine wamewahi Badru, wengine Uhud, wengine wapi na wapi, akawaambia Ma-tadhun-nun an-nanifailin bikum? Mnadhani nini mimi nitakufanyeni? 2.

14 Wakamwambia Akhun-kari-m. Wakamjibu wewe ni ndugu mtukufu wa Ibn Akhun kari m na Mtoto wa ndugu Mtukufu, hatutaraji ila utukufu tu kutokana na wewe. Na wanaandika hata wasiokuwa Waislam kuwa wengi katika wao wangeliuliwa, (tareikh) historia isingelimlaumu Mtume SAW kwa jinsi uovu wao ulivyokuwa mkubwa na yeye aliwaambia nini? Idh-habu fa-antumut tulaka-u Nendeni zenuni na nyie nyote mmeachwa huru, hakuwaambia hata silimuni, huwezi kuwasalimisha watu kwa nguvu Afanta takrihun nasa hatta yaku-nu muunini n? Utawalazimisha watu mpaka waamini? Lakini akitaka fursa awaeleze Uislamu nini. Wajue Uislam nini wenyewe wautamani Uislamu, wenyewe waingine katika Uislam La ikra ha fid din. hapana kutenzwa nguvu katika dini iko kuelezwa watu, iko kuvutwa watu, iko kutamanisha watu kwa Uislamu wakaongoka. Akawaambia La tathriba alykum-lyawm hapana Tathriba alykum ul yaum, irhamul Llah, leo hapana lawama juu yenu yaghfir-llah lakum Mungu atakughufuri lieni, Allah akbar mlioyafanya yote hayo Mungu ataghufirilieni Wahuwa arhamu rahimina na yeye ndiye mwenye kurehemu La tathriba alykum-l-yaum, yaghafiru-l-lah lakum wahuwa arhamurahimina. Hata wanafasiri kwa kiingereza wanasema: There is no blem upon you today. may God forgive you all, and he is the most merciful of all merciful the merciful. Wanasema hapana mtu aliopata maadui zake katika tareikh akaweza kuwayafanya anayoyataka. Maadui waliomfanyia ubaya mwisho wa ubaya akaweza kuwafanya anavyotaka yeye, kama yeye Mtume Muhammad SAW, alivyowapata maadui zake, na yeye hakuwafanza lolote bali akawaghufirilia na akawaachia wamekwenda zao. Mwisho wenyewe wamerejea wamekuwa Waislamu na wale wale ndio waliokuja wakausimamia Uislamu na watoto wao wakaupeleka mbele mpaka ukatufika sisi. Waman rahu badihatan har-aba waidha daa hul miskin-aja-ba yaqul haqqa walaukana murra-walayadhlumun Muslim, ihsan wala dhura. Hamuekei Muislamu Ghush, hamfanyii Ghush wala madhara yaani hamfanyii madanganyo - Ghush ni kumdhihirishia mtu jambo moja kumbe mambo ni vengine sivyo vile ulivyomdhihirisha. Unasema unamuuzia machungwa kumbe unamuuzia majani, unamuuzia Samaki kavuliwa leo kumbe alikuwa katika barafu, hiyo ndiyo Ghush. Kumdhihirishia sivyo vile mambo kama yalivyo, Mtume alikuwa hana. Vile vile (straight forward) ilivyo ndivyo 3.

15 anavyokuonyesha alivyo. Wala madhara hakuwekei katika moyo wake kwa kupata kufanya jambo baya, naye atamlipa hana. Man nadhara Biwajihi alima anahu laysa biwajih kadh-dhabi. Mwenye kutazama uso wake anajua kuwa uso huo sio wa mtu muongo ukimuona tu na hata maadui zake wasiomkubali wakijua hayo na wengine wameyasema khassa uso safi sawa sawa. Na wafuasi wake wako ambao ukiwaona unasema uso huu si wa mtu muongo ni uso wa mkweli, sikwambii yeye mwenyewe Sayyid sadiqina, wal ladh sadaqa wasadaqa bihiulayka humul muttaqun, waqad jaa-bis-sidiq-wasadaq bih, u- layka-humul muttaqun - Alokuja na ukweli na yule alomsadikisha hao ndo wacha Mungu. Nani alokuja na ukweli? Ni yeye Sayyidna Muhammad SAW na mkubwa wa waliosadikisha, Hapana kama Sayyidna Abuu Bakkar Sidiq - kwa hivyo, mwisho Qur an inasema Lahun-ma-yashauna inda rab-bihim, Wana kila wanalolitaka kwa Bwana wao, wadhalika jazaaul muhsinin, hayo ndiyo malipo ya wafanyaji wema, wana kila wanalolitaka kwa Mwenyezi Mungu kwa hivyo ndo maana watu huweta wawasemee kwa Mungu. Katika kukubwa kabisa ni huyu Bwana tuliochagamana nae - Al haykal samadan, wal kindi lun nurani Sayyidna Abdul Qa-Dir Jailan. ana kila analolitaka kwa Mwenyezi Mungu kwa sababu alikuwa katika hawa, Mungu aliowasemea: Lahuma-yashauna - bali wa mbele kabisa na juu kabisa Sayyidna Abdul Qadir, hata aliwahi kupita pahala na Mungu watu kama hawa anawafungulia wanaona kila pahala, huku Bazrakh, wapi kapita kakuta mtu anaadhibiwa katika kaburi akasema mtu huyu hajapata kuniona?, hajahudhuria majlis yangu? Akaambiwa hajahudhuria hajapata kuniona? Hajapata kukuona. Mradi kila namna anatafuta akapate kumuombea kwa Mwenzi Mungu, ipatikane sababu ndogo akamuombee kwa Mwenyezi Mungu asamehewe hii ndio hali ya Mawalii wa Mungu kwa watu hivi hivi, sikwambii kwa wanaopenda wanatamani na wao wangefuata nyayo zao kwa kumtii Mwenyezi Mungu na kuepukana na Mwenyezi Mungu aliyokataza, na kuutumikia Uislamu kwa kusafisha kifua na Moyo ikiwa hawana azma nyengine zozote. Hawadhihirishi kusema wanatengeneza dini kumbe wanatengeneza dunia yao. Jitihada yao ni kumtumikia Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu anawatumikia, Mwenyezi Mungu anawapa kama yeye huyo Bwana mmoja niliyekutajieni na baadaye wamekuja wangapi, Wana wema Muridi wake Makhalifa wake mpaka leo kwa Maelfu wamejaa duniani mambo yao yanawanyookea, na wananyanyuka mbele ya Mwenyezi Mungu kwa sababu ya Ikhlasi yao hawataki chochote wanataka Mwenyezi Mungu. Famatlabul quwm 4.

16 maula-hum huwa Sayydahum. Matlab ya watu hao ya Mabwana hawa, ni Mola wao na mabwana wao. Yaa khayra matlabih lilwahidil ahadi. na Mungu anajua atakupa mambo yote katika dunia. Muridi nani? Ni yule anayetaka kwa Mungu anajua mambo yote anayo Mwenyezi Mungu kwa hivyo nitayotaka kwake lazima atanipa. Sababu unakamatana naye, unafanya biashara pamoja na wanaofanya biashara unafanya kazi, unalima pamoja na wanaolima. unasukuma magari pamoja na wanaosukuma magari lakini unajua kuwa yote anayo Mwenyezi Mungu atakapotaka kukupa atakupa na unayotaka, kwake zile ni sababu tu ambazo atakufungulia kheri zake. Niliambiwa mwanzo kuwa utasema kiasi ya muda mchache hapa baada ya Qiam, na nimekubali maana hiyo kwa sababu ile nafasi ya wakti wenu huu wakati wa sasa tulio nao usiku huu na wakati huu si wakati wa kutawilisha sana kwa kutizama kabisa. Na halafu nikaja kuambiwa kuna video tayari kuchukua maneno saa na nusu takriba. Hiyo ni heri kubwa, lakini inataka wakati ambao mtu katulizana fikra zimenyooka, kwa hiyo nimetabaruku kidogo hivi na hiyo video nitaijaza Insha Allah wakati ambao unasib na kule kutabaruk na Qur-an tumesikia yule bwana aliyeisoma Qur an hapa Wamathali kalimatin twayyba mfano wa neno zuri na nikalimati twayyba- La Ilaha illa Llah ashajaratin twayyba kama mti mwema-as-luhatha-bitu, shina limekaa vizuri huna namna ya kuangusha mti ule wa faruha fis samai na matawi yake yako juu kabisa na La Ilaha illa Llah ndio inayohitaji mtu akiwa nayo iwe tabia zake zimethibiti, hana uovu, hana azma mbaya, hana kutafuta haki za watu, hana wizi, hana matata na tabia mbaya zinajulikana ghilba, hana kugombana na watu, thaa-bitun na matawi yake yanakwenda juu yeye mwenyewe ananyanyuka tu amali zake zinazidi, kheiri zake zinazidi, khasa kwa kuwatumikia wenzake na kuwatumikia Waislam asluhathabitu wafar-uha fis-samai tuti ukulaha kulla hii-nin-bi idhn rabihim zinatoa vinywaji vyake kula wakati. Mti huo hauna Aa siku hizi si season yake. Mwenye La Ilaha illa Llah moyoni mwake wema anao siku zote anaonekana, kila wakati ana Insafu, ana bashasha, anasaidia watu, anatumikia watu, na wengine kama sala tano zinakwenda. Tuti ukulaha (kula hii-nini) bi idhni rabiha na yadhribu la lahal amthar-la-lin na-s, na Mwenyezi Mungu anapigia watu mfano. Laalahum yadh dhaq-karun, ili wakumbuke na kiasi hicho ni kichache Mungu atupe nafuu hata tutapokutana tena popote pale, hata kama ni peke yangu, niijaze hiyo video. Wafakana llahu lima yuhibuhu wayardhahu. 5.

17 MHADHARA WA PILI WA AL HABIB - SEYYID UMAR BIN ABDALLAH (MWINYI BARAKA) MAJAALIS - EL UlAA - DAR-ES-SALAM JULY 7 TH 1986 (1406HR) KINONDONI DAR ES SALAM 6.

18 MTU NI ROHO MOYO AU NAFSI: Yaa-yuhal Insa-n ma-gharraka birabbikal karim Ewe Insa-n, mtu bila ya kutizamwa viungo vyake au ubinaadamu wake lakini Insa-n wala mayzi zake namna anavyomili tabia alizopewa mara asimange, mara afurahi haya siyo yanaotizamwa hapo, wala haitazamwi Adami, mara kachoka mara usingizi lakini Insa-n haya ni maneno matatu tofauti. Insa-n ni yule mtu yule, yeye au wewe au mimi. Anayeazimia anayekusudia, anaechagua, kama hivi nyinyi mmechagua kuja hapa, aliyechagua ni nani? Insa-n sehemu ya ubinaadam imetumwa tu, miguu imetumwa tu, na viungo vengine vimetumwa tu, inaweza ubashari ukawa umekuja kati labda kuna mkate na mchuzi ubashari unatamani mkate na mchuzi ukazidi kukutia hamu uje, lakini Insa-n ni yule anayependa anayechukua, anayehusudu, anayetakia watu wema, anayekumbuka Mungu anayekumbuka kiama. Hata mwili ukifa yeye yupo, na yeye ndiye anayeulizwa kaburini anayeulizwa Barzakh na anakaa Barzakh kwa hivyo Qur-an inapotaka kusemea mtu namna hiyo humwambia: Insa-n, mtu humwambia Insa-n haikuambiwa: Ya Adam, Ya ayyuhal Adam, Ya ayyuhal Bashar, Ya ayyuhal Insa-n, ndo inamtofautisha baina yake yeye na Malaika, baina yake yeye - na Wanyama wengine ni kuwa Insa-n. Wewe Insa-n si kwa mwili bali kwa roho. Kuutumikia mwili umpatie matamanio yake uupe nguvu basi kosa la kuja duniani utumikie mwili uwe na nguvu tu au uupe starehe zake mwili tu - Atat libur ribh fi-ma-fihi khusra-n unatafuta faida katika kitu ambacho ndani yake mna hasara?. Biashara lazima mwisho itakuwa hasara sie mnatuona watu wazima hatukuwa namna hii, tulikuwa vijana kama nyinyi na ujana ulotumika kwa sehemu ya ubinaadam. Sehemu ya ubashar na Insa-n ndiye iliyesemwa akaongoza mwili sasa unatumika mwili tu, na mwili unapotea kila siku kidogo kidogo. Bahati yako ikiwa itafika utu uzima ni lazima siku moja mwili utakutoka Atat libur rib-h fi-ma fi-hi husra-n aqbil, kabil-alan nafsi juu ya Nafsi au Roho, wastaqman fadha-ilaha, ukamilishe fadhila zake (virtues) zake uwe una sabri iwe kitu cha Nafsi au cha Roho fadhail uwe karim hicho ni kitu cha Roho uwe unapendelea iwe unampenda Mtume SAW unashughulika na kumtaja Mwenyezi Mungu na kumtumikia Mwenyezi Mungu hayo yote ni mambo ya Roho, shughulika na hayo: akbil ala 7.

