Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

Size: px
Start display at page:

Download "Ahadi za Serikali II. Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007"

Transcription

1 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

2 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

3 Ahadi za Serikali II Zimekusanywa na HakiElimu Agosti 2007

4 Shukrani Ahadi hizi zilikusanywa kwanza na Grace Frederick na Lilyan Omary, chini ya usimamizi wa Nyanda Shuli. Muhutasari wake uliandikwa na Aika Kirei na Moses Kulaba. Ruth Carlitz na Rakesh Rajani walitoa msaada wa kiuhariri. Picha ya kwenye jalada ilipigwa na Mwanzo Milinga huko Bagamoyo kwa ajili ya HakiElimu. Taarifa zote zimetolewa katika Magazeti ya Tanzania, ambayo mchango wake katika kutoa taarifa huru ni wa muhimu sana kwetu sote. HakiElimu, 2007 S.L.P 79401, Tanzania Simu: (255 22) /3, Faksi: (255 22) ISBN X Sehemu yoyote ya kijitabu hiki inaweza kunukuliwa kwa madhumuni ya kielimu au mengine yasiyo ya kibiashara kwa sharti kwamba utambulisho wa chanzo utaoneshwa na nakala mbili za chapisho hilo lenye nukuu zinatolewa kwa HakiElimu.

5 Utangulizi Serikali ya awamu ya Nne imekuwa madarakani kwa takribani miaka minne sasa. Katika kipindi hiki, Serikali hii imekuwa ikijitambulisha kuwa ni Serikali ya Ari Mpya na Nguvu Mpya. Kauli mbiu yake imekuwa ni Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Je, Serikali inatimiza ahadi zake? Je kuna matokeo yoyote katika utendaji wake? Katika jamii yoyote ya kidemokrasia, utendaji wa viongozi unapaswa kuwa ukifuatiliwa na raia. Katika ufuatiliaji huu, sifa zinapaswa kutolewa pale inapostahili na maelezo zaidi kudaiwa pale ahadi zinapokuwa hazitekelezwi kama inavyotakiwa. Kwa kuzingatia mambo hayo, Hakielimu imekuwa ikifuatilia ahadi mbalimbali za serikali kama ambavyo zimekuwa zikiripotiwa katika vyombo vya habari. Mkusanyo huu wa ahadi, ambao ni wa pili wa aina yake, una ahadi na maelekezo yaliyotolewa katika kipindi cha Januari - Juni Mada zilizomo humu ni pamoja na zile zinazohusiana na maisha bora, utawala na uwajibikaji na sekta nyingine kuu kama elimu, maji, kilimo na umeme. Chapisho la ahadi lililotangulia lilikuwa na ahadi zilizotolewa na Raisi na viongozi wengine wa ngazi za juu wa serikali kati ya mwezi Mei na Septemba Taarifa zote zimechukuliwa katika magazeti, na yote yameoneshwa kwa ajili ya rejea. 1 Kama ilivyokuwa kwa chapisho la kwanza la ahadi za serikali, chapisho hili halikusudiwi kuwa na ufafanuzi wa kina sana. Badala yake linatoa maelezo ya jumla kuhusu ahadi za serikali. Kwa taarifa za kina tunakushauri kutembelea tovuti ya serikali kupitia anuani hii au wasiliana na Kurugenzi ya Habari Ikulu na maafisa habari katika wizara husika. Chapisho hili linaonesha ahadi zilizotolewa, lakini halitoi taarifa ya utekelezaji wake. Jukumu hilo umeachiwa wewe msomaji. Mkusanyo huu unaweza kutumiwa kama chombo cha kupimia utendaji wa serikali na utekelezaji wa ahadi zake. Tunakuhamasisha kulitumia chapisho hili, kulitoa kwa namna nyingine yoyote, kulisambaza kwa watumiaji wengine, kufuatilia maendeleo ya utekelezaji wa yale yaliyomo, kujadili na kututumia mrejesho. Serikali inawahitaji wananchi kuisaidia kufanya kazi zake. Timiza wajibu wako! 1 Upitiaji wa taarifa za kwenye magazeti umefanyika kwa umakini mkubwa. Hata hivyo, HakiElimu haitawajibika kwa makosa yaliyo katika vyanzo vya taarifa au katika uchapaji.

6 MAAGIZO NA AHADI ZILIZOTOLEWA NA RAISI NA VIONGOZI WENGINE WA NGAZI ZA JUU SERIKALINI (KUANZIA JANUARI-JUNI 2007) KIONGOZI AHADI/MAAGIZO Waziri Mkuu Edward Lowassa Dar es Salaam 30 Desemba 2006 Mkuu wa Wilaya ya Singida, Parseko Kone Iramba, Singida 12 Januari 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta 27 Januari 2007 Raisi Jakaya Kikwete Ikulu, Dar es Salaam. 1 Februari 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza 1 Februari 2007 Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Seriakli za Mitaa, Celina Kombani, Dodoma 8 Februari 2007 Elimu (walimu): Akiongea katika uchangiaji wa ujenzi wa mabweni katika shule ya Sekondari Irkisongo, Monduli, Waziri Mkuu alitangaza kwamba serikali itatekeleza programu maalumu ya kuwaandaa walimu wa kutosha ili kwenda sambamba na ongezeko la shule za sekondari. Nukuu: "Kwa wakati huu, wakati kamisheni ikiendelea na majukumu yake, serikali itachukua hatua za muhimu katika kuboresha mishahara, kwa kuwazingatia zaidi Polisi." Elimu (shule za sekondari): Akihutubia Mkutano maalumu wa Madiwani wa Wilaya ya Iramba, Mkuu wa Wilaya Bw. Kone aliwaagiza Wakuu wote wa Shule za Sekondari wilayani humo kutowasimamisha masomo wanafunzi wasio na uwezo wa kulipa ada ama michango mingine ya shule, badala yake wawaruhusu wanafunzi hao kuendelea na masomo wakati shule zikitafuta namna ya kuwachukulia hatua za kisheria wazazi wa wanafunzi hao. Elimu (walimu): Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alitangaza kwamba Serikali imeanza kutekeleza mpango wa miaka miwili wa kuwaandaa walimu wa sekondari, mpango utakaogharimu Shilingi Bilioni 6.2. Waziri alisema kuwa serikali itawaajiri walimu 3,124 watakapo hitimu mwezi Februari Pia serikali itaajiri Walimu 450 wenye shahada na wastaafu 250 wataajiriwa kwa mkataba. Alitangaza pia kuwa shule mpya 667 za sekondari zitajengwa nchini kote katika kipindi cha mwaka huu. Utawala: Raisi Kikwete aliwahakikishia wananchi katika hotuba yake ya kila mwezi kuwa iwapo serikali itagundua kuwa ilinunua Rada ya kijeshi kwa gharama kubwa kupita inavyotakiwa, basi itafungua madai ya kutaka kurudishiwa kiasi kilichozidishwa. Elimu (miundombinu ya shule): Naibu Waziri alisema kuwa Serikali itaikarabati shule ya sekondari Mpwapwa Mkoani Dodoma kwa gharama ya shilingi Milioni 250. Kati ya hizo, shilingi milioni 100 zitatumika katika mwaka wa fedha 2006/2007. Alisema wizara itafanya ukarabati huo katika awamu mbili. Elimu (walimu): Naibu Waziri alilieleza Bunge kuwa Serikali itaanzisha vituo vya malipo katika maeneo yote yasiyofikiwa na huduma za benki kwa ushirikiano na benki ya NMB (National Microfinance Bank) ili kupunguza mda na gharama zinazotumiwa na walimu katika maeneo hayo kwa ajili ya kufuata mishahara yao na kuhakikisha kwamba walimu wote nchi nzima wanalipwa mishahara kwa wakati mmoja. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, Bungeni, Dodoma 8 Februari 2007 Elimu (walimu): Waziri Sitta alitangaza kuwa walimu wote wapya watalipwa mishahara yao katika kipindi cha miezi miwili baada ya kuripoti katika vituo vyao vya kazi. Alieleza zaidi kuwa iwapo mishahara hiyo itachelewa, walimu wakuu katika shule husika watatakiwa kuwapatia walimu hao posho ya kujikimu wakati wakiendelea kusubiria mishahara yao. Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh. Ludovick Mwananzila pia alisema kwamba jumla ya walimu 541 watapangiwa kazi Mkoa Kigoma ambapo kati yao 346 watakuwa ni wa shule ya msingi na 195 ni wa Sekondari. Mwandishi wa THISDAY / THISDAY, 2 Januari 2007, uk 3 Hilary Shoo/Majira, 16 Januari 2007, uk 20 Emmanuel Chacha/The Guardian 30 Januari 2007, uk 3 Mwandishi wa THISDAY/ THISDAY, 2 Februari 2007, uk 4 The African, 2 Februari 2007, uk 7 Mwandishi wa THISDAY / THISDAY, 8 Februari 2007, uk 4 Mwandishi/The African 9 Februari 2007, uk 7 1

