MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI
|
|
- Rosamond Sullivan
- 6 years ago
- Views:
Transcription
1 äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Ó ø Ö]á ô û Ï ö Ö]è ö n$ Âô û ] ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 1
2 MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU Mwandishi: Sheikh Muzaffar Ahmad Durrani Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania ISBN x Chapa ya mara ya Kwanza: 2002 Nakala: 5000 Kimeenezwa na: Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania P. O. Box 376 Simu: Fax: Dar es Salaam Kimechapwa na: Ahmadiyya Printing Press S.L.P 376 Dar es Salaam. 2
3 YALIYOMO Utanguliz... 6 Mwenyezi Mungu hukubali maombi Ombi kabla ya maombi Dua ya kuongezewa Elimu Maombi kwa ajili ya wazazi Kuomba ghofira yako na ya wazazi wako na ya waaminio na maangamizi ya wadhalimu Dua kwa ajili ya waaminio waliotangulia Maombi ya kupata uwezo wa kushukuru Dua wakati wa kupanda merikebu au chombo chochote Dua ya kupata ufaulu katika mahubiri Dua ya kuokolewa katika wasiwasi wa shetani Dua ya kuingia katika mkazi mapya na ya kutoka kwa heshima Dua ya kupata msaada wa Mwenyezi Mungu Dua ya kuomba msamaha na mwisho mwema Dua ya kuomba ghofira na rehema ya Mwenyezi Mungu Dua ya kupata nuru kamili na ulinzi wa Mwenyezi Mungu Dua ya kuomba msamaha na msaada dhidi ya makafiri
4 16. Dua ya kupata subira na nusura juu ya makafiri Dua ya kuomba ghofira yako na ya kaka yako Dua ya kutokuwa mkiwa Dua ya kutoa mtoto wakfu wakati bado yuko tumboni Dua ya kuomba kizazi chema Dua kwa ajili ya ahli na watoto Dua kwa ajili ya kusali wewe na wazao wako Dua ya kupata amani ya mji na kuepukana na ibada ya masanamu Dua ya kupata riziki Dua ya kutopotea baada ya kuongoka Dua ya kuokolewa katika mji ambao watu wake ni wadhalimu na kupata msaidizi kutoka kwa Mwenyezi Mungu Dua ya upambanuo baina ya haki na batili Dua ya kuokolewa na watu wadhalimu Dua ya kujiepusha na wadhalimu Dua ya wokovu katika hila za wapinzani Dua ya kuomba ghofira baada ya kukosea Dua ya kuokolewa katika fitina ya makafiri na wafisadi
5 33. Dua ya kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu baada ya kushindwa jambo Dua ya maangamio ya makafiri Dua ya kuomba wema katika dunia na Akhera na kujikinga na adhabu ya moto Dua ya ya kupata subira na kifo chema Dua ya kuwa mtu mwema, kutajwa kwa wema na kupata pepo Dua ya kupata wema katika dunia na Akhera Dua ya kuepushwa kuomba juu ya jambo usilo na elimu nalo Dua ya ya kujikinga kwa Mwenyezi Mungu DUA ZA MANABII / WATU WEMA 1. Dua ya Nabii Ibrahimu 13, 32, 33, 34, 35, 42, Dua ya Nabii Nuhu 14, 18, 21, 22, 23, 43, 44, Dua ya Nabii Suleiman Dua ya Nabii Musa 17, 19, 25, 30, 39, 40, 44, Dua ya Nabii Zakaria 30, Dua ya Nabii Isa Dua ya Nabii Shuaib Dua ya Nabii Lut 40, Dua ya Bibi Mariamu Dua ya watu wa Peponi Dua ya watu wa Pango Dua ya watu wa Nabii Mussa 25, 40, 47. 5
6 UTANGULIZI Mwenyezi Mungu Ametufundisha maombi mbalimbali katika Qur'an Tukufu kwa ajili ya faida yetu. Manabii wa Mwenyezi Mungu na watu wema walikuwa wakiomba kwa maombi haya. Maulana Muhammad Ishaq Soofi, Amir na Mbashiri Mkuu wa zamani wa þjumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Uganda aliyakusanya maombi haya pamoja na tafsiri mwaka Sasa ilihitajika kuiboresha kazi hii. Kwa hiyo Maulana Muzaffar Ahmad Durrani, Amir na Mbashiri Mkuu wa Tanzania amepanga taratibu mpya ya maombi pamoja na matamshi yake kwa herufi za Kilatini. Vile vile jina la Mtume anayehusika na dua fulani limeelezwa. Bw. Abdulrahman M. Ame, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya Tanzania kwa shauku kubwa amefanya upangaji na uwekaji wake na masahihisho yake kwenye kompyuta. Mwenyezi Mungu Awasaidie na Awabariki wahusika wote, Amin. 6
7 Ünûuô $Ö] àô ÛF uû $Ö] ²ô ] Üô Šû eô MWENYEZI MUNGU HUKUBALI MAOMBI Mwenyezi Mungu ambaye ni Muumbaji wa ulimwengu wote anao uhusiano wa kudumu na kila Alichokiumba. Uhusiano huo ni wa Muumbaji na viumbe Vyake, na wa Mwabudiwa na watumishi Wake. Basi ni jukumu la kila mtu kuuimarisha uhusiano huo. Mwenyezi Mungu kwa fadhili na hisani zake, anawahurumia watu wake na anawakurubia. Njia moja ya kuudumisha uhusiano huu ni kumuomba Mwenyezi Mungu. Bali Mwenyezi Mungu Mwenyewe Amehimiza juu ya jambo hili kwamba tusighafilike kumuomba Mwenyezi Mungu. Mtume Mtukufu Muhammad s.a.w. aliamrishwa aseme kwamba: Üû Òö æ.«âø ö Ÿøçû Öø oû eô ø Üû Óö eô ]ç.føãûmø ^Úø Øû Îö "Sema: Mola wangu hangewajalini kama si 7
8 kuomba kwenu." (25:78). Yaani Mwenyezi Mungu anaonesha huruma nyingi kwa sababu ya maombi ya watu. Tena ameeleza kwamba ni Yeye ambaye anakubali maombi ya wenye matatizo. Kasema kwamba: ðøç?š% Ö] Ìö ô Óû møæø åö^âø ø ]ƒø]ô $_ø û Ûö Öû] gö nûrô m% àû Ú$ ]ø " Au n i nani a naye mj i b u al i yed hiki ka amwombapo na kuondoa dhiki." (27:63). Yaani ni Mwenyezi Mungu ambaye anakubali maombi yetu na anaondoa matatizo na dhiki z e t u. N i Y e ye t u a m b a ye t u n a weza kumkumbuka na kumuomba wakati wa mahitaj i yetu. B ali Yeye ametuamrisha kumuomba kwa faida yetu na ametuahidi kwamba atakubali maombi yetu. Mwenyezi Mungu ametuelezea kupitia Mtume Mtukufu Muhammad s.a.w. masharti ya 8
9 kukubalika maombi, amesema kwamba: á ô ^Âø ø ]ƒø]ô Å ô ] $ Ö] éøçø Âû ø gö nûqô ]ö gº mû ôîø oû Þô^ôÊø oû ßôÂø pû ô^føâô Ôø Öø^ø ø ]ƒø]ôæø áø æû ö ö ûmø Üû `ö $ÃøÖø oû eô ]çû ßöÚôç+ nööûæø oöô ]çfönûrô jøšû nø û Êø "Na watu wangu watakopokuuliza juu yangu, basi hakika mimi nipo karibu. Nayaitika maombi ya mwombaji anaponiomba. Basi waniitikie na waniamini ili wapate kuongoka." (2:187). Katika aya hii Mwenyezi Mungu ametubashiria kwamba Yeye yupo karibu sana na hukubali na h u j i b u m a o m b i y a w a t u, w a k a t i wanapomwomba. Lakini kwa ajili ya kukubali maombi ameweka masharti mawili. 1. Watu na waombaji waniitikie Mimi (Allah), yaani watu wafuate amri Zangu na watekeleze wajibu wao kulingana na mafundisho Yangu. 2. Waombaji waniamini Mimi (Allah). Yaani imani yao iwe imara juu ya Mwenyezi Mungu na w a s i m s h i r i k i s h e n a c h o c h o t e w a l a 9
10 wasimtegemee yeyote minghairi ya Mwenyezi Mungu. Imani yao iwe ya hali ya juu. Na haya ni masharti mawili na njia sahihi ili wapate kuongoka. Kisha Mwenyezi Mungu ametufundisha adabu na taratibu za kumwomba amesema kwamba: nûfô ø Ôø ÖôƒF àø nûeø È ô jøeû]æø ^`ø eô kû Êô^íø iö Ÿøæø Ôø iô ø ø eô û`ø rû iø Ÿøæø Wala usiseme dua zako kwa sauti kubwa, wala usiseme kwa sauti ndogo bali ushike njia baina ya hizo." (17:111). Yaani Mwenyezi Mungu yu karibu na Msikiaji sana. Kwahiyo haina maana kupiga makelele wakati wa kumwomba. Lakini kwa ajili ya kuondoa usingizi na fikra mbalimbali tunafundishwa kuomba kwa sauti ndogo. Katika kurasa zijazo tunawaletea wasomaji 10
11 wetu maombi ya Qur'an Tukufu. Maombi haya m e n g i n i y a M a n a b i i w a z a m a n i waliyofundishwa na Mwenyezi Mungu kumuomba. Kwa hiyo tumeandika kabla ya dua kwamba dua hii iliombwa na Nabii fulani. Baadhi ya maombi, kwa uchache sana, ni ya watu wema wengine. Na maombi mengine ni ya l e a l i yo f undishwa M t u me M t u ku f u Muhammad s.a.w. Mwenyezi Mungu atuj aalie kumuomba Muumbaji wetu na kumshukuru j uu ya aliyotusaidia katika mambo yote. Amin. Sheikh Muzaffar Ahmad Durrani Dar es Salaam