19 Nafsi usiwe nawe ni mtu wa exircise tu watizama Nafsi inakuwaje kila siku unajipima unashindana kuvuta kamba, kuwa shujaa: wa shujaatu sabri saa. Unavutwa na matamanio wewe ukapigana na matamanio ukasubiri na Twarika yote kila ukisikia kuna Twarika ni kuitengeneza Insa-n ile inaitwa Insa-n tena sehemu ya Ubinaadamu. Mikutano ya kheyri ya dhikr macho yanatazama njia ya kupita lakini hasa Twarika inamuongoza Insa-n imfanye awe na mahaba katika moyo wake anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume wake na viumbe vya Mwenyezi Mungu. Awe karimu asiwe mwizi asiwe mjanja si madhambi ya Nafsi, madhambi ya Roho. Madhambi ya Nafsi yanakuwa makubwa sana mbali kuliko madhambi ya kiwiliwili hata mtu akiiba. Unaokwiba si mkono unatumwa tu. Ndo maana mtu asiyekuwa muaminifu hana Imaan. La imaan liman laa amana ta lahu hapana Imaan kwa mtu ambaye hana uaminifu, kwa sababu uaminifu si kitu cha mkono wala cha kichwa, wala cha miguu ni Nafsi, ni Roho ndo inayovunja uaminifu, mkono ukatumwa ufanye lisilo twa Laa i-man li-man la amanata lahu. Ya ayyuhal In-sa-n akbil alan nafsi wastaqbil fadhaa ilaha ya anta bin nafsi au bir uh la bil jismi Insa-n. Si kwa kiwiliwili. Insa-n usidhani kuwa wewe ni kwa kiwiliwili, Insa-n. Kwa kiwiliwili wewe ni kama Ng ombe, Mbuzi, Sungura, panya nao wao ndio sehemu ya kiwiliwili ulichonacho wewe (Mammals) Biologist wanamwita. Lakini Insa-n, Twarika iko hapo katika inapoandama Suluk kupata njia kujitengeneza ukajitoa na kujitafuta utukufu kwa njia ya dini ukatafuta mali kwa njia ya dini, njia ya kumtaja Mwenyeezi Mungu, na huku una yako ya kidunia. Insa-n hapo unakua yupo katika hatari yaani: Ya ayyuhal Insa-n maa gharraka birabbikal karim nini kilichokuhadaa na Rabbi wako hata ukawa wewe unadanganya viumbe. Unadanganya viumbe unadhani na Rabbi hajui au hatambui au ukienda kinyume na alokuamrisha una wazee wawili huwatii, una mke humtimizii inavyolazimu, mke ana mume hakai nae kwa Insafu nini kilicho kuhadaa? Na Rabbi wako wewe ni karimu kakukirimu wewe Insa-n kakupa ubinadamu huo, una macho una miguu una viungo una mambo kadhaa wa kadhaa. Alladhii khalaqaka ambaye kakuumba akakupa mwili huo fasawwak akakufanya sawasawa mikono imekaa sawa, miguu macho kila kitu kakuumba kimekaa, nini ungezewe ukawa mguu mrefu, mkono mmoja mrefu, mmoja mfupi, na yote hajakufanyia hayo kakutengeneza barab-bar. Fa-ad-dalak akakufanya ulingane Fi ayii suratin maa-shaa, katika sura yoyote anayoitaka yeye mwenyewe Raq-kabaka, kakupandisha 8.

20 kakupa sura unayoitaka watu wangapi kuna malaa-in Waislam tu duniani wanaambiwa leo wapo milioni elfu na kila mmoja ni namna yake na sura yake na wewe una yako fikiri, kaa ufikiri usende kinyama, mnyama anakwenda kwa mwili tu mambo ya kimwili. Sasa kinacho kuzuia baada ya kuwa umeonywa baada ya kuwa umeshazinduliwa katika Uislam. Baada ya kuwa umesikia mambo ya Mungu na mambo ya tabia nzuri na Roho zinatakiwa mtu awe nazo wema insaf nini ukifikiri kilichokuzuia usiwe hivyo bal-tukadhibuna bidi-dini, mnakana mnakadhibisha hukumu siku ya kiama. Ungekua una yaqini mimi nahukumiwa kwa nnayoyafanya ungeyakimbia yaliyokatazwa yakikufikia utafata Qur-an inavyokwambia mbio unarejea kwa Mwenyezi Mungu: Wastaghafiru Laha inna- Llaha ghafu-run rahim, wanaomtaka maghfira Mwenyezi Mungu Inna Llaha ghafu-run rahim hakufukuzi. Sasa mbona umeshindwa: Laa inal ladhinat taqau, hakika watu wenye taqwa: Idha massahum twa-ifun minash-sheyitwan tadhakkaru, wanakumbuka halafu Sheytwan kukuta sehemu ya basharia ya Insa-n anamukhadaa katika njia ya matamanio, katika njia ya majivuno, njia ya kujiona, njia ya kughafilika usifanye hivyo, ukifanya hivyo ukamsahau Mungu kabisa, kabisa umehadaika na Mungu, mambo ya Mungu umeyaachilia mbali. Huna sala tano, huna Swaumu, huna chochote, huna kutumikia walokulazimu kuwatumikia, huna insaf, huna uaminifu, ujanja tu na ulaghai unao watu hawatambui basi na Mungu hatambui unaonyesha nini? Tukadh-dhibu-na bid-dini, mnakanya mnakataa mnakadhibisha hukumu na kila kitu kinaandikwa, kuna Malaika kazi yao kuandika. Wa inna alay kum laha fidhina, na hakika juu yenu mwenye kuhifadhi hayo mnayofanya na mnayosema na mnosema namno ya kitu: kiraman, watukufu katibina, waandishi mayanfa-dhu bil qaul illa ladyhi raqibu atiidi, hatamki mtu neno ila mbele yake Raqib na Atiid, Raqib anaandika mema Atiid anaandika maovu akifanya ovu, anaadika, kwanza huzuiwa muache labda atakumbuka atarejea kwa Mwenyezi Mungu na ni mwepesi. Mungu akiwa Mambo yenyewe hayajakamatana na hakki ya binaadamu. Mwenyezi Mungu hukusamehe, ikiwa haki ya binaadamu kakosea mtu, kaharibia mtu nyumba, ameharibia watu watoto wao majumbani haki ya binaadamu inakuwa taabu, lakini baina yako wewe Nafsi yako na Mwenyezi Mungu ukikumbuka ukarejea, Mwenyezi Mungu anakupokea: Wal-ladhi-na-idha falu faa-hishataan na wale watu wema watu wacha Mungu ambao wanapofanza fahisha, uchafu na dhulma: Anfasahum, au wakadhulumu Nafsi zao Dhakarul 9.

21 Llah wana mkumbuka Mwenyezi Mungu, Fastaghfiru lidhumu-bihim waman yaghfir Mwenyezi Mungu madhambi yao wanataka Maghfira dhunu-baa ila Llah, na nani mwenye kughufuria madhambi illa Mwenyezi Mungu anakutaka Mwenyezi Mungu Uende wakakutakia Maghafira. Ukijiachia basi Malaika wataandika wala hapana kuwa: Aa! mie Mungu ananighufirilia kwa hivyo ntasali wakati huo hupati hayo yanatakiwa uwe nayo - majuto ya towba kuwa ndio sababu yawe kughufiriliwa hiyo nia kuwa tabia (invironment) pahala palipo kuzunguka dunia yako ulonayo mambo kadha wa kadha yamekuvuta umeyafanya ilo siyo. Umezoea kusema uwongo ulipokuwa mdogo sasa uwongo unakutoka vile vile kwa sababu ya mazoea ya uwongo hayo ndiyo yanayosemwa sio kwa Mungu yupo ananisamehe na ntastaghafiru huwezi Istaghafar si kusema Astaghfirul Llah na kutaka akakughafirilie. Mpaka ajue kuwa kweli umejuta ndo hivyo hata ukichupa mpaka vipi kwa ubaya unaoingia katika anowaambia: Yaa ibadial ladhi-na asrafu-ala anfusin-him, enyi waja wangu ambao wamechupa mpaka juu ya nafsi zao pengine mtu kakujia pamoja na kikundi cha watu walevi kaingia ulevini kazoea uwongo ana uwongo kazoea kufuatia mbio wanawake au wanawake wanajiweka kutafuta wanaume kakumbuka Inna lil lahi, nnafanya nini haya ndio ya motoni haya ndiyo ya Insa-n? Haya ndio yale ya unyama sio ya Insania ya unyama anataka kuepukana nayo moja kwa moja yameshamvaa kila yakimjia anajuta anatamani yamtoke kabisa kabisa-anaambiwa:laa taqan-atu wawe namna hao wanaambiwa msikate tamaa na rehma ya Mwenyezi Mungu iwe basi Mwenyezi Mungu Subhanah wa taala maadam mmemuasi ndio lazima atakutieni motoni hakusameheni, laa! Laa! la hasha: Inal Laha yaghafir dhunuba jamia Mungu anaghufirilia madhambi yote: Innahu lahuwa ghafuru rahim hapana hata kubwa vipi linalomshinda kughufurilia, ana rehma sana lakini (rejeeni): Wa-ani-bu-ilaa rabiku, rejeeni, bila kurejea kwake hapana tamaa anataka urejee kwa kujuta, kwa Tawba. Ikiwa mali ya watu kwa kiasi unavyoweza kurejesha ikiwa unamtukana mtu, au umemsema mtu, mkamtaka radhi kwa kiasi ya kupata salama ukiona mambo yatazidi, tena haki ya binaadamu hii ikiwa nikisema mambo yatazidi hapo hatari. Ina lahu yaghafir dhunuba jaamii innahu huwal ghafuru rahimu, wa anibu ila rabikum, rejeeni kwa Rabbu wenu makafir hawana pa kurejea dha-lika baina adhina a-manu-ti tabaul laq wanal safirina la maula lahum, kwa hivyo ni muhimu sana ni muhimu sana kukumbuka kuwa kuna Malaika wanaandika na kufanya makosa si ajabu kwa Insa-n 10.