7 Ufundi, Mwantumu Mahiza Bungeni, Dodoma 8 Februari 2007 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, Bungeni, Dodoma 8 Februari 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta Dodoma 8 Februari 2007 Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Bungeni, 12 Februari Februari 2007 Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mathias Chikawe, Musoma, 20 Februari 2007 Elimu (shule za sekondari): Naibu Waziri aliahidi kuhakikisha kwamba kila shule ya sekondari nchini ina kliniki ndogo (ikiwa ni njia mbadala ya kiuchumi zaidi badalaya kuweka gari la wagonjwa kwenye kila shule) ili kuweza kutoa huduma za kiafya, hususan kwa wasichana. Utumishi wa Umma: Waziri alitangaza kwamba awamu ya pili ya marekebisho katika utumishi wa umma itaanza mwezi Julai 2007 na kwamba itagharimu shilingi 146 bilion. Kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu, Bw. George Yambesi, dhumuni kuu la awamu hii itakayochukua miaka mitano ni kuimarisha ufuatiliaji na ufanyaji taathmini, kupitia upya taasisi na utekelezaji wa Mkataba wa Huduma kwa Mteja, kuboresha majukumu ya wizara na wakala zake. Elimu (shule za sekondari, walimu): Waziri alisema kuwa 90% ya wanafunzi wote waliofaulu mtihani wa mwaka jana wa elimu ya msingi wataandikishwa katika shule za sekondari za serikali nchini kote mwaka huu, na hivyo kupita lengo la serikali la 75% kwa mwaka. Kati ya wanafunzi 467,997 waliofaulu mtihani huo mwaka jana, 421,368 kati yao watajiunga na shule za sekondari za serikali. Waziri pia alielezea mipango iliyopo ya kuwapata walimu sekondari 9,671 watakaohitajika katika kipindi hicho. Nukuu Maandalizi yote yamekamilika na inakadiriwa kuwa jumla ya shillingi 6,173,130,000 zitatengwa kwa ajili ya shughuli hiyo Elimu (ubora, uandikishwaji): Waziri Mkuu alisema kuwa serikali inakusudia kutoa rasilimali zaidi, jitihada na utaalamu katika kuinua kiwango cha elimu nchini Tanzania. Hili litafanyika ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Raisi Kikwete wakati wa Uchaguzi ya kuwaandikisha katika shule za sekondari wanafunzi wote wanaofaulu elimu ya msingi. Alisema kiwango cha uandikishaji kilipanda kutoka 4,382,410 mwaka 2000 hadi 7,959,884 mwaka 2006 na hii ni sawa na ongezeko la 48% katika kipindi cha miaka sita. Nukuu: Ni wazi kuwa kwa kasi hi, nchi yetu itafanikiwa kufikia utekelezaji wa lengo la Pili ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia (Millenium Development Goals), kabla ya muda uliowekwa wa mwaka 2015 Maendeleo ya Kiuchumi: Raisi aliahidi kuwapatia kipaumbele wawekezaji wa ndani. Raisi aliyasema hayo wakati akizungumza katika Kongamano la Wawekezaji wa Ndani. Alisema kuwa serikali imepiga hatua kubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kuwa changamoto kubwa kwa sasa ni juu ya namna ya kuifanya serikali kuwa na mwitikio wa kutosha kwa mahitaji ya sekta binafsi. Nukuu: Naahidi kutoa kipaumbele kwa Kongamano la Wawekezaji wa Ndani kama ambavyo ningefanya kwa Kongamano la Wawekezaji wa Kimataifa. Nimeamua kuanza na uwekezaji wa ndani kwa sababu ya msingi kuwa lolote tulifanyalo ni kwa ajili ya sura ya ndani ya Tanzania. Elimu (shule za sekondari): Serikali ilizitaka shule zote za sekondari za serikali wilayani Musoma kuwa na mabweni kwa ajili ya wanafunzi wa kike. Naibu Waziri alisema uamuzi huo ulitarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya wanafunzi kitaaluma. Waziri alikuwa katika ziara ya kukagua ujenzi wa shule za sekondari mkoani Mara. Mwandishi/Nipashe, 9 Februari 2007, uk 9 Mwandishi/Habari Leo 9 Februari 2007, uk 7 Lukas Lukumbo, The Citizen, 9 Februari 2007, uk 5 Majira, 13 Februari 2007, uk The African, 13 Februari 2007, uk 11 Mugini Jacob, Daily News, 20 Februari, 2007, uk 3 2

8 Waziri Mkuu, Edward Lowassa, 20 Februari 2007 Waziri wa Maendeleo ya Mifungo, Anthony Diallo, Shyinyanga, 22 Februari 2007 Ufundi, Ludovick Mwananzila, Songea, 23 Februari 2007 Naibu Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, Gaudensia Kabaka, Korogwe, 23 Februari 2007 Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Diodorus Kamala, Shinyanga, 25 Februari 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, Moshi, 25 Februari 2007 Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Morogoro, 26 Februari 2007 Katibu Mkuu, Wizara ya Maji, Christopher Sayi, 1 Machi 2007 Elimu (shule za sekondari): Waziri Mkuu ameagiza shule zote za sekondari zilizojengwa nje ya jiji la Dar es Salaam kuwa na mabweni ili kupunguza gharama za usafiri kwa wanafunzi wakati wa kwenda na kutoka shuleni. Waziri Mkuu alitoa agizo hilo kwenye mkutano na maafisa waandamizi wa serikali za mitaa wa mkoa wa Dar es Salaam. Elimu (shule za msingi): Waziri alisema serikali ilipanga kusambaza maziwa bure katika shule za msingi kwa ajili ya wanafunzi nchini kote. Alisema hili liko katika utekelezaji wa mkakati wa mda mrefu wa kutengeneza soko la ndani la bidhaa za mifugo ili kuongeza ajira. Nukuu: Mpango utatengeneza takribani ajira 400,000 nchini na pia utawahamasisha watu kujifunza mbinu za ukulima wa kisasa Elimu (walimu): Serikali ilipanga kujenga nyumba 10,000 kwa ajili ya walimu katika shule za sekondari za vijijini mkoani Ruvuma. Hii ilikuwa ni jitihada ya serikali ya kukabiliana na upungufu mkubwa wa nyumba za walimu mkoani humo. Serikali tayari imeshaanza majadiliano na wafadhili ili kuhakikisha kwamba mradi huu unakamilishwa. Elimu (miundombinu ya shule): Naibu waziri aliagiza kwamba watu wote waliovamia maeneo ya shule waondolewe. Waziri aliyasema hayo wakati anakagua shughuli za elimu na kuwahamasisha watu kujenga madarasa. Aidha, Waziri alishtuka kuona kuwa kuna watu walikuwa wamejenga katika maeneo yote ya shule pamoja na viwanja vya michezo. Nukuu: Ni nani aliyeanza kuja hapa, shule au watu? Elimu (shule za sekondari): Serikali ilipiga marufuku utaratibu wa kuwatoza wazazi na walezi wa wanafunzi wanaojiunga na shule za sekondari michango ya kununulia madawati. Naibu waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Diodorus Kamala alisema kitendo hiki ni kinyume na sera ya elimu ya serikali. Waziri alisema sera ya elimu inaagiza kuwa michango yote inayohusiana na maendeleo ya elimu itawahusisha wote. Nukuu: Haihalisiki kabisa kuwabebesha mzigo huu watu wachache kwa maana inaweza kuwa na madhara makubwa Elimu (fedha): Naibu waziri alisema kuwa tangu mwezi Februari 2007, tukio lolote la uchangishaji wa fedha litakalowataka wazazi kuchangia fedha za uendeshaji wa shule litahitaji kwanza kupata ridhaa ya Mkuu wa Mkoa. Waziri pia alipiga marufuku tabia ya kuwalazimisha wazazi kuchangia mara mbili au zaidi kwa ajili ya ujenzi wa shule. Maendeleo ya Kiuchumi: Serikali iliziagiza benki za CRDB na NMB kuharakaisha utaratibu wa kutoa mikopo kwa watu walioomba. Akihutubia mkutano wa hadhara Morogoro, Waziri Mkuu alisema serikali ilikuwa ina nia pia ya kuongeza kiwango cha fedha kwa ajili ya mikopo kwa wananchi. Nukuu: Kwanza tunataka benki za CRDB na NMB kukopesha fedha hizo kwa wanachi. Tungependa kuongeza kiasi cha mikopo inayotolewa kwa ajili ya wananchi lakini hiyo itategmea kasi ya utoaji wa mikopo kwa benki hizi Maji: Serikali iliahidi kutafuta fedha kwa ajili ya kutoa huduma ya maji safi kwa zaidi ya watu milioni 12 katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Ahadi hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Maji Bw. Christopher Sayi wakati wa kutia saini Hati ya Makubaliano kati ya serikali na washirika wa maendeleo. Alisema mradi huo ulitarajia kugharimu kiasi cha Dola za Marekani milioni 951, ambapo kati ya hizo mchango wa serikali ni ni Dola milioni 251. Mwandishi/Uhuru, 21 Februari 2007, uk 3 Mwandishi/The Guardian, 22 Februari 2007, uk 1 Emmanuel Msigwa/Majira, 24 Februari 2007, uk 8 Paskal Mbunga, /The Citizen, 24 Februari 2007, uk 3 Sam Bahari/The African, 26 Februari 2007, uk 5 Jackson Kimambo/Nipashe, 26 Februari 2007, uk 5 Bakari Mnkondo/ Uhuru, 28 Februari 2007, uk 5 Rosina John/The Citizen, 2 Machi 2007, uk 4 3