12 1. OMBI KABLA YA MAOMBI M Ünûuô $Ö] àô ÛF uû $Ö] ²ô O Üô nûuô $Ö] àô ÛF uû $Ö] Q àö nûãôjøšû Þø Õø ^m$]ô æø ö föãûþø Õø ^m$]ô Üồnû øâø kø Ûû ÃøÞû]ø àø mû ô Ö$] ½ø ] ø ô S àø nûöô«$ Ö]Ÿø æø ] Üô Šû eô N àø nûûô øãf Öû] hô ø äô #Öô ö Ûû vø Öû]ø P àô mû ô Ö] Ýôçû mø Ôô ôúf R Üø nûïôjøšû Ûö Öû] ½ø ] ø ô Ö]^Þø ô aû ]ô Üồnû øâø hô çû ö ÇûÛø Öû] ônûæø Matamshi: Bismillahir Rahmaanir Rahiim. Alhamdulillaahi Rabbil 'Alamiin Arrahmaanir Rahiim. Maaliki yawmid Diin. Iyyaka na'budu waiyyaka nastaiin. I h d i n a s S w i r a a t w a l m u s t a q i i m. Swiraatwalladhiina An'amta alaihim ghairil maghdhuubi 'alaihim waladhdhaaliin. Tafsiri: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwingi wa ukarimu. Sifa zote njema zinamhusu Mwenyezi Mungu, Mola wa 12
13 walimwengu, Mwingi wa rehema, Mwingi wa ukarimu, Mmiliki wa siku ya malipo. Wewe tu twakuabudu, na Wewe tu twakuomba msaada. Utuongoze njia iliyonyooka. Njia ya wale U l i o w a n e e m e s h a ; s i y o y a w a l e walioghadhibikiwa, wala siyo ya wale waliopotea. 2. DUA YA KUONGEZEWA ELIMU ^Û ûâô oû Þô û ô hô $ Matamshi: Rabbi zidnii Ilmaa. Tafsiri: Mola wangu, nizidishie elimu. (20:115) 3. MAOMBI KWA AJILI YA WAZAZI A. (Dua ya Nabii Ibrahim a.s.) hö ^Šø vô Öû] Ýöçû Ïömø Ýøçû mø àø nûßôúôç+ûö ûöôæø p$ ø Öô ]çø Öôæô oû Öô ûëôæû ] ^ßøe$ ø Matamshi: Rabbanaghfirlii waliwaalidayya 13
14 walilmu'miniina yauma yaquumulhisaab. Tafsiri: Ee Mola wangu unisamehe mimi na wazazi wangu na wale walioamini siku ya kusimama hesabu. (14:42). ] nûçô ø oßônfe$ ø ^Ûø Òø ^Ûø `ö Ûû uø û] hô $ B. Matamshi: Rabbir hamh umaa kama a rabbaya ani swaghiira. Tafsiri: Ee Mola wangu uwarehemu hawa wawili (wazazi wangu) kama walivyonilea nilipokuwa mdogo. (17:25). 4. KUOMBA GHOFIRA YAKO NA YA W A Z A Z I N A Y A W A A M I N I O N A MAANGAMIZO YA WADHALIMU (Dua ya Nabii Nuhu a.s.). ànûßôúôç+ Ûö ûöô æ$ ^ß Úô ç+úö oø jônûeø Øø ìø ø àû Ûø Öôæø $ ø Öô ]çø Öôæø oû Öô ûëôæû ] hô $ 14
15 ] ^føiø Ÿ$ ]ô àø nûûô ô # Ö] ôˆôiø Ÿø æø kô ßFÚôç+Ûö Öû] æø Matamshi: Rabbighfirlii waliwaalidayya w a l i m a n d a k h a l a b a i t i y a m u ' m i n a n walilmu'miniina walmu'minaati walaa tazidi dhdhaalimiina illa tabaaraa. Tafsiri: Ee Mola wangu nighofirie mimi na wazazi wangu na wale walioamini miongoni mwa wanaume na wanawake na usiwazidishie wadhalimu ila maangamizo. (71:29). 5. DUA KWA AJILI YA WAAM INIO WALIOTANGULIA oû Êô Øû Ãørû iø Ÿø æø á ô ^Ûø mû û ô eô ^Þøçû Ïöfø ø àø mû ô Ö$] ^ßøÞô]çø ìû û ô æø ^ßøÖø ûëôæû ] ^ßøe$ ø ܺnûuô $ ͺ çñö ø Ôø Þ$]ô «ßøe$ ø ]çßöúø! àø mû ô $Öô &Æô ^ßøeôçû öîö Matamshi: Rabbanaghfirlanaa wal ikhwaanina lladhiina sabaquuna bil iimaan walaa taj al fii 15
16 quluubinaa ghilla lilladhiina aamanu, Rabbanaa innaka Rauufur Rahiim. Tafsiri: Mola wetu, Utughofiri pamoja na ndugu zetu waliotutangulia katika imani wala Usiweke mafundo katika mioyo yetu kwa walioamini; Mola wetu, hakika Wewe ni Mpole sana. Mwenye rehema. (59:11). 6. MAOMBI YA KUPATA UWEZO WA KUSHUKURU A. (Dua ya Nabii Suleiman a.s.). áû ]øæø p$ ø Öô ]æø o FÂø æø o$ øâø kø Ûû ÃøÞû]ø o? jôö$] Ôø jøûø ÃûÞô øóö û ]ø áû ]ø o? ßôÂû ôæû ]ø hô àø nûvô ô # Ö] Õø ô ^føâô oêô Ôø jôûø uû øeô oßô ûìô û ]øæø äö F ûiø ^v Öô^ ø Øø Ûø Âû ]ø Matam shi: Rabbi auz enii an ashkura ne'matakal latii an amta 'alayya wa 'alaa waalidayya wa an a'mala swaalihan tardhaahu wa ad'khlinii bi rahmatika fii ibaadikas swalihiin. $ 16
17 T af sir i: Ee Mola wangu, Unipe n guvu nishukuru neema Zako Ulizonineemesha mimi na wazazi wangu, na nipate kufanya vitendo vizuri vikupendezavyo, na Uniingize kwa rehema Zako katika watumishi Wako wema. (27:20). B. (Dua ya Nabii Musa a.s.) áû ]øæø p$ ø Öô ]æø o FÂø æø o$ øâø kø Ûû ÃøÞû]ø o? jôö$] Ôø jøûø ÃûÞô øóö û ]ø áû ]ø o? ßôÂû ôæû ]ø hô àø Úô oû Þô]ôæø Ôø nûöø]ô kö fûiö oû Þô]ô oû jôm$ ôƒö oû Êô oû Öô xû ô û ]øæø äö F ûiø ^v Öô^ ø Øø Ûø Âû ]ø àø nûûô ôšû Ûö ] Matam shi: Rabbi auz enii an ashkura ne'matakal latii an amta 'alayya wa 'alaa waalidayya wa an a'mala swaalihan tardhaahu wa aslih lii fii dhurriyyatii innii tubtu ilaika wa innii minal muslimiin. Tafsiri: Ee Mola wangu, Uniwezeshe nishukuru neema Zako ulizonineemesha mimi na wazazi Öû $ 17
18 wan gu, n a i l i ni fanye vitendo vizuri Unavyovipenda, na Ukanifanyie wema katika watoto wangu; kwa yakini ninatubu Kwako; na hakika mimi ni miongoni mwa waliosilimu. (46:16) 7. D U A W A K A T I W A K U P A N D A MERIKEBU AU CHOMBO CHOCHOTE A. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.) ܺnûuô $ ºçû ËöÇøÖø oû e( ø á$ ]ô ^`ø F ûúöæø ^`ø m ôrû Úø ²] Üô Šû eô Matamshi: Bismillahi Majreehaa wamursaahaa inna rabbii laghafuurur Rahiim. Tafsiri: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, kuwe kwenda kwake na kusimama kwake, hakika Mola wangu ni Msamehevu sana, Mrehemevu. (11:42). ^ß$eô ø of Ö]ô ^Þ$]ôæø àø nûþô ôïûúö äüöø ^ß$Òö ^Úøæø ] ø af ^ßøÖø øí$ ø pû ô Ö$] àø vf fû ö áø çû fö ôïøßûûö Öø 18
19 B. Matamshi: Subhaanal ladhii sakhkhara l anaa h a adhaa w amaa kunnaa l ahuu m u q r i n i i n a w a i n n a a i l a a r a b b i n a a lamunqalibuun: Tafsiri: Atukuzwe yeye aliyetutiishia haya na tusingaliweza kutenda haya wenyewe. Na bila shaka sisi tunarudia kwa Mola wetu.(43:14-15). 8. DUA YA KUPATA UFAULU KATIKA MAHUBIRI. (Dua ya Nabii Musa a.s.) p ôúû ]ø oû Öô ûšô møæø û p ô û ø oöô û ø û ] hô $ oû Öôçû Îø ]ç`öïøëû mø oû Þô ^Šø Öô àû Úô é ø ÏûÂö Øû öuû ] æø Matamshi: Rabbish rahlii swadrii wayassirlii amrii wahlul uqdatan millisaani yafqahuu qaulii. Tafsiri: Mola wangu! Unipanulie kifua changu. 19
20 Na Unifanyie rahisi kazi yangu. Na ufungue kifungo katika ulimi wangu. Wapate kufahamu kauli yangu. (20:26-29). 9. DUA YA KUOKOLEWA KATIKA WASIWASI WA SHETANI àô nû_ô nf $ Ö] lô ˆF Ûø aø àû Úô Ôø eô ƒöçû Âö ]ø hô á ô æû ö ö vû m$ áû ]ø hô ø Ôeô ƒöçû Âö ]ø æø Matamshi: Rabbi auudhubika min hamazaati sh shayaatw iin w aa uudhubika rabbi an yyahdhuruun. Tafsiri: Mola wangu najikinga kwako uniepushe na wasiwasi wa mashetani. Na n a j i k i n g a K w a k o M o l a w a n g u i l i wasinihudhurie. (23:98-99). $ 20
21 10. DUA YA KUINGIA KATIKA MAKAZI M A P Y A N A Y A K U T O K A K W A HESHIMA A. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.) àø nûöôˆôßûûö Öû] önûìø kø Þû]øæ$ ^Ò øffú% Ÿ ˆøßûÚö oßôöûˆôþû]ø hô M a t a m s h i : R abbi a n z i l n i i M u n z a l a n Mubaarakan wa anta khairul Munziliin. Tafsiri: Mola wangu uniteremshe uteremsho wenye baraka, maana wewe ni mbora wa wateremshao. (23:30). ø àû Úô oû Öô Øû Ãøqû ]æ$ Ñõ û ô tø øíû Úö oßôqû ôìû ]øæ$ Ñõ û ô Øø ìø û Úö oßô ûìô û ]ø hô ] nû ô Þ$ ^ß _6 û ö Ôø Þû ö Ö$ B. Matamshi: Rabbi Ad khilnii mud'khala swidiqin wwa akhrij'nii mukhraja swidiqin wwaj allii milladunka sultwanan naswiira. ø 21
22 Tafsiri: Mola wangu uniingize mwingizo mwema, na Unitoe kutoka kwema. Na unipe nguvu kutoka Kwako isaidiayo. (17:81). 11. DUA YA KUPAT A M S AADA WA MWENYEZI MUNGU A. (Dua ya watu wa pango). ] ø ø ^Þø ôúû]ø àû Úô ^ßøÖø û aø n ô æ$ è Ûø uû ø Ôø Þû ö Ö$ àû Úô ^ßøiô!«ßøe$ ø Matamshi: Rabbanaa aatinaa milladunka rahmatan wwahayyi'i lanaa min amrinaa rashadaa. Tafsiri: Mola wetu utupe rehema kutoka Kwako na ututengenezee mwongozo katika jambo letu. (18:11). B. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.). û ô jøþû ^Êø hº çû öçûúø oû Þô ]ø 22