22 madamu wao Ubasharia, na Uadamiyi si kuazimia kwa Uislamu hasa ikiwa ni mtu wa Twariqa, hakuwafikieni akifikwa ni kwa mazoea tu yamemfika na anapigana na Nafsi yake anaisemeza nafsi La ya nafsi, wala hubak mutawani, Ewe nafsi nakuonea huruma mpaka lini unajiathiri? Kuniathiri namna hii na kila ukiacha mapema ukenda mwendo mzuri mapema ndo inakuwa wepesi kwako wewe ukikawia unakuwa kama mti umeuacha umetia mzizi ukitaka kuung oa taabu na uzito kung oka mti ule. Na sana kuwa mwema mtu na utakuwa ukijiambia: Yaa ayyuhal Insan magharaka birabbika karim aladhi khalaqaka, fasaw-waka faadalaq fii ayyi suratin mashaa rak-kabak kala bal tukadhibuna biddin waina alykum la hafidhina, kiraman katibin yaalamuna maatafaaluna inal abra lafi naim. Hakika watendaji wema wapo katika neema kubwa wamo ndani ya neema, hapa hapa duniani, kabla ya akhera, sikwambii watakapofika akhera: Innal abrara lafinaim wa inal fujara lafi jahim, watu waovu wachafu, matata mifujari mijitu matata, malaghai, Imaani zao za ujanja: La fi jahim, wako ndani ya moto. Hapa hapa duniani inayowataabisha Conscious yao dhamiri yao. Yas lau naha hau mad-d jahim hiyo wataingia siku ya hukumu watakwenda wakahukumiwe wakutikane maovu mengi kuliko mema. Maovu yale hayajafutwa kwa Tawba, hayajafutwa kwa Istghfar, kwa kumtaka maghfira Mungu hayajafutwa kwa Istifar kukubali kuwa mtu ni maovu, anataka Mungu amtengenezee: La ila hailallah yaslaunaha, wataingia: Yaumad-din, siku hiyo ambayo mambo yote yanategemea uzito kwa amali, zikiwa nyepesi yupo katika hatari mtu Fa amma manthaku lati mawa-zinuhu, mtu ambae amali zake kuwa nzito, Fahuwa fi-inshati radhia, yuko katika maisha yenye kuridhiwa, atayaridhia yeye Mwenyewe. Amali nzito si haya kama kukutana pahali kama hapa amani zinaongezeka zinakuwa nzito. Unakwenda msikitini unasali unatumwa nyumbani unatumika mambo ya kheri unayapenda: Wa ameluswa-lihati wa ud khilal ladhina amanun, watatiwa watu ambao wenye kuamini wakafanya mema Jana tin tajri min tahtial an-har, mabustani katika pepo inapita chini yake mito. Lakini inataka: Wa amilus-swa-liha-ti kila mmoja kwa kiasi chake ana namna yake njia zake: Wa udkhilal ladhina amanu wa a-miuls-swa-liha-t jannatin tajri min tah-tihal an-ha-ru siku ambayo, watu wengine watakuwamo katika hatari yaumud dini siku ya hukumu ndio namna 11.

23 katika Alhamdu tunaita Ma-liki yau mid-din. Waina alykum lahafidhina kiramban katibina wamahum anha bighaibina, wala hawakuwa wao na moto ni yenye kuwa hawapo hata siku moja (they are never absent from the fire) kila ikija list ya kuitwa majina fulani fulani labbeyk yupo hathubutu kukimbia akawa absent: Wa ma-hum an-ha-bigh-ibina wamaadraka mayaumud-din, nini kitakujulisha kitafanya ujue nini hiyo siku ya hukum? Thuma adraka mayaumud-din, nini baada ya hapo kitakachokujulisha nini siku ya hukum?, Yauma siku La tamliku nafsun linafsin-shay-a, hapana nafsi itamiliki kumiliki nafsi nyengine kwa kitu chochote hapana nafsi yoyote itathubutu kuja bila ya amri ya Mwenyezi Mungu na kukubaliwa na Mwenyezi Mungu Aa! mimi namuombea huyu mtu wangu, huyu sahibu yangu huyu mwanangu, huyu Muridi wangu. Shoti Mwenyezi Mungu ampe rukhusa kwanza: walaa yashfau-na illa limantadha, wala hawashufai illa wale Mungu alomridhia kwanza kuwa huyu anaweza kuwashufaia huyu alikuwa mtu unaambiwa kachupa mpaka kutoka kwenye Circle kwa kushufaiwa sio mambo ya kufanyia mas-khara, inataka mtu akae afikiri na mambo yanamngojea kila mtu: Yauma la tamliku nafsun linafsin shai a wal amru yauma idhini lillah, na amri jambo siku hiyo lina Mwenyezi Mungu: Al hayyu qayyum, anayajua yote: Lataahudhuhu sinatun wala nawm, haumchukui usingizi kusinzia wala usingizi: Ya ala-mu ma-bayna aydihim, anajua yalo mbele yao watu wote: Wamaa halfahum, na yalo nyuma yao: Wala yuhituna, wala hawazungukii ukiwajua vilivyo: Minal-ilmi, katika elmu yake, Illa bimashaa-allaa anachokitaka: Wasia kursiyuhus-sama-wati-wal-ardhi, kiti chake cha ufalme kimeenea mbingu zote na ardhi: Wala yau-duhu if dhuhuma wahuwal aliyul-a-dhim, hakumchokeshi kuhifadhi, Samha-wa-ti wal ardhi, siku hiyo: Yauma latamliku nafsun linafsin shaiyan wal amru yauma idhin lillah. Watu wa mwanzo watostahiki watopata kheri kubwa ni watu wenye kupendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu itanadiwa: Muta-ha-b-binalijala-lati andhilihum tahta dhili yauma la dhilim illa dhili, wako wapi wanaopendana kwa ajili ya utukufu wangu niwafunike chini ya kivuli changu siku ambayo leo hapana kivuli ila kivuli changu: Wajabat man abbat lin mutaha-bina fia, yamepasa mapenzi yangu kwa wenye kupendana kwa sababu yangu: Almuja lisina fia, wenye kukaa pamoja kama hivi na. 12.

24 kuna watu sabaa: Yudhiluhum mullah tahta dhiluhu yawman la dhilu illa dhiluhu Immam a dil, waja wake wenye kufanya uadilifu na katika hao waliotajwa: Shabun nashaa fi tatil-lah, kijana kakulia katika twa fii iba-datillah katika ibada ya Mwenyezi Mungu kama nyinyi, mna sala zenu tano mnakutana, mnamtaja Mwenyezi Mungu ndo haya Alhamdulilah mnataka mshukuru na alama kubwa ya kushukuru ni kuepukana na ya kumuudhi Mwenyezi Mungu kadiri unavyoweza: Shaabu nashafi twaatilah warajulani tahaba fil lahi, wawili wamependana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu: Ajitamaa alyhi wamekusanyika ndio sababu ya Mwenyezi Mungu kama sisi tulivyo kila mja anampenda mwenzake kwa ajili ya Mweyezi Mungu: Warajulun namtu dati-hu amemwita mtu yule, Maraatu mwanamke dha-tu man sibin mwenye cheo jama-na, mzuri: Faqa-la inni akhaful Lah, mimi namuogopa Mwenyezi Mungu hapana kusema wanavyosema vijana wa kisasa: Si kataka mwenyewe. Inatosha vipi, muogope Mungu na mwengine katoa kwa mkono wa kulia, mkono wa kushoto hauna habari yaani katoa sadaka kufanya kwa Lilah hata hapana anayejua. Mradi wote saba watu ambao Mwenyezi Mungu atawaamkia siku ya kiama: Tahiyatuhum fiha salam, maamkio yao Mwenyezi Mungu kawaamkia ni Salaam. Hawa wanatoka motoni na hawa Mwenyezi Mungu anawaamkia: Salaamun kaulan min rabbi rahim, na wao mwenyewe wanaamkiana: Salaam, tahiyatuhum fiha salaam, wanaamkiana wenyewe Salaam, kuna salama tu Peace basi pepo ya Kiislamu ina amani hapana atosikia neno la kumuudhi kitendo cha kumuudhi hapana chochote La ilaha ila yaa-rab. Amani Salaam, bali wanaanza kuipata tangu wanapoondoka Duniani Malaika wanawafisha na huku Malaika wanaamkia Salaamu alykum aladhina tawafaa humul malaika tayyibina, yaqu-luna salam alaykum ud-khulu ljnna, ingieni peponi, pepo gani? Pepo ya Barzakh, kiyama bado hakijaja. Ud khulul jannat, kama anavoambiwa mtu wa: Yaasiin yule alokwenda akawagombeza watu wa mji wake kua kwa nini nyinyi: Wa jaa min aqsal madinat rajulun yas`-a, qala ya qawmit tabiul mur-salina, ittabiu man laa yas`a, qala yaa qawmit tab-ul mur-saliina itabiu, man la yas-al kum ajran wahum muh-tadun. Wafuateni ambao hawakuombeni hawakutakeni malipo na wao wameongoka. Wakamuuliza uko pamoja nao? 13.

25 a Naam, wakamtupia mawe mpaka akafa alipokufa pale pale akatiwa peponi: Jannatul barzakh. Akasema: Qi-lad khulil jannat wakasema ingia peponi: Qaa-la yaa layta qaumi yaalamu-na, Layti ingelikuwa watu wangu wamejua Bima-ghafarali Rabbi, hayo aliyonighufirilia kwayo Rabbu wangu: Wa jaalani minal mukramina, Barzakh, kabla hata kwenda kiyama. Na wengine barzakh wanataabika kama Firauni na watu wake. Anna r yu-radhuni alyha, moto unakabilishwa juu yao, asubuhi na jioni, Udhuwani wa-shiya-wa yauma takum-sa-ati, na siku kiama kitaposimama, Adhkhilu, na tieni A-la firauna watu wa firauni Ashadu al adha-b, adhabu kali kabisa. Hii wapi: Saba-khan wa masa-an dhuduwan-washiyan, barzakh ukipita kwenye makaburi unawaona basi salama kuna watu wako kwenye taabu kubwa kuna wengine wapo kwenye raha kubwa inategemea mtu ametengeneza nini huko lakini nyie mmeazimia mtangulize kheri, mmsema kuwa ni watu wa Twariqa tena Twariqa-til qa- diria, Sayyidna Abdul qadir Jailan qad-dasa Llahu sirahul aziz. Haimkiniki mtokewa na lisilokuwa ndilo azma mtahisi kuwa hili mnalofanya silo. Yaa Rabbi niokoe uniongoe narejea kwako mimi mwenyewe nimeshindwa. Yaa Sayyid wa ustadh Abdul Qadir Jailan, niombee kwa hiyo tumo katika kheri maadam tunakamatana na watu hawa na tunataka nyendo zao muhimu ni Suluh kujaribu kujitengeneza uwe na tabia nzuri hata ukionekana unajulikana. Fi buyutin katika majumba adhinal lahu katoa rukhusa Mwenyezi Mungu An tur-fa atukuzwe misikitini pahali pa kutukuzwa si pa watu kujisemea tu maneno hivi hivi ya kidunia Al hadith fil masjidi yakulul hasanati kama taakulun nara-l-hatwab. Ina kula mema kama moto unavyokula kuni msikiti inakutukuzwa kwa Yuth kara fi-hasmuhu, na jina lake litwaje msikitini kudhikiri watu, kudhikiri Qur an inasema Wayuth kara fi-hasmuhu yusabihu lahu fiha wamsabih Mwenyezi Mungu ndani ya majumba hayo, fil-ghuduwwl-wal-a-swalu, asubuhi na jioni Rija lun wanaume wa kweli wanaofaa kuitwa Rija-l si -nini, si ghasia tu Urijali ni kuweza kupigana na nafsi yako ukawa umo ndani ya kupigana ili mwishoni uwe mtu unaekwenda mwendo mwema. Hata mtu mmoja anawataja watu wakubwa anasema: Humurrija-lu, wao hao ndio Rija-l, aibu kusema kwa mtu asiyesifika na sifa zao yeye ni 14.