9 Naibu Waziri wa Maji, Shamsa Mwangunga, Arusha, 4 Machi Machi 2007 Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Prof. David Mwakyusa, Mbeya, 4 Machi 2007 Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, Dar es Salaam 8 Machi 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, 11 Machi 2007 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Mbatia, 11 Machi Machi 2007 Maji: Serikali iliahidi kutumia kiasi cha Tsh. 428 bilion kwa ajili ya kutekeleza mradi wa maji vijijini. Akiongea huko Arusha, Naibu Waziri wa Maji, Shamsa Mwangunga alisema utekelezaji wa mradi huo ni sehemu ya mkakati wa nchi wa kupiga vita umaskini na kukuza uchumi sambamba na dira ya maendeleo ya Elimu: Serikali haitakubali visingizio vyovyote kutoka katika wilaya zitakazoshindwa kujenga ngaa shule moja katika kila kata. Raisi aliyasema hayo wakati akizungumza katika warsha ya siku nne kwa wakuu wa wilaya na mikoa na akaongeza kuwa serikali inafuatilia maendeleo katika ujenzi wa shule hizo. Nukuu: Hatujasahau azimio letu la kujenga angalau shule moja katika kila kata Elimu (miundombinu ya shule): Waziri wa Afya na Mendeleo ya Jamii alisema jamii zinahitajika kuhakikisha kwamba shule mpya zilizojengwa zina maabara kwa ajili ya kuwezesha ufundishaji wa masomo ya sayansi. Alisema serikali kwa upande wake itahakikisha kwamba walimu na vifaa vya maabara vinavyotakiwa vinapatikana. Madini: Serikali ilitangaza kwamba mikataba ya zamani ya uchimbaji wa madini itakuwa imekwisha kupitiwa upya hadi ifikapo Juni Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa fedha Bi. Zakia Maghji alisema serikali itatekeleza mapendekezo yatakayotolewa na kamati ya mapitio. Nukuu: Kama raisi alivyosema, tunataka kuhakikisha kwamba pande zote zinafaidika Utawala/Uwajibikaji: Raisi aliwaonya wakuu wa wilaya na mikoa juu ya tabia ya kujichukulia sheria mikononi. Raisi pia aliagiza kwamba kuanzia Machi 2007, kila mkuu wa wilaya na mkoa anatakiwa kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa shule katika kila kata kila mwaka. Elimu (walimu): Serikali iliahidi kuwa walimu watakuwa wakilipwa mishahara yao na mafao mengine kabla ya kuanza kwa likizo zao za mwaka. Akiwahutubia walimu katika shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, Waziri alisema hili lilikusudia kupunguza usumbufu unaowakabili walimu wakati wanapoenda likizo, kama ukosefu wa usafiri. Asasi za Kiraia: Serikali iliahidi kushirikiana na Asasi za Kiraia katika kupigania usawa wa kijinsia na kuleta mabadiliko ya kijamii. Ahadi hiyo ilitolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto wakati akizindua machapisho mawili juu ya hali ya usawa wa kijinsia Tanzania yaliyochapishwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP). Nukuu: Wizara yangu itayazingatia kwa uzito wake mapendekezo yote yaliyo katika machapisho haya na kuyatekeleza kama tulivyokubaliana kwenye maazimio ya Beijing Uwajibikaji: Raisi aliwakumbusha maofisa wote wa serikali kukumbuka kutekeleza ahadi zote zilizotolewa wakati wa kampeni na baada ya pale. Akizungumza wakati wa warsha ya uongozi kwa ajili viongozi wote wa ngazi za juu serikalini, raisi alisema kuwa wananchi wanasubiri kwa hamu kuona utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati wa kampeni. Raisi pia aliwataka viongozi hao kuwa wawazi katika utekelezaji wa kazi zao za kiofisi. Nukuu: Ninapenda kumaliza hotuba yangu kwa kusisitiza umuhimu wa kuendesha shuguli za serikali kwa uwazi Mwandishi/The Guardian, 4 Machi 2007, uk 1 Assah Mwambene/Daily News, 5 Machi 2007, uk 1 Jonas Mwasumbi/Daily News, 5 Machi 2007, uk 3 Godfrey Dilunga/The African, 6 Machi 2007, uk 1 Tobias Nsungwe/The African, 09 Machi 2007, uk 1 Mbazigwa Hassan/Uhuru, 12 Machi 2007, uk 3 Romana Mallya/Nipashe, 12 Machi 2007, uk 15 Mwananchi/13 Machi 2007, uk 13 4

10 13 Machi 2007 Waziri Mkuu Edward Lowassa, Muleba/Rombo, 14 Machi 2007 Uchumi na Biashara: Raisi aliiagiza mamlaka za Manispaa ya Arusha kuwapa wafanyabiashara waliofukuzwa hati miliki. Raisi aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo wadogo waliofukuzwa kutoka katikati ya jiji la Arusha na kupangiwa eneo Krokoni. Nukuu: Najua kuna watu wachache wasio waaminifu ambao baadaye watataka kujinufaisha na hali hii na kutaka kudai umiliki wa eneo hili, hivyo ni lazima muwape watu hawa umiliki wa hili eneo Afya: Waziri Mkuu alisema kuwa kuanzia mwezi Julai mwaka huu, kila kata itajengewa zahanati/kituo cha afya. Alisema uamuzi huu ni sehemu ya utekelezaji wa programu ya serikali ya kuhakikisha kwamba katika kila kijiji na kila kata kuna zahanati. Nukuu: Huu ni uamuzi wetu kuhakikisha kuwa kila kata kuna vituo vya afya na kliniki kwa ajili ya kina mama wajawazito Waziri alitoa ahadi kama hiyo huko Rombo pia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mizengo Pinda, Kyela, 15 Machi 2007 Arusha, 17 Machi 2007 Waziri, Ofisi ya Raisi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, Mtwara, 18 Machi 2007 Arusha, 25 Machi 2007 Serikali za Mitaa: Waziri aliahidi kuchukua hatua za kimakusudi dhidi ya mamlaka za serikali za mitaa zilizopata ripoti mbaya ya ukaguzi. Alisema hatua hizi ni za muhimu kwani vyeti hivi vya utendaji mbovu vinaweza kuwafanya wananchi kukosa huduma nzuri kutokana na kupunguzwa kwa ruzuku kwa mamlaka zilizotolewa taarifa mbovu. Afya: Raisi alisema kuwa serikali imetenga Dola milioni 35 za Kimarekani kwa ajili ya elimu na kudhibiti vifo kwa akina mama wajawazito na wakati wa kujifungua. Alisema afya njemakwa wanawake ni muhimu sana na serikali itapenda kufanya kazi na wadau wote katika kuondoa tatizo la vifo vya wanawake wajawazito na wale wanaojifungua. Raisi aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Arumeru. Elimu/Mishahara: Serikali iliahidi kuwalipa walimu madeni ya mishahara yao hadi ifikapo mwisho wa mwaka wa fedha 2006/07. Akijibu maswali wakati wa warsha juu ya Mkataba wa Huduma kwa Mteja, Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia alisema zaidi ya ahilingi bilioni 11 zilikuwa zimekwisha kutolewa na ofisi yake kwa ajili ya shughuli hiyo. Nukuu: Lengo letu ni kulipa madeni yote katika bajeti hii lakini isipowezekana, malipo hayo yatakamilishwa katika bajeti ya 2007/2008 Utawala/Uwajibikaji: Raisi alisema kuwa hatavumilia tena upuuzi wowote kutoka kwa watendaji wa serikali ambao ni wazembe. Wakati akihutubia mkutano huko Arusha, Raisi aliwaonya viongozi watakaoshindwa kutekeleza ahadi na maagizo yake. Raisi alimuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, Dr. Job Laizer kuwapa wananchi waliofukuzwa kutoka katikati ya mji hati miliki za eneo jipya walilopangiwa. Nukuu: Nitakuja tena Arusha na nikija sitataka kusikia maelezo bali nataka kusikia utekelezaji tu wa agizo langu la kutoa hati kwa wauza mitumba la sivyo sitasita kukufukuza kazi umesikia? Assah Mwambene/Daily News, 14 Machi 2007, uk 2 Gaudensia Mngumi/Nipashe, 15 Machi 2007, uk 3 Nakajumo James/The African, 20 Machi 2007, uk 5 Charles Mwakipesile/Majira, 16 Machi 2007, uk 22 Mary Mwita/Mtanzania, 18 Machi 2007, uk 3 Zamaradi Kawawa, THISDAY/19 Machi 2007, uk 3 Shaaban Mdoe/Uhuru/26 Machi 2007, uk 4 5