23 Matamshi: Annii maghluubun fantaswir. Taf siri: K wa hakika nimeshindwa basi unisaidie. (54:11). C. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.). á ô çû eö $ Òø ^Ûø eô oû Þô û ö Þû] hô M a t a m s h i : R a b b i n s w u r n i i b i m a a kadhdhabuun. Tafsiri: Mola wangu unisaidie kwa sababu wamenikadhibisha. (23:27). 12. DUA YA KUOMBA MSAMAHA NA MWISHO MWEMA ø ^ßøe$ ø ^ß$Úø^F Êø Üû Óö eô øeô ]çû ßÚô! áû ]ø á ô ^Ûø mû û ô Öô pû ô^ßøm% ^m ô^ßøúö ^ßøÃûÛô ø ^ßøÞ$]ô «ßøe$ ø ô] øeûÿø ]û Äø Úø ^ßøÊ$çø iøæø ^ßøiô ^Fn ô ø ^ß$Âø ûëôòø æø ^ßøeø çû Þöƒö ^ßøÖø ûëôæû ^Êø 23
24 Ôø Þ$]ô èôûø nfïôöû] Ýøçû mø ^Þøˆôíû iö Ÿø æø Ôø ô ö ö o øâø ^ßøiø û Âø æø ^Úø ^ßøiô!æø ^ßøe$ ø ø^ãønûûô Öû] Ìö ôíû iöÿø Matamshi: Rabbanaa Innanaa sami enaa munaadiyay yunaadii lil iimaani an`aaminuu birabbikum fa`aamannaa - Rabbanaa faghfir l a n a a d h u n u u b a n a a w a k a f f i r a n n a a sayyiaatinaa watawaffanaa ma al'abraar. Rabbanaa wa-aatinaa maa wa adtanaa 'alaa rusulika walaa tukhzinaa yaumal qiyaamati innaka laa tukhliful mi aad. Tafsiri: Mola wetu, hakika tumesikia Mwitaji anayeita kwenye imani ya kwamba mwaminini Mola wenu, kwa hiyo tumeamini. (Kwa hiyo) Mola wetu, Utusamehe madhambi yetu na Utuondolee maovu yetu na wakati wa kifo chetu Utuunganishe pamoj a na watu wema. Mola wetu, na Utupe Uliyotuahidi kwa Mitume Wako, wala Usitufedheheshe siku ya Kiyama; 24
25 bila shaka Wewe huvunji miadi. (3: ). B. (Dua ya wachawi waliomwamini Nabii Musa a.s.) àø nûûô ôšû Úö ^ßøÊ$çø iøæ$ ] fû ø ^ßønû øâø Éû ôêû]ø «ßøe$ ø Matamshi: Rabbanaa afrigh alainaa swabran wwa tawaffanaa muslimiin. Tafsiri: Mola wetu tumiminie subira na utufishe Waislamu (watii) (7:127). 13. DUA YA KUOMBA GHOFIRA NA REHEMA YA MWENYEZI MUNGU A. (Dua ya Nabii Musa a.s.) àø mû ôëôçf Öû] önûìø kø Þû]øæø ^ßøÛû uø ûæø ^ßøÖø ûëôæû ^øê ^ßøn%Öôæø kø Þû]ø Matamshi: Anta waliyyunaa faghfirlanaa warhmanaa wa anta khairul ghaafiriin. 25
26 Tafsiri. Wewe ndiwe Mlinzi wetu basi tusamehe na Uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa kughofiri. (7:156). àø nûûô uô #Ö] önûìø kø Þû]øæø ^ßøÛû uø û ]æø ^ßøÖø ûëôæû ^øê ^ß$Úø! «ßøe$ ø B. Matamshi: Rabbanaa aamannaa faghfir lanaa warhamnaa wa anta khairur Raahimiin. Tafsiri: Mola wetu tumeamini, basi tusamehe n a t u r e h e m u n a w e n d i w e M b o r a w a wanaorehemu (23:110). àø nûûô uô #Ö] önûìø kø Þû]øæø Üû uø û ]æø ûëôæû ] hô ø C. Matamshi: Rabbi ghfir warham wa anta khairur Raahimiin: Tafsiri: Mola wangu samehe na rehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanaorehemu (23:119). 26
27 14. DUA YA KUPATA NURU KAMILI NA GHOFIRA YA MWENYEZI MUNGU ºmû ô Îø û õ ø Øô Òö o FÂø Ôø Þ$]ô ^ßøÖø ûëôæû ]æø ^Þø øçû Þö ^ßøÖø Üû Ûô iû]ø «ßøe$ ø Matamshi: Rabbanaa Atmim lanaa nuuranaa waghfir lanaa innaka alaa kulli shai in Qadiir. Tafsiri: Mola wetu Ututimizie nuru yetu na Utughofirie, hakika wewe ni Mwenye uwezo juu ya kila kitu.(66:9). 15. DUA YA KUOMBA MSAMAHA NA MSAADA DHIDI YA MAKAFIRI ^ß ø nû ø Âø Ø û Ûôvû i ø Ÿ ø æø ^ß ø e$ ø ^Þ ø^û_ ø ì û ]ø æû ] ø «ß ø nûšô Þ $ áû ]ô «Þ ø û ìô ]ç* i ö Ÿ ø ^ß ø e$ ø ^Úø ^ß ø û Ûôvø i ö Ÿ ø æø ^ß ø e$ ø ^ß ø ôfûî ø àû Úô àø mû ôö $ ] o ø Âø äü j ø û Ûøuø ^ÛøÒ ø ] û ]ô ^ß ø Ö F çû Úø kø Þ û ] ø ^ß ø Ûû uø û ]æø ^ß ø Ö ø û ËôÆ û ]æø àø ^ß $ Âø Ìö Âû ]æø äeô ^ß ø Ö ø è ø Î ø^ ø Ÿ ø mû ôëôó F Ö û ] Ýô çû Ï ø Ö û ] o ø Âø ^Þ ø û ö Þ û^ Ê ø 27
28 A. Matamshi: Rabbanaa laa tuaakhidhnaa inna siinaa au akhtwa'naa. Rabbanaa walaa tahmil alainaa iswran kamaa hamaltahuu alalladhiina min qablinaa. Rabbanaa walaa tuhammilnaa maa laa twaaqatalanaa bihi. Wa fu annaa waghfirlanaa warhamnaa. Anta maulaanaa fansurnaa alalqaumil kaafiriin. Tafsiri: Mola wetu, Usitushike kama tukisahau au tukikosa, Mola wetu, na Usitubebeshe mzigo kama Ulivyowabebesha wale waliokuwa kabla yetu. Mola wetu, Usitutwike tusiyoyaweza, na Utusamehe, na Utughofirie, na Uturehemu; Wewe ndiwe mlinzi wetu; basi Utusaidie juu ya watu makafiri. (2:287). ^ß ø Úø] øî û ] ø kû fô$ ø æø ^Þ ø ôúû ] o?êô ^ß ø Ê ø ] ø û ]ôæø ^ß ø eøçþ ö ƒ ö ^ß ø Ö ø û ËôÆ û ]^ß ø e$ ø øàmû ôëôó F Ö û ] Ýô çû Ï ø Ö û ] o ø Âø ^Þ ø û ö Þ û æø B. M a t a m s h i : R a b b a n a g h ' f i r l a n a a dhunuubanaa wa israafanaa fii amrinaa wa 28
29 thabbit aqdaamanaa wanswurnaa alal-qaumil kaafiriin: Tafsiri: Mola wetu tughofirie madhambi yetu na kupita kwetu kiasi katika mambo yetu na Uimarishe miguu yetu na Utusaidie juu ya watu makafiri.(3:148). 16. DUA YA K UPATA S UBIRA NA NUSURA JUU YA MAKAFIRI Ýô çû Ï ø Ö û ] o ø Âø ^Þ ø û ö Þ û æø ^ß ø Úø] øî û ] ø kû fô$ ø æ$ ] fû ø àø mû ôëôó F Ö û ] ^ß ø nû ø Âø É û ôê û ø ]«ß ø e$ ø Matamshi: Rabbanaa afrigh alainaa swabran w w a t h abbi t aqdaamanaa w answurna Alal-qaumil kaafiriin: Tafsiri: Mola wetu tumi mini e sub ira n a Uimarishe miguu yetu na Utusaidie juu ya watu makafiri.(2:251). 29
30 17. DUA YA KUOMBA GHOFIRA YAKO NA YA KAKA YAKO (Dua ya Nabii Musa a.s.) àø nûûô uô #Ö] Üö uø û]ø kø Þû]øæø Ôø jôûø uû ø oû Êô ^ßø ûìô û ]øæø oû ìô Ÿôæø * oû Öô ûëôæû ] hô Matam shi: Rabbi gh' firlii waliakhii wa ad'khilnaa fii rahmatika wa anta Arhamur Raahimiin. Tafsiri: Mola wangu unisamehe mimi na ndugu yangu, na Utuingize katika rehema zako maana Wewe ndiwe M rehemevu zaidi kuliko wanaorehemu. (7:152). 18. DUA YA KUTOKUWA MKIWA (Dua ya Nabii Zakaria a.s.) àø nû$ô ôçf Öû] önûìø kø Þû]øæ$ ] ûêø oû Þô û ø iøÿø hô ø Matamshi: Rabbii laa tadharnii fardan wwa ø 30
31 anta khairul waarithiin. Tafsiri: Mola wangu usiniache peke yangu; na Wewe ndiwe Mbora wa wanaorithi. (21:90). 19. DUA YA KUTOA MTOTO WAKFU WAKATI BADO YUKO TUMBONI (Dua ya Bibi Mariamu) kø Þû]ø Ôø Þ$]ô oû ßôÚô Øû f$ïøjøêø ] $vø Úö oû ßô_û eø oû Êô ^Úø Ôø Öø lö û ø Þø oû Þô]ô hô Üöºnû ôãøöû] nûûô Š$ Ö] Äö ø Matamshi: Rabbi Innii nadhartu laka maa fii batwnii Muharraran fataqabbal minnii, Innaka antas samiiul 'aliim. Tafsiri: Mola wangu hakika nimeweka nadhiri Kwako aliyomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. B ila shaka W ewe ndiwe Usikiaye, Ujuaye. (3:36). 31
32 20. DUA YA KUOMBA KIZAZI CHEMA A. (Dua ya Nabii Ibrahim a.s.). àø nûvô ô # Ö] àø Úô oû Öô gû aø hô ø Matamshi: Rabbi hab lii minasswaalihiin: Tafsiri: Mola wangu nipe (mwana) miongoni mwa watendao wema. (37:101). B. (Dua ya Nabii Zakaria a.s.) ðô«âø % Ö] Äö nûûô ø Ôø Þ$]ô è føn ô ø è m$ ôƒö Ôø Þû ö Ö$ àû Úô oû Öô gû aø hô ø Matam shi: Rabbi hab lii min ladunka dhurriyyatan twayyibatan Innaka samiiu ddu'aa Tafsiri: Mola wangu unipe kutoka Kwako wazao wazuri; kwa yakini wewe ndiwe usikiaye maombi. (3:39). C. Dua ya Nabii Zakaria a.s. ^n&öôæø Ôø Þû ö Ö$ àû Úô oû Öô gû aø 32