26 Rajul. Kafir awe rajulun, mujirim awe rajul itakuwaje? Rijal wanashughulika na Mungu Waikamu swalati na kusimamisha sala, Yakha-funa yauman wanaogopa siku Tataqala bafi-hil qulu-bi wal absa, zitageuka ndani yake nyoyo na maoni: liaj-zia humul-lahu kula nafsin ma-amelat, Mungu apate kulipa kila nafsi kilichochuma kila nafsi italipwa kilichochumwa: Faman yaa mal mithqala dharatin khayran yarahu, mwenye kufanya uzito wa chembe ndogo ya kheri utaiona, mwenye kufanya uzito tembe ndogo ya shari, Yaraa -ataiyona Innama yaamalukum. Mwenyezi Mungu anasema katika Hadithil Quds: Hakika si vengine ni vitendo vile wenyewe, sihalukum nakudhibitini - faman wajada hayra fal yah midulaha, mwenye kupata kheri na amshukuru Mwenyezi Mungu, Waman wajada khayri dhalika alla yalum ila nafsi, Mwenyewe kutaka kisichokuwa kheri usilaumu nafsi yake amaa luku, kila mtu atapewa cheo chake - Iqraa kita-bak - soma chuo chako, soma daftari lako, Kafaka binafsika adyaum alyka hasiba, utajitosha leo wewe kujifanyia hisabu- huna haja hata ufanziwe hesabu na mwenginewe. Minahtada-fa innama yahtadi linafsihi, mwenye kuongoka akiwa sehemu nyenginewe na akaongoka kwa sababu ya nafsi yake waman dhaa-lla fa-innama yadhilu alyha, mwenye kupotea anapotea juu ya nafsi yake Mwenyewe Walaa taziru wa-ziratu habebi mwenye kubeba wazra ukhra mzigo wa mtu mwengineo kila mmoja atakuwa na yake lakini ameamrisha tukionyana na tukikumbushana na tukisaidiana katika kheri hayo ndo watu wa ki-twariqa waloyatambua wakisema: ee! tushughulike na kupendana, tushughulike kuita watu waje wawe pamoja na sisi, tushughulike na tabia nzuri akhlaq nzuri nzuri na hapo ndo wanapojulikana sasa kwa mnavyowaona maneno yaliosema yanatosha ilobaki ni kuhitimisha maneno haya kwa kusema kuwa udugu huu una kheri kubwa ni wa kutusaidia duniani na akhera na tumekamatana na watu wanene wanene, watu wenye cheo, tusiwapake matope-wala kama utoyosema ikiwa wewe si Malaika umetokewa na jambo lakini staajabu ikiwa unaazimia unataka kuishi kishetani nafsi ikutawalie kwa ujanja wa kunyang anya kwa kufatia maasi kwa lazim. Fwatia kheri kuwa pamoja na watu wema Ya ayyuhal dhina a-manut taqul la, mcheni Mungu kunu maasi Swalikin muwe pamoja na wa kweli na katika wakubwa kabisa katika wakweli hao ni Sayyidna Abdul qadir Jailan. Wafaqana lahu lima yuhibu wa yardha. 15.

27 MASWALI: Al Akh Nusra: Sayyid tulikuwa na mushkil juu ya walimu na mashekh wako wa kwanza walokusomesha. Jawabu: Nilipelekwa chuoni kwa Sayyid Shekhe baba ake Sayyid Hassan Shekh na alikuwa bibi msomeshaji mkubwa huko ni mwana Aisha, wakimwita Mwana Ashati, nikisoma Qur an huko halafu baada ya kuhitimu nikawa nasomesha huko huko chuoni. Mwisho nikaenda kwa chuo cha Sayyied Abdul Fattah bin Ahmad ndugu yake Sayyid Abal Hassan nikawa nasomesha huko na huko nilikuwa na wasaa mwingi kwa sababu niliachiwa chuo jioni yote ningekuwa nayo mimi nikiendesha. Wakati huo huo kila baina Magharib na Ishaa ninakwenda msikitini, nilimuogopa sana Shariff Aboud, wa pili Sayyid Abdul Fattah alikuwa mkali. Siku moja sikwenda Msikitini akanambia: Baada ya leo ikiwa hukuja msikitini utaona. Tangu siku hiyo mpaka leo ikifika Magharib na Ishaa hutafuta pahali penye Msikiti niingie kwa woga nilioupata kwa hiyo nilikwenda akanianzisha Babu baada ya Babu nikasoma Safina halafu Risala halafu Taali-mul mutaalim, Durarul bahia, Riadhal badia, Muqadimatu hadhramiya, Rubul ibada, Ghaya. Nilipofika kwenye Babu swalatu mayyit, intakal ila rahmati Lah na sikwenda kusoma kwa yeyote siku ambazo nnasoma huko illa kwa Sayyied Abal Hassan nikisoma na Nahau siku alizokuwako Unguja, kenda Pemba siku nyingi. Ikawa nakwenda kidogo kidogo sana kama natambaa lakini Taalimul-mutaallim inasema usifanye ghasia kubadilisha badilisha walimu kwa hivyo nimekaa vile vile ikiwa wale walimu wanakutosheleza bila shaka lakini Mwalimu unamuona si mwalimu wakutosheleza kwa kukuongoza ukitaka kwenda kwa mwengine akwambie aa unaambiwa huna rukhsa, rukhsa, mtu hupata mwalimu wa kweli. Halafu darasa akaichukuwa Sayyid Abal Hassan tukasoma Umdatus salik Msikitini kwa Shariff Abudu Msikiti wa Vikokotoni pale yote yanapita hapo. Kulikuwa Msikiti Vikokotoni pale tukisoma Umdatu salik hivo hivyo tukawa tunasoma kidogo kidogo sana mara anasafiri anakwenda Pemba akachume Karafuu, afanye basi hivyo hivyo, kidogo kidogo. Tukaja tukaanza na shereh ya Ghaya baada tulipomaliza Umdati salik ikawa wakati huo ikawa nakwenda Darasani kwa Sayyid bin Jafar. Ikawa nasoma kidogo kidogo bila ya darasa Mimi mwenyewe tu kama Bidaayatul hidayat katika vitabu nakumbuka nilisoma. Bidayatul hidaya nilisoma na kitabu cha Mashairi Fiqhi Zubad na darasani kwake kila asubuhi kila nikiwa sendi Skuli hapa skuli au nilipokuwa nipo 16.

28 nasomesha Bait-rass nikenda Darasani kwake. Kwa hivyo nikapata faida katika vitabu vingi hasa Minhaj, Fat hul muin. Nikapata fursa humo humo baadae nikaenda kwa Sheikh Muhsin wakisoma Tafsiri, kwa Sheikh Muhsin bin Ally Barwan halafu nikamlazimu Sheikh Suleiman bin Mohammad bin Alawy vitu vingi nikasoma kwake funun za ala nimesoma kwake Nahau, Balagha, nimesoma Joharil Maknun nikasoma Woghudil Juman-an na venginevyo, Sira, Mantiq, Sheikh Suleiman. Hiyo Mantiq nimeianza kwa Sheikh Muhsin bin Ally Barwan nadhani hawo ndio walimu wangu wakubwa. Na London nimesoma kwa Doctor Aly Hassan Abdul Qadir alikuwa analipwa Schools of Orients of African Studies. Akinisomesha Fiqhi na Usu-lfiqhi na Hadith hivyo hivyo kidogo kidogo haba na haba hujaza kibaba. Pia tukikutana na watu nimepata faida katika mikutano mingi kabisa Duniani nilohudhuria ya Kiislamu na nimetembea nikifika katika nchi yoyote, nnajaribu kukutana na wana zuoni kwa hivo faida zinakuja kidogo kidogo. Kaja Sayyed Abdurahman bin Ubeydilah, Muft wa Hadharamut Al Alla-matu Jalil Imam, kaja Unguja ikifuata katika Hutuba zake hata kaniathiri sana katika kutoa, khususa kutoa khofu ndo hivo hivo. Wal hikmat dha -l-latil-muumin aynama wajadaha akhadhaha (Hikma ni kitu cha muumini kilichopotea, anapokikuta popote pale anachukua). Hata wazungu nimepata faida kwao katika mambo ya Dini mambo ya Uislamu. Tawhid, Fas-h-ilmul kala-m, fiqh, Tarekh. London huko Oxford Falsafa nadhani hiyo ndio jawabu la swala lako. Lakini mtu niliyepata faida kwa kukaa nae sana katika mazungumzo ni Sayyed Al Imam Al Habbib Umar Bin Sayyed Ahmad Bin Sayyed Abubakar bin Summeit. Swali la Pili: Nini juu ya maisha ya kiroho (Spritual life) vipi hasa muundo wake, vipi ukaaji wake, kutokana nafsi tangu kiasili kama vile wanavyoitakidi wataalamu wa Genesis? Jawabu: Hilo linataka mkutano wake peke yake haisemeki kidogo Swali la tatu: Nini hukumu ya Sheria katika nchi zenye mchanganyiko wa dini, na nini hukmu yake wakati zisipotumika kutokana na utawala usiofuata Qur-an?. Jawabu: Basi utafanya nini na wewe umetawaliwa utafuata kadiri unavyoweza. 17.

29 Swali la nne: Ungetufafanulia vipi kuhusu Twarika (kinjia ya) Dhwahir na batwin, na nini hukumu ya mwenye kupinga kufaa kwake (katika Uislamu kwa Jumla)? Jawabu: Hiyo peke yake sio mambo madogo ukisema kidogo utapoteza watu Swali la tano: Ungetufafanulia vipi kuhusu swala la Mahaba kwa jumla na kuna tafauti gani kati yake na Ishq na Ishtiyaq na Wudd. Jawabu: Hilo ndo kabisa halisemeki haiwi kabisa, hayasemeki Swali la sita: Nini ufananuzi wa hizi nafsi saba (1) Al ammarat (2) Al lawama (3) Al Mulhima (4) Al Mutmaina (5) Al Radhiya (6) Al Mardhia (7)Al Kamila? Jawabu: Wama-ubarriu nafsi-inna nafsa ha ammaratu bi sui.. Hilo kadhalika nilijaribu karibu karibuni nimeanza kushika Msikiti Jibril Al khamis baada ya kusomwa Ratibul Attas, tukiwapo Unguja. Siku moja nimesoma Nafsil ammara na sikumaliza kwa hivyo itachukua muda hata mtu azimalize nafsi hizo. Na ni maneno yenye faida sana kwa watu namna kwa namna hata wasiokuwa Waislamu. Nakumbuka nilikwenda Makerere niliitwa kutoa khutba moja juu yake sijui niliita nini lakini nilipita njia hiyo walikuwa Amerikans nani na nani. Wakastaajabu sana. Nilikuwa safari moja. Nilikuwa Malay siku zile ilikuwa Maley kabla haijaja Malaysia. Nikenda pahala nikachukuliwa pahala nikenda nikatoa khutuba nikaalikwa nikaambiwa Jumaatano wanakusanyika watu wa Dini namna kwa namna, na kila wiki anatoa mmoja katika mtu wa dini moja wapo (na siku ile ilikuwa zamu ya dini ya mkiristo) lakini kwa wewe tulivyokusikia leo unasema tutakupa fursa wewe useme. Nilikuwa katika nyumba ya Ambasidor baada ya kutoa khutba yule Ambasidor akaniambia: Ahsante sana, Today for the first time I have Understood may religion anasema leo kwa mara ya mwanzo nimeifahamu dini yangu mwenyewe lakini nilikuwa hata sifahamu, lakini leo ndio kwanza nimefahamu kupitia njia hizi- Al Ammara, Lawama, Mulhima, Mutmaina, Radhia, Mardhia, kamila. Jazaka llahu kheir. Mara nyingi nimepita njia hiyo kila pahala. Kidogo pana migeuzo geuzo kidogo lakini ni msingi mkubwa wa spiritualism. Spritual Development. Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha. 18.

30 MUHADHARA WA AL HABIB SEYYID UMAR BIN ABDALLAH (MWINYI BARAKA) 10/8/1987(1407HR) KINONDONI DAR-ES-SALAAM 19.

31 UTAMJUAJE MTU KAMA YEYE NI WALII? Wakam taj-ali-ma-l taj-de ni De-nak-kafa-mini Isya-ni-kha-fi-futu-nak. Hii katika Witria mwenye wenye Witria watu wawili wala si mmoja aliyefanya tatu ongeza ziwe tano kusema: Ee nafsi tubia, ulipe kumpa Mwenyezi Mungu deni yake, kuna mangapi ambayo yamekulazim ya Mwenyezi anakudai kaa ufikiri nini unadaiwa upate kulipa mara ngapi ngapi ulikuwa ukijifanya mjinga kana kwamba hujui deni yake maasi ya kutosha ogopa fitina za maasi, Kafa-ki minal is-yani kha-fifutu-nahu. Halakti ya Fitri kasha Shafii liannahu, umeangamia kimbilia kwenda kwa muombezi kwa sababu yeye Maladhun-bihi Tarfale uwswati Rajaha, ndo mategeye maasi wanapotarajia kuokoka kwao yaani mtume SAW na wangapi sasa hivi wanakimbilia huko Madina ili waende wakamkabili Mtume waseme: walaw ann ahum idh dhalama anfusahum ja-k-ka ingekuwa hizo wanapodhulumu nafsi zao wanakujilia, Fastagh jahullah taghfara lahumur Rasul, na ujumbe wa Mwenyezi Mungu akawatakia Maghfira wangalifanya hivo Lawajadu-i-laha taw-waban Rahima wangemkuta Mwenyezi Mungu ni mwenye kupokea toba zao mara kwa mara Mwenyezi Mungu hurehemu sana hurehemu sana ingekuwa akidhulumu nafsi zao na wanakujia wewe na wanakuja kwako. Aya dhahir Sha-hir hiyo, tumeambiwa kuwa watu waende kwa Mtume SAW akamtake Maghfira Mwenyezi Mungu na watu wa kisasa hukwambia: Aa kwa nini uwende kwa mtu kwani mwenyewe Mungu si yupo karibu. Idha saalaka Ibadi Anni Fa inni qariibu uji-buddaawata- dai idhaa daani: Mimi, wakikuuliza waja wangu na miye mimi niko karibu, niko karibu ule ukaribu wa unasikia unayosema ule ambao unabidi mtu. muite mtu mbali. SAW ni umbali wa kuasi na umbali wa kusikilizana na Mwenyezi Mungu na kupendwa na Mwenyezi Mungu hata akipendwaje Mtume SAW yuko karibu na yeye zaidi kuliko wewe, walopata ni wale walopata Mabwana wakubwa tu kama mmemuona Sayyidna Abdulqadir Jaillan katajwa hapa, Sheikh Uweso na wengineo ukaribu kukaribia kwao ni kwa sababu ya Wasta wa Rasul SAW. Hapana anayefikia kwa Mwenyezi Mungu mwenyewe kwa mwenyewe shart afike kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu Rasulullah SAW. Kitu hicho muhimu sana. Mtukuze kila unayemtukuza, mpende, mpeleke mbele lakini usimtoe Mtume SAW ukasema yeye mwenyewe anatosha. Yeye mwenyewe hatokubali kabisa. Mwenyewe kutaka kwenda kwa Mwenyezi Mungu, 20.