11 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa, Mizengo Pinda Mbeya, 25 Machi 2007 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, Mbeya, 25 Machi 2007 Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, Professor Peter Msolla, Zanzibar, 4 Aprili 2007 Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohammed Shein, 1 Aprili 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, 11 Aprili 2007 Raisi Jakaya Mrisho Kikwete, Dar es Salaam, 13 Aprili 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margareth Sitta, 15 Aprili 2007 Elimu/Afya: Serikali ilitangaza kwamba elimu na afya vitapewa kipaumbele katika mwaka Akiwahutubia wakazi wa kata ya Itumba huko Mbeya, Waziri wa Serikali za Mitaa Mh. Mizengo Pinda alisema Raisi ameiagiza sekta ya afya kupitia Wizara ya Serikali za Mitaa kuoanisha na kutekeleza kwa pamoja programu za kuboresha elimu na afya katika ngazi za chini. Mahakama/Haki za Binadamu: Serikali iliahidi kujenga magereza mapya 39 na kukarabati yale yaliyopo ili kupunguza msongamano uliopo kwa sasa katika magereza. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani alilitangaza hili katika mkutano na wajumbe wa kamati ay Bunge ya Ulinzi na Usalama iliyokuwa ikifanya ziara huko Mbeya. Waziri alisema kuwa jitihada hizi zitaenda sambamba na uharakishwaji wa kesi mahakamani. Elimu: Serikali iliahidi kwamba wanafunzi kutoka katika familia maskini watapata ufadhili wa serikali 100% chini ya mfumo wa sasa wa ukopeshaji katika elimu. Wakati wa ziara yake katika vyuo vikuu huko Zanzibar, Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu Prof. Peter Msola alisema mabadiliko katika sheria ya mikopo Na. 9 ya mwaka 2004 yatatoa fursa kwa wanafunzi wanaotoka katika familia maskini kupata ufadhili wa serikali kwa 100%. Uwajibikaji: Makamu wa Raisi alitangaza kwamba uwajibikaji katika utumishi wa umma ni moja ya mambo ya msingi kuzingatiwa katika serikali ya awamu ya nne. Makamu wa Raisi aliyasema hayo wakati akifungua kongamano la siku tatu kuhusu uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu. Elimu (mitihani): Serikali iliahidi kuchukua hatua kali kukabiliana na ukiukwaji wa taratibu za mitihani ambao unaharibu sifa za Baraza la Mitihani la Taifa (BAMITA). Ufundi, Mh. Mwantumu Mahiza aliyasema hayo wakati akijibu swali Bungeni, Dodoma. Alisema pamoja na njia nyingine zitakazotumika kudhibiti uhalifu huo, ni pamoja na kuwapa mafunzo wasimamizi na kutoa vitambulisho. Uwajibikaji: Raisi iliagiza kwamba matatizo yote na mapungufu yaliyopelekea kuwepo kwa matumizi mabaya ya fedha za umma kama yalivyoainishwa katika taarifa za ukaguzi za hivi karibuni yashughulikiwe mara moja. Raisi alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha Baraza la Mawaziri. Katika kikao hicho ndipo taarifa ya Mkaguzi na Msimizi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ilikuwa ikijadiliwa. Mojawapo ya maazimio ya kikao hicho cha Baraza la Mawaziri ni kuzitaka Wizara, Idara na Wakala za Serikali kuwasilisha taarifa za kila robo ya mwaka kwa baraza la mawaziri kwa jili ya kujadiliwa. Elimu (miundimbinu ya shule): Serikali iliahidi kujenga shule zaidi ili kupunguza pengo kati ya mkoa na mkoa. Akijibu swali Bungeni Waziri wa Elimu, Margareth Sitta, alisema hili litaweza kutekelezwa kupitia uhamasihaji wa kujenga shule katika kila kata. Nukuu: Kwa mfano, mikoa yote ambayo imekuwa nyuma katika elimu ya sekondari kama Singida, Mtwara, Lindi, Kigoma na Shinyanga imepewa upendeleo maalumu katika utoaji wa ruzuku Mboza Lwandiko/Mtanzania, 26 Machi 2007, uk 5 Mohamed Mhina/Mwanachi, 31 Machi 2007, uk 3 Issa Yusuf/ The Guardian, 4 Aprili 2007, uk 3 Justine Damian/The African, 4 Aprili 2007, uk 2 Mwandishi/ Daily News, 12 Aprili 2007, uk 2 Mwandishi /Uhuru, 14 Aprili 2007, uk 3 Mwandishi /Daily News, 16 Aprili 2007, uk 2 6

12 Naibu Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, Gaudensia Kabaka, 16 Aprili 2007 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Miundombinu, Dr Makongoro Mahanga, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Celina Kombani, 19 Aprili 2007 Waziri Mkuu, Edward Lowassa, 20 Aprili 2007 Naibu Waziri wa Usalama wa Raia, Mohamed Aboud, 24 Aprili Aprili 2007 Ufundi, Ludovick Mwanazila, Kibaha, 29 Aprili 2007 Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Prof. David Mwakyusa, Mkuranga, 1 Mei 2007 Elimu (mikopo): Serikali ilitangaza kwamba utaratibu wa kufadhili wanafunzi kwa kuzingatia viwango vyao vya kufaulu mitihani ulikuwa ni wa mda tu, na ulitegemea kiasi cha fedha zilizokuwepo kwa ajili ya shughuli hiyo. Akizungumza huko Dodma, Naibu Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu Mh. Gaudensia Kabaka, alisema mpango huo utakuwa ukibadilika mwaka hadi mwaka. Uwajibikaji: Ahadi zilizotolewa na Raisi Kikwete wakati wa kampeni za uchaguzi zitatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano kati ya mwaka Kufuatia shinikizo kutoka kwa wabunge kuitaka serikali kutoa ratiba kamili ya utekelezaji wa ahadi hizo, Naibu Waziri wa Miundombinu Mh. Makongoro Mahanga alisema serikali itamalizia utafiti wa awali wa barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi hadi Sapiwi yenye urefu wa Km 171, na itaendelea kutenga fedha katika bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa ahadi hizo kulingana na bajeti itakavyokuwa ikiruhusu. Uchaguzi: Serikali ilitangaza kwamba Orodha ya Taifa ya Wapiga kura itapitiwa tena katika kipindi cha mwaka wa fedha 2007/2008. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Celina Kombani, alisema utaratibu wa mapitio haya utajadiliwa na wadau mbalimbali. Elimu: Serikali itatoa elimu ya chuo kikuu bure pale uwezo wa kifedha utakaporuhusu. Akifunga mkutano wa Saba wa Bunge, Waziri Mkuu alisema lengo la Serikali ni kuwawezesha wanafunzi wengi zaidi kupata elimu ya chuo kikuu kwa gharama nafuu. Nukuu: Pale uwezo wetu wa kifedha utakaporuhusu tutatoa elimu ya chuo kikuu bure kwa wote. Utawala/Uwajibikaji: Serikali ilitangaza kwamba afisa wa polisi yeyote atakayepatikana na tuhuma za ufisadi atafukuzwa kazi mara moja. Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Usalama wa Raia, Mohamed Aboud wakati wa mkutano wake na maafisa wa polisi na serikali za mitaa huko Dodoma. Utawala: Raisi aliahidi kwamba serikali yake itawafukuza kazi watumishi wote wa umma watakaopatikana na tuhuma za ubadhilifu wa mali ya umma. Raisi aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi wa serikali za mitaa mda mfupi kabla ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kuwasilisha taarifa yake. Elimu: Serikali iliahidi kujenga nyumba mpya kwa ajili ya walimu zaidi ya 2,000 walio katika maeneo ya pembezoni mwa nchi na vijijini. Ahadi hiyo ilitolewa na Naibu Waziri wa Elimu, Mh. Ludovic Mwanazila wakati wa sherehe ya kitaifa ya Wiki ya Elimu iliyofanyika mjini Kibaha. Mwanazila alisema hii ni katika jitihada za Serikali kumaliza kabisa shida zinazowakabili walimu. Afya: Serikali iliahidi kujenga kituo cha afya katika kila kijiji nchini na zahanati katika kila kata. Waziri wa Afya, Prof. Mwakyusa, alisema utekelezaji wa sera hii ulishaanza kwa kuwaajiri wafanyakazi katika vituo hivi. Nukuu: Tulikuwa tukisubiri kumaliza kwa mpango wa MMES katika ujenzi wa shule za sekondari, sasa baada ya kufanikiwa kwa mpango huo tunaanza kutekeleza sera ya ujenzi wa zahanati kila kijiji Mwandishi /Habari Leo, 17 Aprili 2007, uk 5 Privatus Lipili/The Guardian, 18 Aprili 2007, uk 3 Waandishi /Majira, 20 Aprili 2007, uk 4 Juma Thomas/ The Guardian, 21 Aprili 2007, uk 3 Mary Edward/Nipashe, 25 Aprili 2007, uk 4 Isaac Chanzi/The African, 30 Aprili 2007, uk 11 Anita Boma, Kibaha/Uhuru, 30 Aprili 2007, uk 5 Mwandishi /Mwananchi, 2 Mei 2007, uk 3 7