33 Matamshi: Hab lii min ladunka waliyyaa. Tafsiri: (Mola wangu) Unipe mrithi kutoka Kwako. (19:6). 21. DUA KWA AJILI YA AHLI NA WATOTO A. (Dua ya Nabii Ibrahim a.s.) ^Þø ô]øæø Ôø Ö$ è Ûø ôšû Ú% è Ú$]ö «ßøjôm$ ôƒö àû Úôæø Ôø Öø àø nûûø ôšû Úö ^ßø ûãøqû ]æø ^ßøe$ ø Üö nûuô $Ö] hö ]ç$j$ö] kø Þû]ø Ôø Þ$]ô ^ßønû øâø gû iöæø ^ßøÓø ô ^ßøÚø Matamshi: Rabbanaa waj alnaa muslimaini l a ka w amin d h u rriy yat i n aa umma t a n mmuslimatan llaka, wa arinaa manaasikanaa watub alainaa innaka antat tawwaabur Rahiim. Tafsiri: Ee Mola wetu, Utufanye tuwe wajitupao Kwako, na miongoni mwa wazao wetu pia Uwafanye watu wajitupao Kwako. Na Utuonyeshe njia za ibada yetu na Utuelekee; bila 33
34 shaka Wewe ndiwe Mwelekevu, Mrehemevu. (2:129). ^Ú ^Úø]ô àø nûïôj$ûö ûöô ^ßø ûãøqû æ$ àõ nöâû ]ø éø $Îö ^ßøjôm# ôƒöæø ^ßøqô ]æø û]ø àû Úô ^ßøÖø gû aø ^ßøe$ ø B. Matam shi: Rabbanaa hab lanaa min az'waajinaa wadhurriyyaatinaa qurrata a yunin waj alnaa lilmuttaqiina imaamaa. Tafsiri: Mola wetu utupe katika wake zetu na watoto wetu yaburudishayo macho, na Utujaalie kuwa viongozi kwa wamchao (Mungu).(25:75). 22. DUA KWA AJILI YA KUSALI WEWE NA WAZAO WAKO (Dua ya Nabii Ibrahimu a.s.). ðô«âø ö Øû f$ïøiøæø ^ßøe$ ø ojôm$ ôƒö àû Úôæø éôç F $ Ö] Üø nûïôúö oû ßô ûãøqû ] hô Matamshi: Rabbij'alnii muqiima sswalaati wa min dhurriyyatii. Rabbanaa wa taqabbal du aa. ø 34
35 Tafsiri : M ola wangu unijaalie niwe msimamisha sala na wazao wangu (pia); Mola wetu na Upokee maombi yangu. (14:42). 23. DUA YA KUPATA AMANI YA MJI NA KUJIEPUSHA NA IBADA YA MASANAMU (Dua ya Nabii Ibrahim a.s.) Ýø ^ßø û Ÿû] ø ø föãûþ$ áû ]ø o$ ßôeøæø oû ßôfûßöqû ]æ$ ^ß Úô! ø øføöû] ] ø af Øû Ãøqû ] hô Matamshi: Rabbij'al haadhal balada aaminan wwaj'nubnii wabaniya an na'buda l'aswnaam. Tafsiri: Mola wangu, Ujaalie mji huu uwe wa amani, na Unitenge mimi na wanangu tusiabudu masanamu. (14:36). 24. DUA YA KUPATA RIZIKI (Dua ya Nabii Isa a.s.) ^ßøÖôæ$]ø Ùô ] nûâô ^ßøÖø áö çû Óö iø ðô«ûø Š$ Ö] àø Úô é ø ñô«úø ^ßønû øâø Ùû ˆôÞû]ø «ßøe$ ø Ü$ `ö #Ö]ø àø nûîô ô #Ö] önûìø kø Þû]øæø ^ßøÎû ö û]æø Ôø ßûÚô è mø!æø ^Þø ôìô! æø ø 35
36 Matamshi: Allaahumma Rabbanaa Anzil Alainaa Maaidatan mminassamaai takuunu lanaa 'iiddaliawwalinaa wa aakhirinaa wa aayatan mminka warzuqnaa wa anta khairur Raaziqiin. Tafsiri: Mola wetu, tuteremshie chakula kutoka mbinguni ili kiwe sikukuu kwa ajili ya wa mwanzo wetu na wa mwisho wetu, na kiwe Ishara itokayo Kwako, na Uturuzuku, kwani Wewe ni Mbora wa wanaoruzuku. (5:115). 25. DUA YA KUTOPOTEA BAADA YA KUONGOKA Ôø Þ$]ô è Ûø uû ø Ôø Þû ö Ö$ àû Úô ^ßøÖø gû aø æø ^ßøjømû ø aø ƒû ]ô ø Ãûeø ^ßøeøçû öûîö Éû ˆôiö Ÿø hö ^a$ çø Öû] kø Þû]ø Matamshi: Rabbanaa laa tuzigh quluubanaa ba ada idh hadaitanaa wa hab lanaa milladunka rahmatan, Innaka antal Wahhaab. ^ßøe$ ø 36
37 Tafsiri: Mola wetu usiipotoshe mioyo yetu baada ya Kutuongoza, na Utupe rehema kutoka Kwako, hakika Wewe ndiwe Mpaji Mkuu.(3:9). 26. DUA YA KUOKOLEWA KATIKA MJI AMBAO WATU WAKE NI WADHALIMU NA KUPATA MSAIDIZI KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU ^n&öôæø Ôø Þû ö Ö$ àû Úô ^ßøÖ$ Øû Ãøqû æø ^`ø öaû ]ø Üô Öô^ $ Ö] èômø ôïøöû] åô ô af àû Úô ^ßøqû ôìû ]ø «ßøe$ ø ] nû ô Þø Ôø Þû ö Ö$ àû Úô ^ßøÖ$ Øû Ãøqû æ$ Matamshi: Rabbanaa Akh rijnaa min haadhihil qaryati dhdhaalimi ahluhaa. Waj allanaa minlladunka waliyyaa, waj allana milladunka naswiiraa. Tafsiri: Mola wetu Ututoe katika mji huu ambao watu wake ni wadhalimu, na Utujaalie mlinzi kutoka Kwako, na Utujaalie msaidizi kutoka Kwako. (4:76). 37
38 27. DUA YA UPAMBANUO BAINA YA HAKI NA BATILI (Dua ya Nabii Shuaib a.s.) àø nûvô jôëf Öû] önûìø kø Þû]ø æø Ðô vø Öû^eô ^ßøÚôçû Îø àø nûeøæø ^ßøßønûeø xû jøêû] ^ßøe$ ø Matamshi: Rabbana-ftah bainanaa wa baina Qauminaa bilhaqqi wa anta khairul faatihiin. Tafsiri: Mola wetu hukumu baina yetu na baina ya kaumu yetu kwa haki, nawe ndiwe Mbora wa wanaohukumu. (7:90). 28. DUA YA KUOKOLEWA NA WATU WADHALIMU (Dua ya watu wa Peponi). àø nûûô ô # Ö] Ýôçû ÏøÖû] Äø Úø ^ßø ûãørû iø Ÿø ^ßøe$ ø Matamshi: Rabbanaa laa taj alnaa ma alqaumi dhdhaalimiin. 38
39 Tafsiri: Mola wetu Usituweke pamoja na watu wadhalimu. (7:48). àø nûûô ô¾# ] Ýôçû ÏøÖû] àø Úô oû ßôrô Þø hô ø Matam shi: Rabbi Najjinii minal qaumi dhdhaalimiin. Tafsiri: Mola wangu niokoe katika watu wadhalimu.(28:22) D U A Y A K U J I E P U S H A N A WADHALIMU (Dua ya Nabii Musa a.s.) àø nûûô ô # Ö] Ýôçû ÏøÖû] oêô oû ßô ûãørû iø ø Êø hô ø Matamshi: Rabbi falaa taj alnii Fil qaumi dhdhaalimiin Tafsiri: Mola wangu usinijaalie katika watu wadhalimu.(23:95). 39
40 30. DUA YA WOKOVU KATIKA HILA ZA WAPINZANI (Dua ya Nabii Luti a.s.) áø çû öûø Ãûmø ^Û$ Úô o ôaû ]øæø oû ßôíô Þø hô Matamshi: Rabbi Najjinii wa ahlii mimmaa yaamaluun. Tafsiri: Mola wangu, Uniokoe mimi na ahali zangu katika yale wanayoyafanya.(26:170). 31. DUA YA KUOMBA GHOFIRA BAADA YA KUKOSEA (Dua ya Nabii Musa a.s.) oû Öô ûëôæû ^Êø oû Šô ËûÞø kö Ûû ø¾ø oû Þô]ô hô Matamshi: Rabbi Innii dhalamtu nafsii faghfir lii. ø ø 40
41 Tafsiri: Mola wangu nimedhulumu nafsi yangu basi nighofirie.(28:17). 32. DUA YA KUOKOLEWA KATIKA FITINA YA MAKAFIRI NA WAFISADI A. (Dua ya watu wa Nabii Musa a.s.). Ô ø jôûøuû øeô ^ß ø rô Þ ø æø àø nûûô ô # Ö] Ýô çû Ï ø û Öô è ß ø j û Êô ^ß ø û Ãørû i ø Ÿ ø ^ß ø e$ ø àø mû ôëôó F Ö û ] Ýô çû Ï ø Ö û ] àø Úô Matamshi: Rabbanaa laa taj alnaa fitnatan lilqaumi dhdhaalimiin wa najjinaa birahmatika minal qaumil kaafriin. Tafsiri: Mola wetu usitufanye jaribio kwa watu wadhalimu. Na Utuokoe kwa rehema Yako na watu wadhalimu.(10:86-87). B. (Dua ya Nabii Lut a.s.) àø mû ô Šô ËûÛö Öû] Ýôçû ÏøÖû] o øâø oû Þô û ö Þû] hô ø 41
42 Matam shi: Rabbi n swurnii Alal Qaumil mufsidiin. Tafsiri: Mola wangu unisaidie juu ya watu wafisadi. (29:31). C. (Dua ya Nabii Ibrahim a.s.). kø Þû]ø Ôø Þ$]ô ^ßøe$ ø ^ßøÖø ûëôæû ]æø ]æû öëøòø àø mû ô $Öô è ßøjûÊô ^ßø ûãørû iø Ÿø Üö nûóô vø ] Öû]ˆömûˆôÃøÖû Matamshi: Rabbanaa laa taj alnaa fitnatan llilladhiina kafaruu waghfir lanaa Rabbanaa innaka antal Aziizul Hakiim. ^ßøe$ ø Tafsiri: Mola wetu, Usitufanye jaribio kwa wale waliokufuru, na Utughofiri, Mola wetu hakika Wewe ni mwenye nguvu, mwenye hekima. (60:6). 42
43 33. DUA YA KUOM BA M SAADA WA MWENYEZI MUNGU A. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.) û ô jøßûêø hº çû öçûúø oû Þô ]ø Matamshi: Innii Maghluubun fantaswir T a f s i r i : (M o l a w a n g u) k w a h a k i k a nimeshindwa basi nisaidie.(54:11). B. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.) á ô çû eö $ Òø ^Ûø eô oû Þô û ö Þû] hô ø M a t a m s h i : R a b b i n S w u r n i i b i m a a kadhdhabuun. Tafsiri: Mola wangu unisaidie kwa sababu wamenikadhibisha.(23:27). 43
44 34. DUA YA MAANGAMIO YA MAKAFIRI A. (Dua ya Nabii Nuhu a.s.) ] ^m$ ø àø mû ôëôó F Ö û ] àø Úô šô û Ÿ øû ] o ø Âø û ø i ø Ÿ ø hô Matamshi: Rabbi laa tadhar ala l'ardhi minal kaafiriina dayyaaraa. Tafsiri: Mola wangu usiache juu ya ardhi mkazi ye yote katika makafiri (71:27). B. (Dua ya Nabii Musa a.s.) Üû ồeôçû öîö o FÂø û ö û æø Üû ồöô]çø Úû]ø o? F Âø û Ûô û ] ^ßøe$ ø Matamshi: Rabbana tw'mis alaa am'waalihim wash'dud alaa quluubihim Tafsiri: Mola wetu, ziangamize mali zao na ishambulie mioyo yao. (10:89). ø 44
45 35. DUA YA KUOMBA WEMA KATIKA DUNIA NA AKHERA NA KUJIKINGA NA ADHABU YA MOTO ô^ß$ö] hø ] ø Âø ^ßøÎôæ$ è ßøŠø uø ôé øìô Ÿû] F oêô æ$ è ßøŠø uø ^nøþû % Ö] oêô ^ßøiô! «ßøe$ ø A. Matamshi: Rabbanaa aatinaa fii dduniya hasanatan wwafil aakhirati hasanatan wwaqinaa adhaaban naar. Tafsiri: Mola wetu utupe wema duniani na wema katika Akhera na Utulinde na adhabu ya Moto. (2:202). ô^ß$ö] hø ] ø Âø ^ßøÎôæø ^ßøeøçû Þöƒö ^ßøÖø ûëôæû ^Êø ^ß$Úø! «ßøÞ$]ô «ßøe$ ø B. Matamshi: Rabbanaa innanaa aamanaa faghfir lanaa dhunuubanaa waqinaa adhaaban naar. Tafsiri: Mola wetu hakika sisi tumeamini, basi 45