32 Man Ara-da-d dukhu-l fil-lahi, Min ba-bin swahu- Jaza uhul Iqsa- u. Mwenye kutaka kuingia kwa Mwenyezi Mungu akipita mlango usokuwa yeye Mtume SAW malipo yao ndipo, malipo yao ni kutengwa mbali tu, basi, na hapana anayejua Mwenyezi Mungu akawa anataka isiyokuwa hivyo lazima anataka hivyo hivyo Mtume SAW ndie: Al wa-statil udhma. Alafu wasta wamejaa wakupeleka kwa Mtume SAW na ni Masheikh Warathat walomrithi Nawwa-bu man-ibu wake ni kua-laa yasilu wa silun ula ila hadhaharitihil ma-nia-wala yah tadi ha- irun bi-anwar-rihi la mia. Allahumma Al haqna Binasahihi-l-wahiid, wa haq-qna Binasabihis Subu-hi-d, na A-rafna iyya-hu maari fihi lish arabiha mah-ya-wa nasi-ru biha maj na-hu, wa nasi-ru Biha maj nah u kama yuhibbuhu wa yar dha-hu. Twarika imeekewa Nafsi mtu kutengeneza Nafsi akaijua Nafsi yake iko wapi anafanya vipi na kumpata Sheikh kamil Al murabbil ka-mil. Sheikh Al Murshid il ka-mil, amma moja kwa moja kuungana na aloungana na aloungana na yeye atokuongoza kikweli kweli na Mwenyezi Mungu akijua kama kweli wewe unataka anakupa. Nafsi hii Ha man Dharani Da-i-Nafsi- kwenye kumdhuru Inanita Tuk-thiru Asqami wa Uja-I unafanya wingi magojwa yangu na wingi maumivu yangu maana unapigana nayo kila nikipigana inanivuta inaingia kwenye ambayo usio yaonea bara-bara Famal Tiyali Min Aduwwi- nini ila yangu na adui yangu Idha kanal Aduwwi- ikiwa aduwi mwenyewe baynal Dhil ari, baina ya mbavu- Fama ihhil ya-li minaduwwi idha ka-na L-aduwwi baina dhila i-ala ya Nafsi way- hak kar jawa ni wote wamepiga kelele na Nafsi Mabwana wakubwa wakubwa Nafsi Nafsi. Yaa way halu nafsi Ridha wa bihi an ansabili sawiya. Ee najionea huruma Nafsi yangu iliyopotoka nikaacha njia iliyonyooka Arhatu lahu jaalibainauchezea wakaslu hal Jaha wal Ma-I, makusudio yake ni cheo na mali lakini inapanda haikai pale pale na wakati mwengine hupanda na kuteremka lakini ina pahala pake mahsusi stesheni yake maqamu hupanda mtu mpaka akafika maqam ikawa pale ndio pahala pake ikiteremka inarejea pale ikipanda inarejea pale maqam- Makamatul nafsi wanaita assaba mwenye katika watu waloandika vizuri habari hizi Ad-dar dir Ad dar dir mwenyewe katika mateka wakubwa wa Twarika katika maqam Sab-I za (nafsi) hata Twariqa nyenginezo wanachukuwa maneno yao wanachukuwa maneno 21.

33 wa twariqa hii kuwaeleza watu Mungu anawapa hususia watu anaowataka hawa na hawa na hawa, kullan naamuddu wote tunawapa kwa kuwaongezea Hau-lai wa ha- ulai Min Atai yaa abbika, hawa na hawa katika vipawa vya Rabbu wako, wa ma ka-na atai rabbuka Mhdhura, vipawa vya Bwana wako havikuwa venye kuzuiliwa yeyote yule kwa hivo hio kusema Nafsi daraja zake Inshaallah itakuja fursa siku moja wapo. 22.

34 MASWALI: Swali (1) Al Akh. Sabri: Nafsi inakaa katika Roho au Moyo? Jawabu: Ndo wewe Nafsi, Nafsi ndo wewe. Swali (2) Al Akh. Sabri: Nataka kuelewa makaazi yeke ni wapi? Jawabu: Haina makaazi ndo wewe. Si wewe umeazimia kuja hapa leo? Basi wewe ndio Nafsi, haina pahala mahsusi na Roho ndo Nafsi yenyewe lakini inapokwenda juu sana ikatakasika ikasafika ikatulizana inaitwa Roho. Na Roho ina maana hicho kinachotupa uhai. Ina maana kadha wa kadha. Ukitafuta Roho katika mwili huiyoni na Moyo kazi yake nyengine. na Moyo wanautumia Sufia kwa maana mbili tatu. Moyo huu kama wakinga kinga na wa mwengineo na Bin Adam wake anayo hiyo hiyo- Saalal lahul afwal-afya-kuna na Moyo wanautumia hiyo Nafsi inapogeuka ikinyanyuka hali fulani wanaita Qalbi lakini hayo ndio hayo nnochotaka kuja kusema: Nafsi ndio wewe. Swali (3) Al Akh Marjebi: Nauliza kwamba hii nafsi inapobadilika kutoka katika Nafsil Ammaral, Nafsi Lawamma Nafsil Mulhima inakuwa ile Nafsi yenyewe au mwili unabadilika? Jawabu: Ni Nafsi. Mwili haubadiliki kitu mwili unakuwa controlled na zile Nafsi ikiwa Al Ammara, unayoipeleka katika mchezo ikiwa Lawwama unaipeleka huko mwili hauna kazi mwili na kama dubwana la mutukari lile basi ukipeleka speed kubwa ikipeleka ndogo ukipeleka huku unafaata basi unategemea uko katika hali gani. Swali (4)Al Akh Abdul Samad: Na kila Nafsi kutoka katika ile ya mwanzo mpaka hiyo ya mwisho kuna nyuradi maalumu ambazo unaweza ukafanya ziweze kubadilika? Jawabu: Naam, ukipata mlezi kama hapana walezi unapochukuwa kidogo unatoka katika hali moja katika hali ya pili iliyobaki ni kukithiri nyuradi unazopewa za Twariqa zinafanya sababu hata unageuka kutoka kwenye hali moja na kwenda kwenye hali nyengine mwanzo mwanzo hapana kama kuleta Lailaha-illaa Llahu mara nyingi kila ukiweza, njiani wapi wapi La ilaha illa Llahu ndio dawa ya watu kama sisi wenye Nafsir Ammarat bi sui mpaka atakapokwenda mbele. 23.

35 Swali (5) Al Akh Abdul Samad: Nafsi saba zile utazijuaje kama sasa hivi ni Al ammarat au lawamma? Jawabu: Ukiwa na Sheikh na atakwambia au atakuonyesha au ukizijua zile alama zake utaweza kutambua ukiona una 1 Ammaratu ulimwengu na maasi na mukhalafat hukumbuki Mungu, hiyo ni kuwa umo katika Nafsi Ammarat ndo hayo nataka kusema kila moja ukaitazama ile hali yake ulivyo ukiwa unazifahamu kwa makosa yaliyo kutokea ukafanya sio ukazilaumu kuwa miye nimefanya yasiyohitajia sio nivohitajia basi unajijua uko katika Lawamma na ile Nafsi ina majina inakuwa inapoitwa Nafsi mwanzo inaitwa Nafsi ikigeuka inaweza ikaitwa Aql ikigeuka ikaitwa Qalb ikageuka ikaitwa Ruhu kama Ruhu ni Nafsi Mutmaina itaitwa Ruhu mpaka mwisho ndio unajihisi upo katika ulimwengu mwengine siku zote Alamul mulk, Alamul malakut, Alamul naku-t kwa hivyo haya yote ndio tunayosoma kuyahisi mtu atakayotambua ni mambo ya Mwenyezi Mungu unataka kuja-ahad wa jahid-tusha-hid fanya mujahada utashuhudia uta experience hayo hayo unayoyajua pigana na Nafsi yako utayapata na mengi utayajua na hayo ndio yanayotafutwa hayo kina Talabul Uluwwi, kutafuta ukubwa kutafuta ufasadi wewe mwenyewe unasema unatengeneza kumbe umo katika ufisidifu, unataka kugombanisha watu na kutaabisha watu na hivi. Haya tabu- mtu kuyatambua mwenyewe Hasadi, kibri, ujub, wa hana mtu na kujisahau kujihasabu kuwa hapana kama yeye na ndo maana walabuddi min Sheykhen Tasilu Bi sayrihi illa lah Hapana budi ile ipate Sheikh Minal ula-maila-mili-n fain kan tajid fasribu khayru matiyyatin. Ikiwa hukupata tafuta mwenzako tu mtasaidiana basi lakini Sheikh wakukuongoza inataka mtu mwenyewe kafika ukipata mwezako nyote mnatamani mtasaidiana mtapata katika Barzakh huko huko duniani atakutizameni muendelee mbele. Swali (6) Al Akh Abdul Samad: Mtu anaweza kuingia katika daira ya Uwalii bila ya kupitia katika Twariqa? Jawabu: Bila shaka si kwa unavyoamini wewe si namna hii tunavofahamu sie kuwa umo katika chama fulani Qadiria, Shaadhiliya, Nakhshabandiya hii sio Twariqa, hii ni vyama ili kufuata njia zilizowekwa baada ya sharia ukapigana na Nafsi ufuate zaidi ya ndani unaswali, unafunga, umeepukana na maasi ya mwili hivi sasa unapigana na Nafsi katika Nafsi upate Zuhdi upate Hubal Mahabba upate nini, Hiyo ndio Twariqa kwa hivyo utopokuwa unafanya hayo na Mungu 24.