13 Mwanza 1 Mei 2007 Madini: Raisi alitangaza kwamba wawekezaji wote katika sekta ya madini walitakiwa kuanza kulipa kodi ya mapato baada ya mapitio ya mikataba yao ya sasa ya uchimbaji wa madini. Akihutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Raisi alisema kuwa kampuni ya Barrick Gold Mining ilishaanza kutoa Dola za Kimarekani Milioni 70 kwa mwaka. Nukuu: Hatua hii itazifanya kampuni hizi kulipa kodi ya mapato miaka michache ijayo tofauti na ilivyokuwa kabla ya hapo ambapo yasingelipa kodi kwa uhai mzima wa migodi yao Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Muhamed Seif Khatib, 5 Mei 2007 Geita, 6 Mei 2007 Kwimba, 7 Mei 2007 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, 8 Mei 2007 Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Mkuranga, 9 Mei 2007 Nyamagana, 10 Mei 2005 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margareth Sitta, Tanga, 11 Mei 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margareth Sitta, 13 Mei 2007 Haki za Binadamu/Uhuru wa Vyombo vya Habari: Serikali iliahidi kuheshimu haki ya usiri wa mtu binafsi. Akizungumza katika Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, Mh. Mohamed Seif Khatib alisema serikali inawajibika kuhakikisha kwamba vyombo vya habari vinafanya kazi bila vitisho. Madini: Raisi alisema kwamba serikali itahakikisha kwamba sekta ya madini inawanufaisha Watanzania wote kwa kupitita upya mikataba yote na kupandisha kodi kutoka 3% hadi 30%. Raisi aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara huko Kalangalala wilayani Geita Elimu (miundombinu ya shule): Serikali iliziagiza jamii kuendelea kujenga shule zaidi za sekondari ili kuweza kwenda sambamba na ongezeko la wanafunzi wanaotaka kujiunga na shule hizo. Wakati akiwahutubia wananchi wa kata ya Malya wilayani Kwimba, Raisi alisema lengo la serikali ni kuhakikisha kwamba nchi inakuwa na watu wenye ujuzi, uwezo wa kujiajiri na kuchangia katika uchumi wa nchi. Madini: Serikali iliahidi kufikisha maombi kwa kampuni zote za uchimbaji wa madini kuzitaka kukubali kupitia upya mikataba yao ya uchimbaji wa madini ya sasa. Kwa mujibu wa Lawrence Masha, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na kiongozi wa timu ya serikali ya majadiliano alisema Taarifa ya kiofisi itaelezea kwa kina nini serikali inakitaka, na baada ya kuwasilishwa, makampuni ya madini yatapitia taarifa hiyo na kutoa majibu Elimu (wanafunzi wanaopata mamba): Waziri Mkuu aliwaagiza viongozi wote wa Serikali za Mitaa kutoa taarifa za watu wote wanaotuhumiwa kuwapa mimba wanafunzi 52 na kuwachukulia hatua za kisheria haraka sana. Elimu (miundombinu ya shule): Raisi aliagiza kwamba shule zote zipewe maeneo ya kutosha kwa ajili ya kujengea madarasa na viwanja vya michezo. Akihutubia Mkutano wa hadhara huko Nyamagana, raisi alisema ujenzi wa shule katika maeneo yenye msongamano mkubwa unawanyima wanafunzi huduma muhimu kama viwanja vya michezo. Elimu (elimu ya watu wazima): Waziri aliahidi kwamba Elimu ya watu wazima itarejeshwa ili kupunguza idadi ya watu wasiojua kusoma na kuandika nchini. Waziri wa Elimu aliyatangaza haya wakati wa warsha na maafisa wa Wizara ya Elimu iliyofanyika huko Tanga. Elimu (chakula shuleni): Serikali iliwaagiza walimu wakuu wote na kamati za elimu kuhakikisha kwamba wanafunzi wanakula chakula cha mchana. Waziri wa Elimu alitoa agizo hilo wakati wa matembezi ya hisani yaliyoandaliwa na Shirika la Chakula Duniani (WFP) lenye makao yake jijini Dar es Salaam. Waziri aliziagiza serikali zote za mitaa kuingiza milo ya shuleni katika bajeti zake. Mwandishi /Uhuru, 2 Mei 2007, uk 1 Mwandishi /Daily News, 4 Mei 2007 Bahati Masuguliko/Mwanachi, 7 Mei 2007, uk 1 Nashon Kennedy/Habari Leo, 8 Mei 2007, uk 2 Tom Masoba/The Citizen, 8 Mei 2007, uk 3 Anita Boma/Uhuru, 10 Mei 2007 Leon Bahati/Uhuru, 11 Mei 2007, uk 13 Lulu George/Nipashe, 12 Mei 2007, uk 5 Apolinary Kweka/Nipashe, 14 Mei 2007, uk 5 8

14 Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Hawa Ng umbi, Mvomero, 17 Mei 2007 Waziri wa Maendeleo ya Miundombinu, Andrew Chenge, 17 Mei Mei 2007 Waziri Mkuu Edward Lowassa, Manyoni, 21 Mei 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, Maswa, 21 Mei 2007 Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, 21 Mei 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margareth Sitta, 23 Mei 2007 Katibu Mtendaji, Baraza la Uwezeshaji wa Jamii, Eliseta Kwayu, Elimu (walimu): Halimashauri ya Wilaya ya Mvomero pamoja na viongozi wote wa serikali katika wilaya hiyo watachukua hatua za kuhakikisha kwamba walimu wa sekondari wanaopangiwa kwenda wilayani humo wanaishi katika mazingiza mazuri. Hatua hizi, pamoja na mambo mengine zinahusha nyumba za kuishi. Elimu (mitaala): Serikali iliahidi kuleta somo jipya la sayansi na teknolojia katika mitaala ya elimu kwa shule za msingi, sekondari na elimu ya juu. Waziri wa Miundombinu, Mh. Andrew Chenge aliyasema hayo katika kilele cha siku ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Jinsia/Haki za Binadamu: Raisi aliziagiza mamlaka zote za serikali za mitaa kupambana na mila zote zinazowabagua wanawake. Raisi alisema kuwa baadhi ya mila na desturi zimekuwa zikiwatenga na nyingine kuwatwika wanawake majukumu mazito. Raisi aliyasema hayo wakati akizungumza kwenye hafla iliyoandaliwa na shirika la Msasani Multi Purpose Development Trust (MMDT) Elimu (uachaji wa shule): Waziri Mkuu, Edward Lowassa, aliwaagiza viongozi wote wa serikali kuchukua hatua madhubuti dhidi ya watu wanaowasabisha watoto kuacha shule. Waziri Mkuu alikuwa akiwahutubia wakazi wa kata ya Kitinku wilayani Manyoni baadaya kupokea taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo. Taarifa hiyo ilionesha kuwa kiasi cha wanafunzi wapatao 31,000 waliacha shulentangu mwaka Elimu (adhabu): Naibu Waziri wa Elimu, Mh. Mwantumu Mahiza alipiga marufuku adhabu zote mbaya shuleni. Mahiza alisema kuwa kulikuwa bado kuna walimu katika shule mbalimbali ambao bado walikuwa wanatoa adhabu za namna hiyo kinyume na maagizo ya serikali. Uwajibikaji: Serikali iliwaagiza watumishi wote wa umma kutokuwa na matumizi zaidi ya bajeti iliyopangwa, akaonya kwamba watumishi watakaopuuza agizo hilo wataadhibiwa ikiwa ni pamoja na kulipa fedha hizo zilizotumika kwa ziada. Akifungua warsha ya siku mbili ya viongozi wote wa ngazi za juu serikalini, Waziri wa fedha alisema Wizara, Idara na Wakala zote za Serikali haziruhusiwi kuongeza posho na mishahara bila idhini ya Hazina kuu. Elimu (walimu): Serikali iliahidi kuajiri walimu wapya 11,788 hadi ifikapo mwisho wa mwaka Kwa mujibu wa Waziri wa Elimu, Margareth Sitta, hatua hiyo inalenga kukabiliana na tatizo kubwa la upungufu wa walimu katika shule za sekondari katika kipindi cha miaka miwili ijayo. Waziri aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma. Watu wenye ulemavu: Serikali imeahidi kutumia rasilimali zote zilizopo kwa ajili ya kuielimisha jamii kuhusu nafasi ya walemavu katika maendeleo ya kiuchumi. Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji aliyasema hayo wakati akifungua mkutano wa Mtandao wa Walemavu kuhusu MKUKUTA na akasema, Siku ambazo jamii ilikuwa ikiwaona walemavu kuwa ni kundi la watu lisilo na faida zimepita kwa sababu wamelidhihirishia taifa zima kuwa wanao uwezo wa kuchangia katika ukuzaji wa uchumi nchini Joachim Nyambo/The African, 18 Mei 2007, uk 4 Dennis Luambano/Mtanzania, 18 Mei 2007, uk 3 Halima Mlacha/Habari Leo, 21 Mei 2007, uk 2 Esther Mvungi/Uhuru, 22 Mei 2007, uk 3 Mwandishi /Majira, 22 Mei 2007, uk 13 Basil Msongo/Habari Leo, 22 Mei 2007, uk 3 Mossy Magere/Mtanzania, 24 Mei 2007, uk 3 Anthony Tambwe/The Africa, 24 Mei