46 utughofirie madhambi yetu, na Utuepushe na Adhabu ya Moto.(3:17). ô^ß$ö] hø ] ø Âø ^ßøÏôÊø Ôø ßøvF fû ö ô ^eø ] ø af kø Ïû øìø ^Úø ^ßøe$ ø C. Matamshi: Rabbanaa maa khalaqta hadhaa baatwilan. Sub'haanaka faqinaa adhaaban naar. Tafsiri: Mola wetu Hukuviumba hivi bure; utukufu ni Wako, basi Utuepushe na adhabu ya Moto. (3:192). ^Ú ] øæø áø ^Òø ^`ø eø ] ø Âø á$ ]ô Üø ß$`ø qø hø ] ø Âø ^ß$Âø Íû ô û ] ^ßøe$ ø D. Matamshi: Rabbana-swrif 'annaa 'adhaaba Ja h a n n a m a i n n a ' a d h a a b a h a a k a a n a gharaamaa. Tafsiri: Mola wetu utuondolee adhabu ya Jahannam, bila shaka adhabu yake ndiyo iendeleayo. (25:66). 46
47 36. DUA YA KUPATA SUBIRA NA KIFO CHEMA (Dua ya wachawi waliomwamini Nabii Musa a.s.) àø nûûô ôšû Úö ^ßøÊ$çø iøæ$ ] fû ø ^ßønû øâø Éû ôêû]ø «ßøe$ ø Matamshi: Rabbanaa afrigh alainaa swabran wwatawaffanaa Muslimiin. Tafsiri: Mola Wetu tumiminie uvumilivu na Utufishe watii.(7:127). 37. DUA YA KUWA M TU M WEM A KUTAJWA KWA WEMA NA KUPATA PEPO (Dua ya Nabii Irahim a.s.) áø ^Šø Öô oû Öô Øû Ãøqû ]æø àø nûvô ô # Ö^eô oû ßôÏôvô Öû]øæ$ ^Û Óû uö oû Öô gû aø hô ø Üô nûãôß$ö] èôß$qø èô$ø øæ$ àû Úô oû ßô ûãøqû ] æø àø mû ôìô Ÿ6 ] oêô Ñõ û ô 47
48 Matamshi: Rabbi Hablii Hukman wwa alhiqnii bi sswaalihiin. Waj allii lisaana swidiqin fil a a k h i r i i n. W a j a l l i i m i n w w a r a t h a t i jannatin-naiim. Tafsiri: Mola wangu Unipe (nguvu ya kutoa) hukumu na Uniunge pamoja na watendao wema. Na unijaalie kutajwa kwa wema katika watu wa baadaye. Na Unijaalie katika warithi wa Bustani za neema. (26:84-86). 38. DUA YA KUPATA WEMA KATIKA DUNIA NA AKHERA (Dua ya Nabii Musa a.s.). Ôø nûöø]ô «Þø û aö ^Þ$]ô éô øìô Ÿû] F oêôæ$ è ßøŠø uø ^nøþû % Ö] åô ô af oû Êô ^ßøÖø gû jöòû ] æø Matamshi: Waktublanaa fii haadhihii dduniyaa hasanatan wwa fil aakhirati, Innaa hudnaa Ilaika. 48
49 Tafsiri: Na Utuandikie mema katika dunia hii na Akhera; bila shaka tumeelekea Kwako. (7:157). 39. DUA YA KUEPUSHWA KUOMBA JUU YA JAMBO USILO NA ELIMU NALO (Dua ya Nabii Nuhu a.s.) oû Öô û ËôÇû iø Ÿ$]ôæø ܺ ûâô äeô oû Öô ø nûöø ^Úø Ôø øòø û ]ø áû ]ø Ôø eôƒö çû Âö ]ø oû? Þô]ô hô àø mû ôšô íf Öû] àø Úô àû Òö ]ø oû? ßôÛû uø û iøæø Matamshi: Rabbi innii a'uudhubika an as'alaka maa laisa lii bihii 'ilmun wwaillaa tadhfirlii watarhamnii akun mminal khaasiriin. Tafsiri: Mola wangu, hakika mimi najikinga Kwako nisije kukuomba nisiyoyajua; na kama Hutanisamehe na kunirehemu, nitakuwa miongoni mwa wapatao hasara. (11:48). $ 49
50 4 0. D U A Y A K U J I K I N G A K W A MWENYEZI MUNGU Üô nûuô $Ö] àô ÛF uû $Ö] ²ô ] Üô Šû eô ] ƒø]ô Ðõ ô ^Æø ô ø àû Úôæø Ðø øìø ^Úø ô ø àû Úô Ðû øëøöû] hô øeô ƒöçû Âö ]ø Øû Îö ô ÏøÃöÖû] oêô kô %FË#ß$Ö] ô ø àû Úô æø gø Îøæø ø Šø uø ]ƒø]ô õ ô ^uø ô ø àû Úô æø A. Matamshi: Bismillahir-Rahmaanir-Rahiim. Qul a'uudhu birabbil falaq. Min sharri maa khalaq, wamin sharri ghaasiqin idhaa waqab, wa min sharrin Naffaathaati fil 'uqad, wamin sharri haasidin idhaa hasad. Tafsiri: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwingi wa ukarimu. 2. S e m a : N a j i k i n g a k w a M o l a w a mapambazuko, 3. (Anilinde) katika shari ya Alivyoviumba, 50
51 4. Na katika shari ya giza la usiku liingiapo, 5. Na katika shari ya wale wanaopulizia mafundoni, 6. Na katika shari ya hasidi anapohusudu. (113:1-6). Üô nûuô $Ö] àô ÛF uû $Ö] ²ô ] Üô Šû eô Œô ^ß$Ö] äôöf ]ô Œô ^ß$Ö] Ôô ôúø Œô ^ß$Ö] hô øeô ƒöçû Âö ]ø Øû Îö Œô ^ß$íø Öû] Œô ]çø û çø Öû] ô ø àû Úô Œô ^ß$Ö]æø èôß$rô Öû] àø Úô Œô ^ß$Ö] ôæû ö ö oû Êô Œö çô û çø mö pû ô Ö$ ] B. Matamshi: Bismillahir-Rahmaanir-Rahiim. Qul a'uudhu birabbin-naas, Malikin-Naas, Ilaahin-Naas; min sharril was'waasil khannaas. Alladhii yuwas'wisu fii suduurin-naas. Minal jinnati wan-naas. Tafsiri: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwingi wa ukarimu. 2. Sema: Ninajikinga kwa Mola wa watu, 3. Mfalme wa watu, 51
52 4. Mwabudiwa wa watu, 5. Katika shari ya wasiwasi wa (Shetani) aendaye kisirisiri kwa hila, 6. Atiaye wasiwasi mioyoni mwa watu, 7. Miongoni mwa majini na watu. (114:1-7). 52
53 QURANIC PRAYERS Kiswahili Version By Muzaffar Ahmad Durrani ISBN x Many Quranic Prayers have been compiled in this pocket book, to make it easy for our new readers. There is transliteration of Arabic text in Roman letters and its Kiswahili translation. It has been also mentioned that certain prayer was used by which Prophet. AHMADIYYA MUSLIM JAMAAT TANZANIA 53
54 äô #Ö] Ùö ç» ö $ ºÛ$ vø Úö äö #Ö] Ÿ$]ô äø ÖF ]ôÿ6? Ümû Óø Ö] á ô û ÏöÖ] èö n$âô û ]ø MAOMBI YA QUR'AN TUKUFU SHEIKH MUZAFFAR AHMAD DURRANI 54 54
55 QURANIC PRAYERS Kiswahili Version By Muzaffar Ahmad Durrani ISBN X Many Quranic Prayers have been compiled in this pocket book. To make it easy for our new readers, there is transliteration of Arabic text in Roman letters and its Kiswahili translation. It has been also mentioned that certain prayers were used by particular Prophet. AHMADIYYA MUSLIM JAMAAT TANZANIA 55
John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane
SN: John Lesson 18 Page 1 John Lesson Eighteen Yohana Somo la Kumi na Nane Read John chapter sixteen. Soma Yohana sura ya kumi na sita. 1. What "things" is Jesus referring to in these several verses? "Mambo"
More informationCONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF BOMAS OF KENYA
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS, HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA ON 16.03.04 Page 1 of 9 CONSTITUTION
More informationCONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) VERBATIM REPORT OF PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL AT BOMAS OF KENYA ON 26.02.04 Page 1 of 7 CONSTITUTION
More informationDu'a Al Mashlool. Supplication of the Paralytic
Du'a Al Mashlool Supplication of the Paralytic This Du'a was taught by Ali bin Abu Talib (p) to a youth stuck with paralysis, due to his ill teatment of his father. The youth was cured of his illness after
More informationInvoking Spiritual and Luminous Bounties from the Root Word Rabb (*R B B) Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement
Invoking Spiritual and Luminous Bounties from the Root Word Rabb (*R B B) Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement (PDF version of Enlightenment Post No. 15) Researched and Compiled
More informationThere is one God Mungu ni mmoja 1
There is one God Mungu ni mmoja 1 God is Mungu ni Title Kichwa Jesus is Yesu ni Genesis 1:1 "In the beginning God (Elohim) created the heavens and the earth." Mwanzo 1: 1 "Hapo mwanzo Mungu (Elohim) aliziumba
More informationTawasali. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Category: Topic Tags:
Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Tawasali Tawasali At-Tawassul Author(s): Seyyid Abdul Rahim Al-Musawi [3] Publisher(s): Al Itrah Foundation [4] Kitabu
More informationMTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013