36 akakukubaliya ya kufanya hayo kwa njia yoyote pita Ittaliq ila Llah aliil walf-tih al ghala-iq. Ila namna moja wanavyokusudia tena nyengine anaweza kuwa mtu hata hayo hafanyi lakini Mungu akamtunukia tu akamgeuza mara moja yakamkuta hayo yote. Swali (7) Al Akh. Marjeb: Wako Masufi ambao si Waislamu? Jawabu: Aaa, jina halikubali Sufi ni jina la Kiislamu sasa itakuaje nae Sufi asiwe Muislamu anaweza na kuwa kwa kiingereza akaitwa Mistic halafu tena mwenyewe anataka kujiita kwa lugha ya Kiislamu atajiita Sufi na Duniani ndo watu wengi wanajiita namna hiyo kuwa wao ni Masufi na nini na sio Waislamu lakini neno la Kiislamu Sharti mtu awe Muislamu ndio awe Sufi neno la Kiislamu linakusudia Mahsusi: Safa wa Sufi wa Sufiya ndio Sufi. Swali (8) Al Akh Marjeb: Neno la sufi limepatikana kwa maana ipi? Jawabu: Kwa maana ya kusafisha moyo: Minas safawa na ziko shauri nyenginezo zinatolewa tolewa kuwa maana hivi namna hivi na hivi au kama hao Ahli Sufaa walo kuweko Madina. Swali (9) Al Akh Abdul Samad: Utamjuaje kama mtu ye ni Walii? Jawabu: Huna, huna. Husnudh-dhan tu basi. Namna nzuri hapana cha kukujuulisha hawezi kumjua mtu mwengine hawezi kumjua Waliii maadamu ni muumini basi anafanya dhana nzuri kuwa anayo siri basi na yake na Mwenyezi Mungu ambaye anaweza akiitwa: Wilaya Uwalii utapata wapi unaambiwa wakiwa watu sabaa wakichanganyika Waislamu saba mmoja Walii, uko Msikiti mmoja Shibam huko alitokea babu yake Al Habib Umar anasema katika Salatil Assir wanasali Mawalii sabiini yuko mtu mmoja akatizama, akatizama hao ni dalili wako wapi watu hawa Mawalii. Siku moja akasema nitawahesabu kwa kiasi nnoweza mimi, akachukuwa Tasbii yake akasimama mlangoni, akapita mtu ambaye anamuona yu kaelekea labda ana kilemba kikubwa labda ana hivi na hivi akavuta Tasbii moja akapita mtu hivi hivi wala hadhanii kabisa akasema Huyu siye yule akamuambia vuta moja hapo! Vuta moja huwezi kujua mambo ya moyoni siri baina ya Insan wa Rabbu, husnu dhani tu basi. Swali (10) Abdul Samad: Hawa Mawalii wanatafautiana kwa 25.

37 vyeo kama alivyokuwa Sayyidna Abdul Qadir Mikh-daa? Jawabu: Wako waliofika huko, wako wasiofika, wako walofika wako wasofika bila shaka Lahum Dara-ja-tun-indal Lah. Swali (11) Al Akh Abdul Samad: Cheo cha Mikda Sayyidna Abdul Qadir katunukiwa na nani? Jawabu: Kajitahidi kafanya mujahada kapigana na Nafsi kaenda kazunguka katika majangwa miaka na miaka na miaka kaivunja Nafsi yake kaivunja kabisa hata hamna kitu. Hivyo ndio njia ya kupatia Uwalii, kuivunja Nafsi hata katika alama ya kuwa kaivunja Nafsi yake kabisa aliazimia kufunga miaka 15 mfululizo. Siku ya mwisho ya kufunga miaka kumi na tano karibu na magharibi akamuona mtu - Rehmal Lahu man shariba ha-dhal ma-l. Mwenyezi Mungu amrehemu mtu atakaekunywa maji haya Sayyidna Abdul Qadir akasema Nini funga yangu ya miaka 15 mbele ya dua ya mtu huyu. Na hajapata kukutana nae lakini Nafsi yake ilivunjika Tawa-dhui isokuwa na kiasi Mungu akamnyanyua cheo kikubwa. Seyyidna Ahmad Rifa-i katika yalomnyanyua sana kulikuwa na mbwa mgonjwa na Seyyidna Ahmad Rifai bado madhehebu yake ni Shafii na Mbwa ni najisi Mughalladha kwa Shafii akamchukuwa akaenda nje ya mji akamkogesha akampa dawa na nini mpaka akapona Mwenyezi Mungu akapendezewa nae khasir Nufus. Swali (12) Akh. Abdul Samad: Katika ubeti wa Manaqib wa Seyyidna Abdul Qadir: Wakulu Walii lahu Qadami waana Qadami Nabii badiri tamami. Jawabu: Haya baada ya kwisha huko juu. Swali (13) Akh. Abdul Samad; Basi amemkanyaga vipi Mtume SAW kwenye Unyayo? Jawabu: Walii, Walii, hakusema Nabii. Qadami ala raqbatil kuli Walii. Lakini wanasema Mawalii wengi kuwa hii sio iliomtafautisha Sayyidna Abdul Qadir na Mawalii wengine alikuwa juu sana kuliko hapa wako Mawalii wengine wanapata Daraja hiyo hata wanawake hii ni daraja tu Maqama basi Sayyidna Abdul Qadir yuko wapi na Mambo yalomtafautisha na Mawaliii wengine. Swali (14) Akh. Abdul Samad: Ni sahihi katika kisa cha miraji 26.

38 wakati Buraq alipopiga mapepe Sayyidna Abdul Qadir Roho yake ilifika pale na Bwana Mtume SAW akakanyaga na kumpanda Buraq? Jawabu: Tunakubali tunakubali lakini huwezi kusema ni hadith sahihi na Mtume Mohammad SAW kaitaja hapana anaweza kusema hadithi hiyo kuwa Qala SAW ingekuwa ndio hio ingekuwa Waislamu wote duniani wanalikubali, lakini pahali pake Sayyidna Abdul Qadir (QSA) Sharti mtafautishe haya mambo baina ya watu wenyewe na yanakubaliwa na Waislamu wote na hadith sahihi ni nini, iko wapi, ukisema namna hiyo utabanwa lakini pahali pake na zaidi kuliko hivyo na wala hapana wa kulinganisha baina ya Mawalii, huyu daraja ndogo huyu daraja kubwa kuna unaowajuwa na usowajuwa wanajulikana na wasojulikana na wasojulikana ni wengi kuliko wanojulikana, na Mwenyezi Mungu anawaficha Mawalii wake ila kama anataka wafanya kazi waadhi hivi wawasaidie watu kabisa. Ni kisa kinene nakitoa lazima nipate kuwaambieni anahadithia Mwenyewe Sayyidna Abdul Qadir Jailani (QSA) yule mwanamke aliemkuta anahiji na ana mguu mmoja tu akamwambia: Wewe namna gani mguu wa pili uko wapi? Akamwambia: Nimemuachia mtoto kalala, kaulalia, nikaona sina haja ya kumtaabisha kumuamsha nimeuacha nimejitoa Akamwambia: Wewe Walii mkubwa namna hii na sikukuona. Akamwambia: Utawaona kiasi chako, walokuzidi utawaona wapi? Anahadithia mwenyewe Sayyidna Abdul Qadir lakini nilivyoitaqidi mimi na nnavoeleza mimi kuwa hapo ni mwanzo wa daraja zake, kabla hajafika juu kabisa. Huwezi kujua haya kuhusu kitu, na nani Walii Mkubwa nani mdogo na nini. Wee kamatana na unotaka na unotaka kukamatana nae au ulomjia au ulolelewa au ulomjua au ulolelewa kumjua au ulokaa au alokukaa moyoni mwako mkamate vizuri Alaa inna Awli yaa Llah laa Khaufun alayhim wala hum yahzanun. Hakumtaja fulani wala fulani wala fulani wala Auliya Qadiriya wala Shadhiliya wala Nakshabandiya wala Qistiya Auliya Allah laa khaufun alay him wala hum yahzanun. Lahum bushra fi hayatil Duniya hapa na kinachomzuia mtu na Wilaya Ila Llah ni Nafsi, basi Nafsi yake mtu ina matata sana Moyo wake na katika dua kubwa ni kusema Qad istaa takribb ala-muda wa-tiqalb wahalauqdat qalb- fandhur ila Rabbi yan jaqad - instan Tal. Mwenyezi Mungu akusaidiye bila Mwenyewe huwezi kufanya kitu. Swali (15) Al Akh. Marjebi: Mtu katika kuitakasa Nafsi yake kama atashindwa bado ana machafu ambayo kila akijitahidi kutaka kuyawacha? 27.

39 Jawabu: Anaendelea anaendelea unaweza ukaendelea mpaka mwisho wa Umri wako ndio ukapata wengine kabla kidogo ya kufa? Swali (16) Al Akh. Marjebi: Anaweza akaongoka mtu yule kwa kuombewa duwa na mtu mwengine? Jawabu: Wengi wanapata kwa njia hii kuombewa duwa wengine kwa kutazamwa na tangu hapo mtu hangoji hayo rehema ya Mwenyezi Mungu na dhari ya Mtume SAW dua ya Mawalii taaluq yake na Mawalii na ndugu zake Waislamu itamsogeza. Swali (17) Al Akh. Abdul Samad: Twariqa yetu tunaambiwa Sheikh Uweys bin Ahmad amekaa Riyadha katika kaburi la Sayyidna Abdul Qadir sasa hapa kuna? Jawabu: Si sharti, kuna Sheikh mmoja Seyyid Saleh Twarika yake ni Ahmadiya kakaa miaka saba mbele ya Sayyid Hussein Basry, bila El Jafry ana Qasida zake.. Qaw mul Jaf-ry lakini sio Sharti wengine hata hawajapata kuwa labda Walii wa nchi yao tu. Habib Saleh hakwenda pahala kafika top. Nafsi Nafsi Nafsi lakini nani anataka Uwalii? Na mtu anataka awajue Mawalii na nani anataka kujua? Watu wanataka waambiwe kuwa wanajua ukitaka haswa. Swali (18) Syd. Hashim: Tunataka ufananuzi kuhusu matibabu ambayo yako ndani ya Dini na ambayo nje ya Dini manaake mfano kama kutizamia basi au kadhalika. Jawabu: Utatizama yanayokatazwa na Uislamu. Mabaya na yasokatazwa. Swali (19) Syd Hashim: Moja wapo ya yanayokatazwa? Jawabu: Sijui watu wanafanya nini katika mambo watu wanayoyafanya yakawa yanakatazwa Kurekebisha Swali na: Sheikh Ahmad: Labda alitaka kudharifia kwamba kama ilivyo katika Qur an: Wa nunanzila minal Qur an ma huwa shifaa-un wa rahma tun lil Muuminin Ambapo wengine badala ya kwenda Hospitali wafate njia ya kujitibu kwa Qur an Jawabu: Mtume kasema Tadawu fainna min kulli dai dawai Hospitali kaiyumba Mwenyezi Mungu yaani Tadawu-fainna li kulli dai-dawai. Wafaqana Llahu lima yuhibu wa yardha. 28.

40 URITHI KUTOKA KWA MWANACHUONI MKUBWA DUNIANI AL HABBIB SAYYID UMAR BIN SYD ABDALLAH BIN SYD AHMAD AL-SHEIKH ABIBAKAR BIN SALIM (MWINYI BARAKA) KWA MAJALIS - EL ULLA - EL QADIRIYYA. DAR-ES-SALAM TANZANIA 1985 (1405HR) 29.

41 Mwinyi anaijazi Majaalis ulaa El Qa diriya: BISMILAHI RAHMANI RAHIM: Alhamdulilahil ladhi iyatabi ilayhi man yashau. Kila sifa njema inamstahikia Mwenyezi Mungu ambaye huchagua kumsogeza kwake anayemtaka. Imechukuliwa kwenye aya inayosema: Allahu Yajitabi ilayhi man yashau. Na tunatarajia Insha Allah tutakuwa katika hao aliowachagua, maana anatuakifisha tunakusanyika tunamtaja tunamsalia Mtume wake tunawataja vipenzi vyake Mawalii wake na Mtume SAW anasema: Wa inda dhikris swa-li-hin tanzilur Rahma. Wakati wa kuwataja watu wema rehma inateremka Wayazidu fil khalaq maa ya shaa. Na anazidisha katika khalq anachokitaka. Was Swalatu was salamu ala-man law la-hu lahda-ma. Ingekua si yeye Ladamat fi ghay-bihil ash-ya-u. vitu vingedumu katika kutokuonekana - kutokuwepo. Lakini kwa sababu yake yeye- Mwenyezi Mungu kaviumba. Wa ala-a -lihi wa swahbihi wat-ta - biina biihsa-nin ilaa yawmidi nin. Amma baad, Ameniomba kijana Said Umar Barut An akuna Wasila niwe wasila, yaani kati, Baynahu baina yake na Baynal Mutaqaddimina baina ya walio tangulia Minas Swalihina katika watendaji wema. Faraghbtu fi an aamala dhalika nikapendezewa kufanya hayo Rajaan an yuthbit niya Allah kwa taraji kua Mwenyezi Mungu atanithibitisha Fi-di-wa-nil-a-rifina katika diwani ya wenye kumjua Mwenyezi Mungu Wa-an antadhima niwe nimetungika Fi-Silsilat katika mkufu Al ula-maail a-mili ina wanazuoni wenye kutumia Ilmu zao- Fa aqulu, ninasema Qad-ajaztu ha-dha sha-ab nimempa Ijaza kijana huyu Aw-wal an mwanzo Fi Twariqatil Qadiriyya kama aja-zani kama walonipa Ijaza Ghayruwa-hidin Isokuwa mmoja Minal kibari katika wakubwa Khulafai Makhalifa Hadhi hit-twariqati wa Twariqa hii Bi furuiha kwa matawi yake Twariqal Qadiriyya ina matawi mengi sana. 30.