15 Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohamed Shein, 23 Mei 2007 Elimu: Serikali iliahidi kwamba elimu itapewa kipaumbele katika serikali ya awamu hii. Akizungumza na mwakilishi wa shirika la DfID, Makamu wa raisi Dr Ali Mohamed Shein alisema msukumo wa serikali kuhusu elimu ulikuwa katika kutekeleza ahadi zilizotolewa wakati wa kampeni za uchaguzi. Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, 24 Mei 2007 Kibondo, 24 Mei 2007 Kibondo, 24 Mei 2007 Waziri Mkuu Edward Lowassa, Singida, 25 Mei 2007 Waziri Mkuu Edward Lowassa, Singida, 26 Mei 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, Shinyanga, 27 Mei 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, Mwanza Waziri Mkuu Edward Lowassa, 28 Mei 2007 Waziri wa Fedha, Zakia Meghji alitoa ahadi kama hiyo hiyo wakati wa mkutano wa kutathimini MKUKUTA uliofanyika Dar es Salaam. Miundimbinu/Kilimo: Waziri wa fedha aliahidi kwamba serikali itatenga fedha nyingi zaidi katika bajeti yake ya mwaka wa fedha 2007/2008 kwa jili ya kuboresha miundombinu na kilimo. Waziri wa Fedha alikuwa akizungumza katika Mkutano wa Tisa wa Mapitio ya Matumizi ya Umma uliofanyika Dar es Salaam. Elimu (ubora, miundombinu ya shule): Raisi aliziagiza shule za binafsi kutoa elimu bora na kujenga madarasa mengi zaidi ya shule za sekondari ili kukabiliana na wingi wa wanafunzi wanaofaulu kidato cha Nne na kuhitaji kujiunga na kidato cha tano. Barabara/Miundombinu: Raisi aliahidi kwamba serikali itaikarabati barabara inayounganisha mikoa ya Tabora na Kigoma hadi kufikia kiwango cha lami. Raisi aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Kibondo, mkoani Kigoma. Raisi alisema mpango wa kujenga daraja katika mto Malagarasi umeshakamilika. Uwajibikaji: Waziri Mkuu aliagiza kwamba watumishi wote katika serikali za mitaa wasiotekeleza majukumu yao ipasavyo wahamishwe. Akihutubia mkutano wa hadhara mjini Singida, Waziri Mkuu alisema maafisa wengi wamekaa kwa mda mrefu Singida jambo ambalo linaathiri utendaji wao wa kazi. Umaskini/Uchumi: Waziri Mkuu aliagiza mamlaka za serikali za mitaa Singida kuhakikisha kuwa mkoa huo unajikombo kutoka katika umaskini. Alisema serikali itauunganisha mkoa wa Singida na mikoa mingine kwa barabara za lami ifikapo mwaka Elimu: Serikali iliahidi kuwapandisha vyeo walimu walimu 22,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2007/08. Waziri aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa maafisa waandamizi wa Elimu mkoani Shinyanga. Nukuu: Ni kweli kimepita kipindi kierfu walimu wanostahili kupandishwa madaraja hawajapandishwa hii ilisababishwa na kusimamishwa kwa utaratibu wa OPRAS lakini tayari majina 22,000 yapo kwa waziri wa utumishi baada ya bajeti ya mwaka huu mtatangaziwa Elimu: Serikali iliziagiza mamlaka zote za serikali za mitaa kuzipatia shule hati miliki. Akiwahutubia maafisa wa wilayani, aibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alisema utoaji wa hati miliki utaziwezesha shule kutambulika rasmi kisheria. Uwajibikaji/Uchumi: Serikali iliahidi kutumia kiasi cha Shilingi 914 bilioni kwa ajili ya matumizi ya maendeleo katika mwaka wa fedha 2007/2008. Akiwahutubia madiwani wapya katika ukumbi wa Karimjee, Waziri Mkuu alisema fedha hizi zitatumika kwa umakini mkubwa. Penzi Nyamungumi/ Nipashe, 24 Mei 2007, uk 5 Erick Lema/Nipashe, 25 Mei 2007, uk 11 Margreth Kinabo/Uhuru, 25 Mei 2007, uk 3 Deogratas Mushi/Daily News, 25 Mei 2007 Prosper Kwizige/Mtanzania, 24 Mei 2007, uk 2 Esther Mvungi/Uhuru, 25 Mei 2007, uk 5 Correspondent/Sunday News, 27 Mei 2007 Mwandishi /Majira, 28 Mei 2007, uk 4 Diana Nicholaus/Nipashe, 29 Mei 2007, uk 9 Mwandishi /Tanzania Daima, 29 Mei 2007, uk 3 10

16 Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Khamis Dihenga, Morogoro, 1 Juni 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, Shinyanga, 1 Juni 2007 Spika wa Bunge, Samwel Sitta, Bagamoyo, 1 Juni 2007 Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohamed Shein, Masasi, 1 Juni 2007 Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohamed Shein, Mtwara, 3 Juni 2007 Waziri wa Mipando, Uchumi na Uwezeshaji, Dr Juma Ngasongwa, 4 Juni 2007 Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, 5 Juni 2007 Elimu (walimu): Serikali iliahidi kuwafadhili walimu 1,500 kwa ajili ya masomo ya Chuo Kikuu katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT). Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Khamis Dihenga, alisema utaratibu tayari ulikwishawekwa kati ya wizara yake na chuo Kikuu Cha Dar es Salaam na vyuo vyake vishiriki. Chini ya utaratibu huu, walimu wapya wa shule za sekondari watapewa mafunzo kwa ajili ya kukabiliana na uhaba wa walimu. Elimu (ada za shule): Serikali iliwaagiza wakuu wote wa wilaya kuhakikisha kwamba wanafunzi wote walioshindwa kupata ada za shule wanaripoti shuleni mara moja na waruhusiwe kuendelea na masomo bila usumbufu wowote. Waziri alikuwa akijibu taarifa iliyoonesha kwamba madarasa 52 yaliyojengwa mkoani Shinyanga yalikuwa matupu kutokana na wanafunzi 2,480 kuacha shule. Vyombo vya habari/utawala: Serikali iliahidi kuwapa mafunzo waandishi wa habari juu namna ya kutoa taarifa kutoka bungeni. Akizungumza katika semina ya waadnishi wa habari mjini Bagamoyo, Mhe. Samwel Sitta alisema bunge limeandaa mpango maalum wa miaka mitano kwa ajili ya waandishi wa habari. Sitta alisema hili ni la muhimu katika kuhakikisha kuna utoaji wa taarifa sahihi za zinazotokanana ufahamu wa mambo yanyoendelea bungeni. Elimu (uachaji wa shule): Serikali iliziagiza mamlaka za serikali za mitaa wilayani Masasi kuwatafuta wanafunzi 2,364 ambao hawakuripoti shuleni mwanzoni mwa mwaka huu. Akizungumza huko Masasi, Makamu wa Raisi alisema tatizo la wanafunzi kutokuripoti shuleni lilikuwa kubwa na kwamba lilihitaji kushughulikiwa haraka. Kulingana na takwimu, wanafunzi 2,364 kati ya 14,193 walikuwa wameacha shule. Makamu wa Raisi aliwapa viongozi wa mamlaka za serikali za mitaa siku Nne za kuwatafuta hao wanafunzi. Makamu wa Raisi pia aliagiza kukamatwa kwa watu wote waliohusika katika kuwapa mimba wanafunzi. Afya: Serikali iliahidi kushughulikia upungufu wa watumishi wa umma ikiwa ni pamoja na wafanyakazi wa afya katika wilaya ya Mtwara. Makamu wa Raisi alitoa ahadi hiyo wakati akiwahutubia wakazi wa Nanyumbu wilayani Mtwara. Makamu wa Raisi alikuwa amepewa taarifa iliyoonesha kwamba kati ya watumishi wa umma 2,590 wanaohitajika Mkoani Mtwara, ni 1,483 waliopo. Bajeti/Uchumi: Serikali iliahidi kutumia Shilingi Trilioni 5 katika mwaka wa fedha 2007/2008. Waziri na Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Dr. Juma Ngasongwa alitoa hadi hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari mda mfupi baada ya kuwasilisha hotuba ya hali ya uchumi nchini kwa kamati ya uchumi ya bunge. Dr Ngasongwa alisema ukuaji wa uchumi kwa mwaka huu unatarajiwa kufikia 7.3% kutoka 6.2% mwaka wa fedha 2006/2007. Mishahara: Serikali iliahidi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma katika bajeti ya mwaka wa fedha 2007/2008 kutoka 1, 003,881,000,000/= hadi 1,113,134,000,000/=. Waziri wa fedha alitoa ahadi hiyo wakati akiwasilisha matamko yake kabla ya bajeti kwa kamati ya bunge ya masuala ya Uchumi na Fedha jijini Dar es Salaam. Ongezeko hili lilitokana na mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Raisi ya kurekebisha mishahara ya watumishi wa umma. John Nditi/Habari Leo, 2 Juni 2007, uk 2 Anthony Komanya/Tanzania Daima, 2 Juni 2007, uk 5 Lusekelo Philemon/The Guardian, 2 Juni 2007, uk 2 Rashid Mussa/Uhuru, 2 Juni 2007, uk Rashid Mussa/Uhuru, 4 Juni 2007, uk 5 Raymond Kaminyoge/Nipashe, 5 Juni 2007, uk 3 Mashaka Mgeta/The African, 6 Juni 2007, uk 1 11