102/3 KISWAHILI KARATASI YA TATU (FASIHI) JULAI/AGOSTI, 2013 MUDA: SAA: 2½ MTIHANI WA PAMOJA WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIRINYAGA YA KATI MWAKA WA 2013 Hati Ya Kuhitimu Kisomo Cha Sekondari KISWAHILI
More informationBARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh)
BARUA YA TATU KWA SHEIKH UBAYD AL-JÂBIRĪ [AULIZWA SHEIKH UBAYD] NA Sheikh Sālim at-twawîl (hafidhahullāh) 8 December, 2014 Posted by Salafibayaan ClarificationsRefutations 1223 views Nauliza suali: Muheshimiwa
More informationKitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili
Kitabu Changu cha Mistari ya Biblia Swahili Compiled by Sandy Harris Designed by Norma Hays This book is lovingly dedicated to our precious grandchildren, the joys of our hearts. It is our prayer that
More informationBARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI)
BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA (Mawasiliano yawasilishwe kwa MSAJILI) Simu 255-022-2120261-7 Ext. 331 Ofisi ya Msajili Nukushi: 255-022-2139951 SLP 9083 DAR ES SALAAM FOMU NAMBA 11 TANZANIA MAOMBI
More informationNEW INTERNATIONAL VERSION
RUTH Swahili / English Page 1 RUTHU 1 RUTH 1 1:1 Ikawa zamani za Waamuzi walipoamua, kulikuwa na njaa katika nchi. Akaondoka mtu mmoja wa Bethlehemu ya Yuda, akaenda kukaa katika nchi ya Moabu, yeye na
More informationHAKIKA YA AHMADIYYA. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania
HAKIKA YA AHMADIYYA Watu wengi hawathamini ukweli. Hata hawashuhguliki kwa kuupeleleza wenyewe. Hata hivyo ukweli, hususa unohusika na Dini, ni muhimu sana kwa kila mwanadamu kwa ajili ya wokovu wake.
More informationZABURI 91 mstari 1. KJV-lite VERSES
This Psalm is a talk between those bringing the Good News and an individual who responds and then with our great God who has been listening to this conversation; and at the end, He also wants to jump in.
More informationPre-Departure Program Swahili Unit 11 Worksheet UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES
UNIT 11: LOCATIVES, PREPOSITIONS, AND RELATIVE AND OBJECT INFIXES TIP: READ ALOUD EVERY SWAHILI WORD TO PRACTICE YOUR SIGHT-READING FLUENCY. PART 1: LOCATIVES 1) Translate the following phrases a. Mimi
More informationMALAIKA: WAJUMBE WA MUNGU
Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Kanise la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya
More informationSura al-ahzaab. Tafsiri na Maelezo. Abdilahi Nassir
, 33 Abdilahi Nassir 33 Sura al-ahzaab Tafsiri na Maelezo Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2005 Chapa ya Kwanza 2005 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603
More informationBismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO
Bismillah ar-rahman ar-raheem SHAHADA 1 YALIYOMO Utangulizi wa mfasiri Utangulizi wa mfasiri wa lugha ya kiingereza Utangulizi wa mwandishi Nafasi ya kalima Ubora wa kalima Uchambuzi wa kisarufi wa tamko
More informationImâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1
Imâm Al-Albâni, Katika Kumsifu Mwanafunzi Wake, Muheshimiwa Sheikh Ali Hasan 1 1. Mujaddid wa zama zetu hizi, Imâm al-albâni alisema katika mwaka wa 1412 AH (1991 CE), ulipokuwa ni wakati baadhi yetu bado
More informationftätt{ ;atåté< Step 1 Step 2 Thana Ta- aw-wudh Tasmiyah Surah Al Fateha Allah is the greatest Allah u Akbar
ftätt{ ;atåté< Step 1 Step 2 Thana Subhaana kallaa humma wabi hamdika, wa tabaara kasmuka, wa ta 'aalaa jadduka, wa laa ilaa ha ghairuk Ta- aw-wudh Tasmiyah Praise and glory be to you O Allah. Blessed
More informationKuishi Maisha Tele. Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto
UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, JANUARI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Kuishi Maisha Tele Katika mwanzo wa mwaka mpya, Niliwapa changamoto Watakatifu wa Siku za Mwisho kote kufanya uchunguzi muhimu wa kibinafsi
More informationCREED OF ISLAM Dr. Mufti Abdul Wahid
CREED OF ISLAM By Dr. Mufti Abdul Wahid Head of. Darul-ifta, Jamia Madaniya, Lahore. Centre of Fatwa & Research, Lahore Jamia Darut-Taqwa Al-Hilal Masjid, Chowburji Park, Lahore Creed of Islam 1 2 Creed
More informationMIN-AL QUR-AAN. For Class Three. Prof. Dr. Masood A.A Quraishi
1 MIN-AL QUR-AAN š For Class Three By Prof. Dr. Masood A.A Quraishi 2 ä ~ ð3š çw ì Ã Vzƒ0+Z Æ ä ~ ð Ó uz ì Å { LZ D E D I C A T I O N This effort is meant for all good natured children and youngesters
More informationDhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume
Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Dhana ya Ndoa ya Mitala na Ndoa za Mtukufu Mtume > Lifuatalo ni jibu alilotoa mtukufu mtume (S.A.W) wakati alipoulizwa na imam Ali (A.S) kuhusu
More informationPublished on Al-Islam.org ( Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu. Mahari ya Damu
Published on Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mahari ya Damu > Mahari ya Damu Mahari ya Damu Authors(s): Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari [3] Translator(s): S. Muhammad Ridha Shushtary [4]
More informationUkweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu
Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Ukweli Uliopotea - Sehemu Ya Tatu Waliopotosha Ukweli Author(s): kh Mu tasim Sayyid
More informationBai yah. The Basis for Organization of a Revivalist Party in Islam. Dr. Israr Ahmad
Bai yah The Basis for Organization of a Revivalist Party in Islam Dr. Israr Ahmad Lahore Markazi Anjuman Khuddam-ul-Qur an 2001 Original Title in Urdu: [A lecture delivered in August, 1995, in Elgin, Illinois
More informationNEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO
NEW LIFE IN CHRIST MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO DISCIPLESHIP SERIES I FULL LIFE MINISTRY KENYA NAME 2 Purpose: Provide teachings to equip the body of Christ to become warrior disciples of Jesus Christ.
More informationGazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936
Gazeti la kwanza la Kiislam kutolewa kwa lugha ya Kiswahili - mwaka 1936 Mapenzi ya Mungu Mapenzi kwa wote bila chuki kwa yeyote DAR ES SALAAM TANZANIA JUZU 76 No. 189 Nukuu ya Qur an Tukufu Enyi watu!
More informationDINI JE, DINI NI MUHIMU?
SURA YA KWANZA DINI Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu,
More informationEVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO
EVANGELISM FOR CHRIST UINJILISTI KWA AJILI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their body
More informationWELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH QUOTE OF THE WEEK PRAYER OF THE DAY
WELCOME TO GOD S SERVICE A.C.K. ST. LUKE S PARISH UMOJA & TENA CHURCH 16 th Sunday after Trinity (Jumapili ya Kumi na Sita baada ya Utatu) 12 th October 2014 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican
More informationNANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT
NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday 11 th July, 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon Kipkurui Chepkwony) in the Chair] PRAYER QUORUM Hon. Temporary Speaker (Kipkurui
More informationToleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu ii.