42 Na nimekutana na wengi katika Makhalifa wakubwa na haya nadhani nikiwa nitamtaja mtu katika ntowataja mmoja ni Sayyid Twahir Ala-ud-din huyu ndo Swahib Sajada wa Baghadad pahali kwa Sayyidna Abdul Qadir Jailan sasa hivi kahamia Pakistani kwa sababu ya ghasia hizi za Iraq na nimekutana nae, nimekwenda Baghadadi nikataka mtu ambaye ndo mwenyewe hasa anipe Ijaza, nikaambiwa mwenyewe hayupo hapa yupo Pakistani. Nikafikiri lini nitakwenda pande hizo hata nikutane nae. Mpaka safari moja nimetoka America nikaja Australia nikenda Jawa Singapore Maley nikaja Srilanka Colombo. Aroplane nikaambiwa imechelewa muda saa wa thelathini. Nikaona uchungu sana nitakaa nnafanyaje hapa nami nina haraka, ee!! Kupita njia hii ya mbali mimi nimetoka kwenye conference Preston University America kupita njia ya mbali nimekwiba, tena nikawiye hapa! Mara nikaja kuambiwa kuwa yuko kafika mkubwa kabisa wa Twariqat Qadiriya, yaani ndio Khalifa Mkubwa wa Baghdad Sayyid Twahir Alawidin, nikenda kuonana nae tangu hapo tukajuana yakapita yalopita. Fakana Makana mimmalastu adhkuru fadhulna khayran-wala-tas-al-an il khabar. Napo nikaonana nae Madina mwanzo kanitambua yeye kanijia Sayyied Umar na mtu anapendeza, ana haiba tukaenda tukawa Mina pamoja, Arafa pamoja, hata alikuwa hakubali mtu kutusalisha walikuwa Masriyyin wengi katika Tent lao akisema: Hapana mtu atakae tusalisha ila khalifati Allama Sayyid Umar Huyu Sayyid Alawidini halafu nikenda huko huko Kweta nikenda kumtizama huko huko wakati mwengine nakutana naewapi Mina, hata nikamchukua tukenda kwa Al habbib Umar na kila akiniona ananiuliza: Al habbib Umar yule ni Walii Mkubwa yule hajambo? Na hivi na wapili wake Ibn Ami yake Sayyidna Abdul Qadir Keylani alikuwa yeye ni Ambesidor wa Iraq Parkistan miaka mingi nimekwenda mara mbili tatu Karachi nikitamani nimuone simkuti safari moja nimekwenda nikamkuta Al hamdu Lillahi tukazoeana sana na baadaye nilipomkuta haijapita wiki mbili Intaqala ila rahmatul Llah maana vile vile kaniandikia Ijaza ya Ukhalifa na akanionyesha watu wake na 31.

43 nilipokuweko hapo hapana mtu alosalisha isipokuwa mimi. Basi kwa hivyo wengi hawa Makhalifa wa Twariqal Qadiriya, furui kadha wa kadha nimekutana nao. Furui zipo nyingi za Twariqatil Qadiriya na katika hao ni Sayyid Ashekh Muhammed el fa-tih- ndo alotupenda sana Sudan, wala si mtu mzee sana. Allah yamunnu alayhi bil a- fiya. Wao silsila yao Branch yao ni As-sammaa-ni na huyo As-sammaa-ni alikuweko Ijaz babu yake ndo alochukuwa huko na Baba yake akaja akawa Khalifa Walii Mkubwa halafu akaja akachukua yeye. Nikakutana na mwengine Khano khalafu ndo nimekuja nikajua kuwa yeye kachukuwa Twariqa kwa huyo Bwana Muhammed El Fatah khalafu kenda Baghdad kenda kukamilisha. Vile vile nimekutana na Khano mtu wa ajabu, mtu wa ajabu mwana chuoni mlezi ana watu kadha wa kadha anawalea na anavitabu katunga na hivi natawadhui kubwa nilipokwenda kumtizama kakataa kukaa juu ya kiti nikamwambia basi na mie sikai nikamwambia basi kama hukai nitamwambia mtoto akalete kiti: Mtoto lete kiti, kumbe halafu kamuashiria kua usilete kenda kakaa chini Ah! Mie nangojea kiti hapa mpaka tumeondoka kiti hakijaja. Tukaja tukakutana na Muridi wengi wengine watu wa Biashara wakubwa watu wa nini watu namna kwa namna. Siku moja nimekutana nae katika Baytullahil Hara-m, hata akanambia kuwa kenda Baghdadi kaambiwa kule Baghdadi kua Kaja Umar Abdallah hapa na Mashekhe wetu wa huku kama Sayyid Abal Hassan na wengineo na nimekutana nao Pakistani, Siria, Masri, Maghrib wapi, wapi wamejaa Masheikhe wa Al Qadiriya ndo maana nikasema: Aja-zani ghayra wa-hidin fi Twariqatil Qadiriyya Wa awwal man ad-khalani fi ha-dhihi da-ira mwanzo alonitia ndani ya daira hii, Huwa Seyyid Swa-fis sarira- ndani ya Roho yake ni safi Alladhi kana lahu an twawri Nafsihi mayyil. Hamili upande wa Nafsi, Abdul Fat-tah bin Ahmad Jamali Leyl huyu ndugu yake mkubwa Sayyid Abal Hassan Mkubwa wake ndo mwanzo tangu udogoni alinichukuwa tunakwenda kwenye daira 32.

44 Kwenye Dhikri TAGHAMMADAHULLAH BI RAHMATIHI- Imekwisha. THA-NIAN-AJZTUHU- Nimempa Ijaza tena AJAZTUHU BIT-TAMASSUKI kukamatana BIAWRADIS SA- DATIL ALAWIYYA- La siyyama MA-FIL MASLAKIL QARI-B yaliyomo katika Maslakil Qari-b yaani mambo ambayo yamepokewa yote yanini kwa Mtume yamepokewa kwa watu wakubwa Kina Ahzabi Sayyidna Abdul Hassan Shadhili QSA. Na hizbu za Mashekhe walotangulia mwisho utakuta mengine ya Mtume SAW kama katika hizbun Nasri inasomwa baada ya Al Isha imo ndani ya maslahil Qarib ya Sheikh Abal Hassan Shadhilii NABTWAATI GHARATIL ARHAMI WA BTAADAT ANNA, FA AQRABU SHAY-IN GHA-RATULLAH YAA GHARATALLAHI HUSNIS SERA MAS NA-ATAN FIL HAAL UQDATAN ALA GHARALLAH Ndani yake kuna maneno ya Sheikh Abdul Qadir Jailan katumia Mjukuu wake Sayyid Abal Hassan Shadhili sababu kwa jaha SILSILA Sayyid na Abal Hassan Sadhil ni Mjukuu wa Sayyidna Abdul Qadir. Kuna watu wawili katika njia mbili tatu anafika kwa Sayyidna Abdul Qadir Jailan moja kwa njia ya Sayyidna Abuu Madiyan na kwa njia nyengine kwa Mohammed bin Saleh basi hasa yaliyomo ndani ya maslakil Qarib WARATIBUL ATTAS WA RATIBUL HAD-DAD na Ratibu attas na Ratibul hadadi. Na namuusia na nafsi yangu kumcha Mungu na kupigana na nafsi yake hata awe kijana aliyekulia katika ibada ya Mwenyezi Mungu. HATTA YAKUNA SHA-B-BAN NASHA-A FI IBA-DATIL LAH FAYAKU-NA FI- SAB-TIL LADHI-NA Atakuwa katika wale saba ambao YUDHILLUHUMU LLAHU- atawafunika Mwenyezi Mungu YAUMUL QIYAMATI TAHTA DHILLIHI-atawatia chini ya kivuli chake YAWMA LA- DHILLA ILLA DHILLUHU-siku ambayo hapana kivuli ila chake yeye. Hii hadithi ya Mtume. Watu saba Mungu atawafunika chini ya kivuli siku ya kiama. Juwa wanasema litakuwa kiasi cha maili moja au kiasi cha maili ya kupakia wanja. Basi watu saba watakuwa wanafunikwa chini ya kivuli cha Arshi na mmoja kati ya hawo waliotajwa ni huyu SHA-BUN kijana NASHA-A kakulia FI IBA-DATIL LAH katika ibada ya mwenyezi 33.

45 Mungu, kama mlivyo nyinyi mko katika ibada ya Mwenyezi Mungu mkiendelea namna hii mpaka utuuzimani basi mshaingia. Mwenginewe RAJULUN- na mtu kaitwa na mwanamke mwenye cheo mzuri akasema, Laa stak INNI AKHA-FULLAH Mi-na muogopa Mwenyezi Mungu watu wa kisasa, nini, atamwambia E! si kataka mwenyewe? Itakutia motoni na kutaka mwenyewe. Na mwengine mtu katoa sadaka kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto hauna habari Yaani kaificha kaifanya kwa Lilah. Na mtu mwengine kamkumbuka Mwenyezi Mungu na yupo peke yake machozi yakamwagika FA-FA-DHAT AYNA-HU na watu wawili walopendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wakakutana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wanafarikiana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Ni kama sisi. Siye hapa tunapendana kwa ajili ya nini? si kwa chochote si kwa ujamaa si kwa kupeana, si kwa chochote, mali si kwa chochote, kwa sababu ya Mwenyezi Mungu basi, Inshaalah Mwenyezi Mungu atatudumisha namna hii tutaingia njia nyengine za kupita kuingia katika watu saba hao basi na yeye na akulie katika ibada apate kuingia. WA HA-DHIHIL IJA-ZA-, na ijaza hii LAHU- ni yake yeye WALJAMII AHLIZ ZA WIYAL QA-DIRIYA-na wote watu wa zawia QADIRIA FI DAR-ES-SALAAM - SI YAKE PEKE YAKE. WA HUSSUHUM na ninawahimiza wote ALAA AN YASHTAGHILU washughulikie BIMAARIFATIL HALA-L WAL HARAM kujua nini halali nini haramu. WA AN YUDA-WIMU wadumisha ALA SWALAWATI juu ya swala BIAWAQATIHA kwa nyakati zake. WA BIDHA-LIKA na kwa kufanya hivyo SAYANJU-N-wataokoka MIN SHARRIN NAFS na shari ya nafsi WA A- FA- TIHA na maafa ya nafsi WA KULLU WA- HIDIN MINHUM na kila mmoja katika wao LAHU AN YANQULA yamuelea katika kunakili na kukopi HA-DHIHIL IJAZA Ijaza hii WAYATWARHA ISMUHU na atie jina lake badala ya jina la Said Umar Barut-LIAN-AHUM KULLUHUM SUADAI-wote ni masaidi wa kila mmoja ni Saidi, ni kama kikuku LIANNAHUM na wao, 34.