17 Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, 5 Juni 2007 Waziri wa fedha, Zakia Meghji, 5 Juni 2007 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, Dodoma 12 Juni 2007 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margareth Sitta, 14 Juni 2007 Ufundi, Ludovick Mwananzila, Morogoro, 17 Juni 2007 Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohamed Shein, Lindi, 18 Juni 2007 Ufundi, Mwantumu Mahiza, 18 Juni 2007 Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohamed Shein, Lindi, 20 Juni 2007 Bajeti/Kodi: Serikali ilitangaza kwamba itatumia shilingi Trilioni 6 katika mwaka wa fedha wa 2007/2008 huku kukiwa na mabadiliko makubwa katika muundo wa kodi. Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, Shilingi Trilioni 3.05 zitakusanywa kutokana na mapato ya ndani wakati Trilioni zitakusanywa kutoka kwa wafadhili mbalimbali. Waziri alikuwa akizungumza katika kikao cha kamati ya Bunge ya Fedha a Uchumi jijini Dar es Salaam. Bajeti/Miundombinu: Serikali iliahidi kwamba miundimbinu itapewa kipaumbele katika bajeti ya mwaka wa fedha 2007/2008. Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, takribani 9.7% ya bajeti yote (sawa na Shilingi bilioni 594) zitatumiwa kwa ajili ya miundombiu. Waziri alikuwa katika mkutano na kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi. Utawala/Uwajibikaji: Ofisi ya Raisi ilitoa agizo la kukomeshwa kwa semina na makongamano yasiyoisha yanayohudhuriwa na maafisa wa serikali. Waziri wa Utumishi wa Umma, Mh. Hawa Ghasia, alitoa agizo hilo wakati akijibu majibu yaliyoulizwa na wabunge bungeni waliotaka kujua ni kwa nini watumishi wengi wa serikali hutumia mda wao mwingi kuhudhuria semina na makongamano ambayo huhitaji kiasi kikubwa sana cha fedha. Elimu (shule za sekondari): Serikali iliahidi kujenga nyumba zaidi za wafanyakazi kwa ajili ya kuboreshana na kuwezesha ufikiaji wa malengo ya serikali katika elimu. Akizungumza bungeni, Waziri wa Elimu alisema jumla ya shule za sekondari 1,084 zimejengwa katika kila kata nchini. Walimu wengi wa sekondari wataandaliwa katika programu ya miezi mitatu kwa ajili ya kukabiliana na upungufu mkubwa wa walimu wa sekondari. Elimu: Serikali iliahidi kuanza kutekeleza mpango wa mafunzo ya ufundi. Akizungumza katika sherehe ya kuhitimu mafunzo kwa wanafunzi wa VETA huko Mikumi, naibu Waziri wa Elimu alisema kuanzishwa kwa programu hii kulifuatia utekelezaji wenye mafanikio wa mipango ya MMEM na MMES katika miaka kadhaa iliyopita. Ahadi za Serikali/Ilani ya Uchaguzi: Serikali iliahidi kutimiza ahadi zake zote zilizotolewa wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka Makamu wa Raisi, Dr Ali Mohamed Shein, aliyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Lindi. Nukuu: Ahadi ni deni. Tangu tumeingia katika madarakani, tumefanya mambo mbalimbali katika kutekeleza ahadi hizo Elimu: Serikali iliahidi kuongeza kiwango cha kufaulu kwa wanafunzi katika shule za sekondari za serikali. Naibu Waziri wa elimu, Mwanatumu Mahiza aliyasema hayo wakati akijibu swali lililoulizwa na Mbunge Susan Lymo, aliyehoji kwa nini shule za sekondari za binafsi huwa zinafaulisha wanafunzi vizuri zaidi kuliko shule za serikali. Naibu Waziri alisema kuwa pamoja na hatua nyingine, walimu wasioweza kufundisha vizuri watapewa mafunzo zaidi. Afya: Serikali iliahidi kujenga kituo cha afya katika kila kijiji na kata kuanzia mwaka huu. Ahadi hiyo ilitolewa na makamu wa raisi Dr Ali Mohamed Shein wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Ruangwa huko Lindi. Makamu wa Raisi alisema hivi ndivyo serikali inavyofanya kazi ya kuboresha afya za wananchi wake. Shadrack Sagati/Habari Leo, 6 Juni 2007, uk 2 Mwandishi / Daily News, 6 Juni 2007, uk 1 Anthony Tambwe/The African, 13 Juni 2007, uk 2 Mwandishi /Habari Leo, 15 Juni 2007, uk 7 Venance George/Mwananchi, 18 Juni 2007, uk 4 Penzi Nyamugumi/Mtanzania, 19 Juni 2007, uk 8 Mwandishi /Mtanzania, 19 Juni 2007, uk 12 Penzi Nyamungumi/Uhuru, 19 Juni 2007, uk 8 12

18 Waziri wa Nishati na Madini, Dr Nazir Karamagi, 20 Juni 2007 Waziri wa Fedha, Zakia Meghji, 24 Juni 2007 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr Batlida Buriani, 26 Juni Juni 2007 Naibu Waziri wa Miundombinu, Dr Maua Daftari, 29 Juni 2007 Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Oliver Mhaiki, 29 Juni 2007 Ufundi, Ludovick Mwanazila, 29 Juni 2007 Madini: Serikali iliahidi kuwasaidia wachimbaji wadogo wadogo na wa kati nchini. Akijibu maswali yaliyoulizwa bungeni, Waziri wa Nishati na Madini Dr Nazir Karamagi alisema hili lilitokana na utambuzi wa serikali wa mchango wa wachimbaji hawa katika uchumi wa nchi. Bajeti/Uchumi: Serikali iliahidi kuongeza mapato yake ya kodi kwa mwezi hadi kufikia shilingi bilioni 280. Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha, Mh. Zakia Meghji, hili litakuwa ni ongezeko la kutoka shilingi bilioni 200 kwa mwezi zinazokusanywa na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kwa sasa. Taarifa hii ilikuwa katika jarida lilitolewa na Wizara ya Fedha kwa ajili ya bajeti ya mwaka wa fedha 2007/2008. Uchaguzi/Ahadi za Serikali: Serikali iliahidi kwamba taathimini ya mara kwa mara ya ahadi za raisi Kikwete itakuwa inafanyika. Waziri alikuwa akijibu maswali yaliyoulizwa na wabunge wakitaka kujua ni kwa namna gani taathimini ya utekelezwaji wa ahadi hizo ilikuwa ikifanyika. Utawala/Uwajibikaji: Raisi aliwaagiza watendaji wote katika idara na taasisi za serikali kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya watumishi wa umma watakaokiuka kanuni za maadili katika utoaji wa huduma kwa umma. Raisi alikuwa akizungumza katika maonesho ya wiki ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika Dar es Salaam. Nukuu: Serikali itaendelea kupambana na uzembe na kuhakikisha kwamba watumishi wa umma wanfanya kazi na kufikia matarajio ya wananchi na ya serikali Miundombinu: Serikali iliahidi kujenga reli kutoka Isaka wilayani Kahama hadi Kigali nchini Rwanda. Ahado hiyo ilitolewa na naibu Waziri wa Miundombinu, Mh. Maua Daftari wakati akijibu maswali yaliyoulizwa na wabunge kuhusu jitihada za serikali za kujenga mtandao mkubwa wa reli. Waziri alisema kuwa ujenzi wa reli hiyo utakamilika kabla ya mwaka Elimu/Asasi za Kiraia: Serikali iliziagiza Asasi zote za Kiraia zinazojihusiha na masuala ya elimu kuwasiliana na serikali na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kabla ya kuanza kazi zao. Agizo hilo lilitolewa na Oliver Mhaiki wakati wa Mkutano na Asasi za Kiraia na viongozi wa serikali jijini Dar es Salaam. Oliver alisema sio sahihi kwa huduma mtu yeyote kutoa huduma katika shule bila kuwasiliana na serikali. Elimu (shule za sekondari): Serikali iliahidi kuajiri walimu 6,733 wa sekondari mwaka huu. Akiongea bungeni, Ufundi alisema walimu wapya wataajiriwa kutoka katika vyuo mbalimbali vya ualimu hapa nchini. Waandishi /Tanzania Daima, 21 Juni 2007, uk 11 Joseph Mwendapole/Nipashe, 25 Juni 2007, uk 7 Mwandishi /Majira, 27 Juni 2007, uk 4 Jane Mkonya/The Guardian, 27 Juni 2007, uk 5 Waandishi /Habari Leo, 30 Juni 2007, uk 5 Basil Msongo/Habari Leo, 30 Juni 2007, uk 6 Mwandishi /Uhuru, 30 Juni

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI

More information

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI

MOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,

More information

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA

HAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA

More information

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya

Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu

More information

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018

HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,

More information

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES

Pre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi

More information

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA

TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA TAARIFA YA HISTORIA YA MKOA WA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA 1.0 UTANGULIZI Taarifa ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru kimkoa imeandaliwa kwa kuzingatia sehemu za Historia

More information

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI

UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi

More information

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane

John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"

More information

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU,

HAKIBulletin JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! BENKI YA DUNIA USULUHISHI MUAFAKA MAHAKAMA MAWAKILI MAHAKAMA KUU, HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 2 Oktoba - Desemba, 2017 JAJI MKUU AWAASA WAHITIMU WA SHERIA KUJIENDELEZA KITAALUMA HALIUZWI! Ndani; BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA MAHAKAMA

More information

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013

MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):

More information

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui

More information

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY

February 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let

More information

TUMERITHI TUWARITHISHE

TUMERITHI TUWARITHISHE TUMERITHI TUWARITHISHE 2 3 Kampeni ya kuboresha Utunzaji wa Misitu Misitu ni rasilimali ambayo ina mchango mkubwa katika maisha ya Watanzania wengi lakini matumizi mabaya ya misitu na yaliyopitiliza pamoja

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION

More information

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU

KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU 2007 Toleo la Tatu Kitabu hiki kimetayarishwa

More information

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

AHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari

More information

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936

Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!