. i Toleo la kwanza: June, 2007 (Jamaadi Aakhar, 1428) Vitabu 1000. First addition All rights reserved ii. No. Yaliyomo: Ukurasa. 1. Yaliyomo iii. 2. Utangulizi (Mqaddima Al Habib Syd. Omar.. v. 3. Dibaji
More informationWELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA Theme: Endeavoring to touch the heart of God, (Matt 25:40). Kuazimia kumpendeza Mungu
WELCOME TO GOD S SERVICE ACK ST. LUKE`S PARISH UMOJA 8 th after Trinity (Jumapili ya Nane baada ya Utatu) 26 th July 2015 Vision: To be a Transforming, Holistic Anglican Church 2015 Theme: Endeavoring
More informationImam Mahdi katika Usunni Na Ushia
Imam Mahdi final D.Kanju chk Lubumba.qxd 7/1/2011 4:45 PM Page A Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-musawi na Sheikh Abdul Karim al-bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi
More informationNEW INTERNATIONAL VERSION
HOSEA Swahili / English Page 1 Osee 1 Hosea 1 1:1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana
More informationRainbow of Promise Journal
Rainbow of Promise 2002 03 Journal Date: 9/24/2002 Submitted by: Paul Nichols Well, we re three days out of training and have shared in ministry with two wonderful churches thus far. We ve had our share
More informationJe, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho?
Je, Umesikia Juu Ya Kanuni Nne Za Kiroho? Have You Heard of the Four Spiritual Laws? Just as there are physical laws that govern the physical universe, so are there spiritual laws which govern your relationship
More informationHajj & Umrah. Selection of DU A. Compiled By Oasis Hajj & Umrah Team
Hajj & Umrah Selection of DU A Compiled By Oasis Hajj & Umrah Team From The Noble Quran Rabbana taqabbal minna innaka antas Sameeaul Aleem Our Lord! Accept (this service) from us. Verily! You are the All-Hearer,
More informationNANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT
NANDI COUNTY ASSEMBLY 1 OFFICIAL REPORT Wednesday, 8 th August 2018 The House met at 2:30 pm [The Temporary Speaker (Hon. Chepkemei Clara) in the Chair] PRAYER QUORUM Temporary Speaker (Hon. Chepkemei):
More information2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Play
2002 Version of the Basic Talk on "Using African Proverbs, Sayings, Idioms, Riddles, Stories, Fables, Plays and Songs (African Oral Literature and Culture)" I pointed out to you the stars (the moon) and
More informationMAY/JUNE SESSION 2002
CAMBRIDGE INTERNATIONAL EXAMINATIONS General Certificate of Education Ordinary Level ISLAMIYAT 2058/1 MAY/JUNE SESSION 2002 Additional materials: Answer paper 2 hours 30 minutes TIME 2 hours 30 minutes
More informationUjasiri wa Kimaadili. Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani
Ujumbe wa Urais wa Kwanza, Machi 2010 Na Rais Henry B. Eyring Mshauri wa Kwanza katika Urais wa Kwanza Ujasiri wa Kimaadili Mojawapo ya madhumuni ya maisha ya duniani ni kumuonyesha Mungu kwamba tutatii
More informationFebruary 9, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 16 MOMBASA COUNTY ASSEMBLY
MOMBASA COUNTY ASSEMBLY HANSARD REPORT Thursday, 9 th February, 2017 The House met at 2:45pm. (Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid) in the Chair) PRAYERS Deputy Speaker (Hon. Mswabah Rashid): Members let
More informationUkweli wa hadith ya karatasi
Ukweli wa hadith ya karatasi Kimeandikwa na: Abdilahi Nassir Haki ya kunakili imehifadhiwa na Abdilahi Nassir, 2003 Chapa ya Kwanza 2003 Kinatangazwa na MARKAZI YA AHLUL BAYT S.L.P. 84603 MOMBASA (KENYA)
More informationVitendawili Vya Swahili
Vitendawili Vya Swahili Free PDF ebook Download: Vitendawili Vya Swahili Download or Read Online ebook vitendawili vya swahili in PDF Format From The Best User Guide Database Muundo wa vitendawili umejengwa
More informationKhadija-tul-Kubra. Author(s): Publisher(s): Translator(s): Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.
Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Khadija-tul-Kubra Khadija-tul-Kubra Author(s): Sayyed A. A. Razwy [3] Publisher(s): Al-Itrah Foundation [4] Maisha
More informationYA AL HABBIB SAYYEID
YA AL HABBIB SAYYEID . NA Yamefasiriwa kwa Kiswahili na: Al habbib Sayyeid Umar Bin Sayyeid Abdallah (Mwinyi Baraka). First addition. 03 Sept, 2005. 28 Rajab, 1426. HR. i MANAQIB YA AL-MAARUF Baada ya
More informationZanzibar itafutika-mwanasheria
Hili la kadhia ya Masheikh... www.annuurpapers.co.tz au facebook:annuurpapers@yahoo.com Sauti ya Waislamu Dk. Shein hasalimiki 16 ISSN 0856-3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA, OKTOBA 16-22, 2015 BEI
More informationHALI YA UISLAMU. Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu
HALI YA UISLAMU Maelezo ya kumsaidia Mkristo aufahamu Uislamu Kosni nondiki mondo otigo e Yala Theological Centre, PO Box 765, Yala, Kenya, kod Siaya Theological Centre, PO Box 635, Siaya. Jandiko en Jim
More informationIFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE.
IFAHAMU BIBLIA KATIKA UBORA WAKE. Na Ngowi Dennis. "*Natazamia Mbingu mpya na Nchi mpya* 1 YALIYOMO: SHUKRANI:... 5 UTANGULIZI KWA WASOMAJI WA BIBLIA!... 6 AGANO LA KALE... 7 AGANO JIPYA... 8 USOMAJI WA
More informationWAQF-E-NAU SCHEME. WAQF-E-NAU SYLLABUS SERIES No. 2 BOOK No. 5 COMPLETE SYLLABUS 10 TO 13 YEARS
-8 g$ Q êl G QL æ Ç ZèEL. W 9 æ QÇ ZvZêL E L WAQF-E-NAU SCHEME WAQF-E-NAU SYLLABUS SERIES No. 2 BOOK No. 5 COMPLETE SYLLABUS 10 TO 13 YEARS AHMADIYYA MUSLIM ASSOCIATION, UNITED KINGDOM 16 Gressenhall Road
More informationAHMAD AL-RAYSUNI. SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro. IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari
AHMAD AL-RAYSUNI AL-SHUURA Kanuni ya Qur an ya Kufanya Uamuzi kwa Kushauriana SWAHILI VERSION idara ya Lugha na ukalimani ya Chuo Kikuu cha waislamu cha Morogoro IIIT Mfululizo wa Vitabu kwa Muhtasari
More informationUkoo Wake Na Kunasibika Kwake:
Ukoo Wake Na Kunasibika Kwake: Yeye ni Sheikh wa ki-salafi, kisha ni mfuasi wa riwaya na mtunzi wa vitabu vingi vya ki-islamu na vya uswahihishaji, Alî Ibn Hasan Ibn Alî Ibn Abdil-Hamîd Al-Ya fî, mnasaba
More informationHOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE
HOLY COMMUNION ACCORDING TO THE KENYAN RITE HYMN The Lord be with you And also with you. The earth is the Lord s and all that is in it Let the heavens rejoice and the earth be glad. Our help is in the
More informationCode No. : Reg. No. :... Sub. Code : GNSO 4 A U.G. (CBCS) DEGREE EXAMINATION, APRIL Fourth Semester. Sociology
Reg. No. :... Sub. Code : GNSO 4 A U.G. (CBCS) DEGREE EXAMINATION, APRIL 2015. Fourth Semester Sociology Non-Major Elective INDIAN SOCIAL SYSTEM (For those who joined in July 2012 and afterwards) Time
More informationTALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI
SWAHILI FORUM 19 (2012): 106-116 TALKING ABOUT ONESELF TO ACT IN THE WORLD: A SWAHILI AUTOBIOGRAPHY (SHAABAN ROBERT, MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI [ MY LIFE AND AFTER FIFTY YEARS ])1 XAVIER GARNIER
More informationCONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL CONSTITUENCY, HELD AT RHAMU ON 2 JUNE 03, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MANDERA CENTRAL
More informationJUNE 4, Acts 2:1-12 and Offering...Pastor Maromy Samuel All Hail the Power of Jesus Name led by Haitian Congregation Worship Team
JUNE 4, 2017 Prelude Psalm 117...Celebration Choir & Orchestra Ezekiel 36:22-27 and Welcome...Pastor Matthew Dunlap Recognition of Ordinands...Pastor Kevin Ulmet Wes Hinton, Lisa Smith, Shane Tarter Passing
More informationUwezo Kenya National Learning Assessment 2014
Uwezo Kenya Nationa Learning Assessment TEST BOOKLET Promoting Learning in East Africa KENYA Uwezo Kenya at Twaweza, P.O. Box 13784-00800 Nairobi Te: +254 715 563 720 / +254 786 563 722 Emai: kenya@uwezo.net
More informationNo. Book Name Category Type Price 1 AFYA MARIDHAWA -1 SWAHILI SUBSCRIPTION 2, AFYA NA UZIMA SWAHILI SUBSCRIPTION 8,500.00
HOME HEALTH EDUCATION SERVICE MOROGORO - TANZANIA. Tel. No: +255 764 839 051 Website: www.stuhhes.or.tz PRICE LIST FOR 2018 Date : Wednesday, 28 November 2018 Time. : 11:34:10 pm SUBSCRIPTION Swahili 1
More informationIn Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon
In Search of Contact: Rhetorical Questions in the Communicative Frame of the Funeral Sermon by Nganga Simon nganga_simon@ymail.com Department of Linguistics and Foreign Languages Moi University, Eldoret,
More informationWhere is Africa? 2. What is African heritage? 3. What is the African heritage in the Bible? 6. What are African ways of worship?
A is for Africa: Celebrating the A in A.M.E. Zion What is the A in A.M.E. Zion? 1 Where is Africa? 2 What is African heritage? 3 What is the African heritage in the Bible? 6 What are African ways of worship?