46 KAL HILQAT- MUFARRAGHA LAA YUDRA AYNA TWURAFAHA-kama kikuku hukijui mwanzo wapi mwisho wapi kila pahali ni kama pa mwenzake basi na wao hawa watu wa twariqa ni namna hiyo. Na kusoma fanyeni kitu kimoja someni kidogo kidogo sana vitabu mnovosoma someni kidogo kidogo sana mistake kusoma vingi, vitu vichache vichache kila siku. Na hata kama mtarejea mara mbili mara tatu mpaka kila mtu afahamu vile, na kila siku afadhali kila mnovofanya hata mkisoma vitabu lakini mtu ajitahidi ajue yaliyomo ndani ya Safina au Babu au Risala ha hasa vitabu vitatu hivyo Risalat, Babu, Safina viwe barbar arejee rejee mpaka viwe bara bara awe anaweza kusomesha mtu. Hivyo ndio muhimu sana kuliko kusoma vitabu vikubwa hapo ndio utajua nini halali nin haramu nini Mubah nini namna ya ibada zake, namna unavyohitajiwa kufanya. WALLAHU YAD-U ILA-DA-RIS SALAAM WA YAHDI ALAN YASHA-U ILA SWIRATIHIL MUSTAQIM. ALLAHUMMA HAYYINA HAYA-ITS SUADA-I WA AMITNA MAWATIS SUADA-I FIL LUTFI WA A-FIYA MIN GHAYRI FITNATIN WALA MTI-HA-N, BI-JA-HI SAYYIDI WALIL AD-NA-N ALAYHI AFDHALUS SWALA-T MINAL MAWLAL MAN-NA-N KATABAHUL MUSTAMID UMAR BIN ABDALLAH BIN SHEIKH AHMED AL-SHEIKH ABU-BAKKAR BIN SALIM. (MWINYI BARAKA) WAFFAQANAL LAHU LIMA YUHIBBU WA YARDHA. WA MIN KULLI MA-NASHKU YA RABI A-FINA YA RABI BIL MUS-TWAFA BALLIGH MAQA SWIDANA WA GH-FIR LAN MA-MADHA YA-WA-SIAL KARAMI YA- AWWALIL AWWALI-NA YA- A-KHIRIL A-KHARINA YA- DHAL QUWWATIL MATIN-N YA- ARHAMUL MASA-KIN YA ARHAMA RAHIMIN YA SALAM SALIMNA WAL MUSLIMIN 35

47 Ijaza. 36.

48 Ijaza 36.

49 Al Habib Seyyid umar Bin Abdallah. (Mwinyi Baraka) 37.

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

YA AL HABBIB SAYYEID

YA AL HABBIB SAYYEID YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

Zanzibar itafutika-mwanasheria

Zanzibar itafutika-mwanasheria Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

In the name of Allah, Most Gracious, Most Merciful --- Ayat-ul-Kursi: ---

In the name of Allah, Most Gracious, Most Merciful --- Ayat-ul-Kursi: --- In the name of Allah, Most Gracious, Most Merciful --- Ayat-ul-Kursi: --- Transliteration: BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIM Allāhu Lā 'Ilāha 'Illā Huwa Al-Ĥayyu Al-Qayyūm Lā Ta'khudhuhu Sinatun Wa Lā Nawmun

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

Lesson 1 Islamic Expressions

Lesson 1 Islamic Expressions AKHLAQ (Ethics) Book 3 Lesson 1 Islamic Expressions Learn the following phrases and when to use them: Al-Hamdu Lilāh To thank Allāh, when we finish our food and when we sneeze. Yarhamuk Allāh Whenever

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

Ya GharataLlah. Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of the 23 rd of March,

Ya GharataLlah. Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of the 23 rd of March, Ya GharataLlah Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of the 23 rd of March, 2013. Audhu Billah min as-shaytan ar-rajim. BismiLlahi r-rahmani r-rahim La Hawla wa La Quwwata illa BiLlahi

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

Egypt: What s Next? 1. Shaykh Muhammad Nazim Al-Haqqani An-NaqshibAndi, Sohbat of the 4th of July, 2013.

Egypt: What s Next?  1. Shaykh Muhammad Nazim Al-Haqqani An-NaqshibAndi, Sohbat of the 4th of July, 2013. Egypt: What s Next? Shaykh Muhammad Nazim Al-Haqqani An-NaqshibAndi, Sohbat of the 4th of July, 2013. As-Salamu alaikum O hadirun, O yaran Shah Mardan. May our day be good, our end be good. May our work

More information

IMAMIA SUNDAY SCHOOL. Name: Class: Teacher: WORKBOOK: 1 AGES: 5 Yrs

IMAMIA SUNDAY SCHOOL. Name: Class: Teacher: WORKBOOK: 1 AGES: 5 Yrs IMAMIA SUNDAY SCHOOL Name: Class: Teacher: WORKBOOK: 1 AGES: 5 Yrs Student Workbook 1 - Aqāid Lesson 1 The Kalima Read the 1 st Line of the Kalima as you colour. الل ه اال ال ا ل ه Lā ilāha ilallāh There

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell) Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update

More information

MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI

MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI MANIFESTATION OF COMMON MAN LANGUAGE IN EPIC POEMS: A CASE STUDY OF UTENDI WA SIRI LI ASRARI 1 Mohamed Karama, 2 Rocha Chimerah, 3 Kineene wa Mutiso 1 Department of Kiswahili, Pwani University 2 Department

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

Grade 2. What was Muhammad s ( ) Father s name? Abdullah ibn Abdul Mutalib. Amina bint Wahb Who is the first Messenger sent to mankind?

Grade 2. What was Muhammad s ( ) Father s name? Abdullah ibn Abdul Mutalib. Amina bint Wahb Who is the first Messenger sent to mankind? Grade 2 What was Muhammad s ( ) Father s name? Abdullah ibn Abdul Mutalib What was Muhammad s ( Amina bint Wahb ) mother s name? Who is the first Messenger sent to mankind? (عليه السالم) Prophet Nuh Which

More information

Silsilae Naqshbandia Mujadadia Alayeia -

Silsilae Naqshbandia Mujadadia Alayeia - Silsilae Naqshbandia Mujadadia Alayeia - How to join in Tasawwuf Qalbi Zikr Activation "Has the time not yet come for the believers to perform the Zikr of Allah from the heart?" Quran (Surah 57: Verse

More information

Quranic treasures hidden in Salwat: Prayer for blessings on the Holy Prophet (s.a.s.) and his progeny (Holy Quran 33:56)

Quranic treasures hidden in Salwat: Prayer for blessings on the Holy Prophet (s.a.s.) and his progeny (Holy Quran 33:56) Quranic treasures hidden in Salwat: Prayer for blessings on the Holy Prophet (s.a.s.) and his progeny (Holy Quran 33:56) The following verse of the Holy Qur'an 1 commands Muslims to recite prayers in which

More information

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship? A is for Africa: Celebrating the A in A.M.E. Zion What is the A in A.M.E. Zion? 1 Where is Africa? 2 What is African heritage? 3 What is the African heritage in the Bible? 6 What are African ways of worship?

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

Understanding the Faydah Tijaniyyah - Part 2

Understanding the Faydah Tijaniyyah - Part 2 Understanding the Faydah Tijaniyyah - Part 2 By Imam Fakhruddin Owaisi al-madani al-tijani The Grand Faydah al-kubra is One but Small faydahs may come out of it: It has been suggested that there might

More information

MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar

MASHAIRI YA WAADHI VERSES OF ADMONITION: the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar AAP 42 (1995). 138-157 MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar MUKH!ASARI [SUMMARY] Aliyetunga kasiga hii, Sheikh Abgallah al-husni,

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,

More information

Lesson 1 The 12 Imáms & 14 Ma sumeen

Lesson 1 The 12 Imáms & 14 Ma sumeen TARIKH (History) Book 2 Lesson 1 The 12 Imáms & 14 Ma sumeen Allāh sent 124,000 messengers to teach us what is good and what is bad so that we can do what will make Allāh happy with us and we can go to

More information

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,

More information

Table of Contents Unit One - Islam Is My Deen Unit Two Unit Three

Table of Contents Unit One - Islam Is My Deen Unit Two Unit Three Table of Contents Unit One - Islam Is My Deen Lesson 1 : This is my Deen Lesson 2 : The 5 Pillars Of Islam Lesson 3 : This is my Quran Lesson 4 : Surah Al-Qadr Lesson 5 : The Qiblah Lesson 6 : Reading

More information

The Key To Paradise. Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of the 21 st of January,

The Key To Paradise. Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of the 21 st of January, The Key To Paradise Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of the 21 st of January, 2013. As-Salamu Alaikum. We woke up with goodness and we reach the evening with goodness insha Allah.

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

Lesson 1 Saláh. In Book 1 we learnt the following postures of Salāh: Takbirat al-ihrām, qiyām, qunút, rukú, sajdah and julús.

Lesson 1 Saláh. In Book 1 we learnt the following postures of Salāh: Takbirat al-ihrām, qiyām, qunút, rukú, sajdah and julús. Fiqh (Laws) Book 2 Lesson 1 Saláh In Book 1 we learnt the following postures of Salāh: Takbirat al-ihrām, qiyām, qunút, rukú, sajdah and julús. Now we must learn to do all this together and in the right

More information

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU, HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA

More information

Al-Aqidah Al-Tahawiyyah [Sharh Al-Maydani] Introduction, Part Three Monday 7pm 9pm. Course link:

Al-Aqidah Al-Tahawiyyah [Sharh Al-Maydani] Introduction, Part Three Monday 7pm 9pm. Course link: Al-Aqidah Al-Tahawiyyah [Sharh Al-Maydani] Introduction, Part Three. 16-9-2013 Monday 7pm 9pm Course link: http://www.anymeeting.com/islamiccourses1 The Text [Al-Matn] All praise is due to Allah, the Lord

More information

UPON RETURN FROM A JOURNEY: WHEN FACED BY HARDSHIP:

UPON RETURN FROM A JOURNEY: WHEN FACED BY HARDSHIP: M-24 UPON RETURN FROM A JOURNEY: Repeat the previous duaa and add to it: We are returners, repentants, worshippers, and thankful to our Lord. Ayiboona, ta eboona, aabidoona, lirabbina hamidoona. WHEN FACED

More information

The Means Of Approaching Allah (swt)

The Means Of Approaching Allah (swt) The Means Of Approaching Allah (swt) Shaykh Mohammad Nazim Al-Haqqani An-Naqshibendi, Sohbat of 31 st of January 2010. Dastur Ya Sayyidi madad, madad Ya Rijal Allah La Ilaha illa Allah La Ilaha illa Allah

More information

SurrenderWorks! ELEMENTS OF WORSHIP INTRODUCTION

SurrenderWorks! ELEMENTS OF WORSHIP INTRODUCTION ELEMENTS OF WORSHIP INTRODUCTION THE FOUR LAYERS The worship form has a core, a meat and a shell, and the core has a core, which is the prostration (called "sujud"). It is the ultimate point of essence

More information

Invoking Spiritual and Luminous Bounties from the Root Word Rabb (*R B B) Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement

Invoking Spiritual and Luminous Bounties from the Root Word Rabb (*R B B) Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement Invoking Spiritual and Luminous Bounties from the Root Word Rabb (*R B B) Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement (PDF version of Enlightenment Post No. 15) Researched and Compiled

More information

Do You Know? Quiz, Questions & Answers

Do You Know? Quiz, Questions & Answers Do You Know? Quiz, Questions & Answers One step at a time Do You Know? Quiz, Questions & Answers 1. What is the meaning of Hadi-i zaman? 2. What are the two (2) means of guidance for the people after

More information

Was al-isrā wa al-mi rāj a bodily or spiritual journey?

Was al-isrā wa al-mi rāj a bodily or spiritual journey? Was al-isrā wa al-mi rāj a bodily or spiritual journey? The scholars of Islam classic and modern have long disputed the exact nature of the Prophet s journey to Jerusalem and the Heavens. Specifically,

More information

Test Bank for Understanding Islam: An Introduction (C. T. R. Hewer) Prepared by Robert O. Smith

Test Bank for Understanding Islam: An Introduction (C. T. R. Hewer) Prepared by Robert O. Smith Test Bank for Understanding Islam: An Introduction (C. T. R. Hewer) Prepared by Robert O. Smith Chapter 1: The Wider Picture: Creation from a Muslim Perspective 1. Allah 2. zakat 3. Muslim 4. Hadith 5.

More information

Lesson 1 How to Perform Wudu

Lesson 1 How to Perform Wudu Fiqh (Laws) Book 3 Lesson 1 How to Perform Wudu Before we can pray salāh, we must perform wudu. Wudu is also an act of worship ( ibadah) like salāh. So we begin with making an intention (niyyah) and then

More information

Cultural Considerations Tanzania Excursion

Cultural Considerations Tanzania Excursion Cultural Considerations Tanzania Excursion The Roots of Change Cultural Considerations Table of Contents Tanzania Cultural Considerations... 3 Swahili Language Key Phrases... 4 Tribes of Tanzania... 5

More information