More information

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000

Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo Mpango wa Uendeshaji wa Mazingira Wilayani Rufiji Iliyofanyika Utete Rufiji Juni 2000 Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji 1 Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira, Bioanuwai, Misitu, Nyanda za Miti, na Maeneo Chepechepe Katika Delta na Bonde la Rufiji Ripoti ya Warsha Ya Washikadau Ihusuyo

More information

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto

Kuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi

More information

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi

JINA KAMILI CHEO SIMU YA OFISINI Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwandishi Mwendesha Ofisi OFISI YA RAIS IKULU NA SEKRETARIETI YA BARAZA LA MAWAZIRI 1 Barabara ya Barack Obama, S.L.P 9120, 11400 Dar es Salaam Simu: 022 2116898/0222116900; Nukushi: 022 2128585 Email: Ikulu@Ikulu.go.tz; Website

More information

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume

Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu

More information

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO

EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body

More information

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)

BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU

MALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya

More information

DINI JE, DINI NI MUHIMU?

DINI JE, DINI NI MUHIMU? SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,

More information

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.

Khadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam. Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha

More information

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir

Sura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir , 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603

More information

Zanzibar itafutika-mwanasheria

Zanzibar itafutika-mwanasheria Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI

More information

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1

Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado

More information

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.

More information

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.

IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA

More information

There is one God Mungu ni mmoja 1

There is one God Mungu ni mmoja 1 There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba

More information

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani

Ujasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii

More information

2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play

2002 Version of the Basic Talk on Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play 2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and

More information

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania

HAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.

More information

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake:

Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba

More information

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu

Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid

More information

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO

Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko

More information

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:

Tawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags: Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu

More information

Rainbow of Promise Journal

Rainbow of Promise Journal Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share

More information

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES

ZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.

More information

Published on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu

Published on Al-Islam.org (  Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na

More information

Ukweli wa hadith ya karatasi

Ukweli wa hadith ya karatasi Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)

More information

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu

HALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim

More information

YA AL HABBIB SAYYEID

YA AL HABBIB SAYYEID YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya

More information

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance.

VACATION BIBLE SCHOOL VBS. Newsletter. #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. VACATION BIBLE SCHOOL VBS 2018 Newsletter #Rebuilding through prayer, hard work & perseverance. Pre-school Week 8th - 10th August Grade 1-8 13th - 17th August Pre-school Week Word from the Children s Pastor

More information

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014

Uwezo Kenya National Learning Assessment 2014 Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net

More information

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia

Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi

More information

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili

Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that

More information

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI

TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY

WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican

More information

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)

NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day

More information

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.

Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii. . i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA

More information

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?

Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship

More information

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.

More information

NEW INTERNATIONAL VERSION

NEW INTERNATIONAL VERSION HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana

More information

Change Your Destiny CONFERENCE

Change Your Destiny CONFERENCE Change Your Destiny CONFERENCE Initiative to Build Spiritual Movements in Tanzania You have been wandering around in this hill country long enough; turn to the north Deuteronomy 2:3 (NLT). LIFE Ministry

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 29 th March, 2017 March 29, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 29 th March, 2017 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2.30 p.m. [The

More information

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1

TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:

More information

Vitendawili Vya Swahili

Vitendawili Vya Swahili Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 40 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, WAJIR SOUTH CONSTITUENCY HELD AT SABULI-

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY HELD AT LIBOI ON 8 TH JUNE, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY,

More information

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00

No. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00 HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 38 05.02.2006 0:28 Archives of Popular Swahili logo to the LPCA home page ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 2 (11 November 1998) to the APS home page The history of Zaire as told and painted by Tshibumba

More information

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content

Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Youth and Faith A collection of texts on the subject A collaborative Magazine Content Introduction - English... 3 Introduksjon - Norsk:... 4 Utangulizi - Kiswahili:... 5 Importance of faith to youth...

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part

More information

Yassarnal Quran English

Yassarnal Quran English Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.

More information

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)

MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture

More information

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database

Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database Ezra 3 Lessons Free PDF ebook Download: Ezra 3 Lessons Download or Read Online ebook ezra 3 lessons in PDF Format From The Best User Guide Database of Ezra (Ezra 7:28; and repeatedly in Ezra 8-9).. (also

More information

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon

In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,

More information

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team

JUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing

More information

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m.

December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 6 th December The House met at 9.30 a.m. December 6, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Wednesday, 6 th December 2017 The House met at 9.30 a.m. [The Temporary Deputy Speaker (Hon. (Ms.) Mbalu) in the Chair] PRAYERS

More information

AND REACTION IN SWAHILI POETRY.

AND REACTION IN SWAHILI POETRY. REVOLUTION AND REACTION IN SWAHILI POETRY. M. M. MULOKOZI** Swahili poetry is that poetry, written or oral, which has been or is being produced in the Swahili language by East Africans. Swahili poetry

More information

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu

WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring

More information

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE

HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the

More information

Preliminary Inventory to the William H. Friedland Collection, No online items

Preliminary Inventory to the William H. Friedland Collection, No online items http://oac.cdlib.org/findaid/ark:/13030/tf8w1006dz No online items Hoover Institution Archives Stanford University Stanford, California 94305-6010 Phone: (650) 723-3563 Fax: (650) 725-3445 Email: hooverarchives@stanford.edu

More information

The Growing of Islamic Fundamentalism in Tanzania: Are the rising religious tensions ripping Tanzania apart?

The Growing of Islamic Fundamentalism in Tanzania: Are the rising religious tensions ripping Tanzania apart? The Growing of Islamic Fundamentalism in Tanzania: Are the rising religious tensions ripping Tanzania apart? Andrew Stanley CHING OLE 1 Assistant Lecturer, St. John s University of Tanzania, Institute

More information

CHAPTER ONE. Introduction. The office of the kadhi was in existence from the seventh century (AD). During the

CHAPTER ONE. Introduction. The office of the kadhi was in existence from the seventh century (AD). During the CHAPTER ONE Introduction The office of the kadhi was in existence from the seventh century (AD). During the Umayyad period, for example, kadhis ( Muslim judges) were among Muslim professionals who were

More information

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI

MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad

More information

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature

Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Modern Swahili: the integration of Arabic culture into Swahili literature Hanah Chaga Mwaliwa Hanah Chaga Mwaliwa is a lecturer of Swahili language and linguistics in the Department of Kiswahili, University

More information

Mashairi ya Masaibu ya Karbala

Mashairi ya Masaibu ya Karbala Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania

More information

The Lord be with you And with your spirit

The Lord be with you And with your spirit There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 25 05.02.2006 0:37 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 6 (8 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View

Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View Impact of Teaching Civic and Religious Values in the National Curriculum on improving Social Responsibility in Tanzania: The Analytical View Hamdun Sulayman Al-Maktoum College of Engineering and Technology

More information

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace?

Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Christian-Muslim Relations in Tanzania: A Threat to Future Stability and Peace? Japhace Poncian Assistant Lecturer, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa University College

More information

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?

Where is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship? A is for Africa: Celebrating the A in A.M.E. Zion What is the A in A.M.E. Zion? 1 Where is Africa? 2 What is African heritage? 3 What is the African heritage in the Bible? 6 What are African ways of worship?

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 (CKRC) VERBATIM REPORT OF 38 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LAGDERA CONSTITUENCY, HELD AT MODOGASHE ON

More information

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE?

CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? CHRISTIAN-MUSLIM RELATIONS IN TANZANIA: A THREAT TO FUTURE STABILITY AND PEACE? Japhace Poncian Assistant Lecturer and Coordinator, Department of History, Political Science and Development Studies, Mkwawa

More information

Cultural Considerations Tanzania Excursion

Cultural Considerations Tanzania Excursion Cultural Considerations Tanzania Excursion The Roots of Change Cultural Considerations Table of Contents Tanzania Cultural Considerations... 3 Swahili Language Key Phrases... 4 Tribes of Tanzania... 5

More information

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA

ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA Perichoresis Volume 14. Issue 1 (2016): 21-39 DOI: 10.1515/perc-2016-0002 ATONEMENT IN AFRICAN PLURALISTIC CONTEXT: EXAMPLES FROM THE LUHYA OF WESTERN KENYA WABOMBA SYCHELLUS NJIBWAKALE * Emmanuel Christian

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT ELWAK ON JUNE 4 th, 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL

More information

AN ASSESSMENT OF DONOR FUNDED DEVELOPMENT PROGRAMMES OF THE ANGLICAN CHURCH OF TANZANIA IN THE DODOMA REGION FROM 1986 TO 2010

AN ASSESSMENT OF DONOR FUNDED DEVELOPMENT PROGRAMMES OF THE ANGLICAN CHURCH OF TANZANIA IN THE DODOMA REGION FROM 1986 TO 2010 AN ASSESSMENT OF DONOR FUNDED DEVELOPMENT PROGRAMMES OF THE ANGLICAN CHURCH OF TANZANIA IN THE DODOMA REGION FROM 1986 TO 2010 THESIS ABSTRACT The thesis has been assessing the challenges which faced donor

More information

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)

(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell) Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update

More information

Daily Christian Advocate

Daily Christian Advocate Daily Report Daily Christian Advocate The General Conference of The United Methodist Church Portland, Oregon Thursday, May 19, 2016 Vol. 4, No. 9 Bishops Ask for Hold on Sexuality Debate By Heather Hahn

More information