More informationThe Lord be with you And with your spirit
There are many ways you can add a little flavour of Kagera to your service. Try using some Swahili prayers and responses, or sing some Swahili songs. It's very easy to read Swahili; it's entirely phonic,
More informationHOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018
HOTUBA YA JAJI MKUU MHE. PROF. IBRAHIM HAMIS JUMA SIKU YA SHERIA, DAR ES SALAAM, TAREHE 1 FEBRUARI, 2018 Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Tulia Ackson Mwansasu,
More informationGrade-5 Quraanic Studies Lesson Plan
Grade-5 Quraanic Studies Lesson Plan Week Class Time-45 minutes Topics Babul Ilm 01 Introduction and Orientation Introduce: 1. Teacher 2. Students Discuss: 1. Syllabus and Course Objectives 2. Discipline
More informationZvèZ êl WAQF-E-NAU SCHEME. WAQF-E-NAU SYLLABUS SERIES No. 2 BOOK No.6 COMPLETE SYLLABUS 13 TO 15 YEARS
-8 g$ Q êl G QL æ Ç ZèEL. W 9 æ QÇ ZvèZ êl E L WAQF-E-NAU SCHEME WAQF-E-NAU SYLLABUS SERIES No. 2 BOOK No.6 COMPLETE SYLLABUS 13 TO 15 YEARS AHMADIYYA MUSLIM ASSOCIATION, UNITED KINGDOM 16 Gressenhall
More informationÓ È Ú apple À, Ó Â- Ú, «ÚÙ : Ó ««Ú«È
Ó È Ú apple À, Â-B@A@ Ó Â- Ú, «ÚÙ : Ó ««Ú«È Óª : D@ «Óß ºÒ : B@ (̱ ØÒ) «Ò ÍzÙȪ Á πµâapple «Á π: (3 2=6) Íz.A Ëapple Á ÁÀ«È  πßá? Íz.B appleπæâª Ï È Á apple È? Íz.C Ù Â ÔÈ Â ÁØ πßá? Íz.D Ò Ê Úª ÌappleØ:
More informationMRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI)
MRADI WA METHALI (SANALASKUJA PROJEKTI) Tehtävä Tehtävän nimi Oppitunnin tavoite Mitä tarvitaan? Teach the four language skills of speaking, writing, listening and reading. Familiarize with the culture
More informationPrayer for Beginners (part 2 of 2): A Description of the Prayer
Prayer for Beginners (part 2 of 2): A Description of the Prayer Description: Islamic jurisprudence with regards to prayer which must be met in order for the prayer to be valid or beautified. By NewMuslims.com
More informationFriday Sermon HADHRAT MUHYI-UD-DIN AL-KHALIFATULLAH Munir Ahmad Azim
Friday Sermon HADHRAT MUHYI-UD-DIN AL-KHALIFATULLAH Munir Ahmad Azim 22 September 2017 (01 Muharram 1439AH) NAYA SAAL MUBARAK (1439 HIJRI) After greeting all his disciples (and all Muslims) worldwide with
More informationSins got you down and you don't know how to stop
بسم الله الرحم ن الرحیم Sins got you down and you don't know how to stop by Asma bint Shameem Making mistakes and committing sins are a part of human nature and no one will be free of it. All of us fall
More informationMashairi ya Masaibu ya Karbala
Published on Books on Islam and Muslims Al-Islam.org (https://www.al-islam.org) Home > Mashairi ya Masaibu ya Karbala Mashairi ya Masaibu ya Karbala Publisher(s): Ahlul Bayt (a.s.) Assembly of Tanzania
More informationNGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE)
AAP 60 (1999). 121-130 NGUO-NYINGI MKOTI: MWANZISHAJI WA MJI WA NGOJI (ANGOCHE) THILO C.. SCHADEBERG The title of this paper gives three variants of what historically is the same name: Koti = the present-day
More information.. navagraha stotram with meaning and commentary..
.. navagraha stotram with meaning and commentary.. Ì ÒÚ Ð ¹ØÓ»Ñ Ö¹Ø Ì ÒÚ Ð ¹ØÓ»Ñ We need the blessings of the nine planets known as Navagraha s to have a life that is free from various types of problems
More informationHow to perform Umrah
How to perform Umrah (Step to Step Guide) 1. Before setting off from home Make Ghusl (full body wash) Trim your nails, and remove your pubic hair. Whatever Salah is due at the time of travel, ensure it
More informationUWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI
UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ UWAJIBIKAJI NDANI YA JESHI LA POLISI Muundo Thabiti Jarida la Polisi
More informationMOROGORO JARIDA LA. ISSN Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI
JARIDA LA MOROGORO ISSN 0856-9517 Toleo Na.4 Julai 2005 BODI ZA AFYA ZA WILAYA - SAUTI YA WANANCHI Halmashauri zote nchini zilitakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa,
More informationUnderstand Qur an the Easy Way
In the name of Allah, Most Beneficent, Most Merciful Understand Qur an the Easy Way For Primary School Children (Book-1) Lesson-6a: Surah Al-Naas An-Naas: Last Surah of the Qur an. In this Surah we take
More informationProphet Muhammad's Manner of Performing Prayers (May peace and blessings of Allah be upon him)
Prophet Muhammad's Manner of Performing Prayers (May peace and blessings of Allah be upon him) By Shaikh Abdul-Aziz Bin Abdullah Bin Baz (May Allah s Mercy Be Upon him) All praise be to Allah alone, and
More informationKamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya
Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu na Uwajibikaji Jalida la Polisi Shirikishi MEI, 2017 HAKI NA USALAMA http://hakinausalama.org/ Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya Mamlaka, Majukumu
More informationArrahmaanir raheem - The Most Beneficent, the Most Merciful.
Bismillaahir rahmaanir raheem In the Name of Allâh, the Most Beneficent, the Most Merciful. Alhamdu lillaahi rabbil aalameen All the praises and thanks be to Allâh, the Lord of the 'Alamîn (mankind, jinns
More informationMASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar
AAP 42 (1995). 138-157 MASHAIRI YA WAADHI "VERSES OF ADMONITION": the people of Mombasa rebuked by P J. L Frank! and Yahya Ali Omar MUKH!ASARI [SUMMARY] Aliyetunga kasiga hii, Sheikh Abgallah al-husni,
More informationProphets Mentioned in Quran
Prophets of Allah WORKSHEET Prophets Mentioned in Quran Worksheet Copyright @Islamhashtag Prophets of Allah Worksheet This Worksheet is designed by (Islamhashtag.com ). It can be Printed and used by Parents,
More informationTAUS RETREAT NEWS LETTER # 1
TAUS RETREAT NEWS LETTER # 1 TANZANIA ADVENTISTS IN THE UNITED STATES OF AMERICA (TAUS) ANNUAL RETREAT When: July 12-16, 2017 Where: Wisconsin Academy, N2355 Duborg Rd, Columbus, WI 53925 Who Must Attend:
More informationHAKIBulletin RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA. Ndani: JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA
HAKIBulletin JARIDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA ISSN: 00000054 Toleo Na. 1 Julai - Septemba, 2017 RAIS AMTEUA PROF. JUMA KUWA JAJI MKUU WA TANZANIA Ndani: MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA
More informationYassarnal Quran English
Yassarnal Quran English Free PDF ebook Download: Yassarnal Quran English Download or Read Online ebook yassarnal quran english in PDF Format From The Best User Guide Database English translation by. A.Y.
More informationPart I: Do I Know What I Read Daily!?
Lughatul-Qur'aan 1 Part I: Everyday Recitations 3 Part I: Do I Know What I Read Daily!? This part contains meanings of commonly recited Surahs, parts of Salah, and everyday prayers (du'aas). We recite
More informationThree Ways to Forgiveness 1
Three Ways to Forgiveness Original Title: Original Author: Ibn Rajab Al-Hanbalee Translator: Abu Az-Zubayr Harrison Three Ways to Forgiveness 1 Oh son of Aadam, as long as you call upon Me and hope in
More informationSong of Peace. Verse 2, Part II: Dona nobis pacem, pacem. Dona nobis pa cem. Do na nobis pacem. Dona nobis pacem. Do na no_bis_pacem
Song of Peace Verse 1, Part I: If I could have One wish come true It would be peace for me and you Peace in our hearts and peace of mind Peace now and ever for all mankind So may our voices never cease
More informationNAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT
NCCA2014/030 NAIROBI CITY COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT First County Assembly Second Session Thursday, 9 th October, 2014 The House met at 2.30 p.m. (Mr. Speaker in the Chair) PRAYERS Hon. Speaker(Mr.
More informationCONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS IJARA CONSTITUENCY AT IJARA BARAZA PARK 2 05 TH JUNE 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, IJARA, HELD AT IJARA
More informationKITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA KITABU CHA MAFUNZO KWA WATOA DAWA KATIKA MADUKA YA DAWA MUHIMU 2007 Toleo la Tatu Kitabu hiki kimetayarishwa
More informationâæ æ Ø çùîðüàæ Ñ (i) (ii) (iii) (iv) âöè ÂýàÙ çùßæøü ãñ Ð ÂýàÙ â Øæ 1-14 Ì ð ÂýˆØð ÂýàÙ ð 2 ãñ Ð Ù ÂýàÙæð ð ÂýˆØð ð žæúu 40 àæžîæð âð çï Ùãè ãæðùð æçã
Series ONS ÚUæðÜ Ù. Roll No. SET-4 æðçu Ù. Code No. 60 ÂÚUèÿææÍèü æðçu æð žæúu-âéçsì æ ð é¹-âëcæu ÂÚU ßàØ çü¹ð Ð Candidates must write the Code on the title page of the answer-book. ë ÂØæ Áæ ÚU Üð ç â
More information=MY=Ramadan]Record]Book=
=MY=Ramadan]Record]Book= Compiled by Rahmah Ibrahim This book belongs to: 2014 My Ramadan Record Book www.rahmahmuslimhomeschool.co.uk/index 1 ==About=Sawm=Fasting== 1. Definition What does Sawm (fasting)
More informationHow to Enhance and Protect the Light Within Yourself. Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement
How to Enhance and Protect the Light Within Yourself Diamond Jubilee Spark :: Knowledge & Prayers for Advancement (PDF version of Enlightenment Post No. 18) Researched and Compiled by: Noorallah Juma,
More informationThe history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian
ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 8 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Part 1 First Part 2 Second Part
More informationWhat Islam Is? By: Maulana Muhammad Manzoor Nomani Preface
What Islam Is? By: Maulana Muhammad Manzoor Nomani Preface Should it be possible for the Holy Prophet (Peace be upon whom) to be sent down into the world once again by God what would his reaction be on
More information(Cell) (Cell) (Cell) (Landline) (Cell)
Rose Short (7/7) and Fae Miller (7/8) celebrate their birthdays this week! Please remember them on their special days by sending a card or offering a special prayer of thanks for them. Directory Update
More information